Тёмный

ALIKIBA: SINA RAFIKI MSANII, MARIOO, MUZIKI WA AMAPIANO HAUNA UJUMBE, GABO ANA KIPAJI KIKUBWA 

TimesFMTZ
Подписаться 538 тыс.
Просмотров 145 тыс.
50% 1

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 136   
@arleneilunga9202
@arleneilunga9202 Год назад
King kuja Kenya nikuone na Mimi nime toka Congo 🇨🇩 kwa sasa Niko Kenya kuja my king 🔥🔥🔥
@fefebitv
@fefebitv Год назад
Mambooooo
@stellanchagwa5297
@stellanchagwa5297 Год назад
Alikiba ni mmoja tu ❤❤❤❤
@frankrwegoshora4705
@frankrwegoshora4705 Год назад
Yaan wiki ilopita yote nilikuwa Nairobi, Muziki wa Watanzania ni mwingi kweli kweli. Nyimbo za Alikiba na wasanii kadhaa zinapigwa kila kona. Congrats ndg kwa kuwa mabalozi wazuri. Kwenye play list ya Qatar Airways Alikiba na Lady JDee mmo ndg zangu. Nilifurahi saana kukuta majina haya maana ile ni 5 star flight company isee
@mandyuwimana7735
@mandyuwimana7735 Год назад
Unatisha KingKiba 🙌🙌🙌🎩🎩
@user-fg7fb7sb3y
@user-fg7fb7sb3y Год назад
Uyu brother anae mhoji Alikiba Yupo Bomba na kz yake makini Sana na maswali yake
@oyay2821
@oyay2821 Год назад
Presenter ametulia katika kazi yake
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 Год назад
wala hafkirii nyama😂
@officialInchakali
@officialInchakali Год назад
Nakubali msosi huo 🔥💯💪 Alikiba Marioo Big up sana 👊👊
@unclegmihale455
@unclegmihale455 Год назад
King kama king..
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 Год назад
King kiba🇹🇿✅❤️❤️❤️❤️❤️💐
@user-fr6su7kb1v
@user-fr6su7kb1v 11 месяцев назад
Nakubaliana na king amapiano ni mzk rahis mfano mzur chino anatembea na beat hamna anachoimba
@rambostalon2888
@rambostalon2888 Год назад
Nacho kupendea kiba huna mashauzi big up bloo
@AlexCc-bk8lw
@AlexCc-bk8lw Год назад
Alikiba💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚👍👍💚
@michaelmisana650
@michaelmisana650 Год назад
Nakuelewa sana alikiba ❤❤❤ endelea kaz nzuli
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 Год назад
King Ally Salehe Kiba🔥🔥🔥💓💓💓💓💓💓💓30.07.2023
@EmJesho
@EmJesho Год назад
King kiba hongera kwa kazi nzuri nakukubali sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@mis2ra766
@mis2ra766 Год назад
Big up King's
@AliMbuna
@AliMbuna 5 месяцев назад
King kiba safi sana 👑
@deeonetheginger7011
@deeonetheginger7011 Год назад
King himself
@user-nq8cj7pq9y
@user-nq8cj7pq9y Год назад
King on top
@renatusmkome2754
@renatusmkome2754 Год назад
king tuna kuitaji kwetuu kigoma tume kumiss mnoo king♥️♥️♥️
@user-xg2wb9ye2g
@user-xg2wb9ye2g Год назад
Hana hela maskini 2 aibu maskini hanajipya hanarafiki Msanii anaroho mbaya ngumu Kama jiwe Ndiomana hawafanikiwi
@fefebitv
@fefebitv Год назад
Mmmmh
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 Год назад
​@@user-xg2wb9ye2gmana wamlisha ww na kumvisha ww kila cku paka mweusi
@givenmazengo7738
@givenmazengo7738 Год назад
Hizo nyama daaaaah
@bosslilyg4390
@bosslilyg4390 Год назад
I love Alikiba ❤❤❤
@albertkatuga2434
@albertkatuga2434 Год назад
Mariooo kamaliza nyama ndio akaondoka😀😃😃😃 Totobady
@mokojumbe4545
@mokojumbe4545 Год назад
Mjinga Kabisa Omar 🤣🤣
@missindependent1893
@missindependent1893 Год назад
😅😅😅😅😅😊😊😊😊
@BabaBalingasi-hp6gd
@BabaBalingasi-hp6gd Год назад
Daa huyo mdada anaongea vizurii sana. Sauti yake nzuri
@mkarimuofficial9192
@mkarimuofficial9192 Год назад
Abdhalla salamu kwanza ndio ule bana
@user-oq1fc7th9n
@user-oq1fc7th9n Год назад
Ally unatisha sana🎉🎉😢😮😅😊
@piuskanyampala4540
@piuskanyampala4540 Год назад
kumbe waandishii wakilishwa wanahoji vzur
@salimsoyo8118
@salimsoyo8118 Год назад
Chezea buree hahaha
@keydeemasinga6986
@keydeemasinga6986 Год назад
🤣🤣🤣🤣
@ugotanzania2722
@ugotanzania2722 Год назад
😂😂
@eddymudindi9166
@eddymudindi9166 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sasa?
@user-ov8hr8sz4c
@user-ov8hr8sz4c 11 месяцев назад
Alo be vidu kiba cito aci bela
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj Год назад
Maji muhimu😀😀
@ngasikajoel9576
@ngasikajoel9576 Год назад
Show love for collegue as long as God blessed you that's is law of nature
@user-eh4jh5hr8x
@user-eh4jh5hr8x Год назад
Huyo dada analiya mkono wa kushoto
@MukandilwaProspere-th2xu
@MukandilwaProspere-th2xu 6 месяцев назад
Kig kiba mukuli kweli😊
@FatakiFabien-co2qs
@FatakiFabien-co2qs Год назад
Nimewa yinipeni liké yangu
@criminalminds7723
@criminalminds7723 Год назад
Tukikupa likes na ww utatupa jicho?😋😋
@shreemwanakombo6794
@shreemwanakombo6794 Год назад
Mwamba💪💪💪
@AllyMahuja-gk5qi
@AllyMahuja-gk5qi 8 месяцев назад
Tunda man
@DatuBakary-in3ut
@DatuBakary-in3ut Год назад
K2ga mbona haonekani mwambie aache roombaya
@UwamuregeyeSamuel-rq7jz
@UwamuregeyeSamuel-rq7jz 11 месяцев назад
Mlukali 👑 kiba
@kibslincoln
@kibslincoln Год назад
👑❤
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e Год назад
King kiba
@rachelaisha5084
@rachelaisha5084 Год назад
Mfalm king
@user-uq5ll1mu4v
@user-uq5ll1mu4v Год назад
😂❤❤❤❤❤❤
@OMANOman-qc1lm
@OMANOman-qc1lm Год назад
Kiba nimemuelewa kweli point yake rafiki niyule kwenye shida na raha mnakua pamoja ila rafiki wa kwenye kazi ndo Hao rafiki wa juju ila rafiki wa kweli ndo Hao kwenye shida na raha
@kilungahamis1270
@kilungahamis1270 Год назад
Kwani msanii hawezi kuwa rafiki wa shida na raha?
@kaseja
@kaseja Год назад
Meaning hata wasanii wake sio marafiki zake ?? That's why hawapei promotion and the investment they need the guys to grow??? So why have a Lebo and yet U don't want to be frndz with Ur own artist?? What about mwana FA na yeye sio rafiki yake coz he is a musician... Huyu Jamaa aangalie kauli bana
@laj1699
@laj1699 Год назад
​@@kasejaKing Kiba kanukuu 'Rafiki ni yule anayekuwepo wakati unamhitaji.' Marafiki wengi wa King wamekuwa wanafiki kwake akiwemo Dimpoz, Mwana FA, Barnaba na wengine wote walioenda kwake kujirebrand nakutoroka badae.
@user-xg2wb9ye2g
@user-xg2wb9ye2g Год назад
Ndio maana daimond amemuacha mbali Hana hela ni maskini anatia aibu maskini mshamba wa Cinderella
@user-xg2wb9ye2g
@user-xg2wb9ye2g Год назад
​@@laj1699Mwana fa anajua ndio mtalaamu wa mashairi misamiati na misemo huyo maskini mwenye roho mbaya Hana hela anaroho mbaya ngumu Kama jiwe Ndiomana hawafanikiwi mshamba wa Cinderella
@swaifsouq
@swaifsouq Год назад
Mr blue na aby skils kwenye maria
@dennisnjiro7922
@dennisnjiro7922 Год назад
Ali i realy apreciate what u did ila pia majibu unayo brother unaheshima ya kujibu
@albertkatuga2434
@albertkatuga2434 Год назад
Nilikua natazama sinia muda wote nashangaa haliishi au mmezisomea hizo nyama 😀😃😄😄 maana watu wanainama wakiinuka nyama 😀😃😃
@user-hd9om8cu4y
@user-hd9om8cu4y Год назад
😂😂😂😂😂😂😂
@TangaMashewa-qe8kk
@TangaMashewa-qe8kk Год назад
Hahaha niilikua najua naangalia mwenyew
@davidcurtis175
@davidcurtis175 Год назад
Hamna macho wala hamsikii mbona me nimeona sinia ya pili na wamesema kabisa round two na imetolewa imewekwa nyengine kumbeeee ndio maana wanafumzi wanafeliiiii, shule moja darasa moja walimu ni haohao ila wapo wanaotka na zero na wapo wanaotoka na 1😊
@silvergold5855
@silvergold5855 Год назад
Marioo aongei 😂
@aminaheri2590
@aminaheri2590 Год назад
Huyo Dada kwann anakula jaman na kushoto , naomba mkatazeni
@cittaboy
@cittaboy Год назад
Vnye amekaa usimulaumu
@cosmasally883
@cosmasally883 Год назад
marioo kama max kwenye mapande
@yustinrockboy4091
@yustinrockboy4091 Год назад
Oya izo nyama niaje
@muhammadjamady-zx1jy
@muhammadjamady-zx1jy Год назад
Uyooo alieva nguo nyeusi mwanamke anakul shoto tu
@waziriadam1022
@waziriadam1022 Год назад
Uyo demu wa wapi anakula na nkono wa kushoto kudadadeki
@festoasanga5572
@festoasanga5572 Год назад
Mmmmm abdu kiba mrafi anachukua tidogo tudogo ila yupo fasta
@Lea-iz8fd
@Lea-iz8fd Год назад
❤❤❤❤❤
@SalumuAlly-d9q
@SalumuAlly-d9q Год назад
Kipenzi cha kila mtu hana ubaguzi sasa huyo utamfananisha na swala wa tandale kwa majizi huyo mtoto wa k/ koo bwana king kiba saruti sana ali
@piuskanyampala4540
@piuskanyampala4540 Год назад
Ki Spana hatà hakipig story😅
@omarymbole9028
@omarymbole9028 Год назад
Dada Hilo Sinia unaona mapaja tuu duu wachee na wenzako
@mimasirdic8379
@mimasirdic8379 Год назад
Mroho
@mimasirdic8379
@mimasirdic8379 Год назад
Anashindwa kula vizurii na Ali kiba
@kiejustus97
@kiejustus97 Год назад
Ni kuku ama ni nyama gani iii mlo
@MusaMkembela-ex6ev
@MusaMkembela-ex6ev 10 месяцев назад
Huyu dada anakula balaa hatari sana
@halima2286
@halima2286 Год назад
Marioo anakula kwa Kasi ama anazani kitaishaa na huyo mwamba wa kofiaa ni nikuyasombaa sana
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 10 месяцев назад
KWELI NYAMA ILIVYOISHA KILA MMOJA KASHIKA ZAKE😂😂😂
@muhammadjamady-zx1jy
@muhammadjamady-zx1jy Год назад
Kiba kaon watu wanazid akashika mkononi
@missindependent1893
@missindependent1893 Год назад
😅😅😅😅😅😊😊😊😊😊😊
@user-de1cl2qe5s
@user-de1cl2qe5s Год назад
Tunatak kolab za kimataif xax hiv
@ivantompoo-uy3up
@ivantompoo-uy3up Год назад
BatA jamaa wanakul
@swedish_james
@swedish_james Год назад
Nyama ilivyoisha kila mtu kashika zake
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 10 месяцев назад
😂😂😂😂wew unajua kusoma Ramani
@piuskanyampala4540
@piuskanyampala4540 Год назад
Huyo dada wa wigii haulizi vzurii anafukiaa tuu
@khadijahamina8457
@khadijahamina8457 Год назад
😂😂😂😂kazi nakulaa
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 Год назад
amesahau kilichompeleka pale😂
@mimasirdic8379
@mimasirdic8379 Год назад
Anatetemekea chakula mnooo na anakauroho
@davidmuneza5158
@davidmuneza5158 Год назад
Ki kiba
@fuadaladawi1255
@fuadaladawi1255 Год назад
Huyu mujama Ali anajiona sana
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Год назад
Huyo sister duu nyuma anapiga nyama sio mchezo
@immaculathaemmanuel8240
@immaculathaemmanuel8240 Год назад
Kuna mmoja hapo anakula faster faster hatari🤣
@sakinaamani1486
@sakinaamani1486 Год назад
Hajaelewa swali huyu ali nae
@kukuzambawazambanga
@kukuzambawazambanga Год назад
Njooni kenya nyinyi wote Kenya hakuna chochote kinachoendele Hela imelala huko Hakuna wakuokota Ni siri tu nawachunia Wakenya wanawapenda Na wanakiu Yakutumbuishwa Wenzenyu huko kenya ni udaku tu Hawana lolote
@kukuzambawazambanga
@kukuzambawazambanga Год назад
Enjoyini washikaji wangu jamani Mrarueni bata virivyo juu ya kagumzo Diamond platinumz huyo😅😅😅 Maisha mafupi haya na matamu😅😅😅
@user-ok8gw4yp5o
@user-ok8gw4yp5o Год назад
Chakula kweli kitamu
@khalidsoud235
@khalidsoud235 Год назад
Moco amekuja kucheki nyama amekosa😂😂😂
@kukuzambawazambanga
@kukuzambawazambanga Год назад
Hiyo pia mimi nimeona😅😅😅😅😅😅😅
@nasibabdullah-
@nasibabdullah- Год назад
Ali why more hunger, u eat more.😂😂
@salimmwakaribu942
@salimmwakaribu942 Год назад
Nani ameona hio gari iligongwa ikanyoroshwa😂
@rayanndizeyes3161
@rayanndizeyes3161 Год назад
tazania hamuna tisho kwa nini munajipanguza na mikono jamani watafutiye tisho yakupanguziya mikono wanapa kula
@user-xg2wb9ye2g
@user-xg2wb9ye2g Год назад
Hana rafiki huyo ni maskini anaroho mbaya ngumu Kama jiwe Ndiomana hawafanikiwi huyo mshamba wa Cinderella
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Год назад
Hao waroho wa nyama si wakalie jikoni huko wamuache king ahojiwe kwa amani
@lenardleonardngimilanga3480
Jamaa udende tuu unamtok
@DottoAbas-iu4xx
@DottoAbas-iu4xx Год назад
Ety abdukiba amefika nini ahahah
@masizitony9800
@masizitony9800 Год назад
🦣🦣🦣🦣🙏🙏
@LaughKey-f8x
@LaughKey-f8x Год назад
K2GA nivipi mbona hatumuoni
@faidhacute
@faidhacute Год назад
Binadamu kamili huwez kutokuwa na rafk bhana acha zako, sasa unajitenga mwenyew wakat hao ni wasanii wenzako inabd mubadilishan mawazo acha kujikuta
@sakinaamani1486
@sakinaamani1486 Год назад
Mbona huyu kka hali mwala nnyi tu
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 Год назад
Amefunga😂
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Год назад
@@jacksonmathayo6510 😆😆😆😆😆
@idrisamangwala6470
@idrisamangwala6470 Год назад
Hahahhah huyo jamaa fala kweli wenzie wanakula yeye anaongea ila pongezi Kwa huyo mdada kwa kula2
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa Год назад
😂😂😂😂😂😂
@Am-vo5cu
@Am-vo5cu Год назад
Alikiba ni kijana wa region gani Tz? Anaongea kama mtu mwenye kiburi fulani
@saidjumasaid3924
@saidjumasaid3924 Год назад
Yae jamaa ana kiburi yani ukimuona tuu
@dottombilinyi5979
@dottombilinyi5979 Год назад
hakuna alikiba mwingne
@athumanhusen6008
@athumanhusen6008 Год назад
Kakuku kamoja watu 100,uchawa mtupu
@khadijahamina8457
@khadijahamina8457 Год назад
kunamcango wako apo kwenye iyo kuku mbona kisirani
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 Год назад
Punguza chuki itakupelekeaaa uwe mchawi dogooo
@salmasalum7735
@salmasalum7735 Год назад
😄
@kyungumedardmaurice8321
@kyungumedardmaurice8321 Год назад
Mnakula kama majini ahibu Mungu wangu mnachekesha mnakosa hadi maji ya kunywa 😢😢😢
@ayubusalim4113
@ayubusalim4113 Год назад
😅😅😅, daah 😅🙌
@mariamnur1036
@mariamnur1036 Год назад
Binadamu hamkosi lakusema ..ila sema wewe ndo jini
@DenisMahomba
@DenisMahomba Год назад
King kiba
Далее
Мой телеграмм: v1ann
00:14
Просмотров 51 тыс.
BeastMasters Hawk just had enough #ti13
00:30
Просмотров 256 тыс.
Мой телеграмм: v1ann
00:14
Просмотров 51 тыс.