Kamwe unaakili nyingi Sana dogo😄😄😄😄 ushauliwangu kwako washukuru Sana wazaziwako kwakukulea kwene misingi mizuri❤️❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿 hongereni wazazi wa kamwe 🇹🇿🐦
aziz ki pacome dube duke baleke max aucho Diara Msonda Mzize Boca Mda Chama Baka Kibabage Yaaukwasi 💛💛💚💚💛💛 Yanga inapaswa ishtakiwe kwenye mahakama za kimataifa sio siri na sina utani!
Ila niwaambie kitu Wananchi Muda wa furaha ukiupata unapaswa ufurahi asee asikupangie mtu Huu ni Muda wetu wa furaha so asikutishe mtu Mwananchi yeyote afurahi tania yeyote cz ndo muda wetu coz furaha na huzuni ni vipindi ambavyo binadamu tunapitia so ukiwa na furaha mtu asikwambie eti usifurah cz uzuni ipo ase piga nginja nginja 🎉🎉😂😂