sisi kama wananchi tunajivunia kupata msemaji kama wewe Alikamwe mwenye taaluma na maarifa mengi💚💛🫶mbona semaji la coast lina wasiwasi😂 Mungu ibariki yanga na wachezaji wote🙏
Ally Kamwe ni mtu bingwa Sana kwenye tasnia ya habari na hakika Wananchi tulipata mtu sahihi Sana. Nakumbuka enzi za Manara akiwa kwa Watani zetu Simba alitaka kutufanya mashabiki tuwe na uadui Sana kwa maneno yake but Mungu Mkubwa mpira sasa hivi tunafurahi kwa kukaa hata pamoja na Watani zetu Simba.
Nimekuwa nikimsikia msemaji akitumia neno "fatik" kuelezea hali ya uchovu wa wachezaji. Kuna kosa dogo la kimatamshi katika hilo. Neno ni "fatig" inaandikwa "Fatigue".