Sawa kaka nimekuelewa sana vip sasa kuhusu singeri yetu nayo inafanya nini so kama ipokama amapiano Maana singeri nayo huwa inamfanya mtu kuwa mwehu mwehu like amapiano
ilove 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 penda kwetu TANZANIA 🇹🇿🇹🇿 🇹🇿 wachokonozi mnatuondolea stres mmenifanya nisihame tanzania 🇹🇿🇹🇿 🌍🌍 ,,ila msisahau kunitumia Jina la mwimbaji iyo nyimbo ilo gitaa unavyolipiga mchokonozi safi sana ,,
natamani msemee kuhusu privacy za wateja ktk mitandao ya simu ambavyo mitandao ya simu hasa vodacom na tigo juu ya shutma za hivi karibuni kuvujisha taarifa za wateja kwa watawala… tujadili hili
@@wachokonozi_ Asante bro nime iyona daah una madini mengisana mwamba naweza kukuita shamba la uwerewa upo huru Sana bro kuriko hata mungu Kwan yeye hawezi kumuumba mungu mwingine kuriko yeye wewe unatufungua wengi akili so recpect broo