Wafungwa wa akili ni wengi,kuliko wafungwa walioko jela,Hata Bob Marley alishawahi kuimba,Africa UNIT,Lakini kwakuwa Africa imetawaliwa na DINI hakuna fala alieweza kumuelewa ndiyo hiki leo wanachozungumza Wachokonozi,Tunahitaji umoja wa nchi za afrika 😅😅😅.
Mimi ni muumini wa africa spiritualism nishaachana na mgawanyo wa madhehebu,eti mimi mroma,mimi mlutheri,mimi m TAG. mimi msabato na list ni ndefu sana kuiandika kisha tuwe na umoja. Umoja wa nini ktk hali hii. Kwanza tujikomboe kifikra
Mbaya zaidi hata huko saudia nao wameanza kuruhusu vitu vya kidunia kama bar pombe kumbi za starehe nk.na sasa hivi kiongozi wao kasema hakuna kumpangia mwanamke vazi la kuvaa avae anavyo taka yeye sasa sijui watakumbilia wapi tu labda Oman😅😅😅
Mimi binafsi siamini kwenye MIUNGU ya kigeni, UKIRISTO na UISLAMU ila Nina Jua na kuamini kuwa Kuna DEVINE POWER Inayo tugovern sisi Wanadamu. Finally Quran/A-QUARIAN and bible/Bi- Balls( two balls) ni vitabu vya "Lights" kama haujui Mythology, astrotheology, syncretism, astrology na Occultic science/knowledge, kama ukisoma vitabu hivi kama literally huwezi kuelewa kitu. Mfano JESUS/ ni mfanano wa JUA na miezi/Nyota/milango 12( wanafunzi 12) Muhammad (saw)= MOON/MWEZI na Nyota 12. Mohammad means MOON IN MARS ambapo tunapata jina kama RAMADHAN/RAMASON/RAMS SON/SUN (Mwana KONDOO) RAM= KONDOO ambayo ni First Sign au Alama au ISHARA ya kwanza ya Uumbaji. KONDOO au ARES-kigiriki(ARISING)anafananishwa na MOTO au MARS/MIRIKH the First Element of Creation. Katika MWILI wako MARS inadominate/DONATE your BLOOD, IRON, POWER.
umesema ukweli, mi nimekaa zanzibar miaka 6, ukiwa mbara af unafatilia kitu serikalini au haki au kitambulisho au kitu kingine chochote hata uwe umeonewa unataka haki Zanzibar haupati, hawako tayari kijana wa kule awe na kesi akituhumiwa na mbara. Na hata ktk maisha ya kawaida ya kiharakati sehemu za serikali mbara utasota kupata huduma au kufanikisha jambo lako. ubaguzi upo sana
Hivi Hawa wachokonozi kwanini hawajibiwi chochote wanachokiongea kuhusu dini hata kama wakiiongelea dini ya kiislam pia jambo ambalo sio la kawaida kwasababu mara nyingi watu ambao wanaouongeleaga vibaya uuislam uwa wanajibiwa na viongozi wa dini ya kiislam hapo Tanzania kulikoni kuhusu Hawa wachokonozi au kutakuwa Kuna ukweli na wanavyoviongea?
Ukiona hawajibiwi na hao viongozi wa hiyo imani. Basi ujue kuwa viongozi wa hiyo imani kuna ukweli fulani uliyo jificha wanaujua na hawa jamaa ndio wanao uzungumza. Huyu jamaa alishasema ktk dini zote hizi mbili yeye wakuongea nao ni Papa, Maaskofu na Maulamaa kwani hawa ndio levo zake. Waliobaki wote hawajuwi kitu. Kwani wengi wao wamefundishwa na kuishia levo ya tatu tu ya uelewa wa dini zao. Hivyo hawajuwi kitu.