Тёмный
No video :(

Ambwene Mwasongwe. Nilipiga picha nusu kwakuwa suruali yangu ilikuwa imeungua chini! UDSM CCT. 

UDSM CCT MEDIA
Подписаться 77 тыс.
Просмотров 181 тыс.
50% 1

Karibu usubsribe Channel maalumu kwaajiri ya video fupi tu. CHURCH MEDIA4K.
• Dakika 10 na Mch. Hana... .Video na Audio hizi zinahusu Matukio, Mafundisho na Mahubiri Yaliyotolewa Katika Ibada zinazofanyika UDSM CCT Chaplaincy (CCKD)

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 172   
@amanamazanda748
@amanamazanda748 Год назад
Amina Baba umeitwa,Hata mimi nilinyanyasika na nyumba za kupanga kama 2 hivi nilipohamia ya 3 nikawa nalala chini wiki nziima huku namlilia Mungu siku ya mwisho nikamwambia Mungu hii nyumba ni ya mwisho usiponibariki nyumba yangu basi niue tu! Nikitoka hapa niende kaburini au kwenye nyumba yangu,nimechoka kukutumikia na huku nateseka na manyumba ya watu,Mungu ni mwaminifu nilitoka ile nyumba nikaingia kwangu mwaka wa 6 sasa! Sifa na Utukufu ni kwake🙏
@HighzackMichael
@HighzackMichael Год назад
Ubarikiwe mtumushi
@lemesiolipuuofficial8652
@lemesiolipuuofficial8652 Год назад
Ushuhuda wako umenigusa Sana moyo wangu, najikuta kuwa na nguvu mpya ya kumtafuta MUNGU wangu, natamani nifike hatua hiyo uliyopo mtumishi wa MUNGU, Ubarikiwe sana.
@user-cz9gc1rn6f
@user-cz9gc1rn6f 6 месяцев назад
Mtumishi wa Mungu Ambwene.nahitaji nikuone Siku moja.tukae tuzungumuze mawili matatu.ili maratena uhimize huduma yangu.maana ushihuda wako unanitia moyo.niko Est DRC.mjini Goma.
@robertemanueli6018
@robertemanueli6018 2 года назад
Mungu kama ulivyoweza kuwajaza wengine nguvu yako, nami unijaze ili nitumike kwako kama lilivyo kusudi lako ndani mwangu🙏
@occupeparjesus6768
@occupeparjesus6768 2 года назад
Najikuta natokwa na machozi 😭 much love from CONGO 🇨🇩♥️
@blessedone18
@blessedone18 2 года назад
Naomba nami Leo Mungu anikumbuke katika safari yangu mara nyingi twachoka safarini lakini yupo Mungu wa embwene Leo hii namwita ashuke anene nami pia nataka kubarikiwa I tap the blessings man of God 🙏
@udsmcctmedia7708
@udsmcctmedia7708 2 года назад
Let it be in the Name of Jesus
@josephmalale7656
@josephmalale7656 2 года назад
Sauti yako inainua imani yangu najikuta napiga hatua kila baada ya kuisikiliza sauti yako naamini sauti yako si yako tu Bali ndani yake yupo yule MZEE WA SIKU ubarikiwe sana mtumishi ninapokata tamaa yaani nisikiapo sauti ya yako nainuka tena. Nasema kwa herufi kubwa UBARIKIWE KATIKA KRISTO YESU WA NAZARETH ALIYE HAI.
@BerthaJoel-ph4eu
@BerthaJoel-ph4eu 3 месяца назад
Mungu naomba usikiie maombi mungu ulinde ndoa zetu japo kuwa tunapitia mangumu sana na majaribu mengi mungu simama ututetee mungu akubariki kaka amwene
@Lusekelo98
@Lusekelo98 2 года назад
BWANA MUNGU, nashukuru kwa hapa nilipo na nitakapokuwepo kesho kama itakupendeza kwakuwa asubuhi yangu, mchana wangu na usiku wangu ni Neema tu.
@franklinnnko7132
@franklinnnko7132 2 года назад
Mungu akubariki Sana mtumshi wa Mungu umenitia moyo upya
@Lusekelo98
@Lusekelo98 Год назад
@@franklinnnko7132 Amina mtumishi
@husseinanyitike3673
@husseinanyitike3673 2 года назад
Mimi nimeanza kumjua kaka kipindi anatembea na gitaaaa lake nilikuwa napenda voko yake mda sana na imani yake ipo juuu sana barikiwa sana kaka sisi tumebarikiwa sana kupitia nyimbo zako
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Ulimfahamu hukumjua ,Anamjua Mungu na Mama yake na mke wake tu
@Jiwakilishe2023
@Jiwakilishe2023 Год назад
Majaribu ni mtaji ndo wimbo ulonifanya mfuasi wako zaidi ya miaka 16 iliyopita. Mungu aliyekuchota porini nikakujua huku Kenya akubariki .
@careendeni6580
@careendeni6580 2 года назад
Huu wimbo niliusikia wakati bado sijaokoka ila niliupenda, namshukru Mungu aliyeniokoa na kunifanya nielewe zaidi
@wazirikisigo4232
@wazirikisigo4232 2 года назад
Endelea mbele dada
@felisianailomo2339
@felisianailomo2339 2 года назад
Nimenguswa sana nahuu wimbo
@jessicamagoke6800
@jessicamagoke6800 2 года назад
MUNGU AZIDI KUKUINUWA UNATUBARIKI SANA NA AKUSIMAMIE ADUI NI WENGI LAKINI UTASHINDA🙏🙏🙏
@lukhubeni8726
@lukhubeni8726 2 года назад
Mtumishi ubarikiwe nakupenda sana na nyimbo zako zinakuwa na mguso na mafunzo barikiwa sana Ameen
@ulimbakisyalaston6311
@ulimbakisyalaston6311 2 года назад
Amina mtumishi Bwana Yesu akubarik
@barnabachuwa794
@barnabachuwa794 Год назад
Mungu akubarik sana kaka kwa huduma ya uimbaji wa mguso
@yonamwansasu2578
@yonamwansasu2578 2 года назад
Namshukuru Mungu mtumish kupitia wimbo huu nilikata tamaa lakin nimehudiwa na nimemuonaMungu kiwango Cha iman kimeongezeka
@leninyakafumbe1828
@leninyakafumbe1828 2 года назад
Nimebarikiwa Sana kupitia huu wimbo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@OmanOman-yn2zj
@OmanOman-yn2zj 2 года назад
😥😥ubarikiwe mtumishi wa MUNGU🛐🛐🛐🛐🛐
@marymichael5561
@marymichael5561 Год назад
Ubarikiwe mtumishi, upate maisha marefu yenye furaha na amani tele nabarikiwa Sana na nyimbo za na storii za maisha yako.... Na ninajifunza kitu pia katika maisha yangu 🙏
@furahamwangos3365
@furahamwangos3365 2 года назад
Barikiwa sana mtumishi kweli haikuwa rahisi
@HilolimusMtewa-ei8sm
@HilolimusMtewa-ei8sm 9 месяцев назад
Barikiwa sana Mt ambwene
@festosambo7662
@festosambo7662 2 года назад
Barikiwa sana baba napenda sana huduma yako
@nsajigwamwakalinga3591
@nsajigwamwakalinga3591 2 года назад
Amina mtumishi ubarikiwe nakuwa kiimani niposikiliza nyimbo zako
@udsmcctmedia7708
@udsmcctmedia7708 2 года назад
Amina
@magdalenajohn6564
@magdalenajohn6564 2 года назад
Ambwene .Bwana Yesu asifiwe naomba namba yako nahitaji kukuuliza swali moja tu
@lusajomwasomola5002
@lusajomwasomola5002 2 года назад
Uzidi kubarikiwa zaidi ndugu yangu
@eliwanzitamussa9510
@eliwanzitamussa9510 Год назад
Ushuhuda wako umenitia nguvu kaka ambwene ubarikiwe sana
@lisajohn-vc2rt
@lisajohn-vc2rt Год назад
Amen mtumishi wa mungu ubarikiwe Sana in kanisa liko sehemu gan mtumishi
@helenacyprian6642
@helenacyprian6642 2 года назад
Amina mtumishi ubarikiwe saana hakika mungu anakutumia nyimbo zako zinatuimarisha mno
@user-eo4gd1cr4l
@user-eo4gd1cr4l 7 месяцев назад
Ndugu yangu Asante kustahimili,nashuhudi uzima kila akutumiapo Baba,songa mbele Nami nasonga mbele.Tumebeba msalaba,ulihudumia maisha yangu,barikiwa ndugu
@mariamambo
@mariamambo Год назад
Natamani nifike mahali ambapo anatakanifike mungu
@patrickwilondja759
@patrickwilondja759 5 месяцев назад
Alléluia sifa kwa Mungu wetu,maana ushuhuda zako zinakua ni mafundisho makubwa kwa maisha yangu.Kweli umeitwa na Mungu
@kefasikefasi8542
@kefasikefasi8542 2 года назад
Barikiwa sana naelewa uimbaji wako
@frankmushi8892
@frankmushi8892 2 года назад
Natamani kulia mungu naomba na na mimi unitie moyo kushenda majarbuuuuu here yesu naomba nisaidie
@udsmcctmedia7708
@udsmcctmedia7708 2 года назад
Mungu Ujibu haya ya moyo wa mtumishi wako. Ameni
@alicekapusi
@alicekapusi 8 месяцев назад
Umesema kweli,ni jambo la ajabu kuona watu wazima na wazee wameachia vijana ndiyo wamtukuze Mungu, wao ndiyo wanaimbiwa
@samwelnyakamoro8388
@samwelnyakamoro8388 Год назад
Mapito ya mtoto wa mungu hakika huaga magumu so ushindi wake huwa mkubwa sana kwa utukufu wa Jehovah
@user-wg5ks3jo8o
@user-wg5ks3jo8o 11 месяцев назад
Mungu nyoosha mapito yangu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 года назад
Nimelia saana Ushuhuda huu
@claudeking8559
@claudeking8559 2 года назад
Ameeeeen ukiiimba tu na inuka kwenye Imani amene
@annadaudi5402
@annadaudi5402 2 года назад
Mungu azid kukutunza mtumishi wa Mungu nyimbo zako Huwa zinanibarik San 🙏
@sofiaoman5901
@sofiaoman5901 2 года назад
Ushuda huu unanikumbusha mbali sana ubarikiwe amenuh 🙏🙏🙏
@patrickwilondja759
@patrickwilondja759 5 месяцев назад
Mungu basi azidi kukutendea mema kwa maisha yako,hata nasisi atujalie neema yake kusudi tushikamane nayeye
@falijiubamba4155
@falijiubamba4155 2 года назад
Mungu akubariki Sanaa na aendelee kukutumia shambani mwake
@marthamashinji6830
@marthamashinji6830 2 года назад
Nakupenda sana
@jackobchibago1812
@jackobchibago1812 2 года назад
Wewe ni Mentor wangu hakika.
@BerthaJoel-ph4eu
@BerthaJoel-ph4eu 3 месяца назад
Ubarikiwe sana
@evangelisteclaudine6062
@evangelisteclaudine6062 Год назад
Oh Mungu ni mukubwa sana
@sehewasaimon8382
@sehewasaimon8382 Год назад
Mungu akusimamia mtumish akutie nguvu katka Kila jambo unalofanya Amen
@hopemtweve9596
@hopemtweve9596 2 года назад
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu katika huduma yako
@emmanuelamos7511
@emmanuelamos7511 2 года назад
Ubarikiwe Mnooo!!
@naomiwilson6297
@naomiwilson6297 2 года назад
Inapendeza kaka barikiwa
@deongonyan7751
@deongonyan7751 2 года назад
mungu akupe Maisha malefu
@gregorydeus72
@gregorydeus72 Год назад
Mungu wangu Mungu wangu Mungu wangu nakuomba ukaibariki huduma ya Mtumishi Ambwene ktk viwango vya juu sana kwani ni mvuvi wa watu wakujue zaid
@AgmackDezi-nf1rr
@AgmackDezi-nf1rr 10 месяцев назад
Ubarikiwe sana mtumishi wa mung nyimbo zako znaokoa na zina uPako wa mung
@franknandi6371
@franknandi6371 2 года назад
Barikiwa sana mtumishi
@SaimonMwakasula-nv5nx
@SaimonMwakasula-nv5nx Год назад
Hakika nimeguswa mungu akubarik
@olipaassa4769
@olipaassa4769 2 года назад
Amina
@mariamambo
@mariamambo Год назад
Mungu akubariki naguswa nanyimbo zako
@godfreymsanya2726
@godfreymsanya2726 Год назад
Yesu akutunze daima mtumishi
@jeannetteumunyana672
@jeannetteumunyana672 2 года назад
Woow! God bless u! From Rwanda nakusikiliza hapa
@zipporahmibei9007
@zipporahmibei9007 2 года назад
Mungu mwenyewe alikuita kweli mjungaji ubarikiwe sana nyimbo sa baraka
@obeymasebo4350
@obeymasebo4350 2 года назад
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu nabarikiwa sana na nyimbo zako nisikilizapo namuona Mungu akinitetea kupitia nyimbo zako, Mungu akuongezee kipawa.
@andrew29468
@andrew29468 Год назад
wimbo huo huwa unanibariki sanaaaaa
@isacksimonmahungilo
@isacksimonmahungilo Год назад
Amina abwene
@maryjacob9753
@maryjacob9753 2 года назад
Timekumic bethel kwa Mchungaji Devotha Seleli kinyerezi/ kifuru, ulikuja ukaimba nyimbo sita, jaman hakusimama Mchungaji kuhubiri that day jaman tulihubiriwa kupitia nyimbo, ww nimnyenyekevu Sana jaman.
@udsmcctmedia7708
@udsmcctmedia7708 2 года назад
Mungu awabariki sana
@ephraimmdota3331
@ephraimmdota3331 2 года назад
Kwali kaka umetoka mbali sana sis was kwenu masoko tunaelewa,umetoka mbali na marehemu nyelu, mungu azidi kukuinua kaka yangu
@ephraimmdota3331
@ephraimmdota3331 2 года назад
Kwali kaka umetoka mbali sana sis was kwenu masoko tunaelewa,umetoka mbali na marehemu nyelu, mungu azidi kukuinua kaka yangu
@kissagabriel5825
@kissagabriel5825 2 года назад
Barikiwa Kalumbu mtumishi wa Mungu huwa nakuombea sana
@winfridadominic7542
@winfridadominic7542 Год назад
Barikiwa mtumishi wa mungu bwana awe Kila kitu kwako.
@magerthmrema851
@magerthmrema851 2 года назад
Mungu akubariki mtumish zaidi na uwe juu siku zote, Ameen.
@presseg.6362
@presseg.6362 Год назад
Barikiwa mtumishi
@samsonisaack5145
@samsonisaack5145 2 года назад
Ubarikiwe mtumishi
@peacemollel5344
@peacemollel5344 Год назад
We Mungu nakushukuru,najua unasababu kuu .Mtumishi Mungu akutunze
@olivermwamakimbula787
@olivermwamakimbula787 2 года назад
Amina Mtumishi huduma yako ina nguvu za Mungu
@neveledickson3323
@neveledickson3323 2 года назад
Nakupenda Sana ambwene
@MariamSharua-yf8fq
@MariamSharua-yf8fq 4 месяца назад
Ubarikiwe sana
@atulindakanuma4144
@atulindakanuma4144 Год назад
Amina baba
@mariamambo
@mariamambo Год назад
Namimi nimeanza Safari yakuimba mwakahuu niombee Sana mtumishi kazi yamungu inavita Sana
@jescamussa7045
@jescamussa7045 Год назад
Nabarikiwa sana kaka Ambwene, Mungu wangu wa Mbinguni azidi kukuinua🙏
@victoriakira8632
@victoriakira8632 2 года назад
Nabarikiwa sana🙌
@DanielSasin-rg4rs
@DanielSasin-rg4rs 10 месяцев назад
Mungu akubariki Sana nakupenda mtumishi wa mungu unanibariki sana
@tiopherysanga2934
@tiopherysanga2934 2 года назад
Nabalikiwa na huduma yako karibu iringa
@lidyamiraclediwani5382
@lidyamiraclediwani5382 2 года назад
Nabarikiwa sana nawewe
@maryjacob9753
@maryjacob9753 2 года назад
Aisee Bro endelea na unyenyekevu, ndo siraha yako, nakupenda bureee.
@devidkingu2439
@devidkingu2439 2 года назад
Aleluyah, Mungu atuinue kadri apendavyo
@user-hi2kv3gv7y
@user-hi2kv3gv7y 8 месяцев назад
Baba nimekuelewa hapo kunakitu kimeingia kwangu ahsante
@user-hi2kv3gv7y
@user-hi2kv3gv7y 8 месяцев назад
Nahitaji pia unisaidie kufika pale napotaman kufika katika huduma yangu
@sumbujumanne7496
@sumbujumanne7496 2 года назад
amen nikisikiliza nyimbo zako najifunza mengi sana nazidi kuwa na imani sana na mungu
@mathewsulley65
@mathewsulley65 2 года назад
Aminaa mtumishi wa Mungu unanibariki sanaa
@esaumakumbo4047
@esaumakumbo4047 Год назад
balikiwa sana mtumishi wa mungu
@selestinmdugu8483
@selestinmdugu8483 2 года назад
Mungu akubariki Mtumishi kwa matashi mema
@mariamambo
@mariamambo Год назад
Asante Sana ushuhuda huu niimani yenye nguvu ya mungu ndani yake
@naidamwakibinga6309
@naidamwakibinga6309 2 года назад
Asante sana mtumishi wa mungu ubarikiwe 🙏🙏🙏💞💞
@bahatiyusuphtv487
@bahatiyusuphtv487 2 года назад
Amen
@ukwelijohn8533
@ukwelijohn8533 2 года назад
Amina Sana Sana Tena sana
@tuliambambila3729
@tuliambambila3729 Год назад
Amina Kaka mungu aendelee kukutunza
@charitymghoimwawasi9522
@charitymghoimwawasi9522 Год назад
Napenda sana nyimbo zako
@jofreyfumboonline4866
@jofreyfumboonline4866 2 года назад
Napenda ingeendeleaga Mungu mwema sanaa
@francismwakilembe1924
@francismwakilembe1924 2 года назад
Mungu mkubwa kwako mtumish azid kukupauhodali
@irengeaksantikalupa9633
@irengeaksantikalupa9633 2 года назад
Mtumishi Mungu akubariki na akuwezeshe
@BARAKABakenyaofficial
@BARAKABakenyaofficial Год назад
Ushuhuda huo is very clear
@wemafungo8500
@wemafungo8500 Год назад
I love this servant of God And this is UDSM CHARPLE jamani I miss the place
@udsmcctmedia7708
@udsmcctmedia7708 Год назад
We Miss you Too
@eliajames1387
@eliajames1387 2 года назад
Barikiwa sana
@user-vw6tp4tl4x
@user-vw6tp4tl4x Год назад
Amen Mungu awe nawe na maisha yako yote
@nduwimanaeuphrate6998
@nduwimanaeuphrate6998 2 года назад
Nimebarikiwa
@emetchristianitychapeltv4150
Yesu kupitia wimbo huu nitie Nguvu univushe
@charitymghoimwawasi9522
@charitymghoimwawasi9522 Год назад
Be blessed Mungu azidi kukuinua na akulinde
Далее
Как дела перцы?
00:25
Просмотров 63 тыс.
Friends
00:32
Просмотров 177 тыс.
Elewa Kitabu Cha wimbo ulio bora: Ambwene Mwasongwe
8:07
JENERALI MABEYO AFUNGUKA A TO Z KIFO CHA RAIS MAGUFULI
19:12