Тёмный

AMBWENE MWASONGWE FT BOAZ DANKEN & TAG FOREST YA KWANZA - MWANA WA AZALI (Official Music Video) 

Ambwene Mwasongwe
Подписаться 178 тыс.
Просмотров 907 тыс.
50% 1

Wimbo huu wa MWANA WA AZALI ni wimbo unaomzungumzia YESU KRISTO kama mwana wa MUNGU na ukuu wa kazi zake zilizofanyika kwa utofauti na wale wengine waliotumwa na MUNGU kabla ya kuja kwake. Ni wimbo wa ibada karibu na ubarikiwe na kazi hii
Audio Producer SAMUEL MBOYA
Video Producer STEVE TOBS MEDIA
Subtitle JAGALI DAVID
Watch All Music Videos by Ambwene Mwasongwe: • Ambwene Mwasongwe All ...
Follow Ambwene Mwasongwe
Instagram: / ambwenemwasongwe_
Subscribe to Ambwene Mwasongwe: / @ambweneobadiamwasongwe
Digital Branding & Marketing By:
Black Ozen Entertainment Limited: / blackozenentertainment...
Mwana Wa Azali ft. Boaz Danken & Praise Team Tag Forest Ya Kwanza - Ambwene Mwasongwe (Lyrics)
Wakaulizana mtu huyu ni nan?
Jina lake nan?
Na ametoka wapi?
Wakashangaa vile anavyosema
Ni tofauti na viongoz wao!!!
Anamamlaka na nguvu ya asili
Je mtu huy si mwana wa yusuph??
Hawakujua ametoka mbingun
Huyu n Mungu pamoja na wanadam
Ni mwana wa mungu……..
Nimwana wa Mungu
Katoka kwa Mungu…..
Mwana wa ..
Mungu kwel kwel kwel…….
Mungu kwelii kweliiiiii
Anauwezo wotee…….
Yeye hanamwishoo
Ni mwana wa Mungu…
Ni mwana wa Mungu
Katoka kwa Mungu….
Yeye hajauwaa…
Mungu kwelii kwlii
Anauwezo wote…
Yeye hanamwisho.
Akauliza ninyi mwanisemaje??
Tofaut na watu wa nje”
Wakamjibu…ya kwamba ni kristo
Mpakwa mafuta wa mungu mwenyew
Akauliza ninyi mwanisemaje??
Tofautii na watu wa njee”
Wakamjibu…ya kwamba ni kristo
Mpakwa mafuta wa Mungu mwenyewe
Wewe apo ni mkuu kuliko Eliaaa, maana hauchomi watuu…
Unasamehe hata wale waliokukosea
Kwasabb wewe n Mungu
Upo apa…
Mkuu kuliko,kiongoz Mussa
Yule wa toratii…
Mzigo wako ni mwepesii,
Nira ako ni lainii
Unasamehe hata wenye dhambii
Upo apa….
Mkuu kuliko,Samwel nabii
Yulee wa mafuta
Mafuta yako, unapaka rohon kwa roho mtakatifu
Hupaki mwilinii
Upo apa……
Mkuu kuliko,mfalme Daudi
Aliyekufaaaa…
Ufalme wako hauzuiwi na mda na sehemu wadumu hata milele…
Ni mwana wa Mungu
Mwana wa Mungu
Ni mwana wa Mungu
Mwana wa
Ni mwana wa Mungu
Mungu kweli kweliii
Ni mwana wa Mungu
Yeye hana mwishoo
Katoka kwa Mungu
Mwana wa Mungu
Katoka kwa Mungu
Mwana wa…
Katoka kwa Mungu
Mungu kwel kweliii
Katoka kwa mungu
Yeye hana mwishoo
Ni mungu mwenyewe..
Mwana wa Mungu
Ni Munguu mwenyewe..
Mwana wa
Ni Mungu mwenyewe..
Mungu kwelii kweliii
Ni Mungu mwenyewe….
Yeye hana mwishoo
Yeye hakuumbwa mwana wa asali
Hana mwanzo wala mwisho
Anazo funguo
Yeye n njia ya kwenda mbinguni
Kama ww unataka kukutana na mbingu
Muanimi…
Fungua moyo wakoo…
Aingie anagonga atawale maisha yako
Ni bwana…
Mwenye uwezoo
Fungua fungua x2
Funguaaa…moyo wakoo
Fungua fungua x2
Fungua….moyo wako
#AmbweneMwasongwe #MwanaWaAzali

Видеоклипы

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1 тыс.   
@boazdanken
@boazdanken 2 года назад
Mwana wa Azali Nimefurahi Sana Kaka Siku zote tunajifunza Sana kwako hasa unapomtaja Bwana YESU kwa undani na ufasaha wa Uzuri Wake
@mbokaandbahatitv8509
@mbokaandbahatitv8509 2 года назад
Napenda nisiwazoee nisikae karibu na nyie ili niwaheshimu, nipokee mlichopewa na Mungu kwa kiwango kinachostahili. Nawaheshimu sana watumishi wa Mungu Ambwene na Boaz
@barikimlawa970
@barikimlawa970 2 года назад
Mungu awabariki sanaa
@milkahjoshua4760
@milkahjoshua4760 2 года назад
Hakikaa🙌 Bwana azidi kuwatunza nyie watumishi wake.. tunawahitaji sana katika nyakati hizi🙌
@miriamlinga4750
@miriamlinga4750 2 года назад
MUNGU awabariki sana kwa utumishi huu! An kuna nyimbo mnaimba mtu aspokuwa na roho mtakatifu hawez kuelewa. MUNGU azidi kuwatumia zaidi.🙌🙌🙌
@yusuphharamba7520
@yusuphharamba7520 2 года назад
Kuna tofauti kati ya gospel (injili) music ya kuokoa roho za watu Na Worship music This is Gospel tena inasema fungua Moyo wako mwana wa azali aingie.. Am truly blessed Mungu awabariki mzidi eneza injili.
@kingdomvoices_ke
@kingdomvoices_ke 2 года назад
Huu wimbo umebariki moyo wangu.
@suzanakiwele1832
@suzanakiwele1832 11 месяцев назад
HIZI NI NYIMBO AMBAZO KAMA HUNA ROHO MTAKATIFU HUWEZI KUONA KAMA UNANGUVU KUBWA NDANI YAKE,,,UNANIBARIKI SANA, 🙏
@rtlusungu
@rtlusungu 2 года назад
Mathayo 16:13 Basi Yesu akaenda pande za Kaisaria-Filipi, akawauliza wanafunzi wake akasema, Watu hunena Mwana wa Adamu kuwa ni nani? 14 Wakasema, Wengine hunena u Yohana Mbatizaji, wengine Eliya, wengine Yeremia au mmojawapo wa manabii. 15 Akawaambia, Nanyi mwaninena mimi kuwa ni nani? 16 Simoni Petro akajibu akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.
@wakatiwaapolineapoline5508
@wakatiwaapolineapoline5508 2 года назад
Ameen 🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️
@gwamakamwakalinga6705
@gwamakamwakalinga6705 2 года назад
Kaka Ambwene Huu wimbo jamani🙌🙌🙌🙌🙌neno La Mungu tupu.Yani unatupa changamoto vijana kweli.We need to come back to the source rather than singing short choruses
@ambweneobadiamwasongwe
@ambweneobadiamwasongwe 2 года назад
Mungu akubariki Sana mtumishi..... Wewe ni Moja ya waimbaji wanaowakilisha vizuri mbingu..... Asante sana
@emes602
@emes602 2 года назад
Kwa kweli ... wazee wa short chorus amen amen amen haleluya haleluya wimbo wote mpk unaisha
@huimamilambochoir2453
@huimamilambochoir2453 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-PHphQJ15o-0.html
@huimamilambochoir2453
@huimamilambochoir2453 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-PHphQJ15o-0.html
@estherwilliam5125
@estherwilliam5125 Год назад
@@emes602😂😂😂😂😂
@bonirapha796
@bonirapha796 2 года назад
Nimesikiliza nimefuatilia nyimbo nyingi sana ila huu umenizidia nyimbo zote nilizosikliza humu na malaika walioko zamu na wale wasioko zamu wamo na wameimba na humu ndani upako wa ajabu mbingu zinashuka uwepo wa Mungu unatanda. Be blessed More.
@jessekairira171
@jessekairira171 2 года назад
🔥🔥🔥🔥 keep it up man of God
@user-my2mw5kh2q
@user-my2mw5kh2q Месяц назад
Natamani siku moja nikutane tuyy na Abwene toka utoto nimekuwa nikimfuatilia nakuimba nyimbo zake.nindoto yangu Sana .Mungu atimize aja ya Moyo wangu 😢 .napenda kujifunza kwa tai niliye mfananisha nawewe.nakumbuka nikiwa mdogo.upendo.ninamkumbuka mama mmoja .majaribu ni mtaji .tulikotoka nimbali. Nimeachilia and so many songs and now mwana wa azali .be blessed servant of God 🎉
@neemamwamini2
@neemamwamini2 2 года назад
I have to say huyu ndo mwimbaji Kati yawaimbaji walio salia ambao hawaimbi blahblah. Unakuta mtu nimwimbaji anitumia 13min Kuimba tu maneno yasio namaana, eti ni nyimbo za injili. Mungu akupe ikima Ambwene yakutunga nyimbo pamoja na Malaika zake Bwana Yesu.
@carolinegondwe3706
@carolinegondwe3706 2 года назад
Mungu was mbinguni awainuie kwa ajabu ya pekeee ..Mwana wa azali
@piellaleo1391
@piellaleo1391 2 года назад
Mungu azidi kukutunza hakika Mafuta ya Roho mtakatifu yako Juu yako na Ndani yako tunabarikiwa na vya ufalme wa Baba yetu
@yusuphharamba7520
@yusuphharamba7520 2 года назад
Kuna tofauti kati ya gospel (injili) music ya kuokoa roho za watu Na Worship music This is Gospel tena inasema fungua Moyo wako mwana wa azali aingie.. Am truly blessed Mungu azidi kukutumia Kaka Ambwene kumhubiri Kristo. 😭😊 Mungu awabariki mzidi eneza injili.
@MpenjaTV
@MpenjaTV 2 года назад
Woow!🔥🔥Mungu ni mwema
@pieedisc3306
@pieedisc3306 2 года назад
Amazing
@lightnesskweka4774
@lightnesskweka4774 2 года назад
Ameen na ww pia jaman. Wooow saut ya radi hongera winbo mtam Sana sanaaa
@agricolamwageni5471
@agricolamwageni5471 2 года назад
KIUKWELI KABISA I PRAY MUNGU AWAWEKE NYIE WOTE KWA AJILI YA WATU WAKE, NA KWA AJILI YA UTUKUFU WAKE. MUNGU AWATUNZE SANA WATUMISHI NA AWAFICHE SHETANI ASIWAFIKIE KWA AJILI YA HUDUMA MLIYOPEWA. AMINA
@sarungiester8061
@sarungiester8061 2 года назад
Barikiweni sana mafuta ya Mungu tunapaka Rohoni sio mwilini hapo mmenigusa kweli barikiwen kwa kazi njemaaa. Injili ya kweli iende mbele.
@nellykakore8375
@nellykakore8375 2 года назад
Mwamba uko vizuri sana napenda unavyoiimba biblia unaimba neno la Mungu unahubiri Mungu akutunze
@gladysmwendwaofficial4997
@gladysmwendwaofficial4997 2 года назад
No one has ever described jesus in this manner through a song , only mature people can understand this song congratulations
@stephenmakau4410
@stephenmakau4410 2 года назад
Gladys my sister I tell you I am overwhelmed by the describing of Jesus Christ, leave alone the best instrumental accompaniment, the wording of who Jesus is May God bless you Minister Ambwene ft Boaz
@kelvinsimkoko8070
@kelvinsimkoko8070 2 года назад
SURE SURE good song indeed I have been repeating several times to listen the song
@janethjonas1700
@janethjonas1700 2 года назад
Why Jesus in small latter...
@nassepeter8089
@nassepeter8089 2 года назад
@@stephenmakau4410 qppmmp
@joanmisiko1718
@joanmisiko1718 2 года назад
True
@tuntufyeambukege877
@tuntufyeambukege877 2 года назад
Mungu azidi kukutunza na kukubariki mtumishi wa Mungu. Tunaponywa. 🙌🙌🙌🙌🙏🤝👏
@victoryilima2737
@victoryilima2737 2 года назад
Nimemwabudu Mungu 🔥🔥🙌😍😍
@min.jameskabuka6769
@min.jameskabuka6769 2 года назад
Me ni kijana ninayekuwa na kristo, chemchem inayotokana na YESU Haiachi nafsi Wala roho Wala moyo salama kama wimbo huu, lazima viguswe Tena vinaguswa kweli. MUNGU Awabariki sana watumishi wa MUNGU.
@nellymtumishi3717
@nellymtumishi3717 2 года назад
Mwana wa Azali 🔥🔥🔥
@ephraimkyando6744
@ephraimkyando6744 2 года назад
Ni baraka Kubwa...Barikiwa mtumishi wa Mungu aliye Hai.
@bahatinyalile1639
@bahatinyalile1639 2 года назад
Injili katika ufunuo wake inaongea na fahamu na nafsi. Yesu Kristo tangu torati hata agano jipya...Mwana wa Azali. Asanteni kukubali kufanyika watumishi wa Mungu. Wengi tunaumega mwingi toka kwenu Ambwene na Boaz
@seththeyoung5778
@seththeyoung5778 2 года назад
Mistar ya nyimbo hii iko vzr sana,sio ya kawaida..stay blessed always
@mdimasongo6262
@mdimasongo6262 2 года назад
Good morning
@seththeyoung5778
@seththeyoung5778 2 года назад
@@mdimasongo6262 How are you progressing mr.!?
@Tedy1994
@Tedy1994 2 года назад
Why did i find this song late? Omg nimesikia kama yesu amenishukia omg😭😭😭 i started crying nikapata na nguvu ya kuomba baada ya kusikiliza hii nyimbo mbarikiwe watumishi wa Mungu
@johnmbwile5141
@johnmbwile5141 2 года назад
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@GeoffreyEchakara
@GeoffreyEchakara 2 года назад
Wimbo huu unanibariki sana .Mbinu na mtindo wa uimbaji ni wa kipekee .Pokea upako maradufu.
@wannaproducts
@wannaproducts 2 года назад
Mwana wa Azali asieumbwa.....ni Mkuu kuliko Eliya.... Hallelujah Yesu Asifiwe milele
@richardkazungu1224
@richardkazungu1224 2 года назад
Ni mwana wa Mungu Mungu mwenyewe🎶
@MWALIMUCHAKATV
@MWALIMUCHAKATV 2 года назад
Kuna Nyimbo halafu Kuna upako wa uimbaji. Amina Amina Amana. Pokea sifa zote Mwana wa Mungu , Mwana wa Azali katoka Kwa Mungu Baba amejaa Neema na Kweli
@emmanuelmwaikambo5516
@emmanuelmwaikambo5516 2 года назад
Mungu akubarki Sana Kazi yako n njema Sana Bwana azidi kukuinua na zaidi
@neemalawrencenzowa403
@neemalawrencenzowa403 2 года назад
Hongereni kwa kazi nzuri daima Yesu azidi kuwainua viwango hadi viwango. Huu wimbo umenibariki
@yusuphharamba7520
@yusuphharamba7520 2 года назад
Tanzania yetu inakosa Gospel(injili) music ya kutoa watu katika dhambi Tumebaki na nyimbo za kusifu na kuabudu tuuu Am blessed ninapoona kaka Ambwene.. You haven't lost your Gospel injili taste.. MUNGU akusaidie 😭 kuendelea kuhubiri.
@emmanuelmtonyole9958
@emmanuelmtonyole9958 2 года назад
Oooooooh hallelujah hallelujah mwana wa Azali uinuliwe milele yoteeee 😭😭😭maana wewe unastahili
@Filopolazalo
@Filopolazalo 2 года назад
Sifa na utukufu nikwa mwana wa AZALI
@jotv6383
@jotv6383 2 года назад
Naona maraika kwafuraha wakicheza huu wimbo ❤️
@nazarethamulike8807
@nazarethamulike8807 2 года назад
Ubarikiwe masiya wa kristo kwa wimbo uliojaa mafuta ya Roho Mtakatifu
@johnmalugu487
@johnmalugu487 2 года назад
ili goma bwana duuu 🙌🙌🙌🙌
@joelmoses3789
@joelmoses3789 2 года назад
Acha Mungu aitwe Mungu, hakika yeye hana mwisho mwana wa azali, hakika kumtegemea Mungu kunafaida kuu.
@winmoi2019
@winmoi2019 Год назад
My Veins are shaking This name Jesus ❤❤❤ I’m In a bus feeling falling on my knees and worship 😢😢😢😢😢
@neemashirima1617
@neemashirima1617 2 года назад
Mwana wa Azali jamaniii...fungua moyo wako aingie, ukimsikiliza jinsi kaka yetu abwene amemuelezea kwa undani ni mzuri mnoo na ukitaka kumjua yupoje Zaid mpe moyo wako🥳🥳 Mungu akutunze sana kaka abwene 🙏🏼🙏🏼
@pastorstevenmwasilembo3135
@pastorstevenmwasilembo3135 2 года назад
Hakika hii neema izidi sana juu yako mtumishi huu ni zaidi ya wimbo
@magdalenamkenge6274
@magdalenamkenge6274 2 года назад
Yeye Hana mwishoo.....mwana wa Azali
@btsshorts6859
@btsshorts6859 2 года назад
Kaka Mkubwa Mungu Wa Mbinguni Azidi Kuwainua Na Kuwatia Nguvu #Godisreal Boaz Danken Siku Moja Tutafanya Kazi Na Nyinyi Kaka Yangu Mbarikiwe Mno #mwanawaazali
@komandowainjiliyayesu
@komandowainjiliyayesu 2 года назад
Nyimbo zako Ambwene zimenifusha Sana maaana nakumbka nikiwa kijijini nilikuwa sichoki kusikiliza nymbo zako mpaka saizi sichoki kusikiliza nymbo zako . Ubarikiwe Sana kwakalama yako .
@everlynkilimba3963
@everlynkilimba3963 2 года назад
Bwana AZIDI kutumia kimtambulisha .Barikiwa MTUMISHI
@kemilembekamugisha4765
@kemilembekamugisha4765 2 года назад
Biblia imesomwa vizuri hapa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏👏👏👏👏👏💯💯💯💯💯💯💯
@ndeshukurwakaaya4385
@ndeshukurwakaaya4385 2 года назад
Absolutely mwana wa Azali yupo kwenye stage ananena kupitia watoto wake na mtoto mwana wa azali ambaye aliiufungua moyo wake kwa miaka Lukuki . Huyu mwana wa mungu ndani ya AMBWENE amekuwa na anashuhudia marika yote Tanzania, Afrika, sasa ameiguza dunia . Asante mungu nimeifungua moyo wangu. 🙏
@adamsonkyando682
@adamsonkyando682 2 года назад
Dar!!!wimbo mzuri mno Mungu aendelee kukutumia siku zote za maisha yako
@dismasndilwa71
@dismasndilwa71 2 года назад
MUNGU aendelee kukutumia ili nasi tujifunze jinsi ya kufanya ili tufanye kile kinachompendeza MUNGU katika uimbaji. AMEN.
@godfreygamalieli7086
@godfreygamalieli7086 2 года назад
Ameen, Bwana pokeya utukufu, hakika wastahili,
@Shalom2018
@Shalom2018 2 года назад
Nyimbo nzuri sana,sifa na utukufu zimrudie mwenyewe Bwana Yesu Kristo.be blessings
@benedictyona6196
@benedictyona6196 2 года назад
Yesu awakumbukee wote wanaopitia mapito,yatima,wagonjwaa na wajane pia,,asantee ambwene, you're song it connect me with Jesus Christ
@ambindwilehosea6837
@ambindwilehosea6837 2 года назад
Ambwene mwasongwe kaka penda sana Boaz danken penda sana sasa mungu akuwage naninyi siku zote za huduma yenu❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️
@salomerobert3583
@salomerobert3583 Год назад
Nausikiliza kuanzia asbh hadi sasa siuchoki,Ubarikiwe na Yesu
@raphaelkyando1094
@raphaelkyando1094 2 года назад
Utunzi alikupa Mungu kwa kweli
@jacklinejosam3713
@jacklinejosam3713 10 месяцев назад
Ila Kaka uliyeingiza sauti ya tatu unajua aiseee❤❤❤
@terryemmanuel2870
@terryemmanuel2870 10 месяцев назад
Kwel kabisa
@josephngwale6251
@josephngwale6251 10 месяцев назад
Hakika Anajua.....
@ikupachaula2609
@ikupachaula2609 2 года назад
Nice Song in deed.....Glory to God.
@abiadhasmassawes3984
@abiadhasmassawes3984 Год назад
Ambwene Mwasongwe, Ambwene Mwasongwe....Wewe ni Ambwene Mwasongwe daah. Neno langu ni moja tu kwamba Namshukuru MUNGU kwa ajili yako
@francsadock3062
@francsadock3062 2 года назад
Wewe wewe!!!, mungu ni mkuu kwako kabisaaa, nyombo zako hunipatia faraja yaajabu,
@samuelrandu2278
@samuelrandu2278 2 года назад
Mungu awabariki sana this song is a blessing to me imeniinua kiwango kingine
@anethleonardchengula1887
@anethleonardchengula1887 2 года назад
Every time I listen to ur songs I realize ur levels of knowing God are much higher, some singers sing like they don't know their God but not you brother, through ur songs I have known characters of God that I was not knowing, I have been blessed. Yo are always doing best for ur God may he keep you and protect you endlessly.
@christiankusaga1934
@christiankusaga1934 2 года назад
He is the man of God... His Lyrics are spiritually composed ✍️✍️✍️
@nurukidakule9468
@nurukidakule9468 2 года назад
Kaka ingekuwa vipawa vinaambukizwa, ningeomba uniambukize kipawa cha utunzi, napenda jamani, mpangilio wa maneno, Barikiwa Kazi njema mnoo kaka
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 2 года назад
Shkamo Kaka ambwene💓💓💓💓💓💓🙏🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@rehemamwanjokolo542
@rehemamwanjokolo542 2 года назад
Ni mwana wa Mungu,mwana wa azali.Mungu mwenyewe Haleluya!!!
@kamaulukasblessedofficial786
@kamaulukasblessedofficial786 2 года назад
Wimbo unaimba Kwa akili yangu usiku wote... May God increase you Sir You make us Understand Our God in a deeper way
@sensoryexplorativetherapie175
@sensoryexplorativetherapie175 2 года назад
Wimbo unauzito fulani ; fungua , fungua, fungua Moyo Wako..
@denismwalukunga8686
@denismwalukunga8686 2 года назад
Wakaulizana mtu huyu nani na ametoka wapi hawakujua ametoka mbinguni ni mwana wa azali anauwezo wote Hana mwisho Wimbo mzuri Mungu awabariki
@ogbundi5731
@ogbundi5731 2 года назад
Wow! Nimekuwa nikiwaambia watu, kuwa wewe ni story teller. Yaani you have a unique way ya kuandika and sing. Yaani you pull in your audience. May God keep anointing you with His Oily, blessings. Nimebarikiwa mno na huu wimbo.
@yusuphsimon575
@yusuphsimon575 2 года назад
yeah truth , huyu mtu anaimba matukio
@joanmisiko1718
@joanmisiko1718 2 года назад
My first time to listen to his songs and am getting in love with them coz they are ministering to my soul.
@everlyngarugi8594
@everlyngarugi8594 Год назад
I tell you this man of God describes Jesus like no other person,🙌🙌🙌🙏
@simonkash649
@simonkash649 Год назад
Bwana yesu asifiwe , mtumishi wamungu , huu wimbo umenibariki sana, haswa biti ya kwanza
@matildamkilima8211
@matildamkilima8211 Год назад
Mimi nalia tu huu wimbo nimeupenda bure ninyi watu wa Mungu mbarikiwe
@nehemiamudala
@nehemiamudala 4 месяца назад
Mungu awabariki, Leo nimesikiliza wimbo huu mara nyingi Zaidi na kugundua kuwa, wimbo huu umebeba upako na nguvu ya Roho mtakatifu.
@mosesmatindetz
@mosesmatindetz 2 года назад
Amina wimbo mzr unaujumbe mzr mbarikiwe sana
@nurumwambalaswa5312
@nurumwambalaswa5312 2 года назад
Mungu aendelee kuwatumia watumishi🙌🔥🙏
@kellymwandiga8953
@kellymwandiga8953 2 года назад
Ambwene Mwasongwe Umemtaja Yesu kwa undani vile alivyo Umembainisha na kumtanabaisha alivyo na alicho This song flows in my veins
@lightnesskweka4774
@lightnesskweka4774 2 года назад
Hakika amemtaja kiundan Sana sana sana.yn kiugum mnoo jaman Mungu wa ajabu sana
@Thanks254
@Thanks254 2 года назад
Nimeisubiri sana hii nyimbo... Imenibariki sanaaaaa
@shamirasongati3906
@shamirasongati3906 2 года назад
Ni mwanga wa Mungu
@bonifacelazaro1025
@bonifacelazaro1025 2 года назад
Sichoki kusikiliza huu wimbo jaman unanigusa sana,Mungu awabariki naazidi kuwatumia nataman saba milichonacho na mm niwenacho jmn, nawapenda sana wimbo huu umenitoa hatua 1 kwenda nyingine
@foodie2660
@foodie2660 2 года назад
Huu wimbo huu! Muujiza wangu nimeukuta hapa. This kind of music is direct from the Holy Spirit. Explaining the mystery and revelation of Jesus.
@pastorshadrachmutukuoffici7523
@pastorshadrachmutukuoffici7523 2 года назад
Every time I listen to Ambwene's Songs I get much inspired to know God more and more, I feel Fanuel Sedekia alive again. May God keep refreshing you from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 I love you....
@huimamilambochoir2453
@huimamilambochoir2453 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-PHphQJ15o-0.html
@xadammwandete6779
@xadammwandete6779 Год назад
True
@nvpmedia6467
@nvpmedia6467 2 года назад
Hatimae Mwana wa Azali nimebarikiwa na kazi hii
@goodluckleonard1581
@goodluckleonard1581 2 года назад
Hongera kwa utume mwema
@eben_ezer8853
@eben_ezer8853 2 года назад
My fevorite artist of all the time.... Yaan nyimbo zako daah sinaniinua kila siku 👏👏👏
@neemamahhu2562
@neemamahhu2562 2 года назад
Ubarikiwe sanaaaa kaka kweli wewe ni mfano ....na haujui namna unavyookoa nafsi zetu zilizo lnama
@isaackamando8484
@isaackamando8484 Год назад
Hiko kipande cha mwisho kama worship got me in tears and speak in tongue frequently 😭😭 nothing can describe the son nothing can describe JESUS,,,MUNGU Awatumie zaidi
@projestkaijage3538
@projestkaijage3538 Год назад
Kinatoa machoz
@richardkazungu1224
@richardkazungu1224 2 года назад
Sifa na utukufu vina wewe Mungu Heshima na Agama vina wewe pekee 🎶🎶🎶
@petermbugi2579
@petermbugi2579 3 дня назад
Ubarikiwe sana mtumishi
@subirakulyamo5921
@subirakulyamo5921 2 года назад
You blessed me servant of God
@rachaelondimu4553
@rachaelondimu4553 2 года назад
Oh God! All I am allowed to do is just worship the most high God.Blessed be His name forever.More grace servants of God.Indeed I will follow your steps because I am convinced beyond doubt that you follow Christ.
@b.jmwalupii7684
@b.jmwalupii7684 2 года назад
Ni mwana wa Mungu! Ni Mungu mwenyewe kweli kweli !!!!👍👍👍
@roselynemwaipopo4911
@roselynemwaipopo4911 2 года назад
Amen amen amen ni Mungu kweli kweli yeye hana mwisho 🙏🏼🙏🏼Ambwene Mwasongwe, Boaz Danken Mungu awabariki sana
@youngmaster4127
@youngmaster4127 2 года назад
26 like nyingi kwangu please
@christianmwabukusi8132
@christianmwabukusi8132 Год назад
Hallelujah! BWANA YESU ni Hekima yetu toka kwa Mungu Haki yetu toka kwa Mungu, Utakatifu wetu toka kwa Mungu na Ukombozi wetu kwa Mungu! 1Wakorintho 1:28-31 Barikiwa sana Mtumishi Ambwene na wote ulio nao
@katsuvakamatedaniel7893
@katsuvakamatedaniel7893 2 года назад
Mubarikiwe na Bwana watumishi wa Mungu
@yohanagiiti2653
@yohanagiiti2653 2 года назад
Wimbo mkubwa huimbwa na waliobarikiwa. Mungu abariki kazi ya mikono hii🙏🙏🙏
@christinebura6235
@christinebura6235 2 года назад
Haleluya !!!Ni mwana wa Mungu,,,mwana wa Azali... powerful,💪
@8019bm
@8019bm 2 года назад
Mungu kweli kweliii Yeye hana mwisho.
@sabhunistewart1900
@sabhunistewart1900 2 года назад
What a worship song is. One of the song that moves us into strong prayer. A moving prayer. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Unauhudumia ulimwengu wote kwa wakati mmoja. Nakupenda mnoooo
@sifaelkikoti3141
@sifaelkikoti3141 2 года назад
Aaaise brother ambwene naona kitu cha tofauti ndani yako hakika namwona Mungu kwenye hii nyimbo hii nyimbo imejaa nguvu za Mungu Sana . Imefrika na mafafanuzi ya undani wa Yesu wetu l love you my brother ambwene Tanzania na Dunia nzima tunaiona nuru ya Mungu ndani yako ikiwa juu ya kiango
@watsonally3195
@watsonally3195 2 года назад
Bro huu wimbo unaudumia Moyo wa Mungu sana,Bwana anapoinuliwa anawavuta wengi waje kwake(waugeukie Msalaba) Mungu azidi kukusimamisha sana ktk huduma yako,,song is living.
@josephmutungamusau141
@josephmutungamusau141 2 года назад
Love from Kenya...Nairobi..utunzi wa nyimbo zako kaka wafutia sana.. congrats bro.
@beatricedalius5186
@beatricedalius5186 2 года назад
Niseme ukwel nyimbo zako zinanigusa sanaaaa mungu akubariki❤❤❤🙏
@reginangaa8830
@reginangaa8830 2 года назад
Unabarikiwa na huu wimbo ukiwa wapi hongera kwa huduma nzuri
@pastorimaniboaz5081
@pastorimaniboaz5081 2 года назад
Ooh powerful song 💪🏻Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@arthurkiana6585
@arthurkiana6585 2 года назад
The person of Christ. Ni mwana wa Mungu what a blessing
Далее
Emmanuel - Gabriel Eziashi x Henrisoul
9:15
Просмотров 8 млн
Dr.Ipyana - NAWEZAJE KUNYAMAZA//NAMNA HII SIJAONA
15:41
JOEL LWAGA ft. BOAZ DANKEN - NI NEEMA (Official Video)
4:11
Nikurejeshee
12:42
Просмотров 294 тыс.
ДДТ - Долго...
4:42
Просмотров 284 тыс.
Erta indin
3:38
Просмотров 57 тыс.
Falling In Reverse - "Prequel"
3:55
Просмотров 3,4 млн
Big Baby Tape - Turbo (Majestic)
3:03
Просмотров 661 тыс.
Джаная (KalashnikoFF Remix)
4:46
Просмотров 479 тыс.