Amen ubarikiwe sana Mama 🙏 ila mimi natamani tu Mama mngeachana na hayo mapambo siku ya mwisho kazi yenu isiwe bure kwa sababu tu ya mapambo ,nimesikiliz ushuhuda nyingi za watumishi wa Mungu wanasema wamewakuta wanawake wengi waliomtumikia Mungu vizuri kabisa wapo kuzimu wanateseka kwa sababu tu ya mapambo,natamani umuulize Mungu kuhusu hili siku ya mwisho usiende motoni kwa sababu tu ya mapambo. wanasema lisemwalo lipo na pia kitu kikisemwa na watu zaidi ya watatu kitu hicho ni kweli 🙏🙏
Mary mwapiya@ mi pia nilitaka kuwaambia hivi nikaona umesema tyr kwa kweli wanawake tuwache mapambo yatatupeleka jehanamu kazi yetu itakuwa ni bure juu hukumu itakuwa sawa na Ile ya makahaba itakuwa ni hasara kwa kweli😭😭😭😭 moyo unaniuma Sana nkifikiria juu ya hili.
Iwe kwa hila iwe kwa hujuma injili lazima ihubiriwe ndo maana Paul akasema anayaona yote km mavi, Sasa waspojoamba Nani atanunua cd na flash kiufupi NI biashara hakuna mwenda mbngun
Siwezi amini dada huyu alietulea kiroho kwa nyimbo nzuri za injili au ni mambo ya mitandao maana nanyie wenye mitandao bwana mnajirushia mambo ya ajabu
Wimbo mzuri Sana imebeba maneno mazuri mmejipa sawasawa Mungu awaongeze ujuzi wa kueneza injili ya Mungu Ahsante Sana Jennifer kurudi katika ubora wako
Amen 🙏 amen 🙏 ubalikiwe sana Jennifer , malikia wa waimbaji nakupenda sana nyimbo zako zina faliji sana yani mimi sito kusahau wewe ndie mwimbaji wa kwanza tanzania kila mwimbaje ana fuata wewe usi simamishe kalama yako endelea kumtumikia mungu yani na kupenda sana yani sana 🙏💕💯 I love you so much Jennifer You are my sister watching from America 🇺🇸
Imenikunbusha miaka 6 bila mtoto walikuwa nakuombea twakuombe kumbe wanafiki nilipojifungua walishindwa kunijulia a daughter mwenye afya mzuri mno nilijifungua wakasema jitoto libonge hatulipendi heri asingekuwa mwa jina wangu 😂😂😂😂 wacheni Mungu aitwe Mungu