Karibu kenya sana ndugu Anoint nakutakia mema unapokuwa huku nyimbo zako zanibariki sana sana niko shehemu za Eldoret lakini ntakufuatilia mtandaoni wacha Mungu azidi kukuinuwa unapoendelea kumtumikia,
Karibu kenya tunakupenda sana mm pia ni mwimbaji wa nyimbo za injili pia ningependa uje tukutane ili tufanye kazi yamungu pamoja kwa kurecodi nyinbo moja watu wengi huku mombasa watu hunita ndugu yako kwasabu ya mm ninavyo cheza kama wewe hadi watu huniita annoint amani kwasababu pia huwa nacheza nyimbo zako lakini mm tuningependa turecord mziki mmoja ili watu washagae wajue mungu yuko na utabarikiwa kwa kumsarport kijana anaeanza mziki kama mm