Тёмный

ASKOFU BAGONZA ATOBOA SIRI ''KUNA KUNDI LINATAMANI BAADHI YA VYAMA VIFUTWE''HUKO NYUMA HAKUENDEKI.. 

JAMBO TV
Подписаться 919 тыс.
Просмотров 23 тыс.
50% 1

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RU-vid: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 127   
@benardsamizi-qo4yp
@benardsamizi-qo4yp 3 месяца назад
Hongera sana! Mtumishi wa Mungu ALIYE HAI. Wachungaji wengine ni wasaka sadaka tu. MUNGU WA HAKI AKUTANGULIE.
@lwihurazakayo3864
@lwihurazakayo3864 3 месяца назад
Hongera baba Askofu.Uko vizuri!
@evaristosanga471
@evaristosanga471 2 месяца назад
Asante Mungu kutupatia askofu Bagonza.Mlinde daima
@EliazariKaizilege
@EliazariKaizilege 3 месяца назад
Bwana Awe Nawe. Kamwe nimefuatia kiini: maendeleo na demokrasia ni nyuso mbili za shilingi. Asante sana!
@ymohammed963
@ymohammed963 12 дней назад
Uko vizuri askofu hawajakosea kukuita as.kofu
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj 3 месяца назад
Brains Bishop,super,super wonderfuly. Usione vyaelea vimeundwa..
@AtupeleA.Mpangaja
@AtupeleA.Mpangaja 3 месяца назад
Mungu akubariki Mhe. Askofu Bagonza, humugbunyi maneno umesema kweli tupu, hatima ya nchi hii imo mkononi mwa viongozi watawala ambao ndoto zao wanafikiri wataishi milele ! Mungu akulinde Askofu.
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 3 месяца назад
HONGERA SANA BABA ASKOFU
@edisonmujwauzi625
@edisonmujwauzi625 3 месяца назад
Fantastic and resourceful speech to those who are ready to hear.
@festokemibala5832
@festokemibala5832 3 месяца назад
Speech ilitobeba ukuu wa Mungu. Watu wengine wanadhani ktk siasa ni haki kutenda dhambi wanajisahau kuwa wote matokeo ya uumbaji wa Mungu hivyo tunatakiwa tuenende ktk amri zake "..usiibe, usiue, usizini, usiseme uwongo, usimtamani mke/mme wa jirani yako.."!
@Meiruzibwe
@Meiruzibwe 3 месяца назад
Mungu akubariki SANA.
@bakarimmbaga2344
@bakarimmbaga2344 3 месяца назад
Askofu Bagonza umebarikiwa sana..kuwa kiongozi wa dini ambaye uko wazi, na mungu akuongezee maisha marefu
@ivanlyimo6727
@ivanlyimo6727 3 месяца назад
Huu ni unabii. Kazi kwetu kuamua kunyoa au kusuka. Uamuzi wowote tutakaochukua matokeo yake ni halali yetu. Asante Askofu wewe umenawa mikono yako. Ubarikiwe.
@petsmore9955
@petsmore9955 3 месяца назад
Asante askofu umesema ukweli mtupu. Raisi Samia Ana dhamana kubwa juu ya mustakabali wa taifa hili. Awe makini sana na hao wanaompotosha Hasa katika msimamo wa awali wa maridhiano. Machawa wake wanamvuruga. Sijui kama anaona hilo. Tunakuomba baba askofu ujaribu kumwona wewe binafsi uso kwa uso ili ujaribu kumfumbua macho ! Ataelewa zaidi !😮
@saviomlelwa
@saviomlelwa 3 месяца назад
Hongera Sana mtumishi wa Mungu. Mungu akubariki sana
@cyprianboniphace-oz5lw
@cyprianboniphace-oz5lw 3 месяца назад
Baba askofu Bagonza usivunjwe moyo na watu wanaokubeza ikiwa unayoongea ni ya maana kabisa una msimamo kama Desmond Tutu,ubarikiwe sana baba.
@gosbertrugangira5414
@gosbertrugangira5414 3 месяца назад
Viongozi, viziwi, wabinafsi,waoga , hawana ofu ya Mungu.
@kasomishedrack5027
@kasomishedrack5027 3 месяца назад
I believe to You Bishop Bagonza your are Luminous of this Country.
@PaulRPaul-z1q
@PaulRPaul-z1q 3 месяца назад
Well said Askofu Bagonza.
@Landisy
@Landisy 3 месяца назад
Asante Sana mtumishi
@nmatuja2191
@nmatuja2191 3 месяца назад
Askofu Bagonza,umeongea mambo yakiutumishi,kweli wewe ni mtumishi wa Mungu.ubarikiwe.
@user-cz3gk2op9r
@user-cz3gk2op9r 3 месяца назад
🙏🙏🙏Hakuna ukweli zaidi ya hii
@StephenChilewa
@StephenChilewa 3 месяца назад
Baba kwanza Mungu akubariki sana Kwa maneno ya hekima na yenye akili ila Kwa inchi yetu mtu mwenye hekima kama wewe hua anapuuziwa na viongozi ila ipo siku Mungu atafanya njia pasipo na njia
@mkanjimamkanjimamkanjima2043
@mkanjimamkanjimamkanjima2043 3 месяца назад
Asante sana baba Askofu kwa maneno mazuli na yenye khekima kwa taifa wenye kuelewa tumekuelewa japo najuwa hata machawa wamekuelewa ila watapingana na wwe kwa sababu ya njaa yao tu
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 3 месяца назад
Maneno mazito Sana mama Samia yupo vizuri Ila Kuna watu wanamuangusha askofu bagonza ipo siku tutakukumbuka
@user-oy5dz5xl8s
@user-oy5dz5xl8s 3 месяца назад
Watu wanyoofu na waadilifu ni wapweke sana katika maisha Yao ya uongozi wake wa Kila siku
@ilankundatimu3164
@ilankundatimu3164 3 месяца назад
We are blessed having you Bishop Benson
@edesaron9070
@edesaron9070 3 месяца назад
Mtumishi wa MUNGU aliye hai🙏
@paulremigiuspaul3293
@paulremigiuspaul3293 3 месяца назад
Stand up with Justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)
@rastheunique
@rastheunique 3 месяца назад
Asante Askofu kwa kunena uzalendo wa hali ya juu
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 3 месяца назад
Hawa ndio Watumishi wa Mungu sasa, akina Eliya wa Kileo
@Uhuru1234
@Uhuru1234 3 месяца назад
Baba ubarikiwe
@salummohamed2689
@salummohamed2689 3 месяца назад
Askofu umenena ila watasema siasa haichanganywi na dini, itakapofika pabaya watalaumu kuwa mmechochoa kwa kusema wasichokipenda.
@louisnyoni4139
@louisnyoni4139 3 месяца назад
Big up askofu Bigonza
@anosiata8242
@anosiata8242 3 месяца назад
Asikofu mungu akulinde ameongea point sana
@eliassumila8173
@eliassumila8173 3 месяца назад
❤✅
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 3 месяца назад
Nyimbo za shangwe na sifa. Ni itikadi mpya ya vyama. Tulipotea njia siku nyingi.
@GavyoleJonas
@GavyoleJonas 3 месяца назад
Ubarikiwe baba,umesema kweli ila hawasikii tatizo
@user-ef2ln1mx3s
@user-ef2ln1mx3s 3 месяца назад
Ukitaka kuua chadema mbowe ajiuzuru apatikane wanaomtaka ili wamununue na mwisho wakiua kifo cha kawaida kama CUF nccr mageuzi tlp ukweri mbowe ni mpinzani wa kweri na tishio la cvm
@user-fk6mt5ib6g
@user-fk6mt5ib6g 3 месяца назад
Siku zote unaongea maneno ya maana na ya kweli. Ila nchi hii watu wengi wakiwemo viongozi ni wapenzi wa uongo.
@Abs-tz8dl
@Abs-tz8dl 3 месяца назад
Kwani ni upinzania ndo unatawala, unaoeleta umaskini na utumwa kati ya hii Tanzania ?🇹🇿 ccm ni chama amabacho kinatuibia kila mwaka kwenye budget?
@salummohamed2689
@salummohamed2689 3 месяца назад
Viongozi wa dini msiposema haki si vema kuja kuombea wafu huku mkijua kilichofanyika mkiwa na akili ya mbuni Kwa adui wake mbugani.
@ezekielkiduge8730
@ezekielkiduge8730 3 месяца назад
Viongozi wa dini wangekuwa na uelewa kama wa Bishop Bangenda nchi yet ingekuwa mbali sana ninawashauri watumishi wa MUNGU waamke waitetee haki katika nchi yetu
@jumajukikoti8133
@jumajukikoti8133 3 месяца назад
Mbona speech bora hii inaongiliwa Jamani kwa nini?
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 3 месяца назад
Mwenyewe nimeshangaa
@knight6757
@knight6757 3 месяца назад
Sauti mbona zinaingiliana...🤔🤔
@francismomo7067
@francismomo7067 3 месяца назад
Bagonza askofu...hua nakuelewa sana.
@estambuya3901
@estambuya3901 3 месяца назад
Asente baba bagonza
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 3 месяца назад
Hakika kuhani wewe ni mtaaluma wa maisha yetu sote
@ignacekiwale7281
@ignacekiwale7281 3 месяца назад
Huyo mtangazaji anavuruga hotuba / maoni ya Askofu Bagonza.,..
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 3 месяца назад
Baba askofu Bagonza nimekuelewa kwa yote uliyozungumza hakika umedhihirisha kwamba wewe ni mtumishi wa Mungu,unamtumikia Mungu na watu wake, Hongera kwa maneno mazuri yenye mafunzo na maonyo kwa viongozi wote wa serikali, vyama na machawa pia! Mungu akulinde daima,na mwenye masikio na asikie yale Mungu amekutuma kuwasemea wanyonge wa Taifa hili.Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi na sii vinginevyo! Ccm wakatae wakubali,wasikie sma wasisikie utafika wakati wa maamuzi ya Mungu hawatazuia chochote!
@Uhuru1234
@Uhuru1234 3 месяца назад
Utasikia oooh, dini na siasa haviingiliani, ni udhaifu kufikiri tu
@monicamwita7865
@monicamwita7865 2 месяца назад
Na upumbàvu wa haki ya juu
@user-uq5vm2ge4q
@user-uq5vm2ge4q 3 месяца назад
MUNGU akubariki
@issaowden4400
@issaowden4400 3 месяца назад
Fact kubwaa sana
@shukuruphanuel1729
@shukuruphanuel1729 3 месяца назад
Among the few elites in Tanzania
@user-fw8wm2xd8x
@user-fw8wm2xd8x 3 месяца назад
Mungu akulinde ukweli utaduma
@aloycemruma6552
@aloycemruma6552 3 месяца назад
Hawa. Jamaa .watshari bu mambo baadae. Wataandka kakita u kuwa walikosea..halafu Mtasahau. Kwani ndiyo yanayotokea. Wanaamini. Sana uwongo lakini wajue uwongo nimuda.tiu watu wanajua.ila.wajue kivuli huwezi kukikmbia. Watajua hawajii . Waendelee kizima data
@user-jn9gc8ru6v
@user-jn9gc8ru6v 3 месяца назад
Nakuelewa sana asikofu
@jacksonsilaa415
@jacksonsilaa415 3 месяца назад
Bishop kiuhalisia natamani sana angalau tukutane tu
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 3 месяца назад
Baba askofu UMESEMA KWELI, umewapiga za USO. Mwenye kukuelewa watakuelewa. Mimi BINFSI nimekuelewa. Kila kitu Kiko wazi KABISA.
@user-oc3jf3ts5i
@user-oc3jf3ts5i 3 месяца назад
Kuna sauti ya mpumbavu mmoja inaingilia speech ya Baba Askofu!
@marwamagere
@marwamagere 3 месяца назад
Bagonza saluti kwako unajitambua hongera sana
@user-fw8wm2xd8x
@user-fw8wm2xd8x 3 месяца назад
Asnt askofu nakukubali
@cyprianboniphace-oz5lw
@cyprianboniphace-oz5lw 3 месяца назад
Kweli eti CCM wajikute ni wapinzani ni tusi kubwa kwa hiyo tume huru ya uchaguzi ni ndoto za mchana.
@PaulRPaul-z1q
@PaulRPaul-z1q 3 месяца назад
Stand up with justice being witnesses for GOD. And then even if it is against your own people. (Quran 4:135)
@RudelphZabron
@RudelphZabron 3 месяца назад
Tunahitaji maaskofu na mashehe wa Kariba Yako ili watukutanishe tuwe wamoja . Mungu aturehemu na kutusimamia AMINA.
@essaumapunda5766
@essaumapunda5766 3 месяца назад
Wewe ni mtumishi wa Mungu wa kweli una hekima na busara na maono ya mbele yatakuaje ubsrikiwa sana
@chandechande9642
@chandechande9642 3 месяца назад
chadema mwenyekiti wao ni wakudumu
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 3 месяца назад
Mbowe kadumu, Russia je putin Yuko miaka mingapi, china je kiongozi kakaa mnda kiasi gani, German ni angel alihudumu mda gani?. Vipi tawala za kifalme. Tunalingana nao maendeleo? . Mkwamo wetu ni mbowe?. Tupanue Wigo twende nchi jirani zinazo tuzunguka na huko ni CCM imekaa madarakani mda mrefu?. Tatizo ni kukariri vitu. Ivyo tunakosa ubunifu, na uelewa wa kawaida tu. Zamani awamu ya kwanza kuna kundi liliitwa kupe, sasa leo hii tunadhani chawa neno jipya na ni ufahari. Chawa na kupe wote wanyonyaji. Ukupe au uchawa wa fikira ni mbaya zaidi. Atuwezi kutoka hapa tulipo kwa mawazo ya kumezeshwa tu.
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 3 месяца назад
Mkapa alikabidhi chuo kikuu Morogoro Magufuli alijenga misikiti tuepuke udini si sote ni Watanzania
@juliuskitaluka1206
@juliuskitaluka1206 3 месяца назад
Akili kubwa sana
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 3 месяца назад
Kichwa
@enesforosama3008
@enesforosama3008 3 месяца назад
Askofu Bagonza Dunia ya leo inaumiza sana kwetu sisi wenye Moyo unao fanana nawewe CCM haitakuja kubadilika kamwe maana wabaya na wazuri wamo ndani.
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 3 месяца назад
Wengine tunaogopa watu ambao matumaini yao huzimwa makusudi
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc 3 месяца назад
Wee ni mtu wa Mungu kweli kama Maccm yataelewa hayo nadhani tutavuka salama.
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 3 месяца назад
Kweli kabisa. Usalama ndiyo kila mtu anaomba. Tunajenga nyumba moja
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc 3 месяца назад
Askofu hawaccm ni wabishi na wana viburi sana
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 3 месяца назад
Maaskofu wengi na Mapadre wengi sio wanafiki na wanajiamini wakifanyacho,huku tuliko ni tatizo,kuandama tu kwa mwezi BAKWATA wanagombana nusu watoane roho
@prospermiraji8473
@prospermiraji8473 3 месяца назад
Baba Askofu daima umekuwa mkweli. Mungu akulinde hadi mabadiliko uliyoyatamani nawe uyaone kama mchango wako
@user-ef2ln1mx3s
@user-ef2ln1mx3s 3 месяца назад
Ukizaliwa tz unapewa shaada ya ujinga eti viongozi wa dini wanaingilia siasa kweri wewe unajitambua au wewe ni mzimu ulikufa kiakili na ukafufuka kimwili wewe unataka mungu akufanyie Nini kama sio wazili waubili amani upendo watufufue mioyo akili kimwili kama ujitambui nyamaza viongozi wa dini walisaidie taifa
@JoshuaStanley-qu3im
@JoshuaStanley-qu3im 3 месяца назад
MUNGU akujalie afya askofu mpenda haki
@user-ef2ln1mx3s
@user-ef2ln1mx3s 3 месяца назад
Uyo anae ingilia maoni ya msomi na mtu wadini anaakili kweri au ni ujinga mwaache mtumishi asikiwe na waitani wa neno
@Sangaadam
@Sangaadam 3 месяца назад
Akili kubwa!!
@leoncebenjamin8107
@leoncebenjamin8107 3 месяца назад
Huwa nakuelewa hujawah kutuangusha kagera
@elimika01
@elimika01 3 месяца назад
Umesema ukweli Kila Kona, Kila alie hudhuria umebarikiwa Kwa kadri yake. Uzidi barikiwa kiongozi.
@ChristerKoku
@ChristerKoku 3 месяца назад
Naviendelee kuwepo
@leonardmartine662
@leonardmartine662 3 месяца назад
Asko yuko vzuli
@malkavoice2570
@malkavoice2570 3 месяца назад
Askofu uko vzr kwenye Siasa sema tu Imani yako inakuongoza mno
@InnocentCharles-hm3ff
@InnocentCharles-hm3ff 3 месяца назад
Huyu askofu anaijua hii nchi ndani nje....huu ni mtaji wa dira ya siasa bora za kidemokrasia...busara ya kupokezana madaraka kwa amani baina ya vyama ndio namna bora ya kujitawala...
@evelina9621
@evelina9621 10 дней назад
Baba.acha.m AMBO.YA.SIASA.SAIDIA.WAAMINI.WAKO.
@bilid4128
@bilid4128 3 месяца назад
Muwe mnaedit video zenu kabla ya Kupost
@joshuac.mashida1378
@joshuac.mashida1378 3 месяца назад
Haki ipo ila ccm wanachelesha
@Abs-tz8dl
@Abs-tz8dl 3 месяца назад
Mushemiwa kwa ufupi , ccm ni hovyo
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 3 месяца назад
Kweli sijui kwa nini hawana feelings. Hivi WAMELISHWA nini???
@GeofreyMwandanji-ot2lf
@GeofreyMwandanji-ot2lf 3 месяца назад
Tunako enda siokuzuli
@user-cz3gk2op9r
@user-cz3gk2op9r 3 месяца назад
Huuu ndio ujumbe kamili
@user-gy5gu1mn4x
@user-gy5gu1mn4x 3 месяца назад
Awana akili
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 3 месяца назад
Ww acha kutudanganya c mtanzania rudi kwenu
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 3 месяца назад
Mtanzania ni wewe peke yako.
@GodfreyMwamaso
@GodfreyMwamaso 3 месяца назад
Acha ujinga huyo ni mtanzania mzaliwa wa karagwe Bukoba na tena mzalendo
@zidatv1122
@zidatv1122 3 месяца назад
Nasikofu uliyoongea ni ukweli mtupu
@rodsconehenry4249
@rodsconehenry4249 3 месяца назад
10 tu kama wewe kijani itakua nyekundu,,na ili nikufaidi vizur naamia hukohuko anglikana
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 3 месяца назад
We mwandishi hatutaki makelele acha tusikie nondo
@francisaloyce3930
@francisaloyce3930 3 месяца назад
Askofu ana kitu serikali imtumie kuivusha nchi
@fwc5552
@fwc5552 3 месяца назад
Jabo fake kabisa hizo back sound za nn
@samwelkavwanga4491
@samwelkavwanga4491 3 месяца назад
Video mbovu
@lgf7297
@lgf7297 3 месяца назад
He has talked about everything and nothing. Alichoanza nacho kakifuta mwishoini. Hajatoa sera mbadala.
@user-fn2eg3vn4h
@user-fn2eg3vn4h 3 месяца назад
Tofautisha maoni na Sera, maoni ni maoni yanapingwa kwa maoni bora zaidi
@IjumaaIjumaa
@IjumaaIjumaa 3 месяца назад
Hiii inchi itakuja tawaliwa kidini maneno haya yakamateni zamani asukofu kanisani na shekhe msikitini sasa Kila siku maasukofu wamejaa siasa sijui kunaajenda Gani hebu chaguweni kama ni siasa au kanisani tujuwe kama mtajaa kwenye siasa kinachofata ni nini?
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 3 месяца назад
Ujinga unakusumbua, kama sio basi udini unakutesa. Msimilize kwa makini utaelewa anachokisema. Yeye hajamkataa mtawala isipokuwa anakataa unafiki uliopo kwenye katiba na wale watendaji wakuu.
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 3 месяца назад
Ujinga pale Malawi Rais ni Askofu. Kule Zanzibar wapigania UHURU wa mwanzo alitoka Kanisani. Obama kuongoza USA msingi uliwekwa na Martin Luther king tokea Kanisani.Mzee mwinyi atengwi na imani
@IjumaaIjumaa
@IjumaaIjumaa 3 месяца назад
@@GodfreyOsward kwahiyo na hapa tz mnataka tuongozwe na maasukofu au mashekhe hili halitakunalika kama mnampango huo hatukubali Tanzania imebeba wanadini na wasiokuwa na dini acha uasukofu na ushekhe uwe mwanasiasa hili likemeo ni hatari sana kuvunja amani na kupigana kidini
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 3 месяца назад
Ni ukweli hauwezi kupata kiongozi asiyetoka katika makundi hayo matatu. Hata na wale ambao hawana dini kuna mambo hûwa wanaamini. Kinacho kataliwa ni tararibu za dini fulani kufanywa sheria Za kuongoza taifa. Ivi ni kwa nini uwanja arusha wa mpira unaitwa shehe amri abeid. Hatuna akika kama alichanganya dini na siasa. Mfano Askofu yote aliyosema nini ni dini yake. Kuna pahali alisema tunnge katiba watu wote tukaungame zambi au watu wate walazimishwe kufuata dini fulani. Kinachoweza Kueneza udini ni watu kutokupata majibu ya changamoto zao. Africa na tz kuna tatizo la ajira, rushwa, unyonyaji wa kimfumo na kitaasisi dhidi ya raia. Ubaguzi na nk. Ukipata mtu wa kutuonya kwa haya udini unatoka wapi? Au ukweli ni upanga.
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 3 месяца назад
Ijumaa. Hebu jaribu kusoma kitabu Major Events in Africa History. Utaona sababu za vita ya Jihad 1800-1880 kule Africa magharibi. Kodi na namna ya kusanya, haki mahakamani, uadilifu wa viongozi, iman moja kitakatifu kumeza zingine,rushwa ktk jamii, umabavu wa viongozi wa makabila, vilichangia kuibua wasomi wa elimu Quran tukufu kuanzisha jihad ili kutafsri haki ktk jamii kwa kutumia Quran. Hivyo hali yetu hii Africa na tz tukizoea inaweza kuibua makundi ya kiimani kutaka kutoa majibu kwa kutumia vitabu vyao. Hivyo hata kwa upande wetu sio sawa kuchanganya dini na siasa. Ila la msingi tunajikwaa wapi?. Sisi tumeanza kuachana kitambo sana hasa kwenye swala la haki ya kila mmoja wetu. Hivyo lolote linaweza kutoka kulingana kiwango cha maisha ya Taifa lenyewe. Tunaogopa sana kumeza maneno ya watu wengine ili yasituzuie kuona mwanga kidogo unaotokeza katika Giza tororo.
@rahimzuberi2673
@rahimzuberi2673 3 месяца назад
Naona maaskofu karibu wote mmehamia chadema kwa kuwa Rais muislam akija mkristo ccm mtaipenda tena hapo nimewaelewa
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 3 месяца назад
Ni vizuri ukatumia akili yako vizuri kuliko ukatumika vibaya na hiyo CCM yako.
@maggiehiza5884
@maggiehiza5884 3 месяца назад
Akili ndogo
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 3 месяца назад
Mawazo hayana chama.
@RudelphZabron
@RudelphZabron 3 месяца назад
Mungu awe nasi sisi sote tu WATANZANIA MUNGU IBARIKI TANZANIA AMINA.
@prospermiraji8473
@prospermiraji8473 3 месяца назад
Baba Askofu daima umekuwa mkweli. Mungu akulinde hadi mabadiliko uliyoyatamani nawe uyaone kama mchango wako
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 3 месяца назад
4R is an ambiguous sentiment.
Далее
Nondo za Askofu Bagonza kwenye kongamano la dini Mwanza
52:33
Introducing iPhone 16 | Apple
02:00
Просмотров 4,5 млн
Introducing iPhone 16 | Apple
02:00
Просмотров 4,5 млн