Тёмный
JAMBO TV
JAMBO TV
JAMBO TV
Подписаться
Комментарии
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 35 минут назад
Wakurugenzi wa mama
@petergabriel4941
@petergabriel4941 Час назад
Ndile Mungu awe nawe nimebarikiwa sana na hekima zako. Mimi niko na wewe tangu Mbozi mission secondary najua tulivyosaidia watu kutkuonewa tukiwa olevel usitishwe na upotoshwaji huyo jamaa kashindwa kwa jina la Yesu
@musandile8142
@musandile8142 34 минуты назад
Asante sana Peter Gabriel
@meyasadavid9801
@meyasadavid9801 Час назад
Atugombei urais kwa hisia ndugu
@pidibegashe768
@pidibegashe768 Час назад
Tamaa ndio shida ... Kama pesa kapigia dance hapambane na haliyake
@generosennko8343
@generosennko8343 Час назад
Safi sana. Umeongea kama kiingozi aliyewiva na uko tayari kuongoza. Barikiwa mno
@allyabdallah1183
@allyabdallah1183 2 часа назад
!!?
@waziradam2794
@waziradam2794 2 часа назад
Asante sana David. What goes around comes around. Watch your back pl’se. You have entered enemy territory!
@user-is6oy9vb5p
@user-is6oy9vb5p 3 часа назад
catholic wamesimama vyema.
@gracefoya4609
@gracefoya4609 3 часа назад
Kweli unafaa sana kuwa msaidizi wa Tundu Lisu. Hongera sana . Nami naitamanj hiyo Tanzania unayoelezea . Mungu akupe maisha marefu uioe hiyo Tanzania "mpya"
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo 3 часа назад
Sasaaaa,!!
@gracefoya4609
@gracefoya4609 3 часа назад
Nimekuaminia Mwanachadema imara. Usije kutuangusha kama Msigwa, amejiaibisha mwenyewe. Mungu akuimarishe na kukulinda kijana wetu. Hawapendi kusikia maneno kama yako.
@albertjames6845
@albertjames6845 3 часа назад
Wampige chini tu hakuna jinsi 😂
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq 3 часа назад
Yeye azungumze alichofata ccm asikichafue Cha chetu tungekubali maneno yake kama angehamia nccr
@barakaabel482
@barakaabel482 3 часа назад
Dah! Yaani kwakweli
@YaeLondon-xy7sh
@YaeLondon-xy7sh 3 часа назад
Hata karatu kunamatatizo kama hayo
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 4 часа назад
Watekaju ni CCM. U must forme young TZ..
@AMOSEXAVERY-fm4qm
@AMOSEXAVERY-fm4qm 4 часа назад
Ninyi ni wa hovyo kabisaaa!!!
@isackphilipo9870
@isackphilipo9870 4 часа назад
For sure CHADEMA ni chama imara nami namejiunga rasmi juzi God bless CHADEMA
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 4 часа назад
Waende kwa Waziri, huyo Arafat ataitwa na kukomeshwa, Slaa hana mchezo.
@NanaMaembe
@NanaMaembe 4 часа назад
UYO ALAFATI NI CHOKO TU..... MKUNDU UNAMUWASHA..... AMEONGA VYAKE..... SASA ANATAKA VYA WENZAKE
@khalifakyabitara4761
@khalifakyabitara4761 3 часа назад
😂😂😂
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 5 часов назад
Ndugu bongo kwenye Mali hawaaminik hata sekunde
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 5 часов назад
CHADEMA tafuteni kazi ya kufanya hii nchi hatuwezi na wala hatutakubali muiongoze tena hatutakubali.. CCM oyeee
@albinusmkono5887
@albinusmkono5887 4 часа назад
Chawa mkubwa hujitambui Kibaraka mkubwa. Ondokana na mambo yakukariri wewe said ally
@user-ih1pk1vs4q
@user-ih1pk1vs4q 4 часа назад
Wwpumbavu😊
@user-ih1pk1vs4q
@user-ih1pk1vs4q 4 часа назад
Tatizo la nchi yetu uongozi itatuchukua muda mrefu sn kujikomboa mpk tupate kiongozi mwenye hofu ya Mungu toka uhuru hatujapata hivyo bado safari ya watanzania ni ndefu sn
@monicamwita7865
@monicamwita7865 3 часа назад
Shida uchawa. Wezi wa magoti mkono. Huoni aibu?
@monicamwita7865
@monicamwita7865 3 часа назад
Magoli si magoti
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 5 часов назад
Tusomeshe watoto aiseee😢
@simonsadala2386
@simonsadala2386 5 часов назад
Lissu ndiye kiongozi aliyetupotezea viti vya ubunge awamu yake akiwa mgombea wa Urais chadema tulianguka kwa 100% hatumtaki 2025
@monicamwita7865
@monicamwita7865 3 часа назад
Kwa wizi kura ilikuwepo? Acha mnafiki.
@waziradam2794
@waziradam2794 2 часа назад
Nadhani weye ni fala upinde au both!
@floraashery224
@floraashery224 10 минут назад
Wewe boya
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 5 часов назад
Hili librother lijinga sana kwann halikwenda hata shule?
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 5 часов назад
Nchi hii ina viongozi matapeli sana unasaini vip document bila kujiridhisha ??????????
@Petro.John.
@Petro.John. 5 часов назад
Kwanza nini maana ya heshima ,heshima inaanzia kwa mtu mwenyewe.
@bongo39
@bongo39 5 часов назад
Huyo mtoto ana laana kubwa ila haki wataipata tuu hawa kina dada
@bongo39
@bongo39 5 часов назад
Mtihani huyo arafati anaonekana ni mkorofi sana tunaomba waziri hii kesi uwatendee haki hao kina dada ili wapate haki yao na huyo kijana anaeitwa arafat afungwe kabisa jela ni dhulma mkubwa mshenzi
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 5 часов назад
Shule muhimu sana ndugu zanguni
@user-iw5hu3mc7l
@user-iw5hu3mc7l 5 часов назад
Ndo faida ya kusoma, huyu dada anaonekana amenda shule,
@mchagagaspar6649
@mchagagaspar6649 6 часов назад
MASAOUNI ,Dr.MMWINYI ,NCHIMBI, LUGOLA,hayo yakuppewaa,Sierro, waliopewa posti hizo ,nichai kwao na CCM ,HONGERA YA Mwinyi kwa kazi Nzuri za kuwalpua WAUWA MSHO ,salipewa URAISI ZNZIBA .... CCM OYEEEEEEEE
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 6 часов назад
HUYU DOGO NI MSOMI MCHUMI NA ANAFAA KUWA KIONGOZI WA WATU TIMAMU. UNATOA WAFANYABIASHARA UWEKE GEREJI MJINI? HII IWAFANYE KUFIKIRI NINYI VIONGOZI.
@petermogha7025
@petermogha7025 6 часов назад
Brother kuhama sio vita punguza mkali nakutania msingwa huyu
@melchiadepaschal3097
@melchiadepaschal3097 4 часа назад
Msigwa, bora akaye kimya, atabaki na heshima yake
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 6 часов назад
Wananchi hilo tunalijua kwamba Lissu alipita lakini mwenendo wa ccm na serikali yake 2020 ulikua mbaya sana wa kuvunja katiba na sheria za uchaguzi ikatwaa ushindi nchi nzima kwa nguvu ya dola! Na sasa bado aliyeingia kwa hisani ya kikatiba nayeye amekataa maridhiano ya kuundwa upya kwa tume huru ya uchaguzi,na kuzuia katiba mpya ya wananchi. Lengo la serikali hii kwa watanganyika ninini?!
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 6 часов назад
Tukiondoa tofauti ya vyama, sisi sote ni watanzania, Serikali itoe tamko tusitekane kwa itikadi tukajenga visasi vya kiitikadi kati yetu. Kwa kuwa watekaji ni watumishi wa serikali ya ccm, Na watekwaji ni watu wa vyama vya upinzani, Serikali iliondoe hili kwa kauli thabiti ilihutubie taifa na kupiga marufuku vyombo vya usalama kuteka wananchi,ili raia tuamini kwamba hakuna mkono wa serikali katika utekaji. Serikali ikiendelea kukaa kimya na kugeuza utekaji kama mambo ya kisiasa kuna hatari kubwa ya kuwafanya wananchi kutekana kati ya wanaoteka,na wanaotekwa.
@mtewelemtewele0260
@mtewelemtewele0260 6 часов назад
Nimetokea kumpenda huyu mwamba anajuwa kujenga hoja ila bila kumsahau mtangazaj yuko vidhur
@joachimkalungwana8654
@joachimkalungwana8654 7 часов назад
Endelea na uchawa wa ccm IPO siku
@joachimkalungwana8654
@joachimkalungwana8654 7 часов назад
Upo vizuri sana ndugu hata tukae IPO siku watanzania watakuja kujitambua
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 7 часов назад
Kwa taarifa yako juma huyo unaye msema tutamkumbuka kwa kuuza aridhi na mali zetu kwa waarabu hilo tu ndo tutamkumbuka nje na hapo hatokumbukwa kwa lolote hivyo usimfariji
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 7 часов назад
Kwani waarabu ninani kwenye nchi yetu wewe juma hao waarabu wananchi zao sisi hatuwahitaji hapa kwetu Tanzania wao sana nchi wana rasilimali zao hivyo kuwa taka waarabu sio udini bali ni kwa ivamizi wao na kutuibia rasilimali zetu wakishirikiana na viongozi wetu wadio na uzarendo wala utu juu ya taifa hili hivyo kuwataja waarabu sio udini kwanza toka hapojuma nanda uarabuni
@simongwandu7392
@simongwandu7392 7 часов назад
Lisu hatafanikiwa kabisa asipoteze
@monicamwita7865
@monicamwita7865 3 часа назад
Wewe ndiye unatafanikiwa?
@petermogha7025
@petermogha7025 8 часов назад
Sio kweli nakufuatilia maongezi yako. Endelea Tukusie roho inauma nakutani CDM hoyeee
@petermogha7025
@petermogha7025 8 часов назад
Usifiche family yako ccm haina hofu kama cdm njoo tz sio kenya.
@djumakadege659
@djumakadege659 8 часов назад
😮😮😮Hatari !!! Ukisikia mtu anawataja waarabu ujuwe hapo kuna ubaguzi wa kidini ! wazungu na nchi zao wanaitwa kwa jina la wawekezaji ! Hakuna kitu kibaya kama ubaguzi wa kidini. wakati uliopita Hakuna mtu alieruhusiwa kuongea. kaja kiongozi mwingine na kuruhusu haki ya kujieleza sasa maelezo yenyewe ndiyo kama haya tunayoyasikia. Wananchi wa Libya hivi sasa wanakumbuka Rais Gaddafi. watanzania au Watanganyika epukeni sana maneno ya kueneza chuki na ukabila! mtakuja kujuta na kumkumbuka huyu mama Rais samia suluhu Hassan.
@deven.oauditx7547
@deven.oauditx7547 7 часов назад
Afadhali wao wanaitwa waarabu wazungu wanaitwa mabeberu.
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 6 часов назад
Kwani warabu ni dini? mbona kana hujitambui wewe mwarabu anaitwa mwarabu kwa uarabuni wake mzungu anaitwa mzungu kwa uzungu wake usiingie dini hapo kama ni dini hata wazungu wana dini lkn wanatajwa wao kama wao na si dini yao, hivyo acha uchochezi
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 6 часов назад
Aah hovyoo. Wewe jumakadege umefanya utafiti gani kuhusu ubaguzi wa kidini? Uarabu sio Uislamu,na uislamu sio dini ya waarabu bali uislamu unatumia lugha ya kiarabu kufundisha! Je,tumewekeza uarabuni kama waarabu wanavyowekeza kwetu kwa mikataba isiyo wazi? Tafakari
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 6 часов назад
Warabu wenyewe sikuiz huko uarabuni wanabadili dini kwa kasi wanaingia kwenye ukiristo wewe bado umebong'aa na uislam tu, kalaga bao
@ritchiemuta1092
@ritchiemuta1092 5 часов назад
Maandishi ni yako yamejaa udini hakuna jipya hapo mwl nyerere alijikinga na ulanguzi WOWOTE lkn maamuzi yanayayofanywa bila kufuata katiba ni kwa kujinufaisha hivyo waarabu wamekuwa bora kuliko wamaasai ni kwa ajili ya dini
@efraimjohn4956
@efraimjohn4956 8 часов назад
Ndo serikali mjitafakari, kama mwekezaji anawakimbia na kwenda kuwekea kwingine
@BenardLucumay
@BenardLucumay 8 часов назад
Wezi, mafisadi na Watekaji wanawaharibia raia wa Tanzania
@user-ef2ln1mx3s
@user-ef2ln1mx3s 8 часов назад
Kweli kaka nchi yetu imekuwa siyo seemu salama ya kuishi
@atupegemwakahesya
@atupegemwakahesya 9 часов назад
Nchi yetu imeoza Kila mahali. Sijui tukimbilie wapi! Haki haki imepotea.
@kelvin7ithuiumwasamaki987
@kelvin7ithuiumwasamaki987 9 часов назад
Dada yangu usijali huyo Hana uchungu alipenda nyota yako.huwez Wala mawakil ml30 akunyime 50 akupe ujitengeneze bado mdogo