Тёмный

ASKOFU MWANAMAPINDUZI KWA UCHUNGU "RAIS HAJAANDIKA ILE HOTUBA KAANDIKIWA/KAWAVUNJA MOYO WAFIWA 

MwanaHALISI TV
Подписаться 317 тыс.
Просмотров 7 тыс.
50% 1

ASKOFU MWANAMAPINDUZI KWA UCHUNGU "RAIS HAJAANDIKA ILE HOTUBA KAANDIKIWA/KAWAVUNJA MOYO WAFIWA
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Опубликовано:

 

18 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 47   
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 5 часов назад
Ongea mtumishi wa mungu unamuwakilisha mungu. Mungu anawapenda watenda haki na watetea haki hivyo anatumia watu kama wewe kumwakilishia yeye haoa duniani. Usivunjike moyo mtumishi watu wengi wanakuarlewa. Keep it up.
@abelluhende1422
@abelluhende1422 5 часов назад
Maneno ya hekima ila kwa wapumbavu na mamluki wa kushangilia ujinga tu ndiyo wataona unachoongea si sahihi.
@happymrema7487
@happymrema7487 4 часа назад
Ngoj mimi nikasikilize zang hotuba za makofuli
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 3 часа назад
Kuna kichambo na hotuba kile ni kichambo
@aronimanirakiza5655
@aronimanirakiza5655 3 часа назад
Asante. Sana. Mwanamapinduzi mungu Akurinde. Na Akubariki
@AllyIkanga
@AllyIkanga 4 часа назад
Mungu hamtupimtuwake
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 3 часа назад
Kusema kweli nampenda rais wangu ila huyo aliyemwandikia hiyo hotuba mmmmmh!!!
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 2 часа назад
Unampenda kwalipi
@nurumohammed1310
@nurumohammed1310 2 часа назад
​@@chusseboywcb2808unafiki tuh
@goodluckstephanmasige3450
@goodluckstephanmasige3450 5 часов назад
Hata kama kaandikiwa kwani hana uwezo wa kupambanua mambo.
@HamisiMakasara-hb3nt
@HamisiMakasara-hb3nt 5 часов назад
Mchungaji leo mbona umebadilika hivyo? Naona ukweli umeshauona !!!
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 4 часа назад
MAKURUKUTABU! DAAA MSAMIATI MKALI.😊😊😊
@TuhabarishaneTv
@TuhabarishaneTv 4 часа назад
Mahulukutabu
@yilodhasunga3967
@yilodhasunga3967 2 часа назад
Haswaaaa
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 4 часа назад
We sio mtumishi wa mungu ni mtumishi wa mbowe
@monicamwita7865
@monicamwita7865 3 часа назад
Pumbavu akili imssinzia. Pole sana.
@nurumohammed1310
@nurumohammed1310 2 часа назад
Mtumishi wa babako
@zeelamipango
@zeelamipango Час назад
Tena katawaze macho ulale kenge ww
@MwidinhalunabuchwaBuchwa
@MwidinhalunabuchwaBuchwa 4 часа назад
Wew sio mchungaji ni mwanasiasa tena mpinzani usijifiche kwenye uaskofu acha uaskofu uingie kwenye jukwaa tuone kama utaweza
@nurumohammed1310
@nurumohammed1310 2 часа назад
Hahahahaaaa pole weee
@neemanziku5403
@neemanziku5403 2 часа назад
Kama Ni mwanasiasa We unatakaje sasa
@JumanneRamadhan-pg8qm
@JumanneRamadhan-pg8qm Час назад
Mwandishi tafuta watu wa maana wa kuongelea mambo sio huyo mganga njaa kwa mbowe
@swailarashid
@swailarashid 4 часа назад
Aliekwambia mama yetu ana muda wa kuandika khotba naniii
@nurumohammed1310
@nurumohammed1310 2 часа назад
Hahahahaaaa langu cheko tuh
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 6 часов назад
Mhhh
@hassanmchwanga-dg9zr
@hassanmchwanga-dg9zr 4 часа назад
Mtumishi una njaa
@neemanziku5403
@neemanziku5403 2 часа назад
Mpe chakula ale
@Queen-be1uf
@Queen-be1uf 2 часа назад
Samia kalikoroga juzi. Ovyo kabisa. Eti watu wanauliwa duniani kote, kwa hiyo? Ndo sawa? Ulaya yakitokea mauaji muuaji anakamatwa na viongozi wanajiuzulu kwa aibu ya kushindwa kufanya kazi. Tanzania kutaanguka machafuko . Na yatasababishwa na CCM kwa uchu wa madaraka na ung'ang'anizi wa uongozi. Hamutakiwi mmechokwa
@mussamapesa8863
@mussamapesa8863 5 часов назад
Si ukaongoze kanisa mambo ya siasa hayakuhusu ni husda tu kwa kua mama ni muislamu
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 5 часов назад
Siasa inamhusu kiila raia acha ujinga
@NtamamiloGibson
@NtamamiloGibson 5 часов назад
Sisi wanasiasa tunaenda Kanisani wewe kama hauendi kakojoe ulale mamae.
@SaugoNdemo-tx4le
@SaugoNdemo-tx4le 5 часов назад
@@lovenessvisent9408 TATIZO LAKE HUYO UTOTO!
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 5 часов назад
Jamani acheni kuchochea udini. Mnafaidika jini kwani?
@Hussein-gx4qu
@Hussein-gx4qu 4 часа назад
Mama anazingua hakuna ni muislam au mnani anazingua atupishe
@mashakabundala9955
@mashakabundala9955 5 часов назад
Kafundishe kondoo wewe mchungaji siasa haikuhusu mamruki wee
@nicksonjk8479
@nicksonjk8479 5 часов назад
Nanyie wanasiasa kanisani na msikitini hua mnafwata nini??
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 5 часов назад
Hata yeye ni raia wa nchi hii Kama wengine na ana haki ya kutoa mawazo yake Kama wengine wote. Challenge mawazo au maoni yake kama unalo la kusema lakini siyo haki yake ya msingi
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 5 часов назад
⁠@@nicksonjk8479kwani yeye ssiyo raia wa nchi hii? We maisha haya hayawahusu?
@ElishaLaizer-d8s
@ElishaLaizer-d8s 4 часа назад
Hakuna mtu ambayo haishi kwjli siasa
@mimiraia2531
@mimiraia2531 3 часа назад
Mtu wenu..viatu vinampwaya….hovyoooo
Далее