MwanaHALISI TV is owned by Hali Halisi Publishers Company, a Tanzanian registered company dealing with publishing Swahili newspapers, known as MwanaHALISI, MAWIO and MwanaHALISI Online.
Sijawahi kuona kiongozi wa aina hii ni viongozi wanaojali matumbo Yao kero za chama kuzitoa nje ya chama si kweli ungetueleza ukiwa kwenye chama . Hamna mtu mwenye chama vyama ni vya wananchi umetuonyesha hufai kuwa kiongozi. Mtetezi wa chama Huwa haondoki kwenye chama ila mtu mwenye njaa ambae hapiganii chama chake kuhamahama sio kiongozi mzuri.
Msigwa watu wote wanakutukana hakuna anaye kuunga kutoka kwako.hata jijana wanakuona wewe ni mjinga tuu. Unatowa siri baada ya kushidwa uchaguzi. Sawa mtu ana mumewe mumewe akimwacha ana anza kutowa siri za ndani yure usimwone. Vile nikikojozi .yule anagawa nyama tukipika.nakadhaa.nakadhaa. wasitaarabu wanasema hivi kama huna zuri kaa kimiya. Ccm kuweni macho anaweza kaja kupakuwa siri zenju. Mtu wakawaida angelinda heshima yake..
Msigwa watu wote wanakutukana hakuna anaye kuunga kutoka kwako.hata jijana wanakuona wewe ni mjinga tuu. Unatowa siri baada ya kushidwa uchaguzi. Sawa mtu ana mumewe mumewe akimwacha ana anza kutowa siri za ndani yure usimwone. Vile nikikojozi .yule anagawa nyama tukipika.nakadhaa.nakadhaa. wasitaarabu wanasema hivi kama huna zuri kaa kimiya. Ccm kuweni macho anaweza kaja kupakuwa siri zenju. Mtu wakawaida angelinda heshima yake..
Nikukumbushe tu msigwa sifa ya chadema ukihama unahama peke yako we unaubora kuliko zito kbwe?watakaokufuata ni famly yako hiyo ndoto yako ya alinacha we ni msaliti mroho wa madalaka unashirikisna nini sikupendi kwanza
Ungeondoka ukkaaa bila chama basi kuliko kuingia motoni mbona umeenda kuzimu jamaniiiiiiii kweli msigwa nimekudhara kuliko machangudoa wanaouza miili yao mchana heri yao nimekudharau sana
Wewe muadishi huku tafuta mtu sahihi wa kumuliza maswali ya kufaya watu au watanzania wa ilimike huyo kwaza ni chadema inajulikana chapili niambia Kuna Rais gani duniyani kuwa Rais bila ya kampeni kuchaguliwa hata yeye au wewe chakula kitaigia weyewe mdomo I bila ya kutuma mkono huyo askofu ni mpunbabu
Peter Msigwa nadhani aliemshawishi ahamie Ccm ili apunguze Madeni yake ktk Mabenki alimuingiza Mkenge !! Hao Watakaomfuata atawaweka wapi kwa hapo alipo !! Hata Ccm Wanaojielewa Kiuhalisia hawawezi Kumuamini kabisa Peter Simon Msigwa !! Na sioni Mantiki kwa Msigwa Kumsimanga Mbowe na Kuikashifu Chama Cha CHADEMA ni Uhayawani Mtupu !! Yeyote anaelenga Kuwa nafasi ya juu ya Wenzie Kila nafasi Muogopeni kama Ukoma !!
ACHENI KUTUMALIZIA MABANDO. HAO TAKUKURU WAACHE NA VIONGOZI WA CCM NDIO WANAONGOZA KWA LUSWA NA HAO TAKUKULU HAWANA UBAVU WA. KUWAGUSA CAG KILA MWAKA NAWATAJA VIONGOZI WA CCM WALIOPO MADALAKANI LAKINI HADI LEO HAKUNA HATA MMOJA ALUEPELEKWA KWENYE VYOMBO VYA SHELIA TUMECHOKA UBABAISHAJI TAKOKUKULU NI KITENGO CHA KULINDA WEZI WA CCM ACHENI KUTUDANGANYA BWANA TUMECHOKA ANZAN NA CCM KWANZA
acha kupindisha mambo makamba anaiba billion 300 plus billion 270 kwenye bwawa la mwalimu Nyerere akiwa waziri wa nishati makamba anashutuma za kuiba zaid ya trilion tatu had sita ili wanunue wanachama wanec wahoge police, mahakama, wahoga kila mtu had upizani ili wanunue urais kama mzee wa msonga na Lowasa 2015 hao ni timu ya mafia ya akina nape na kinana lizwane bashe na mwigulu