“Kuna chuma kinakuja” maneno ya Afisa Habari wa Azam FC, Hasheem Ibwe akibainisha ujio wa mchezaji mwingine baada ya jana kumtambulisha kiungo mshambuliaji Cheikna Diakite.
Ibwe anasdema usajili huo mwingine ambao bado haujatangazwa unahusu nafasi ya mshambuliaji.
Ibwse anasema msimu huu watu wasipoleta timu wanawafuata hukohuko mazoezini.
#AzamFC #KambiYaAzam
27 авг 2024