Huenda umewahi kusumbuliwa na tatizo la uvimbe wa ubongo au kuusikia kwa wengine, Dkt. Mugisha Mazoko wa Hospitali ya Agakhan, yupo ndani ya kipindi cha Medi Counter, kukufafanua mgawanyiko wa ubongo na namna tatizo hilo laweza kutokea.
Doctor mi napata shida yakichwa ambayo aiyelezeki eti nikilala upande mmoja uwa nasikia kichwa kama ganzi Yani kama vile dam aizunguki vizur sasa nimeshindwa kuelewa Nini icho Yani nikilala upande nasikia kama kichwa upande kama vitu vinachomachoma mi sielew hiiii Nini jaman nipo arusha