alafu msipende kudanganya vijana,hiyo ni investment kubwa inahitaji capital na hili ndio tatizo LA vijana wengi hatuna capital,mfano mm Nina ndoto ya kumiliki shule yangu ya secondary lakini bado cna capital ninaelimu na sasa ni mwalimu part-time(BSED).KWAHIYO MTANGAZAJI UNAPO WAHOJI LAZIMA UWAULIZE MTAJI WALIPATA WAPI.SIO KUSEMA TU BINT MDOGO ANAMIAKA 27,na kuwaaminisha watu kuwa mambo ni easy kila kitu ukesema ni business lazima uanze na mtaji,jaribu kuwauliza kuwa pesa ya kufanya hayo mambo wamepata wapi.