mashabiki zang m nawapenda sanaa kiukwel kwanza naomba naomba niseme asanteni kwa kunibebaaa asilimia zote pili weng nkiwa naachia kaz zang pekeyang huwa mnadai collabo sio kwamba siwez kufanya ila changamoto yake ni kama hiii dogo lody alinivimbia kuja location tena sku tatu na week tofaut na ratiba anapanga yeye na badoo hakuja ila tu nasema asantee mung nmefanikisha kushut kwaiyo hata ambapo panamapungufu yeye ndio chanzo maana nmetumia magharama kulipia vtu na hakuja asanten
Ngoma Kali Sana sijui kwa nn Lod hajaonekana kwny Music,Hata Kama angekuwa Yuko mbali Ni Bora angetuma clip ya kipande chake nae aonekane ingeleta uhalisia wa wimbo,Ila all in all Chupa kali
Sema sisi wasanii wabongo hatupendani ona sasa Mimi najua lody music kazingua kwenye video hii dunia tu Kama hela zipo tu wasanii tusikomoane kisa hela Kama mtu anajituma na anataka kufika sehemu fulani usimtupe kisa hela kikubwa aidia