MR B2K NAKUTAMBUA SANA NA PIA NATUMIA HEKIMA YAKO PIA KUTUNGA MUZIKI WANGU BIG UPS MY ROLE MODEL B2K MNYAMA MORE LOVE FROM KENYA MY DREAM IN STAR BITES ENTATAINMENT ONE DAY KEEP BOOMING....
ukiendelea na hasira izi mdogo wangu utakuja kua tajiri na mfanyabiasha mkubwa tu kupitia huu mziki wako ila tu usipunguze huu moto zaidi we zidi kuchochea zaid na zaidi hadi wote waambiane 💪
B2k kaka unaenda kuwa mkubwa sana huu mwaka album.yako ya changamoto umetisha sana kaka mungu ukusimamie katika safari yako kaka pambana mpaka mwisho kuna siku wataelewa kwamba una kipaji cha kutisha namuona platnumz mwingine kwako
Sauti imeibeba melody ya mziki mzma!! Unaeza toa ala za mziki na ikabaki sauti pekee na bado ikaendelea kufanya vema kiwandani!! Good #B2K, voice wonder
B2k nakuku bali sana adi kwasasa sijachoka kuangalia nakuisikiliza daah iyi nyombo iko km imeimbiwa ajili yangu daaaah kama unaikubali kama mimi gongalike apa kama unaipenda sana
Ama kweli nimeamini waduanzi ndo wako ngazi za juu! Huyu mshikaji ngoma ni kali..ujumbe unaendana na siku hizi lakn Cha ajabu watu wanaenda kusupport watu wanaoimba ujinga wameacha kusupport watu Kama Hawa...but my advice to b2k,usikate tamaa jamaa unaweza Sana