Hapo kaumia sana Aziz Ki kubaki bongo.....anaona kabisa taabu ipo palepale sasa kabaki anajibalaguza...jana alikuwa anampamba na kwamba kweli anatakiwa kuna offer za timu hawezi kubaki lakini leo anajikataa mwenyewe😅😅😅
Tena alikuwa anaongea kwa kujiamini na kusisitiza hawezi kubaki😂😂 eti ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga😅😅😅! Mpaka sasa Yanga 20 _kolo fc 0😂😂 ! Na refa wa hii game ni Eng.Hersi, akisaidiwa na Ally kamwe na Privadinho we huogopi😂😂😂
usilazimishe kituapo kubali yaishe maumivu mtayapatatu uyomayele hajatembea kutoka timumoja kwenda timu nyingine ametoka kongo akatuwa tanzania alikuwa anaushamba mayele azizi ki yukopoa napia tarehe 8/mnafungwa teena.
Hivi Hawa mazuzu mnawahoji kama nani. Limtu halina mamlaka popote sio klabuni sio tawini Hana vyanzo vyocyote vya habari anatoka tu nyumbani kwake kulawitiana na mke wake anakuja na janaba kuongea kwenye vyombo vya habari anaharisha tu. Kwanza hajasoma
Huyo mbuz ni mpuuz,alisema chama akiondoka nahama je alihama...? Na akasema Aziz akibaki apigwe huyo mbona kama hamnazo kichwan,nahuo ualimu walimpaje mpaka wanakuja kumfukuza mtu Ambae hamnazo....?
Gb polepole anaanza kupoteza uwaminifu, tunavyokuwa tunafuatilia sababu ya kusema ukweli sasa anaanza kuwa na porojo porojo, naona kama na yeye kanunulia awe chawa kama kina Kisugu na semaji la Simba
Huyu hata KB tu 1 hana licha ya kujiita GB. Tukiwa na mashabiki wa aina hii tutaua mpira wa Tanzania. Huyu aangaliwe kama ana watoto wasije wakachukua akili za baba yao, serikali iwachukue mapema walelewe kwenye vituo maalum vinginevyo aina hii watakuwa wengi.
Akili hana huyo kama ndugu yake kisugu wote waropokwaji tu hawaongelei mpira wanaongea ushabiki.. Sam simba ndo muwe munamuhoji anatupa fact za kueleweka
Nilikuami sana umejshusha sanaaa dah ulisema chama akihama simba sijyei wakufanye nnn😂😂😂😂 imeja azizi ki upigwe sasa kumbe wewe na akina kisugu kichwa kikubwa ni wale wale tu dah simba shida sanaa mm nimenawa
Wewe GB bangi zinakusumbua ww mwenyewe uliwahi kusifia kuwa yanga haitoi mchezaji wake ingekuwa nyie simba mngemtoa kwa sababu viongozi wa simba wanapenda biashara ww ndio unajitekenya na kucheka mwenyewe