BAADA ZOEZI LA MCHANGA, VULU ANAFYATUA TOFARI
Na Omary Mngindo, Rufiji - Des 13
MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Pwani Zaynab Vulu, Jumatano ya Des 12 mbali ya kukabidhi mifuko 60 ya saruji katika Jimbo la Rufiji, pia ameshiriki zoezi la UFYATUAJI wa tofari, pichani akiwa na wananchi wa Kitongoji cha Kiwili Kata ya Utete wakifuata tofari.
SHUHUDIA ZOEZI LILIVYOKWENDA
14 окт 2024