Asante sana kwa kutazama n ku_like video hii. Asante pia kwa kusubscribe ili kuendelea kujifunza juu ya Elimu ya Fedha na bishara kupitia video ninazopost hapa
Nashukuru sana 🙏Brother kwa elimu yako unayotupa kiukweli unatusaidia sana vijana ambao bado tunajitafuta. Tunaomba mawasiliano kama ikitokea tunahitaji ushauri zaidi kuhusu biashara au hata E-mail yako ili tuweze kupata updates zako..
Wewe kaka nimeanza kukufatilia huu nimwezi wa 2 sasa yani nimejifunza mengi mnoo nakufunga kiakili mungu anibariki nijiunge ili niwe mwanafunzi wako umebarikiwa na mungu azidi kukubariki na akupe uhai mkubwa
Asante.binafsi kitambo naangaika kujua,na kuingia ktk biashara ya usafirishaji ila nakwana kutokana na kujuana na tabia za ukabila,.naomba nisaidie kwa hilo ukiweza..naweza kukutafuta inbox,ukinikubalia
Hiyo ya kununua viwanja na kuuza na iyo ya kuagiza mzigo china nimezipenda sema mtaji ndio tatizo mkuu lakin ningehitaji namba yAko kwA mawasiliano zaid
jaman tuchangie Barak tumia marafikizako 20 iri tuchangie Barak kuaziyaa Siku yareo utaanza Luna mabadiriko ndani Yamaha yako pokea blessing ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-xveQ1lGTS9Q.htmlsi=JcCWhDgN8_14QtV2
@@JosephDeus-u7v kipo soft copy ni Tsh 15000 . Lipa number 5122948 voda au Tigo pesa 0710387 388 Kelvin Kyaluoko kisha utanitumia message whatsapp kwa namba hiyohiyo nikutumie
@@JosephDeus-u7v kitabu kipo ni Softcopy kwa Tsh 15,000 tu kwenda lipa number 5122948 voda au Tigo pesa 0710387 388 Kelvin Kyaluoko kisha utanitumia message whatsapp kwa namba nikutumie
Biashara ya hoteli ni rahisi kuisimamia, kwa faida au hasara inajulikana siku hiyo hiyo. Ni ngumu kupata hasara kwa kuwa chakula linaweza kuhesabiwa na ukajua Leo chakula kiliuzwa kitaingiza sh kadhaa. Mfano baada ya wali wa kilo 5 kuiva hesabu sahani zote, hesabu mboga mpe muuzaji idadi ya sahani na mboga, hivyo hivyo kwenye vitafunwa.
Katika video bora za hamasa na maarifa mazuri ambazo nimeziangalia 2024 hii ni bora kwangu, umezungumza sehemu sensitive sana zote zipo kwenye malengo yangu. Nimetafuta mentor muda mrefu sana, lengo langu ni kuwa millionaire before 30.. Naomba mawasiliano yako uwe my life coach .. All the best kka una maarifa makubwa sana💥💥💥