Тёмный

BIASHARA ZINAZOTENGENEZA MATAJIRI WENGI 

Kelvin Kibenje
Подписаться 13 тыс.
Просмотров 61 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

1 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 182   
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 8 месяцев назад
Asante sana kwa kutazama n ku_like video hii. Asante pia kwa kusubscribe ili kuendelea kujifunza juu ya Elimu ya Fedha na bishara kupitia video ninazopost hapa
@GatsonGweso
@GatsonGweso День назад
Niaitaji kujifuza kwangizia mzigo chaina
@SesiliaThadeo-mo9fj
@SesiliaThadeo-mo9fj 26 дней назад
Na wew ni miongoni mwa matajir hao???
@gaitandaudy8561
@gaitandaudy8561 3 месяца назад
Nashukuru sana 🙏Brother kwa elimu yako unayotupa kiukweli unatusaidia sana vijana ambao bado tunajitafuta. Tunaomba mawasiliano kama ikitokea tunahitaji ushauri zaidi kuhusu biashara au hata E-mail yako ili tuweze kupata updates zako..
@rykd7868
@rykd7868 2 месяца назад
Nahitaji msaada wako mwezi watisa natafuta frem nianze biashara sijui niuze Nini Niko mwanza
@Malsad67
@Malsad67 Месяц назад
tunaitaji watu kama ww bro ongera sana kwa darassa
@GozibertAntony
@GozibertAntony 8 дней назад
Kaka nashukuru kwa huduma naomba uniunge kwenye group
@ModestaNyagawa
@ModestaNyagawa 2 месяца назад
Towa namba tuwasiliane jamani
@ElizabethGabriel-j6e
@ElizabethGabriel-j6e 8 месяцев назад
Natamani biashara ya kununua mazao na kuuza ila natamani kupata elimu zaidi
@erickelias-i1k
@erickelias-i1k 20 дней назад
Nahtaji kujifunza biashara za usafirishaji
@SamiAlphonce
@SamiAlphonce Месяц назад
Ahsante kwa elimu,naomba kuunganishwa na group lako ,ili kupata maarifa zaidi.
@ElizabethGabriel-j6e
@ElizabethGabriel-j6e 8 месяцев назад
Natamani biashara ya mazao kununua na kuuza ila elimu zaidi Sina kuhusu hii biashara
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Месяц назад
@@ElizabethGabriel-j6e kwenye page yangu nilieleza vizuri
@AlfredShija-c5o
@AlfredShija-c5o День назад
nahitaji msaada zaidi
@EdinaAbel-k8h
@EdinaAbel-k8h 2 месяца назад
😊nahtaji kujiunga na madarasa yako ya kujifunza kuagza bidhaa china ,,naomba utaratibu upoje
@JosephTogolai-wl2bw
@JosephTogolai-wl2bw 3 месяца назад
Nashukuruuu but mm mwenyew nahitaji ushauri kwa sababu ndo natarajia kuanza biashara zangu wakati huo huo Nina mtaji mdogo
@TumwamineLivingstone
@TumwamineLivingstone 6 месяцев назад
Please naomba kuwa wanafunzi wako wa darasa la WhatsApp (naomba link )
@AshaKahuya
@AshaKahuya 3 месяца назад
Nanitawezaje kujua supplier mzuri ni yupi ilikuepuka namtapeli
@AndersonLeheni
@AndersonLeheni 2 месяца назад
Nakupata Sana bro vp namna ya kuingiza kupitia Alibaba
@AmosPeter-o3k
@AmosPeter-o3k 4 дня назад
Join me in your group
@AndersonLeheni
@AndersonLeheni 2 месяца назад
Nahtaji za kufanya biashara ya fashion Ila mtaji sas
@LennySilas-jo3oj
@LennySilas-jo3oj 6 месяцев назад
Asante sana kumbe sasa kuna wengine hatuna connection za kuagiza china😢
@AbdulIterere
@AbdulIterere 3 месяца назад
Mm nataka kufanya biashara ya kilimo
@mariambakari8065
@mariambakari8065 8 месяцев назад
Wewe kaka nimeanza kukufatilia huu nimwezi wa 2 sasa yani nimejifunza mengi mnoo nakufunga kiakili mungu anibariki nijiunge ili niwe mwanafunzi wako umebarikiwa na mungu azidi kukubariki na akupe uhai mkubwa
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 8 месяцев назад
Amina. Asante sana sana
@JamesKimela
@JamesKimela 8 месяцев назад
Asante.binafsi kitambo naangaika kujua,na kuingia ktk biashara ya usafirishaji ila nakwana kutokana na kujuana na tabia za ukabila,.naomba nisaidie kwa hilo ukiweza..naweza kukutafuta inbox,ukinikubalia
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 8 месяцев назад
Changamoto zipo kila mahali na wafanyabiashara wakubwa ni kujua tu namna ya kukabiliana na hizo changamoto
@MariusWangao
@MariusWangao 2 месяца назад
Hiyo ya kununua viwanja na kuuza na iyo ya kuagiza mzigo china nimezipenda sema mtaji ndio tatizo mkuu lakin ningehitaji namba yAko kwA mawasiliano zaid
@SMnJoseph
@SMnJoseph 2 месяца назад
jaman tuchangie Barak tumia marafikizako 20 iri tuchangie Barak kuaziyaa Siku yareo utaanza Luna mabadiriko ndani Yamaha yako pokea blessing ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-xveQ1lGTS9Q.htmlsi=JcCWhDgN8_14QtV2
@stern_boi
@stern_boi 10 дней назад
Kaka natamani kumiliki app naanzaje ili wazo lixiibiwe
@kitavicommunication
@kitavicommunication 5 месяцев назад
Naitaji unisaidie machibo china
@raphaelmsabaha390
@raphaelmsabaha390 Месяц назад
Kaka nalipataje darasani la kujifunza uagizaji wa bidhaa nje ya nchi kwa kututumia albaba
@JamesYuda-y3b
@JamesYuda-y3b Месяц назад
Kivipi kutengeneza app na kufanya app furani kukulipa kwa ushauli vichekesho na uelimishaji
@JumaaDossa-rq5jb
@JumaaDossa-rq5jb 2 месяца назад
Mm nahitaji kitabu
@RosemaryDaniel-l3n
@RosemaryDaniel-l3n Месяц назад
Nashukuru nimejifunza kitu muhimu sana kweny maisha nilichokuwa sikifahamu ila nahitaji hicho kitabu nakipataje
@MapendoKasereka-q9s
@MapendoKasereka-q9s 2 месяца назад
Nami Pia na tamani ku anza biashara yaku enda chine sasa n'a weza ku anza kwa mufano na pesa kiasi gani? Niko Nord Kivu kongo apa butembo
@nicksonmadinga9465
@nicksonmadinga9465 Месяц назад
Uko vizuri kaka unaeleweka , uko well informed naomba namba yako tuwasiliane
@Nurumaulid-x4s
@Nurumaulid-x4s 20 дней назад
Naitaj namb kak niwez kujiunga namim kweny group
@Nurumaulid-x4s
@Nurumaulid-x4s 20 дней назад
Naitaj namb kak niwez kujiunga namim kweny group
@Nurumaulid-x4s
@Nurumaulid-x4s 20 дней назад
Naitaj namb kak niwez kujiunga namim kweny group
@CosmasNgoya-p3l
@CosmasNgoya-p3l Месяц назад
Safi sana kwa ushauri wako ambao ni dira nzuri sana kwangu .naomba nipate phone No yako kwa mawasiliano zaidi
@AshaKahuya
@AshaKahuya 3 месяца назад
Kaka kelvin hbar nawezaje kuagiza bidhaa kupitia alibaba or aliexpress kwa mimi ninae anza kufanyaa biashar naomba nisaidie please
@ImanueliMsafiri
@ImanueliMsafiri 3 месяца назад
Kaka me naitwa I'ma Niko mkoa wa Kilimanjaro naomba namba yako nataman kufanya biashara ya vyombo vya umeme ila kutoka nnje ya nchi
@mariaisaya7413
@mariaisaya7413 8 месяцев назад
Asante sana,mi naomba unisaidie kwenye biashara ya urembo,nianzaje,machimbo yake na mtaji nisaidie nijue pakuanzia
@GodfreyGerase
@GodfreyGerase 2 месяца назад
Asante sana mr kelvini mimi nina ombi lakini nikijarbu kukutafta youtub sikupati sipati mawasiliano nawewe nilikua naomba msaada kwajo
@MaryMarwa-tw7od
@MaryMarwa-tw7od 6 месяцев назад
Nahitaji kujifunza kuagiza vitu nje
@ddontz
@ddontz 4 месяца назад
Ipo video inaeleza hatua zote za kuagiza vitu nje ya nchi
@JosephTogolai-wl2bw
@JosephTogolai-wl2bw 3 месяца назад
Mm natakaaa niongee vzr na wewe nisaidiae namna ya kufanya ili nianze biashara zangu
@WinifriderZenus
@WinifriderZenus Месяц назад
Naomba nijifunze hiyo ya Alibaba
@JosephDeus-u7v
@JosephDeus-u7v Месяц назад
Kitab ni taapataje kiogzi
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Месяц назад
@@JosephDeus-u7v kipo soft copy ni Tsh 15000 . Lipa number 5122948 voda au Tigo pesa 0710387 388 Kelvin Kyaluoko kisha utanitumia message whatsapp kwa namba hiyohiyo nikutumie
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Месяц назад
@@JosephDeus-u7v kitabu kipo ni Softcopy kwa Tsh 15,000 tu kwenda lipa number 5122948 voda au Tigo pesa 0710387 388 Kelvin Kyaluoko kisha utanitumia message whatsapp kwa namba nikutumie
@RehemaGhamachana-oy1ez
@RehemaGhamachana-oy1ez 22 дня назад
Shukrani, nitaanza vipi biashara ya viwanda.
@JIENASJWILY
@JIENASJWILY 5 месяцев назад
Naomb unisaidie kaka nawezaje kupat bidhaa za kutok china
@AshaKahuya
@AshaKahuya 3 месяца назад
Nanitawezaje kijua supplier mzuri ilikuepuka namtapeli
@AshaKahuya
@AshaKahuya 3 месяца назад
Nanitawezaje kijua supplier mzuri ilikuepuka namtapeli
@RehemaJackson-v2c
@RehemaJackson-v2c 8 месяцев назад
Kaka nahitaji na me kujoin kwenye group la wasap ili nijifunze zaidi
@AshaKahuya
@AshaKahuya 3 месяца назад
Nanitawezaje kijua supplier mzuri ni yupi ilikuepuka namtapeli
@AshaKahuya
@AshaKahuya 3 месяца назад
Nanitawezaje kijua supplier mzuri ni yupi ilikuepuka namtapeli
@AshaKahuya
@AshaKahuya 3 месяца назад
Nanitawezaje kijua supplier mzuri ni yupi ilikuepuka namtapeli
@adamlukasofficialmusic
@adamlukasofficialmusic 7 месяцев назад
asante kaka kwa ujumbe mzuri naomba nierekeze niwe naagiza mzingo china naanzaje
@EdinaAbel-k8h
@EdinaAbel-k8h 2 месяца назад
Nahtaji kujiunga na darasa la kuagza bidhaa china naomba utaratibu kaka
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 2 месяца назад
whatsapp 0710387388
@AishaOman-qz7tn
@AishaOman-qz7tn 6 месяцев назад
Barikiwa sana
@NicholasJoseph-sn8ij
@NicholasJoseph-sn8ij Месяц назад
Sauti iko chini Sana mpaka inabidi tukuondoshe.
@GabrielLaizer
@GabrielLaizer 2 месяца назад
SUPER
@johnmurimi9831
@johnmurimi9831 8 месяцев назад
Naweza penda kununua vitu China lakini niko Kenya unaweza nisaidia aje
@VictoryParis-oy6op
@VictoryParis-oy6op 7 месяцев назад
Kaka naomba unisaidiye niweze kuagiza mzigo china
@PaulIyaka-o9x
@PaulIyaka-o9x Месяц назад
Vizuri sana kamoja namba nambaa yako ya mawasiriano
@judithpaul-kz4ov
@judithpaul-kz4ov 5 месяцев назад
Asanteee Ila naomba kusaidiwa kuusu mtaji naanza je?
@Faraja-f5j
@Faraja-f5j 8 месяцев назад
Shukrani sana mwalimu ..so many apreciation
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 8 месяцев назад
Shukurani pia
@emmanuelbahati6259
@emmanuelbahati6259 5 месяцев назад
​@@kelvinkibenjenaomba namba Yako kaka
@User255tv
@User255tv Месяц назад
Nimeishia 1:36 kukusikiliza. Asante sana.
@yohanasimbeye9458
@yohanasimbeye9458 6 месяцев назад
Namba mawasiliano yà kawaida ama.wssap nitumie big
@nasmamagambo
@nasmamagambo 2 месяца назад
naitaji kuanza biashara kaka naitaji nguvu yako ❤
@neemamoses291
@neemamoses291 6 месяцев назад
Unamadini mazuri sana,tafazari naomba namba ako brother
@WinifriderZenus
@WinifriderZenus Месяц назад
Naomba hujifunza hiyo ya Alibaba
@festoamos_tz
@festoamos_tz 8 месяцев назад
Yes! Kwa idea hizi ni lazima kutoboa.. asante kwa elimu hii adimu sana💪
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 8 месяцев назад
Asante pia
@HilaryMassawe-y7s
@HilaryMassawe-y7s Месяц назад
Bro nimekupata vzr sana
@NathanKiwale
@NathanKiwale 7 месяцев назад
Mimi nina biashara ya cafe ila maceshia wangu wanaingiza sana loss nimebaridisha watu kadha wa kadha lakini bado
@jamalkishangu
@jamalkishangu 4 месяца назад
Biashara ya hoteli ni rahisi kuisimamia, kwa faida au hasara inajulikana siku hiyo hiyo. Ni ngumu kupata hasara kwa kuwa chakula linaweza kuhesabiwa na ukajua Leo chakula kiliuzwa kitaingiza sh kadhaa. Mfano baada ya wali wa kilo 5 kuiva hesabu sahani zote, hesabu mboga mpe muuzaji idadi ya sahani na mboga, hivyo hivyo kwenye vitafunwa.
@kadondoinvestment4480
@kadondoinvestment4480 Месяц назад
Hi bro, nimekupenda bure, naomba uniunge kweny teregram, nataman kwenda china
@edakalinga1104
@edakalinga1104 8 месяцев назад
Mimi naomba unisaidie jinsi ya kwenda china na machimbo ya bidhaa napataje,kwa mfano nataka vipodozi au nguo nafanyaje Ili niyafikie
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 8 месяцев назад
Uzuri upo kwenye Darasa la whatsapp. Utajifunza
@fruitsofholyspirit9142
@fruitsofholyspirit9142 3 месяца назад
Naomba number yako
@hymonprudence4968
@hymonprudence4968 21 день назад
Nisaidie namna ya kuagiza
@salummpala4176
@salummpala4176 18 дней назад
Niunge kwenye group
@michaelmakaranga5877
@michaelmakaranga5877 8 месяцев назад
Katika video bora za hamasa na maarifa mazuri ambazo nimeziangalia 2024 hii ni bora kwangu, umezungumza sehemu sensitive sana zote zipo kwenye malengo yangu. Nimetafuta mentor muda mrefu sana, lengo langu ni kuwa millionaire before 30.. Naomba mawasiliano yako uwe my life coach .. All the best kka una maarifa makubwa sana💥💥💥
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 8 месяцев назад
Karibu sana. Karibu inbox
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 8 месяцев назад
Au bonyeza hii link👇 Www.instagram.com/kelvinkibenje
@tatumarunde
@tatumarunde 2 месяца назад
Nimependa point ya biashala ya chakula kwambia unaweka mgodin
@NaomyDaudi
@NaomyDaudi Месяц назад
Thanks kaka🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@revokatusMichael
@revokatusMichael 15 дней назад
Naomba namb kiongozi
@AsiaMfinanga-h5h
@AsiaMfinanga-h5h Месяц назад
Kama kuna group naomb uniunge
@SalmaMmbaga-sp6hk
@SalmaMmbaga-sp6hk 3 месяца назад
Naomba namba Yako pleas brother
@yolandaluvakubusa8516
@yolandaluvakubusa8516 16 дней назад
M nataka kwenda china
@LIGHTNESSISAYAMOLLEL
@LIGHTNESSISAYAMOLLEL 2 месяца назад
Natalia niweze kuagiza china
@ThomasLuginile
@ThomasLuginile 6 месяцев назад
Naomb namb yak kak
@AmusedCentaur-uf9us
@AmusedCentaur-uf9us 8 месяцев назад
Nipatie no. Yako tuwasiliane
@davidezekiel8466
@davidezekiel8466 19 дней назад
Naomba namba yako
@OmyDear-vc8rc
@OmyDear-vc8rc 6 месяцев назад
Hiv broo km ntak kifungua kaz ya uwakal
@jescarkinabo6281
@jescarkinabo6281 6 месяцев назад
Mimi pia jmn
@yoabumarushi5328
@yoabumarushi5328 5 месяцев назад
Ni kazi nzuri kutegemeana na site
@DonaldMnyipembe
@DonaldMnyipembe 5 месяцев назад
Naomba namba ya simu niagize kitabu
@DamianaEmmanuel
@DamianaEmmanuel 5 месяцев назад
Kitabu cha kilimo mim nahtaji
@florineflorian4535
@florineflorian4535 27 дней назад
Naomba niungwe
@AllyManyanda
@AllyManyanda 8 месяцев назад
Shida yangu kuagiza mzigo China
@omanjalan582
@omanjalan582 8 месяцев назад
Mr kelvin asnte sana naiman ntafanikiwa kwauwezo waAllah kupitia elmu hii
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 8 месяцев назад
Amiin🤲
@ObeidJilala
@ObeidJilala 8 месяцев назад
Hongera nimependa uwasilishaji wako ubarikiwe
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 8 месяцев назад
Amina. Asante sana
@Wilson197able
@Wilson197able 2 месяца назад
Nisaidie nambari ya simu
@SangaZaina
@SangaZaina Месяц назад
Naomba namba yako kaka angu
@crispingerald3000
@crispingerald3000 7 месяцев назад
Naomba namba nahitaji kitabu bro
@RanjitShirima
@RanjitShirima Месяц назад
Mungu akubariki kaka
@Ngoshawamkaya
@Ngoshawamkaya Месяц назад
Barikiwaaa
@franciscomelkiard9528
@franciscomelkiard9528 2 месяца назад
Naweza pata namba yako
@shamilasaidy
@shamilasaidy Месяц назад
Nataka kujua zaid
@johnmalale3860
@johnmalale3860 4 месяца назад
Nitumie namba yko kaka
Далее
AINA ZA BIASHARA ZINAZO MFAA MWANAMKE - JOEL NANAUKA
8:58
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
Episode 2 : Je,Ufanye biashara gani?
11:29
Просмотров 86 тыс.
Jinsi ya kuweka malengo na kufanikiwa
1:05:12
Просмотров 448 тыс.
TENGENEZA UTAJIRI KUPITIA HISA na Emilian Busara
57:11