Safi sana Baba mpe huyu mmakonde mshamba sn hana Shukurani” yeye alisema mondi kamsaidia sn ata mondi akimtukana amjibu leo kasahau ana mpiga vijembe mtu aliye mtoa tongotongo . Acha ushamba wewe mmakonde.kumbuka ulikotoka wewe mondi kakupa maisha. Safi sn Baba LEVO nakupenda sn✌️
Mm kwasasa uamuzi nilio chukua kuhusu huyo korosho akitoa nyimbo siend kuangalia wala kutoa komment yoyote Tuungane tuache kulisapot maana kinavimba muno mpaka kumwita alie msaidia Diamond et Simbaa zee et mshambaaa
@@celestinekhivali5824 ww sio mm MB zang hazita tumika hata dakika moja yy siana jifanya kafka kama alikua na mashabiki kumi me nimetoka akae akijua wame bak 9 Kwaajili ya kiburi chake fara corosho huyo
Wewe mwenyewe ni mshamba tu kwa hamo yoote hunayolopoka nimajungu tu na wevu hunakusumbua hamo kaza but I bb mungu hatakusaidia tu kwani huyo mondi ni Nani ? Kwani yeye ni mungu? Acha unafiki wehunaejifanya bb levo
sana wangepiga pesa lakn lig ya Diamond holiday ila ni Mond na kiba ndo maana Kiba akiwa kimya Konde ndo Ana trend lakn KIBA akirud konde anapotea kwanza na hafurukuti mpaka Kiba apoe.
Baba levo harmonize wewe ni msanii mdogo sana kwa Harmonize...Baba levo wewe ukiongea unataka watu wakuamini....Harmonize anahaki kujisifia kuwa yeye ni bora..Baba levo shida iko wapi?Tatizo unanjaa sana baba levo
Haloooooooooooo malipo ni hapa hapa duniani biguni ni mahesabu siba gulumaaaaaa daimond eee mugu kakulipia watakulana wao wenyewe halo kimiya kimiya tu 🔥🔥🔥🔥
Jamani huyu Baba Levo, kazi ya Domo anaiweza , Niki pata Muda wa kuonana na Bosi wetu MO ntamshauri tumchukue asaidiane na Mkari HAJI MANARA ili YANGA mtukome vizuri
Babalevo wacha ujinga,hamo yupo vizuri diamond kwani Ni mungu,manyumba tutayawacha humu duniani,ata ujui kuimba Kama konde boy na unajilenganisha nae,unabore wewe pua Kama nyoka,