Тёмный

DIAMOND AMJIBU HARMONIZE - "HAKUA NA HESHIMA, ANATUMIA KIKI, UNANIFUATISHA MIMI" 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 810 тыс.
50% 1

DIAMOND AMJIBU HARMONIZE - "HAKUA NA HESHIMA, ANATUMIA KIKI, UNANIFUATISHA MIMI"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #Diamondplatnumz #FOA

Развлечения

Опубликовано:

 

13 мар 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,1 тыс.   
@seifjuma9769
@seifjuma9769 Год назад
Hakuna msanii kama SIMBA Tanzania hii,,ivi nan anapinga...kama ukopamoja na mimi gonga like
@seifjuma9769
@seifjuma9769 Год назад
Mondi wewe una utu sana,na wanaokwita KIATU wanajiongopea maana bila ya wewe wasenge toboa,,kama upa1 na mm like
@ChristopherMahuma
@ChristopherMahuma 2 месяца назад
Umedata nin? kwhy mwanzo kabla ya mond, kulikuwa hakuna wasanii
@shabanichaye8255
@shabanichaye8255 Год назад
Mtoto kwa baba hakuwi Harmonize muombe msamaa Baba yako 🦁🦁🦁🦁🦁
@forcienelokoiluku
@forcienelokoiluku 11 месяцев назад
Akili una ww
@kulthummohamed101
@kulthummohamed101 11 месяцев назад
Awap
@SilaMinanda
@SilaMinanda 5 месяцев назад
Naangalia tena leo hii 2024, Aya Harmonize hyo bado anapambana. Anazidi kukua zaidi
@tigerclassic-
@tigerclassic- Год назад
Diamond is always at the top mimi kivyangu naona harmonize Hana heshima hata kidongo... mwambie kama sio Simba yeye sa hatungekuwa tunamjua..
@mickidadyplanet6476
@mickidadyplanet6476 2 года назад
Kulalamika ni point ya udhaifu..I like this point...& l like you too diamond...your a baba of bongo flavor...🔥🔥🔥
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 Год назад
Mimi nilikuwa na hiyo tabia ,hahha nikishindwa jambo nasukumia lawama sehemu ,nikaja nikajielewa kumbe kukosa sio dhambi
@bluecock418
@bluecock418 2 года назад
I believe you Diamond, you are the core ray of the world,na manage na Mimi niko mkongo kutoka DRC,naishi Uganda Kama refugee na niko nime sainiwa ndani ya Black Market Records,lakini hali mbovu jamani, yaani naiitaji msaada wako kaka eh😭
@havyarimanaally7490
@havyarimanaally7490 Год назад
Kwel ndo hivo simba tenda wema usisubir asant Allah atakulip kwakile ulich fanya nasi mashabik tuko nyuma we love you simba God bless you for your business
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 2 года назад
Kama angemjibu si ingekuwa afadhali. Kakwepa swali big time
@mariamma434
@mariamma434 2 года назад
Daimond tumia wAkatiwako usitishiwe nabinaadamu muhimu ni mungu akupende na mamako na mitumi wako aovipi
@rehemakimako228
@rehemakimako228 2 года назад
Daimondi ww ni mkaliwaooooo
@uwezoajaba9999
@uwezoajaba9999 Год назад
Big up sanaa diamond platnumz ni msanii wakuigwa Tanzania
@sevastierkalumba5052
@sevastierkalumba5052 2 года назад
Without you platnumz Harmonize cannot write all songs that's why he keeps on looking back to you mond just focus with your work man I salute you
@jeamwenda7394
@jeamwenda7394 2 года назад
Kulalamika ni udhaifu.period!!
@mosexdavid9126
@mosexdavid9126 2 года назад
Chawa alikua makini kwenyesofa za wasafu..sana2 mwanangu baba levo,nakukubali askali💪
@saumomar2017
@saumomar2017 Год назад
Kama wamkubali baba levo hapo nyma..gonga like....we. Alivyotulia 😂😂😂😂
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 2 года назад
Moja ya nyimbo natamani uimbe....ni Wimbo wa kumtukuza Mungu kupitia kipaji chako...
@salimhamad5994
@salimhamad5994 2 года назад
🤣
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 2 года назад
@@mudyyntaegatv1143 Una maana gani Bro.... kusema vile.... maana ukisikia kila eneo anamtaja Mungu kwenye maongezi yake....ni Vema amwekee wimbo Bro...Poa Sana 🙏
@mudyyntaegatv1143
@mudyyntaegatv1143 2 года назад
@@kalumbugideon4159 sorry man
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 2 года назад
@@mudyyntaegatv1143 Usijari Ndugu yangu....hila unaeza futa ulichokiandika tu.
@Othmansheby
@Othmansheby 2 года назад
Akunaga nyimba ya kumtukuza Mungu hivi bwsna yesu yy aliimbaga nyimbo gani? au alisemaga muimbe au ni oetro ndio alie wschanganya kabla ya yesu kufa miaka 600
@johnjonath6687
@johnjonath6687 2 года назад
Jeshii 💥🐘💥
@adoshabani1305
@adoshabani1305 2 года назад
Simba kama simba I love you whatever anything talked about took like anonses your our giant at all LION OF AFRICA
@rehemakigobe5447
@rehemakigobe5447 Год назад
Mondi mnafki2
@chrisswaller960
@chrisswaller960 2 года назад
Kulalamika ni ufala kabisa well said bro , just stay calm an relax 🖐
@magidalenarauya4286
@magidalenarauya4286 2 года назад
Mungu akubariki mwanangu nakuelewa sana,unaakilisana
@Conshamusic
@Conshamusic 2 года назад
Nimepata Kitu Kupitia Hii interview nitayafanyia Kazi na Nitatoboa zaidi Yako Mond🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎤🎤🎤🎤
@ShabaniRaphael-fy4vi
@ShabaniRaphael-fy4vi 20 дней назад
Harmo IS my everything 🎉 n'a ningemuona ata Siku moja Hana kwa Hana
@jamesmuthangya9843
@jamesmuthangya9843 Год назад
Simba wambie mungu ndio anatoa ata waongee vibaya kwako mungu ndio mutoanji kila kitu dont worry brow god is great we love you brow
@kylesmeight4837
@kylesmeight4837 2 года назад
Konde vujisha voice za nipe mkono tushindane😃😀😀😀
@Conshamusic
@Conshamusic 2 года назад
Diamond PLATNUMZ u're Heroooooo Kabla sjaskiliza interview nilijua utaongea point na imekuwa ivo
@kikikingtv657
@kikikingtv657 2 года назад
Hajajibu swali hata moja Ila maelezo mengi wewe umeelewa nini Kama sio shobo
@Conshamusic
@Conshamusic 2 года назад
@@kikikingtv657 na Iyo ndo tofauti ya wasanii wenye akili na wasio na akili Lazima mtu ujibu maswali kurekebisha na kesho Usiwe mropokaji afu we unaonekana shoga unatafuta bwana Acha shobo Utaliwa ndogo
@metallicthemelodious_
@metallicthemelodious_ 2 года назад
Tazama hii pia ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-9-57UtaR8Tw.html
@silasila3111
@silasila3111 Год назад
Good naku penda sana simba 🦁🦁🦁🔥🇨🇩
@njokake6775
@njokake6775 2 года назад
Am baq to say harmonize was right
@flomenafrancis9728
@flomenafrancis9728 Год назад
Fact
@mashabikiwaharmonize
@mashabikiwaharmonize 2 года назад
Chunga JESHII 🔥 🐘 ATAKUZIKA WEWE
@nasramohamedi4095
@nasramohamedi4095 2 года назад
Thubutu🙄🙄🙄mna kichaa nyie
@user-gz4qb9wz3d
@user-gz4qb9wz3d Месяц назад
Jeeesh n gwijii
@hamadrajab8042
@hamadrajab8042 2 года назад
There's a life after, for eternity, the worldly pleasure is only temporary, your action has a big concequence in the hereafter.
@kareemalamoody7760
@kareemalamoody7760 2 года назад
Wanacheza
@macvoice6098
@macvoice6098 2 года назад
wewe teseka pole pole ...and pray hard that there is indeed life after eternity or you might suffer twice!!
@mosessarafina4844
@mosessarafina4844 2 года назад
My brother umekuwa sanaa
@Olloh_aka
@Olloh_aka 2 года назад
Umeongea point strong sana bro diamond nimejifunza kitu leo, I'm proud of you ma brother
@kenadomedia8244
@kenadomedia8244 2 года назад
😆😅😆😅😆Baba levo nakucheki hapo nyuma! Chawa promax,big love from 254
@olivertsumake3212
@olivertsumake3212 2 года назад
Sema akipawa chance ya kuongea hapo maneno kama yote
@marrynoel8838
@marrynoel8838 2 года назад
Dah! Ebana katulia huyo hii 🤣🤣 kama aongei hivi
@joelteti1464
@joelteti1464 2 года назад
Nilikuwa sijamwona huyu kengeee😂😂😂 lijingalijinga lakin namkubali kinoma
@nshimpeniel9743
@nshimpeniel9743 2 года назад
Amekaa nyuma uyo umbwa
@roselyimo2952
@roselyimo2952 2 года назад
😂😂😂
@annajohn2488
@annajohn2488 2 года назад
Mwambie boss wenu apunguze kupanic yy sio mungu kwanini Ana force kuabudiwa mpumbavu uyu yy mbona hakumweshimu ruge anaumia sana juu ya jeshi
@owenmutale6691
@owenmutale6691 2 года назад
Mtazamo wko na unapanic nn ssa na matusi
@user-qe6bx5iw9f
@user-qe6bx5iw9f Год назад
Mond nibaba kimziki brothes nakupenda sana
@muhonileonard4047
@muhonileonard4047 2 года назад
Nimemsikiza Diamond kwa uchache katika video clip hapo juu. Itoshe kusema level ya maturity ya Diamond iko juu sana ukilinganisha na wasanii wengine katika kada yake. Kupitia interview hii nimepata kufahamu ana uelewa wa juu sana wa maisha na namna ya kukaa na watu na "viatu". Kwa uongozi WCB naona uwezekano mkubwa tu wa kuandika kitabu au kutengeneza filamu ya maisha yake ili kutoa mafundisho fulani hivi. Lakini pia kuna fursa ya Diamond kuongea na vijana.... ana maneno fulani hivi ya kumjenga mtu|kutia moyo. Mwisho wa yote ni hatua aliofikia ya kumiliki na kuendesha biashara kama WCB kuna mengi sana ya kujifunza kutoka kwak hasa kwa vijana.
@mathiassilwamba8279
@mathiassilwamba8279 Год назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯
@crytonmnemamayele3600
@crytonmnemamayele3600 Год назад
Xawa ni kwaeli
@abdulkadirramadhan
@abdulkadirramadhan Год назад
Ona iyo kitambi yake sasa ilivyokaa
@dandola9323
@dandola9323 2 года назад
Harmonize alisema ukweli naatabaki kuwa juu
@salmsalmo931
@salmsalmo931 2 года назад
Umeonaaaa eeeeh
@shakeelsakku1236
@shakeelsakku1236 2 года назад
True girl simple girl Wow diamond kizazi sana 4life ww twanga job songa mbele my
@bakariomary5781
@bakariomary5781 2 года назад
Ogopa sanaa mtu anaeongea hivyo ooh upole mwingi ila moyoni 🔥🔥🔥
@williamkeita1519
@williamkeita1519 2 года назад
Yupi ndio usiogope
@dontsto3865
@dontsto3865 2 года назад
Wacha ufala ww bila shaka utakua mmakonde au mpokomo
@ninjaisma7983
@ninjaisma7983 2 года назад
Jamaa anajieleza sana utajuwa wazi hormonise kabonga ukweli mtupu ile day
@nyimbompyatzmkono773
@nyimbompyatzmkono773 2 года назад
Kwel kbs
@mashiassenga8849
@mashiassenga8849 2 года назад
True bro Simba mtu akinena mabaya Mungu anakubariki zaidi
@safsanjulius5829
@safsanjulius5829 2 года назад
Wewe unajifanya haukuskilza wewe loho baya jeshiiii 💥💥💥🐘💥
@rajaipelly557
@rajaipelly557 2 года назад
Ivi Kiki siulianzisha wew
@jonnyhaberintwari5945
@jonnyhaberintwari5945 2 года назад
Wewe diamond uko na uchoga sana umejaaa wivu
@hafsashayo1713
@hafsashayo1713 2 года назад
Mungu azid kukubarik diamond
@alfanm.8221
@alfanm.8221 2 года назад
Kwa lipi badala ya kumwombia ili amrudie mola wake na kuacha mziki maana mziki ni haramu.
@009biafra8
@009biafra8 2 года назад
Ameni huyu mwamba n nguzo
@amiraljosefgirukwishaka7453
@amiraljosefgirukwishaka7453 2 года назад
Diamond Platnumz you're the best
@idyusuph1924
@idyusuph1924 2 года назад
Big.. Umebarikiwa sana.
@MJ-rr6dy
@MJ-rr6dy 2 года назад
safi sn mond umeongea vzr big up 👏👏👏👏
@patrickgodfrey7230
@patrickgodfrey7230 2 года назад
Genious mond. 🔥🔥🔥🔥🔥
@009biafra8
@009biafra8 2 года назад
Hiki kichwa c cha kuzaliwa Tz Mwenyezi Mungu alituletea kama zawadi ya ukombozi wa muziki wetu EA na amefanya kazi yake
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 2 года назад
🙄🙄🙄🙄
@abbasisalehe5597
@abbasisalehe5597 2 года назад
We fara nn zawad gan hapo we mjinga kwelii rafk ang
@johnblkajay2158
@johnblkajay2158 2 года назад
Nyinyi watanzaniya akili a'mna kbisa Kinshasa tuna juwa tzt wanawasani kisa ni Steven kanumba kisha hakaja huyo diamond platnumz
@naijadotcom8970
@naijadotcom8970 2 года назад
KUMBE HUYU NDO ALIMFANYA STEVE NYERERE AJIUZURU👉 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-9rK399duqKM.html
@009biafra8
@009biafra8 2 года назад
@@johnblkajay2158 Steve Kanumba n Mwanamuziki Nyoko 🖕🖕🖕
@kudramzee5769
@kudramzee5769 2 года назад
Jeshi kama jeshi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🚒🚒🚒🚒🔥🔥🔥
@limbomambo9728
@limbomambo9728 2 года назад
Konde gang for every body huwezi wewe tembo jeshi mnyama teacher harmonize bakhresa ni fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@luckyngumbi4243
@luckyngumbi4243 2 года назад
Nakubali Sana diamond wewe ni dalasa
@osiahstimah
@osiahstimah 2 года назад
Album mbovu nyimbo nzri ni fresh tuuuu
@paulojalango898
@paulojalango898 2 года назад
Mwambie baba yako aimbe yake
@osiahstimah
@osiahstimah 2 года назад
@@paulojalango898 sawa ntamwambia ila atamshirikisha mama ako
@mrramadhanimsangi7073
@mrramadhanimsangi7073 2 года назад
Imba wewe
@limbomambo9728
@limbomambo9728 2 года назад
Jeshiiii tembooooo mnyama teacher harmonize fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@theseeker2159
@theseeker2159 2 года назад
Simba ww ni super star 🌟 hamo akiamua kuacha kukushambulia ndio mwisho wake atapotea.kama ni mziki ameteremka.Africa top 3 simba🔥🔥🔥🔊🔊🔊
@msalabanireko1518
@msalabanireko1518 2 года назад
Sikupng
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 2 года назад
Achana na Harmonize kwanzA wewe lily om ashakuchana kuwa uache kumshobokea na uyo sadala na radio yenu mnapenda Sana kumshusha sana Harmonize
@shijathedon5453
@shijathedon5453 2 года назад
Akili una ww
@salim02tv24
@salim02tv24 2 года назад
Wamshushe kwan lini ashawai kuwa juu
@shijathedon5453
@shijathedon5453 2 года назад
@@salim02tv24 wengine awa wanafuata mkumbo tuu mziki awafuatilii lily omy kumshobokea mmakonde never
@salim02tv24
@salim02tv24 2 года назад
@@shijathedon5453 kabisa.. Tambwe ni mkubwa kwenye ii tanisia kushida ataa uyo kilandage wao
@sabrijuma1552
@sabrijuma1552 2 года назад
On fire 🔥🔥 WCB4LIFE
@arsenebisimwa8031
@arsenebisimwa8031 2 года назад
👍👍💥💥💥🔥🔥omeongeleya pointu brother
@davidmkali4598
@davidmkali4598 Год назад
Sema huyu jamaa anakua sasa...MTU mzima ukitoa usanii maisha kama binadamu ashaanza kujitambua mapema Kuwa muda umeshafika utoto kule..
@Mollel69
@Mollel69 2 года назад
Duuh jamaa anakwepa Sana maswali
@ntakilutandato
@ntakilutandato 2 года назад
Mimi nakupenda tu kwa sababu unajiamini na ni kweli hunaga Tabia za kuwajibu wanaokusema vibaya wakati nafasi ya kujibu unayo na hadhi ya kusikilizwa unayo kwa sababu wewe ni baba yao kwenye gemu, yaani hata maneno mengi huna.
@kikikingtv657
@kikikingtv657 2 года назад
Wewe ludi shule umelogwa maana Wew na shoga ako inaonekana Tabia moja
@abeidathuman9218
@abeidathuman9218 2 года назад
Swali halijajibiwa umeulizwa kuhusu mikataba lkn umejibu tofauti
@rehemathoya8754
@rehemathoya8754 2 года назад
# FOA# all songs are my best songs, 👋🏽👋🏽👋🏽
@lemrema1087
@lemrema1087 2 года назад
Kulalamika ni point ya udhaifu 💯💯💯👏👏👏
@amerix_official
@amerix_official 2 года назад
Tanzanians play Kenyan music
@slowmenino7804
@slowmenino7804 2 года назад
Who wants to hear mbogi genje tuseme ukweli bro
@lusuwilonzowa9835
@lusuwilonzowa9835 Год назад
Acha uongo domo kubwa sema ulitaka harmonize akuabudu hayo maisha ya kizamani leo DG katusua gere zinakusumbua unajifanya mwemaaa
@user-qe6bx5iw9f
@user-qe6bx5iw9f Год назад
Juweni kwamba acheni kulenganisha diamond n'a kipande uyo harmoniz nibaba wamziki
@hemedyhassan6976
@hemedyhassan6976 2 года назад
kazi kweli
@boythenizefrommuedanga4055
@boythenizefrommuedanga4055 2 года назад
Vizuri Simba wangu
@urbanuswambua2866
@urbanuswambua2866 2 года назад
Simba nakutambua sana akh.., from Kenya bro 016
@user-uv2uo2ic2y
@user-uv2uo2ic2y 11 месяцев назад
baba levo katulia kama sisis kipindo chanyuma mimi na wazazi wangu nilivo kuwana nyenyekeya
@karimujuma6595
@karimujuma6595 2 года назад
We ndio heshima huna babako umemkataa watto wa watu unawachezea kila kukicha achana na tembo
@009biafra8
@009biafra8 2 года назад
Kila timamu anamheshmu kwa makubwa aliyoyafanya
@mwikamwika4851
@mwikamwika4851 2 года назад
Kwani wewe Karim unamjua baba yako? Uliza vizuri kwa shangazi zako watakuonyesha baba yako haswa. Acha kuparamia usiyoyajua wakati mama yako kaitunza Siri ya baba yako
@karimujuma6595
@karimujuma6595 2 года назад
@@mwikamwika4851 ndio ttzo la kufikiri kwa kutumia makalio ungefikiri kwa kutumia kichwa usingeandika upimbi km huu kula kulala mna matatizo sana
@mwikamwika4851
@mwikamwika4851 2 года назад
Karim,unamjua baba yako mzazi au mama yako alitunza Siri? Watu wanajua kuliko unavyofikiri
@johnthomasnicesongs8353
@johnthomasnicesongs8353 2 года назад
Nakubali Sana mkali wangu diamond
@sponsor7882
@sponsor7882 2 года назад
umekamtwa na chain za giza
@009biafra8
@009biafra8 2 года назад
@@sponsor7882 Ila Diamond anatesa yatima wa cloud
@metallicthemelodious_
@metallicthemelodious_ 2 года назад
Tazama hii pia ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-9-57UtaR8Tw.html
@tanduboe
@tanduboe Год назад
Is true brother
@phideskalungwizi6957
@phideskalungwizi6957 2 года назад
Sadala mziki umeisha kubali konde ndo top in town kam huamn njoo hku udom uone tunavyomkbl konde boy bakharesa
@beetechtechnologiesandserv586
@beetechtechnologiesandserv586 2 года назад
Simbaa baba lao 👏👏👏🍾🍾 wagenda uko wapige nyimbo, Zao kivyao WA hit tuwaone, ukishikwa mkono hata kuvuka mafi shukuru
@jadenjames4441
@jadenjames4441 2 года назад
Kiki zipo wasafi Kaka
@kambiyusufu4994
@kambiyusufu4994 2 года назад
Namuona chawa nyuma ya boss
@dizzohmwinjilisti2549
@dizzohmwinjilisti2549 2 года назад
Nakupenda Diamondy.....wcb4life. 254 in the building....
@slimmuhabesh2400
@slimmuhabesh2400 2 года назад
Note. "Kulalamika Ni Point Ya Udhaifu..".. Tushikilie hapo
@jcrackcrack1669
@jcrackcrack1669 2 года назад
True
@reganmaiko1644
@reganmaiko1644 2 года назад
True
@shabanitohtv7395
@shabanitohtv7395 2 года назад
Harmonize hakulalamika,alikuwa anatapika nyongo,anatafuta peace.
@swiftsmith3100
@swiftsmith3100 2 года назад
hakika
@slimmuhabesh2400
@slimmuhabesh2400 2 года назад
@@shabanitohtv7395 kulalamika Ni point ya udhaifu tuishie hapo
@franklinrobert7727
@franklinrobert7727 2 года назад
Harmonize ❤️ alisema ukweli bwana . Juzi ulivunja kizungu at you are 31st,. wtf are you dude 😂😂💔
@AllySam-ip7uw
@AllySam-ip7uw Год назад
Utaishia kucomment
@omahboy0012
@omahboy0012 2 года назад
Kwl,,,, umetishaaa sana
@haxxgv5598
@haxxgv5598 2 года назад
Diamond hufai bro uko na roho ya ushetani
@zepinashatibu5149
@zepinashatibu5149 2 года назад
Majibu yako yanaonesha ukweli wote alio uongea harmo hajakosea huwa unawapa chawa waongee kisha unajifanya hukumbuki
@hidayaally7059
@hidayaally7059 2 года назад
msjenzi tuu mond mpenda sifa sana
@emmanuelmchomvu2676
@emmanuelmchomvu2676 2 года назад
Hujibu maswali mzee...
@josephmasenga7718
@josephmasenga7718 2 года назад
Yana ukweli
@hassankhamis7380
@hassankhamis7380 2 года назад
Kaka wewe ni mti wenye matunda milele lazima utapigwa mawe 🦁 🦁 🦁
@millitarybattalion7515
@millitarybattalion7515 2 года назад
Hii Tv kila siku Diamond tu hamna mada nyingine zaidi ya diamond
@smileboy6199
@smileboy6199 2 года назад
Kwan umeambiwa ufatilie
@jadenjames4441
@jadenjames4441 2 года назад
Na chawa mwenyewe yupo nyuma hapo
@bintabajo1132
@bintabajo1132 2 года назад
Looking amazing ❤❤❤💯🇬🇲🇬🇲🇬🇲
@samsonezekiel5239
@samsonezekiel5239 Год назад
Baba Levo katulia tuli anaburudisha sana
@user-gz4qb9wz3d
@user-gz4qb9wz3d Месяц назад
Harmonize n msanii mzur sana huyu Mondi nafiki sana
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 2 года назад
Hiv interview bila harmonize haziendi wana, si yashaisha hayo,,#harmonize amd #diamond wote ni wasanii, na hamna aliye mkamilifu kati yao, wote wana mapungufu yao, so kutokana na mapungufu yao kila mtu atahis yupo sahihi.
@olgamuhiyaolgamarthe4336
@olgamuhiyaolgamarthe4336 2 года назад
True💯💯💯
@009biafra8
@009biafra8 2 года назад
Hamokinyesi mwenyw Mbna alishaondoka lkn kila siku mkundu upo WCB
@donkaloza6985
@donkaloza6985 2 года назад
@@009biafra8 😂😂😂😂😂
@omarymbogo9943
@omarymbogo9943 2 года назад
Mond anaaa akili ndoo anawajibu sasa vzr baada ya mda kufika huo ndoo ubusara ww ww afu ww mwanaume fikilia
@meaningoflife651
@meaningoflife651 2 года назад
Na interview bila diamond pia haziendi?
@ramazecha2877
@ramazecha2877 2 года назад
True harmonize aliongea point hyu mbwa najiita simba yye hapendi mafanikio Kwa wenzake konde boy 🔥
@maembamwita4716
@maembamwita4716 2 года назад
Aisee kuwa na akili ya ziada iv asingependa maendeleo angemshika mkono mpk hapo alipo even though M Mungu ndo kila kitu ila #diamond ndo alie mfanya awe hapo
@deonkspn9602
@deonkspn9602 2 года назад
Huna akli we pumbu
@metallicthemelodious_
@metallicthemelodious_ 2 года назад
Tazama hii pia ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-9-57UtaR8Tw.html
@vedastowilliam4654
@vedastowilliam4654 2 года назад
Umenifurahisha uliposema mwijaku anakukubali pia mara anakubomoa nakukubalimondi Mimi mshabikiwako sanatu kukaakimya nisilajapia ,
@frielarlmond8482
@frielarlmond8482 2 года назад
Mondi is the finest ever harmonize ni katuni tu rayvanny ni motoo🆗🆗
@morganoundo5964
@morganoundo5964 2 года назад
harmonize alisema ukweli for this yrs harmonize will be the b eat art just apologize to him achauongo najuwa unaringireti
@maritinamutunga6500
@maritinamutunga6500 2 года назад
Harmonize was very true.
@bramzymedia4553
@bramzymedia4553 2 года назад
namwaona chawa hapo nyumaaa 🔥🔥
@msouthqualitymabati4657
@msouthqualitymabati4657 2 года назад
Ina wezekana uwekezaji Ni mkubwa ambao msanii yeye mwenyewe aoni Ila kikubwa mafanikio
@ramadhanyoungki6207
@ramadhanyoungki6207 2 года назад
Umemuona..chawa..
Далее
Она Может Остановить Дождь 😱
00:20
Studio Session KOMANDO,G nako ft Diamond Platnumz
25:35
Всегда проверяйте зеркала
0:19