Тёмный

Baba Olivia Episode 03//Single Father & Daughter rescue A Helpless Man who caries a secret. 

Henry Mwakajumba
Подписаться 98 тыс.
Просмотров 322 тыс.
50% 1

#GaboziGamba (Baba Olivia) Anachelewa kazini baada ya kumsaidia mtu alie poteza fahamu.Bila kujua huyo mtu ame patwa na nini, anapiga simu kumuita mwenyekiti wa kijiji ambae nae anapendekeza mtendaji wa kijiji anatakiwa kuwepo hapo kutoa utatuzi ya sinto fahamu hiyo.Hofu inazidi kati yao kwani Kuna kijana alie kuja kumuuliza binti wa jirani anaonekana kama sio mtu wa kawaida na hakuna anae jua dhumuni lake kuu.
-----------------------------------------------------------------------------
GaboziGamba (Baba Olivia) is late to work after helping a person who had lost consciousness. Without knowing what had happened to that person, they call the village chairman, who suggests that the village executive should also be present to resolve the confusion. Anxiety grows among them because the young man who came to ask about the neighbor's daughter seems unusual, and no one knows his true intentions.
#HenryMwakajumba
For business:
mwakajumbafilms@gmail.com
instagram: / henrymwakajumba

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 543   
@GfgGgh-v5z
@GfgGgh-v5z 4 месяца назад
Wi-fi za bure tujuane tupo na baba Olivia mpaka amuoe mwalimu 😂😂😂😂
@JustinaHerbeth
@JustinaHerbeth 4 месяца назад
😂😂😂 tuko apaa
@GfgGgh-v5z
@GfgGgh-v5z 4 месяца назад
@@JustinaHerbeth pamoja sana
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
Na hakikisha hawazimi hiyo WIFI usije pitwa!😂😂😂
@GfgGgh-v5z
@GfgGgh-v5z 4 месяца назад
@@henrymwakajumba 😄😄 pamoja sana babu yake Olivia 😍
@EL-Protabolisa_Le_King
@EL-Protabolisa_Le_King 4 месяца назад
We naweee😂😂😂😂
@gonnetheboss1708
@gonnetheboss1708 4 месяца назад
Jamani wote tunao mkubali gabo na kazi zake gonga like hapa
@amanchuphichuphi4725
@amanchuphichuphi4725 4 месяца назад
Namkubali sana
@emmanuelqaday6949
@emmanuelqaday6949 2 месяца назад
Mbccy 8:17
@IsmailKitanzi
@IsmailKitanzi Месяц назад
❤namkubl san uyu mwamb anajuwa
@AlfaiatariadepalmaMustafa
@AlfaiatariadepalmaMustafa 4 месяца назад
From Mozambique 🇲🇿 Hapa wadau wote wa Sison hi Nisha wapa like zenu kasoro Mimi 2. Basi nipeni zangu angalau kidogo
@HassaniselemanPwicha
@HassaniselemanPwicha 3 месяца назад
Haaaa vp uko amego
@OmaryGandi
@OmaryGandi 4 месяца назад
Unachelewesha aisee wangap wapo pamoja na mimi
@francispendaely7239
@francispendaely7239 4 месяца назад
Aseeh, Gabo muwe mnatuwahishia kututumia hii tamthilia ni nzuri sana
@rizikladyherson8451
@rizikladyherson8451 4 месяца назад
Wanacheleweshaa
@Ciza-ferouz1
@Ciza-ferouz1 4 месяца назад
Napenda kingereza cha uyu dada alivyo ongea na mzungu 😂
@JasmineYasry
@JasmineYasry 4 месяца назад
Kama mimi nimependa
@Egline-x3k
@Egline-x3k 4 месяца назад
Finally the comment I was looking for 😅😅😅😅😂😂😂😂
@Ciza-ferouz1
@Ciza-ferouz1 4 месяца назад
​@@Egline-x3kis too much😊
@marryammarryamestarry731
@marryammarryamestarry731 4 месяца назад
Yani uyoo ndo Mimi kabisaaa 😂😂
@kwisa4899
@kwisa4899 4 месяца назад
kingeleza kipi kaongea 😂😂😂😂
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 4 месяца назад
D Mbili kwenda mbele ndio tunafahamu movies za huyu Gabo. One amongst the greatest actor in our region.
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
Wenye D za kingreza cha Siwema je?😁
@salimrama8499
@salimrama8499 4 месяца назад
Badilisheni siku ya kupost new episodes at least iwe siku mbili kwa wiki au siku tatu ama ata kila siku episode moja!!! Hayo ndio maoni yangu
@almaarifonlinetv
@almaarifonlinetv 4 месяца назад
Nenda kwa mkojani bro 😂 anapost kila siku
@BrendaJimmie-hj1lf
@BrendaJimmie-hj1lf 4 месяца назад
😂
@Gamba81
@Gamba81 4 месяца назад
​@@almaarifonlinetvkatoa maoni tu upaswi kumjibi hivyo kuwa na hekma
@ukhtymwana40
@ukhtymwana40 4 месяца назад
​@@almaarifonlinetv😂😂😂
@bestkilimanjarohike
@bestkilimanjarohike 4 месяца назад
Usijali
@ChefMichael-us2lh
@ChefMichael-us2lh 4 месяца назад
Maudhui mazuri, waigizaji wametimiza wanachotakiwa kufanya kwenye uhusika wao can't wait to see the next episode
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
Asante sana karibu kwenye Familia!
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 4 месяца назад
Kwani nimechelewa kuna wane 4 from Oman 🇴🇲 nishawagaiya like wote bdo mm tu hamjanigaiya
@kabintmpase1544
@kabintmpase1544 4 месяца назад
Tupo watumia wifi za bure
@Aishwaraimasiennah
@Aishwaraimasiennah 4 месяца назад
​@@kabintmpase1544tupo sana😂
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 4 месяца назад
😂😂😂😂Kabisa 😂😂jua kali 😂😂bey bey😂😂Mimi nipo na baba olive 😂😂
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 4 месяца назад
@@faudhiasalum7279 ww unanionea Kabisa😂😂😂
@beautifulafrica6886
@beautifulafrica6886 4 месяца назад
😂🤣🤣😂🇴🇲🇴🇲🇴🇲❤❤❤🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿💕💕💕
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 4 месяца назад
Mwenyekiti muda wote anawza kula tu😂😂😂
@NancyPeter-t2i
@NancyPeter-t2i 4 месяца назад
Ww acha tu
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
Kila mda ana njaa!😂😂😂😂
@beautifulafrica6886
@beautifulafrica6886 4 месяца назад
🤣😂🤣😂🤣😂
@bahatishughuli
@bahatishughuli 3 месяца назад
😅
@SuleymanMnkologwe-q8j
@SuleymanMnkologwe-q8j 3 месяца назад
Kula kwanza kaz badae😊😊
@fadhilhamdu7063
@fadhilhamdu7063 2 месяца назад
Mwalimu pisi imenyooka alafu ,mtoto anajuwa sanaaa❤
@TantineZuzu
@TantineZuzu 4 месяца назад
Big up sana team nzima kwa Kazi nzuri sana ❤❤🇧🇮🇧🇮
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
Asante sana!
@aishaomar2287
@aishaomar2287 4 месяца назад
Mwenye kiti ati "umetoka uko kote hadi uku kufata privat?" Allahuma Ghufrilahum warhamahum wa-asqanahum filjannah 🙏...kazi nzuri team Gabo🎉🎉🎉
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
❤️
@RajabMalibiche
@RajabMalibiche 2 месяца назад
Ameeeen
@warstones0666
@warstones0666 4 месяца назад
Uyu mdadaa Asiyejua kiingerezaa Ndo Anaifanyaa Hii Movie Inogee japoo Badoo Anaonesha kama anajuaa Ilaa Ndo Nmemkubalii
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
Asante kwa muda wako!! 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾 usituache njiani Subscribe ujiunge na familia ya BabaOlivia! ❤❤
@GoodluckMdaraga
@GoodluckMdaraga 3 месяца назад
Location ya hii movie ni mkoa gani mkuu
@Espiboy2
@Espiboy2 4 месяца назад
Wakwanza Leo nipe like zangu
@OthumanSangaly-hp6ld
@OthumanSangaly-hp6ld 4 месяца назад
nawachukia san hawa watu wanao omba likes akii kwan video ni yenuu!!!
@djbahangala4729
@djbahangala4729 3 месяца назад
Jamani 😂😂😂
@MinnahRaj
@MinnahRaj 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂yawaaa
@yeremiaaweda3843
@yeremiaaweda3843 Месяц назад
Uko km mm cpendagi wanaoliliaga likes
@BensonNelson-s4g
@BensonNelson-s4g Месяц назад
Yani wana shobo wamekua ombo omba
@AshuraShafii
@AshuraShafii Месяц назад
Bola ata ulivosema mana wanakela utafikili chkula
@amouralshabiby7543
@amouralshabiby7543 4 месяца назад
Gonga like hapa twende sawa 🔥
@uiptv365
@uiptv365 4 месяца назад
May God bless the whole crew Ihi movie (series) ni premium kabisa 💯💯🙌🏽🙌🏽
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
Asante sana ubarikiwe na wewe sana!🙏🏾
@SarafinaNyamvula
@SarafinaNyamvula 2 месяца назад
This woman has made my day ❤😂😂😂😂😂"small sponge" kigodoro ...can't stop laughing 😂😂watching from Kenya 🎉love you ❤TZ people. 😂😂😂
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 месяца назад
❤️❤️❤️❤️ we love you more!
@damianmcba9525
@damianmcba9525 Месяц назад
Congratulations , anakuambia sio shule tu hadi vyuoni , Forty forty ( Arobaini) R .I. P tired to eat ndio kafa huyo😂😂
@WilliamsBIRIKURE
@WilliamsBIRIKURE 4 месяца назад
Gabo zigamba mbona mwamba kbsaaaaaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ anatisha bongo movie
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
❤️❤️❤️❤️
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 4 месяца назад
Nampenda sana olivia❤❤❤❤❤❤❤
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
❤️❤️❤️❤️❤️
@maryamomar9094
@maryamomar9094 4 месяца назад
Like kwa kaka gabo ❤❤
@Ellybeny
@Ellybeny 4 месяца назад
Mwalimu ndio muimbaji wa. Hii voice nina uhakika ❤
@AminaSaidi-up2rj
@AminaSaidi-up2rj 4 месяца назад
Ndo yeye
@hamisiadam1452
@hamisiadam1452 2 месяца назад
Namkubali sana gabo wote mnao kubaliana na mimi gonga like hapa TikTok napatikana kama mwana wa Adam fb pia hivyo hivyo
@floramidaho3010
@floramidaho3010 4 месяца назад
Uyo mwenyekit mbele zake nyuma zetu...ALLAH AMPE KAULI THABITI.INSHAALAH
@LovenesJohn-bh1yv
@LovenesJohn-bh1yv 4 месяца назад
Kwamb kafariki😢😢
@TunuAdam-gc9rc
@TunuAdam-gc9rc 4 месяца назад
Ndyo
@nurusamath310
@nurusamath310 4 месяца назад
Mie mwenyewe nkataka niulize Mzee amerudi Inaonekana hii movie imerekodiwa mda mrefu Ila ndio inatolewa sasa maana hajafariki mwaka huu etty
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
🕯️🕯️🕯️❤️
@kandoxgiftgift5924
@kandoxgiftgift5924 4 месяца назад
​@@nurusamath310 hii movie ina zaid ya miaka miwil ntangu imetangazwa nafikiri tangu 2021
@IsackHombelo
@IsackHombelo Месяц назад
Gabo we ni mfano wa kuigwa❤❤❤❤❤
@vumiliarichard9347
@vumiliarichard9347 2 месяца назад
Yan sik zot nalia na mapenz kumbe Kun movie nzur tu uk 😀Gabo ww ni noma🔥🥰
@FatmahHamisi
@FatmahHamisi 3 месяца назад
Wale wa small sponch tujuane😂😂😂
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 3 месяца назад
🤣🤣🤣
@RamadhanSalum-ts7tf
@RamadhanSalum-ts7tf 3 месяца назад
Gabo noma hii movie kali sana jamaa hodar sana.
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 3 месяца назад
Asante sana 🙏🏾🙏🏾
@RamadhanSalum-ts7tf
@RamadhanSalum-ts7tf 3 месяца назад
Ishatoka hii movie broo
@OswardSanga
@OswardSanga 2 месяца назад
Mke wa jran nae n fundi jmn❤❤
@titoelisha8954
@titoelisha8954 2 месяца назад
MC wa 40 40. Arobaini!
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 месяца назад
😂😂😂👍🏽
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 месяца назад
😂😂😂😂
@vumiliarichard9347
@vumiliarichard9347 2 месяца назад
😂😂😂mke wa jiran ananipa rah Kwa mzungu
@manuelymanuely-ly7gs
@manuelymanuely-ly7gs 2 месяца назад
Niko Ep ya 2 tamthilia ni nzuri sana but mwenye kiti anaonesha hajui neno "PRIVATE" ila anajua "VERY SERIOUS"😂
@AlexMshani-g2b
@AlexMshani-g2b 4 месяца назад
Tunaomba mtuletee episod kilasiku mojamoja muv hii nikali sana
@Nedyjr
@Nedyjr 4 месяца назад
Leo na mm nimewahi jaman naombeni like zenuuuuu😊
@MariamuMahir
@MariamuMahir 3 месяца назад
😂😂 mie huyo dada mchaga ndiyo ananiacha hoi😅😅
@BrigediaGenerally
@BrigediaGenerally Месяц назад
Mwalimu n piskal soo pooa❤❤❤❤❤❤❤
@Amani_felix
@Amani_felix 4 месяца назад
Japo nimechelewa but nmeangalia and i enjoyed it...Mungu awabariki nyote mloshiliki katika kazi hii nzuri❤️
@Rahema123
@Rahema123 4 месяца назад
Ila brother unachelewesha sana kipenzi chetu 🎉🎉
@MERCY254-l3b
@MERCY254-l3b 4 месяца назад
Kweli
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
Ungepende mala ngapi kwa wiki?
@kandoxgiftgift5924
@kandoxgiftgift5924 4 месяца назад
​@@henrymwakajumba atreast vipande vi3 au vi4 kwa wik au ikiwezekana kila baada ya siku moja unaachia kipande kimoja
@greyjames4768
@greyjames4768 4 месяца назад
Mwakajumba, Mimi binafsi nikupongeze kwa utofauti ulonao kuanzia, Location, picha, Sauti. N.k kuna ubora wa Hali ya juu, Level za Netflix 🏌️‍♂️
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
Asante sana ndugu 🙏🏾🙏🏾
@nasraAl-b1w
@nasraAl-b1w 4 месяца назад
Acha leo niwape mimi😂😂😂
@martinFadhili
@martinFadhili 12 дней назад
Huyu jamaa mung kamala kw kipaj kzr San chakuigza❤
@salimNdendya
@salimNdendya 4 месяца назад
Muvi kali sana hongeren
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
Asante sana tuna shurukuru Sana!
@MbonimpayeRuzimanwa
@MbonimpayeRuzimanwa 3 месяца назад
Habari huyo mjomba anatisha Gabo namuelewa sana mkali wangu
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 3 месяца назад
❤️❤️
@vailethmwakipesile6698
@vailethmwakipesile6698 3 месяца назад
Aseee nilimiss Sana hi
@Kenny-Balt
@Kenny-Balt 4 месяца назад
Like zangu Leo jamani
@LucyRafeali
@LucyRafeali 4 месяца назад
Kingereza shikamoo
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 4 месяца назад
Katarina😂😂
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 4 месяца назад
😂😂😂😂
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
😂😂😂😂
@OMARYKAHUNGO-mn4mf
@OMARYKAHUNGO-mn4mf 4 месяца назад
Nimekurupa sijakunywa hata chai 😂😂😂 ila Mwenyekiti 😅😅
@RayBMusic
@RayBMusic 3 месяца назад
Jaman mtuwahishie mwendelezo bas 🙏
@AloyceMashore
@AloyceMashore 2 месяца назад
Kingeteza cha dada apo hataree😂
@SWERESWERE-l3t
@SWERESWERE-l3t 2 месяца назад
❤I say hii mbna kalii❤
@hamisisalim
@hamisisalim 2 месяца назад
Ila mama watoto wawili anajua sana
@monicawanza9911
@monicawanza9911 2 месяца назад
40 40 yaani arubahini😂😂😂😂
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 месяца назад
😂😂 Ndomanake!
@AliMkumbukwa
@AliMkumbukwa 4 месяца назад
Salm nyingi kutoka kahama
@ShedrackBishaza-qd4vq
@ShedrackBishaza-qd4vq 4 месяца назад
Karibu masumbwe
@AliMkumbukwa
@AliMkumbukwa 4 месяца назад
Kwel kaka lhmis moja ntfka apo
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
Asante sana, share na wadau link ya series!🙏🏾
@dearchotay5569
@dearchotay5569 3 месяца назад
Mwenyekiti eti kwahiyo umetoka uko kote umefata private 🤣🤣🤣
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 3 месяца назад
😂😂😂
@Nick_Van_Gee_6
@Nick_Van_Gee_6 4 месяца назад
Tamthilia kaliii sanaaaa lakini mnachelewa sana kutoa episode mpya
@ommymehmed8880
@ommymehmed8880 2 месяца назад
Yaan hii movie wala siwezi kuitabir
@mejumaabaraza3989
@mejumaabaraza3989 4 месяца назад
Gabo huna baya Kaka much love from kenya
@amanchuphichuphi4725
@amanchuphichuphi4725 4 месяца назад
Upo juuu bro Gabo zigamba
@abdulaziz703
@abdulaziz703 Месяц назад
😂😂😂 Katarina we ni kenge wallah... eti fote fote 😅
@MtiligaIssah1541
@MtiligaIssah1541 19 дней назад
Unajuwa brother upewe mauwa ❤❤❤
@erastopascal
@erastopascal 2 месяца назад
Mzungu mwizi😂😂😂
@keyla3641
@keyla3641 4 месяца назад
Jamani series nzuri sana hivi ndio michezo yetu inatakiwa kueti kazi nzuri sana
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
Shukran sana!
@nyuliiiddy8423
@nyuliiiddy8423 3 месяца назад
Small sponch (kigodoro) kingereza hiki, apana
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 месяца назад
😂😂😂😂
@jamerude3753
@jamerude3753 Месяц назад
Kiingereza cha madam kinanikosha sana
@Realme-xm3sh
@Realme-xm3sh 4 месяца назад
Mbona mnakawizag ivo jmn mambo mazur km haya mnatakiw kutujali mara kwamara jmn dj wetu
@MzamiruAlly
@MzamiruAlly 2 месяца назад
Namkubali sana gabo
@MrTwoRocks
@MrTwoRocks 4 месяца назад
I never thought i would be watching swahili films❤its incrediable
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
Thanks so much, please Subscribe if not yet to join this family!🙏🏾
@Marry-u8m
@Marry-u8m Месяц назад
Jamani kijana weupe ume weza hapo hiyo dio kazi alikue ana kibilie 😂😂😂😂
@emmanuelmbele3030
@emmanuelmbele3030 2 месяца назад
😂😂kizungu kigumu
@LizzyDaudi
@LizzyDaudi Месяц назад
Yani kingereza asnte, Small ponch😂😂😂
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 4 месяца назад
Gabo so vema kumwokata mtu na kumpereka ndani akiwa kwenye iyo hali je akifa
@hafidhlupamba6872
@hafidhlupamba6872 4 месяца назад
Ndio maana wameigiza nifundisho kwasis tunaeona
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 4 месяца назад
@@hafidhlupamba6872 aaaaaaaaasaa goood
@nicholauscharles4263
@nicholauscharles4263 4 месяца назад
Hakika wewe ni muigizaji wakipekee unayegusa jamii kwa mambo yanatokea na kuwapa elimu. Mungu akuongoze katika kila njia.
@RickshabyVlogs
@RickshabyVlogs 3 месяца назад
😂😂😂😂😂 rest in peace im talking there🤣🤣🤣🤣
@josephAyoub-w3h
@josephAyoub-w3h Месяц назад
Anafanya vizuri sana
@MosesDarius-p7f
@MosesDarius-p7f 3 месяца назад
Cinéma ni bora lakini unapagwa ❤❤❤❤vibay ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@OmariAbedi
@OmariAbedi 3 месяца назад
Nimuda mwengine tena wakunufahika ❤❤❤❤❤ nguvu moja
@MasterRegan
@MasterRegan 4 месяца назад
Yani hili li series lizuri sana yanu kali kinoma utadhani siyo ya bongo, actors wote wako vizuri wame play part safi kabisa yani professional
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
Asante sana!🙏🏾
@Keba08xavier
@Keba08xavier 4 месяца назад
...Iko poah sana we enjoy it inafka tym tunaona week n mbl kusubir bigup bro❤❤❤❤
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
Asante sana!
@halima-o7e
@halima-o7e 3 месяца назад
😂😂😂MC. Asiejua kingereza😅😅😅😅😅
@vumiliarichard9347
@vumiliarichard9347 2 месяца назад
😂😂😂
@halima-o7e
@halima-o7e 2 месяца назад
@@vumiliarichard9347 ati village bunge jmn Hy mama nimempenda sanaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤️❤️
@IsmailKitanzi
@IsmailKitanzi Месяц назад
Naombeni kuukiza had leo hiiiiiii epsodi ya ngapi jaman mm nimechelewa kuijuwa km tamu ivi
@issadeo6603
@issadeo6603 3 месяца назад
Napenda sini zote nimuone mwalim na bana olivia😅
@FatumaOmary-sg4yt
@FatumaOmary-sg4yt 2 месяца назад
Mashaallah kaka upo vizur
@HudhuliaMwaikenda
@HudhuliaMwaikenda 4 месяца назад
Daaaa jaman
@fatumaselemani3807
@fatumaselemani3807 4 месяца назад
Mashallah ❤❤❤❤asante sana washilika mungu abaliki kazi zenu
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
Asante sana, usisahau ku subscribe ujiunge na familia!
@emmanuelrobert4757
@emmanuelrobert4757 4 месяца назад
Upo vizur kweny movie unazidi kuimarika sana toka bado natafuta hadi hii kwel umegrow sans 🎉🎉
@hashimumuhuzalisalimu
@hashimumuhuzalisalimu 2 месяца назад
Bro Gabo anajua sana uongo sio kazi
@raphaelkis
@raphaelkis 4 месяца назад
Gabo le meilleur acteur du tanzanie❤
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
Merci🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@EmmanuelNgolelwa
@EmmanuelNgolelwa 4 месяца назад
Sawa sawa twende kazi gabo
@AbilahSalumu-qx1cb
@AbilahSalumu-qx1cb 3 месяца назад
Baba Oliver Zigo Umelitowanjiani Umelileta Nyumbani 😊
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 3 месяца назад
😂😂
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 4 месяца назад
Kheee uyo mzungu kumbe ni mwizi 😂🙌🏻 DJ uishi maisha marefu asante
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
Asante sana na karibu kweye Familia!
@ShedrackBishaza-qd4vq
@ShedrackBishaza-qd4vq 4 месяца назад
Nafrahia sana kukaona hako katoto hakika kana akili San ❤
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 4 месяца назад
Asante kwa Mauwa yake!❤️
@januariosilvestreculomba
@januariosilvestreculomba 3 месяца назад
Naipenda kazi Kaká gabo❤❤❤❤
@Benson-MCharlesB45
@Benson-MCharlesB45 4 месяца назад
😂😂🙌🙌 Dah uyu mama kanichekesha sana hii ngeli ilienda na mafuriko 😂😂
@lucymrombo227
@lucymrombo227 4 месяца назад
Jamani ❤❤ mm nimeipenda hyo sanaa
@HEDRICKBAHATI
@HEDRICKBAHATI 3 месяца назад
Movie nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 3 месяца назад
Asante sana!
@PierreHeriIlungu-ks1mr
@PierreHeriIlungu-ks1mr Месяц назад
Jameni mzungu Du niatar 😮😮😮
@danmpare7778
@danmpare7778 4 месяца назад
Aisee part ya huyo mama na mzungu nimecheka kufa daah Yani watanzania kifunzeni English japo kidogo jmn
@Aishwaraimasiennah
@Aishwaraimasiennah 4 месяца назад
😂😂😂
@WinnyMurutu
@WinnyMurutu 4 месяца назад
😂😂😂
@AthumanMachera
@AthumanMachera 4 месяца назад
Ubaya mnatukuza sana vya wenzenu, kuna machina hawajui hata cha kuombea maji wanatembea na wakalimani tupende kiswahili chetu
@holykim2713
@holykim2713 4 месяца назад
Anajuwa kingereza ila hapo ana act tu
@kandoxgiftgift5924
@kandoxgiftgift5924 4 месяца назад
​@@holykim2713we umwkuja vizur 🎉 sio kwamba hajui kiingereza ila character yake ndo imemruhus acheze ivo kiukweli movie imenyooka
@SalumuZomba-xb5bz
@SalumuZomba-xb5bz 4 месяца назад
Wow❤
@FarukuRamadhan
@FarukuRamadhan 2 месяца назад
Kama Nigeria Hii muvi❤❤ sana
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 2 месяца назад
Asante! ❤️
Далее
НЮША УСПОКОИЛА КОТЯТ#cat
00:43
Просмотров 781 тыс.
Living life on the edge 😳 #wrc
00:17
Просмотров 8 млн
MAISHA YETU full movie / bongomovie /lovestory
2:04:39
Просмотров 270 тыс.
BABA ((FULL MUVIE))
56:54
Просмотров 397 тыс.