Тёмный

Baba Olivia Episode 02//She turned 13 and BEGGED her Dad for the first time Party!!Single Dad story. 

Henry Mwakajumba
Подписаться 34 тыс.
Просмотров 236 тыс.
50% 1

#Gabozigamba au Author kwenye story, amekua akiamini kwamba hakuna haja ya kumfanyia mtoto sherehe ya kuzaliwa, Olivia binti yake wa pekee anamlilia baba yake akiomba kufanyiwa sherehe baada ya kutimiza miaka 13.Itikadi na imani za ki Africa zina msumbua nafsi baba yake.
#Catalina au Mama tina anajikuta matatizoni baada ya kupuuzia ushauri wa mume wake wakiwa kwenye shuguli maalumu usiku.
Karibu kuitazama tamthulia ya pekee Tanzania BABA OLIVIA.
#henrymwakajumba
..................................................................................
Gabozegamba, also known as Author in the story, has always believed there is no need to celebrate his child's birthday. However, his only daughter, Olivia, begs him for a party after turning 13. His African traditions and beliefs trouble his conscience.
#Catalina, or Mama Tina, finds herself in trouble after ignoring her husband's advice during a special event at night.
Tune in to watch the unique Tanzanian drama, BABA OLIVIA.
#henrymwakajumba
For business:
mwakajumbafilms@gmail.com
instagram: / henrymwakajumba

Кино

Опубликовано:

 

26 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 698   
@NelsonManase
@NelsonManase Месяц назад
Gabo mtu serious kwenye move zake kama unakubliana na mimi gonga like
@AbdulyWalker-ei2xl
@AbdulyWalker-ei2xl День назад
Tena malizia ni mtu makini
@homemadestory4871
@homemadestory4871 Месяц назад
Filamu kama hizi nchini Tanzania hua hazipewi nafasi kwa ukubwa na zikipewa upatikanaji wake hadi uwe na king'amuzi sjui tutaendelea lini jamani😢
@mussakatala
@mussakatala Месяц назад
Kwelii kk😢
@homemadestory4871
@homemadestory4871 Месяц назад
Huenda upande wa digital marketing hatujajipanga wao ndio wataalamu bana
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Kama umesha subscribe basi umefika nyumbani, vitamu vinakuja na tuna hitaji support yenu!! 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@homemadestory4871
@homemadestory4871 Месяц назад
@@henrymwakajumba litakua jambo jema kwasababu ishu ya kuacha kaz na kukaa ktk king'amuzi ni kazi nyingine hyo pia tisingependa kuona mkitoa kazi mna invest muda na pesa then tuangalie bure hatutoendelea natamani tupige hatua tufkie kudownload& kustream kama wenzetu
@MomaDedu
@MomaDedu Месяц назад
Yani wameweza sana
@bizzyjunior_tz
@bizzyjunior_tz Месяц назад
Toka Kanumba Aondoke Leo nimeona movie ya viwango kama vyake ....Gambo keep shining 🌟
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana, Shukran 🙏🏾🙏🏾
@michaelCmichael255
@michaelCmichael255 День назад
Safri ya gwaru.... and so many more. Jamaa anajua kitambo. Ni upepo tu hakuukamata vizuri.
@amam2211-
@amam2211- Месяц назад
Baba olivya unajuwa sna Mungu hakusimamie kwa kila jmbo
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana🙏🏾🙏🏾
@halimaamini8015
@halimaamini8015 Месяц назад
Huyu dada mwalimu mzuri jamani anataka kufanana na mke wa beka happy
@cathymama4010
@cathymama4010 6 дней назад
Mzuri sana aisee❤
@JamesMtanga-uh5ss
@JamesMtanga-uh5ss 2 дня назад
Kweli?
@user-hn8un7yw8y
@user-hn8un7yw8y Месяц назад
Naomba mwendelezo wa hii series ni bonge kubwa la movie. Kama huna D mbili uwezi kuelewa
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Kila Juma 3
@AginesCharles
@AginesCharles 6 дней назад
Mmmh
@agnesslebayo9021
@agnesslebayo9021 Час назад
Wewe mwenyewe huna d mbili ndo maana hujui mwendelezo uliko😅
@tropmedia8376
@tropmedia8376 Месяц назад
Kwa movie Hii sina cha kusema zaid ya respect for you all 🙌
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana 🙏🏾🙏🏾
@kelvinchadulaga310
@kelvinchadulaga310 Месяц назад
Olivia nimempenda anajiamin sana wooow😂😂😂😂❤
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Shukran sana kwa Mauwa!!🙏🏾🙏🏾
@zuleykhasaid967
@zuleykhasaid967 10 дней назад
Hivi huyu Olivia si ndo mwanne au ??
@georgejohn6070
@georgejohn6070 Месяц назад
Mwalimu ana jicho flani mashallah
@RachelNicolous-vm6wb
@RachelNicolous-vm6wb 2 дня назад
Exactly yes jmn
@AbdiMwenjuma
@AbdiMwenjuma 22 часа назад
Nlijua nimeona pekeangu mm jicho sio poa
@rizikladyherson8451
@rizikladyherson8451 Месяц назад
Ila mwalimu mzuri nyie❤❤❤
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante kwa kumpa Mauwa yake! ❤️🙏🏾🙏🏾
@samsifuni
@samsifuni Месяц назад
Nlijua nimeona mwenyewe
@ruppyphinna4809
@ruppyphinna4809 Месяц назад
Sana Masha'Allah ❤️❤️❤️
@shadrackmasigaTV
@shadrackmasigaTV Месяц назад
Kweli nimeona anashawishi san🔥
@MsodokiAli
@MsodokiAli Месяц назад
Uhaakika mwalimu ni kazuri san
@edwardouma1630
@edwardouma1630 Месяц назад
Asante Kaka nimejifunza kitu kidogo apa am from Nairobi Kenya 🇰🇪🙏
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Thanks so much for watching, please subscribe if you didn’t, 🙏🏾🙏🏾
@YoungblackPeople-qf7vx
@YoungblackPeople-qf7vx 9 дней назад
Huyo mwalimuu huyoo umu owe❤
@HamzaHamiss
@HamzaHamiss День назад
Kabsa anafaa Kua mm yetu
@eliassylvester8150
@eliassylvester8150 Месяц назад
Teacher wamoto sana ana macho ya kwendaa😋
@rweyemamurweyemamu680
@rweyemamurweyemamu680 Месяц назад
Naomba sana sana huyu mtoto Olivia msimuache, she's very very talented naomba tafadhali endeleeni kumkuza
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana, Kuna kazi zake nyingine zinakuja usikae mbali🙏🏾
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr Месяц назад
Filamu hii tunaifahamu wale ambao tupo matured only
@rashidiijumaa349
@rashidiijumaa349 Месяц назад
Unalipia vocha kisha unaangalia
@samuellasway
@samuellasway 16 дней назад
Filamu nzuri sana. Naomba jina la huo wimbo uliopigwa kwenye birthday party. Nimeupenda❤
@kidatokassim7616
@kidatokassim7616 Месяц назад
Mwalimu mwalimu .....kuna wanawake wameumbwa bana
@user-jz6qx3cs1u
@user-jz6qx3cs1u Месяц назад
Kabisa ni mrembo sana jamanii
@user-zx1yw6lv4h
@user-zx1yw6lv4h 10 дней назад
Anaitwa nani huyu mwalimu???
@user-dr1uk8hv3w
@user-dr1uk8hv3w Месяц назад
As a filmmaker hii tamthilia iko very cinematic 😮 unaweza cma aijaandaliwa na wabongo naifananisha na Tamthilia za kumekucha za kna john ribber , big up sana kazi ni kubwa naiona ikienda vairow
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana Shukran 🙏🏾🙏🏾
@ommie_nyzer
@ommie_nyzer Месяц назад
Uyo teacher kiboko😍
@clemenciajuma2895
@clemenciajuma2895 Месяц назад
Mwalimu ni mzuriiiiii adi rahaaaaaaa ❤❤❤❤❤
@rubythebosslady8113
@rubythebosslady8113 Месяц назад
This is the best film..Mwandishi amefaulu…
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana 🙏🏾🙏🏾
@patricksamba6831
@patricksamba6831 Месяц назад
Movie nzuri Bora ila elimisha vizuri ila haijisha vizuri wetengeneze part 3
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Juma 3 part 3 itakua hewani,Subscribe ili usipitwe!
@samiuhassan8153
@samiuhassan8153 Месяц назад
Mbn movie kama ni nzuri hii au mnaonaje🥺🥺
@renatusmwanakatwe-gl9xb
@renatusmwanakatwe-gl9xb Месяц назад
Kuna cha kujifunza hapa hakika penda saana Gabo hakuna mtu akaanngalia filamu hii akachukizwa.
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana, Tafadhali share na kwa wadau pia!🙏🏾
@christinamgeni9228
@christinamgeni9228 10 дней назад
Mwalimu ni mzurii jamni gwaa apate tano zakee
@gabagambi
@gabagambi Месяц назад
Jitahidini kutokuchanganya Kingereza kwenye maongezi Kiswahili ni lugha tajiri
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante Sana 🙏🏾
@Ummuuthaymeen-wk7zc
@Ummuuthaymeen-wk7zc Месяц назад
Uwongo kiswahili ni luga maskini
@JescaVicent-jo7sj
@JescaVicent-jo7sj Месяц назад
😅😅😅😅😂😂 why between my interview u passing around ​@Ummuuthaymeen-wk7zc
@salumuhafidhimtabe420
@salumuhafidhimtabe420 Месяц назад
Kwa Dunia ya sasa ni ngumu kuepuka kingereza kwa mamna yoyote.... ukitaka kuamini badili lugha kwenye simu yako iwe kiswahili
@nasrahgdjuma930
@nasrahgdjuma930 Месяц назад
@@Ummuuthaymeen-wk7zcwho told you that? Labda kama hujui wewe lugha sema
@uiptv365
@uiptv365 Месяц назад
Yaani walipoulizia cake iko wapi, aibu nilipata Mimi 😢😂😂🙌🏽, Ila Nimependa the way jerani wa mwanamke alivyosema “as long ni cake na mtoto yuko happy” that’s all matters 💪🏾🙌🏽❤️💯 Kila week Kama mbali 🙈😂, ebu fanyeni twice a week
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
😂😂😂😂
@alexpaul2981
@alexpaul2981 5 дней назад
😂
@Tinga_Tinga_Makonde
@Tinga_Tinga_Makonde Месяц назад
King Makonde from Mozambique 🇲🇿 I love this movie
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Thanks so much 🙏🏾🙏🏾
@VexMaizoOfficial
@VexMaizoOfficial 8 дней назад
🧭🤳 big up bro tweeshalumo mbwana ❤❤
@drisakamwakitalima1937
@drisakamwakitalima1937 Месяц назад
Hadi mwaka wa kuzaliwa kumbe una long story na hamsemi😂
@nancyg8664
@nancyg8664 Месяц назад
😂😂😂
@Gracious224
@Gracious224 Месяц назад
😂😂😂
@violethmushy-zs2qy
@violethmushy-zs2qy Месяц назад
😂😂😂
@domitilaneovitus5724
@domitilaneovitus5724 28 дней назад
😂😂😂
@RizikiZiki
@RizikiZiki Месяц назад
Olivia 😂😂😂kana cekesha ujuwe eti barua ingekua ndefu ingenoga mtoto uyo anaweza Masha Allah ❤
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
❤️❤️❤️
@ashleymohamed6935
@ashleymohamed6935 5 дней назад
Ngabo ni noma❤
@ZulphaMkwizu
@ZulphaMkwizu Месяц назад
Bonge la combo,...Gabo na Dude this people wanajua bana🎉🎉
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Shukran Sana🙏🏾🙏🏾❤️❤️
@AllyWaziri-g3s
@AllyWaziri-g3s 12 дней назад
Pachawangu Gabo ulivyo silias naukicheka tunasanana mpaka lafuzi matamsh ufikiliaji kuamua❤❤❤❤❤
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba 12 дней назад
❤️❤️
@alfredjoshua8625
@alfredjoshua8625 Месяц назад
Hii filamu ni nzuri sana ina mafunzo mengi sana ndani ya jamii yetu.
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Shukran sana 🙏🏾🙏🏾
@user-xl5ze7yr2v
@user-xl5ze7yr2v Месяц назад
Filamu ime chukua mazingira ya uwalisia gabo ana jua
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana🙏🏾🙏🏾
@WilliamsBIRIKURE
@WilliamsBIRIKURE Месяц назад
Majilani kama Hao bola mtu awakose kbsaaaaaaa ila tunapaswa kufanya kma bba Olivia ❤❤❤❤❤❤❤❤
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 Месяц назад
Wadaku hao😂😂😂
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Majirani kama hawa unawapa jina gani??
@felicianfrancis9895
@felicianfrancis9895 Месяц назад
@@henrymwakajumba mashambwendo
@RizikiZiki
@RizikiZiki Месяц назад
Mashangingi😂
@beautifulafrica6886
@beautifulafrica6886 Месяц назад
wambea 🤣😂🤣😂🤣😂
@user-ys2tv8pv7u
@user-ys2tv8pv7u Месяц назад
It's so great bro acha Wengine tutafute pesa ndipo tuingie kwenye filamu
@user-yf2ht3li9t
@user-yf2ht3li9t Месяц назад
Aiseeeee ni bonge moja ya move inafundisha na inachekesha keep it up bro 💪
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana, Subscribe ili usipitwe na mwendelezo!
@shadrackmasigaTV
@shadrackmasigaTV Месяц назад
Mwalimu anashawishi Roho ❤🔥🔥🔥🔥🔥 number ya kiatu tuma ahahahahahahahhaha
@yusufsuwi5350
@yusufsuwi5350 Месяц назад
Kiukweli hz ndo filamu angalau zinaweza kufika kimataifa Changamoto niloiyona kubwa Wahusika Yan inaonesha waz ni maigizo maana wamejitenga sn hasa filamu imeigizwa ktk eneo finyu Tamthilia inapendeza kuwe na watu wengine hata km wawe wanapita tu
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sna kwa mchango wako! Tutalifanyia kazi! 🙏🏾🙏🏾
@maulidstondo2770
@maulidstondo2770 Месяц назад
Ila sio kila Tamthilia iwe na lundo LA wasanii, kikubwa ni dhamir tuu
@BenjaminMetanyau
@BenjaminMetanyau Месяц назад
Hii movie nzuri san hakika nimepiga salute🤜🤛
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana!!
@revocatuspeter-ky4gx
@revocatuspeter-ky4gx Месяц назад
Kiukweli Tangu kanumba atangulie mbele za haki nlikata mkataba kabsa na BONGO MOVIE but LEO sababu ya GABO ❤️❤️💯💯💯💥💥♥️💌💌
@user-pp9vz1kv9x
@user-pp9vz1kv9x Месяц назад
olivia lazima aje kubeba tuzo huyu🙌
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana!!
@hadijaamini
@hadijaamini Месяц назад
Nimependa mwenyekiti alivyonyamazishwa na pande la cake 😂😂😂😂😂
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
😅😅 msosi ndio kila kitu!
@NoorEesa
@NoorEesa Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂
@RizikiZiki
@RizikiZiki Месяц назад
😂😂😂 nakwambiya weaca tu
@beautifulafrica6886
@beautifulafrica6886 Месяц назад
🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂💞💞💞💞
@violethmushy-zs2qy
@violethmushy-zs2qy Месяц назад
Asa ndy imeishaje hv jmn atoe part 3 ..bhn wabongo ndy wanafeligi apo tu
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Hapana haijaisha, hii ni Tamthilia inaendelea mpaka utachoka! Juma 3 episode ya 3 itakua hewani subscribe usipitwe!
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Месяц назад
Ahsante sana nime jifunza. Kitu kidogo ila mtoto kafurah uyo🎉🎉
@Mary-ug6oc
@Mary-ug6oc 20 дней назад
Kweli hata Mimi nimejifunza
@user-zj3oh4xn9j
@user-zj3oh4xn9j Месяц назад
Nimechek saaan oliva avyowatishia kwamb uyo mtu amekufa yaan kila mtu mbiooo😂😂😅
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
😅😅😅 Ungekua wewe ungesimama??
@MREVENTPLANNER-gy4di
@MREVENTPLANNER-gy4di Месяц назад
Director umejuwaa kuipikaa hii kazii 🎉🎉🎉🎉
@user-cf3nx4vc7k
@user-cf3nx4vc7k 27 дней назад
Gabo my men favorite actor since.....
@hassanihussein2731
@hassanihussein2731 Месяц назад
Uyo Olivia kabisa sasa 🙌🙌🙌👏👏👏👏
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
🙏🏾🙏🏾
@MwanumaHaji
@MwanumaHaji Месяц назад
Huyu mwalim dah had natamni kumjuwa
@AmiriMchikirwa
@AmiriMchikirwa Месяц назад
Jirani anaendesha Passo
@Tuyisengejeanjoyeux
@Tuyisengejeanjoyeux Месяц назад
Bwana gabo mimi nakupenda Sana hakuna muigizaji east Africa kama ww mimi from burundi nakuangalia sana
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana! 🙏🏾🙏🏾
@AbdulyWalker-ei2xl
@AbdulyWalker-ei2xl День назад
Yaani zile chanel za azam tv wangechukua azam two na sinema zetu wangeweka hizi tamthilia nadhani tungefika maahala fulani hiv mashallah lakini wanaweka za za kutuluk tu wakina mama kimbo wanamafundisho gani kwenye jamii
@NoorEesa
@NoorEesa Месяц назад
The song please very nice inaitwaje😂😂😂😂na hiyo kulia ya mke wa jirani😅😅😅😅
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Habari! umejifunza nini kwenye hii tamthilia? Dondosha maoni yako na usisahau kusubscribe Asante! 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@user-pz8vz2tq2u
@user-pz8vz2tq2u 7 дней назад
Single dad's wote tuwaheshimu na tunawapenda pia❤
@shalooboyburundi
@shalooboyburundi Месяц назад
ayis zuri firamu nimeyipeda
@YoungLutta
@YoungLutta Месяц назад
Huyu mama akilewa analiaa daaaaah kama shangazi2
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
😂😂😂 kumbe kuna watu kama hawa!
@ThomasMayungaCharles
@ThomasMayungaCharles Месяц назад
Movie ipo vizuri sana kongole kwa atunzi na hii pratform kutuletea movie bora❤❤❤❤
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana kwa kuangalia! Utusaidie kushare kwa wengine na ku subscribe kama bado 🙏🏾🙏🏾
@Uwezokudura-rz8eg
@Uwezokudura-rz8eg Месяц назад
Kwer najifunza vitu kuptia hii move Nimetokea kuipenda nakingie mr Gabo Utaway kukosea
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 please share na nduguzo pia waione!
@user-zc1sy7ls3n
@user-zc1sy7ls3n 27 дней назад
The teacher is beautiful
@user-so6md6rm2w
@user-so6md6rm2w Месяц назад
Jamn nisiwe mnafuki mwalimu ni mzuri haki
@haamdtv
@haamdtv Месяц назад
Sana
@user-fy3zy6wc2q
@user-fy3zy6wc2q Месяц назад
Mwalimu mzuri jamani❤🎉❤🎉❤🎉
@stevenlugojeremia2323
@stevenlugojeremia2323 3 дня назад
Nimetokea Kumpenda huyu mwalimu maana ni mzuri kinoma ❤❤
@user-pp9vz1kv9x
@user-pp9vz1kv9x Месяц назад
Nasubiri tu siku Gabo amuoe uyo mwalimu😅
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Endelea kufuatilia 🙏🏾🙏🏾
@rukiasaid9130
@rukiasaid9130 Месяц назад
sema aka katoto olivia kaigizaji safi sana ,,mungu asimama mbele yake
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asantee kwa mauwa 🙏🏾🙏🏾❤️❤️
@sylviaoum2943
@sylviaoum2943 29 дней назад
Yupo vizuri sana... very bright n confident
@marialumbanga
@marialumbanga Месяц назад
Hako katoto ka gambo kapo vizur ❤❤
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana🙏🏾🙏🏾
@user-hx7iv3ne6l
@user-hx7iv3ne6l Месяц назад
Zigamba ma mwanao mmecheza asee nimewapenda bure
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana, usisahau ku subscribe basi?🙏🏾🙏🏾
@NatureMw155
@NatureMw155 Месяц назад
Uyo mtoto anaweza❤
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana kwa mauwa! 🙏🏾
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 Месяц назад
Katarina comedy.alafu mwanao aweke video mtandaoni😂😂😂
@SmartVicenzo
@SmartVicenzo Месяц назад
Waigiza kama Awa ndo tunawaitaji bongo
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Umependa nini hasa kama huto jali kushare? 🙏🏾🙏🏾
@felicianfrancis9895
@felicianfrancis9895 Месяц назад
Good movie. Hongera zenu na naamini mwendelezo utakuwa mzuri zaidi. Never disappoint
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana, Mwendelezo ni 🔥🔥🔥🔥 usikae mbali!
@selestinimbezi7345
@selestinimbezi7345 Месяц назад
Oliva kacheza vizuri sana
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana, Usisahau ku subscribe ndugu! 🙏🏾🙏🏾
@omaryshabandaud5235
@omaryshabandaud5235 Месяц назад
Dah inakua siku nzur kwangu
@tilaboymatata3411
@tilaboymatata3411 20 дней назад
Mmmh move kalii iiase gabo mwsmba sana
@hamzaibrahimu
@hamzaibrahimu Месяц назад
Da😮nilikua nimezisaliti Bongo movie lakini sasa kwa hii nimerudi lasmi 🎉🎉🎉🎉
@violethmushy-zs2qy
@violethmushy-zs2qy Месяц назад
Aimalizie kwanza gabo adeti n mwalimu😂
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante kwa Kurudi karibu sana🙏🏾🙏🏾
@zenamwasekaga7460
@zenamwasekaga7460 Месяц назад
Nzuri sana tunaomba uwe unatuwahishia basi
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana kila juma tatu itakua hewani, share link kwa uwapendao!!🙏🏾🙏🏾
@Shine-minutes
@Shine-minutes Месяц назад
Mkuu kwani haiwezi kutoka mara mbili Kwa wiki boss​@@henrymwakajumba
@user-dg9js4cb7e
@user-dg9js4cb7e Месяц назад
Kazi nzuri, mwalimu mzuri hadi natamani nirudi shule
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
😂😂😂😂 Na viboko je?
@mashauri.014
@mashauri.014 20 дней назад
Nime ipenda Sana hii, filamu ❤❤❤❤
@peterathanasy6765
@peterathanasy6765 Месяц назад
We are waiting for party 3 Mr Gabo Zigamba 👏
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Early this Monday Subscribe so you don’t miss anything! 🙏🏾🙏🏾
@jonathannsulwa8714
@jonathannsulwa8714 Месяц назад
I'm waiting for another episode respect by film this gabo is king of film 🙏
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Coming to your early on Monday, Subscribe and stay notified!
@gerryjusty6594
@gerryjusty6594 Месяц назад
Huyu dogo anajua kuigiza aiseee
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Ungependa kuona behind the scenes zake akiigiza??
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Месяц назад
​@@henrymwakajumbandio ana juwa sana 😂nime mpenda sana
@Jay_Y_Charles
@Jay_Y_Charles Месяц назад
Yaani for the talent you have it, even how to manage story upo vizurii sana 💯, it's my first time but i like it pull up... Bado unaweza ila kama ulipotea kwa game but am sure you go to make unbelievable things in bongo movie.. Izi vitu tulizoea kuonaa mbele.
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante Sana!❤️
@hassanihussein2731
@hassanihussein2731 Месяц назад
Teacher kanyoooka mnoooooooooooo aiseee ❤
@silasila3111
@silasila3111 26 дней назад
Ime bidi niifate nikiwa nime lala kwa umakini 😂😂🔥 gabo mzee wangu ❤❤
@PascalwaprinceBitha
@PascalwaprinceBitha Месяц назад
Nikitambo sana natafutaka iiyi compte yako,kazi nzuri kweli 🎉
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Basi umesha fika nyumbani! Subscribe usipitwe zinazokuja!🙏🏾🙏🏾
@zuuhkhamisi4541
@zuuhkhamisi4541 Месяц назад
Jamn mbo baba Olivia haitumwi tena tumeishia ya pili tu nimeitafuta kweliii 😢😢😢😢
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Kila juma tatu! Inakuja!
@janerosekimambo7848
@janerosekimambo7848 26 дней назад
Viwangooo😊 Umetishaaaaa🎉
@user-gw9gv6vp8i
@user-gw9gv6vp8i Месяц назад
Kuna kitu kati ya baba olivia na mawalimu
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Umeona nini? 😅😅😉😉
@user-gw9gv6vp8i
@user-gw9gv6vp8i Месяц назад
@@henrymwakajumba nimeona mbali sana 😂
@AthanasMhangavi-vb1cs
@AthanasMhangavi-vb1cs Месяц назад
Ipo vizur aisee🎉🎉🎉
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Shukran sana, share na uwapendao nao waenjoy utamu!
@fadhilmandaliabdalla6736
@fadhilmandaliabdalla6736 Месяц назад
Best 👌 movie 🎬 MashaAllah, tunatarajia mwendelezo mzuri inshaallah
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana! Tafadhali subscribe kama bado! 🙏🏾🙏🏾
@EstherNelson-rc9ks
@EstherNelson-rc9ks Месяц назад
Ni nzuriii mmetisha❤
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Shukran sana!
@jumamkongowe2272
@jumamkongowe2272 Месяц назад
Nan anaamn mwalimu na gabo watakua na jambo lao mbelenjapo 😂
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Umeona nini mzee?😉😉😅
@OfficialGolden-wj4sn
@OfficialGolden-wj4sn 3 дня назад
Nimejifunza usafi wa mazingila na nimej8funza nijinsi gani ya kuishi na watu hususa wanaonizunguka.Naendelea na sehem ya 3
@kbj6122
@kbj6122 Месяц назад
Janette Mwalimu kama mwalinu
@zablonimazengo2117
@zablonimazengo2117 Месяц назад
Gabo has always been the greatest of all times yaani anajua kuvaa characters et
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Kabisa, tuambie nini hasa umependa kwenye. Hizi episode 2? 🙏🏾🙏🏾
@zablonimazengo2117
@zablonimazengo2117 Месяц назад
@@henrymwakajumba uhalisia saana yaani unaweza ukajua sio movie ni maisha yakawaida pia upendo wa gabo kwa mwanae, alafu usafi wa mazingira , na kwa yule dada na mzungu nimecheka saana
@zablonimazengo2117
@zablonimazengo2117 Месяц назад
@@henrymwakajumba ila tunaomba mtume episodes zilizo baki sababu tulimisi sana hizi vitu ikiwezekana nyengine gabo acheze mmakonde😄
@salimNdendya
@salimNdendya Месяц назад
Movie nzuri sana
@PhynolThinker
@PhynolThinker Месяц назад
Nice flam with nice man🎉
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Thanks 🙏🏾🙏🏾
@charlessweetberth4836
@charlessweetberth4836 Месяц назад
Naombeni jina la mwalim wa olivia 😊😊
@huseinmasoud4403
@huseinmasoud4403 15 дней назад
Anaitwa Janeth
@stevenlugojeremia2323
@stevenlugojeremia2323 3 дня назад
​@@huseinmasoud4403😂😂
@user-lw7ut4qe2y
@user-lw7ut4qe2y Месяц назад
Kazi nzuri sana ❤
@user-xn3hu1ef4w
@user-xn3hu1ef4w Месяц назад
Kazi nzuri mnooo❤😊
@henrymwakajumba
@henrymwakajumba Месяц назад
Asante sana 🙏🏾🙏🏾
Далее
The Hardest Challenge!
00:37
Просмотров 7 млн
3.5M❤️ #thankyou #shorts
00:16
Просмотров 808 тыс.
GABO & Jenifer Kwaka, BIG SUPRISE 1A. !!  2021
33:26
Просмотров 965 тыс.
FILAMU YA “FAMILY MATTERS”
1:41:38
Просмотров 417 тыс.
GININGI FULL /ZIGAMBA GABO/SABBY ANGLE/KORONGO
40:53
Просмотров 223 тыс.
PLAN B _ Episode 4
32:24
Просмотров 17 тыс.
UMALAYA SHULENI (part 2)
13:55
Просмотров 1,9 млн
Real Hero... #superman #respect #shorts
0:20
Просмотров 5 млн
Поставила пароль на телефон
0:45