Me Naona ujeuli Wa mama karobo ukiisha natamani nione pia yeye akiwa kipovu Na kielehele.chake weee😅😅😅 pia yeye akae kujunga mlango Nani atamani kama mm like hapo jini👇👇👇 tuone💪
Aya nimechelewa ila nanyi team shaghala team gaidi team hamamu 🇰🇪,🇺🇬,🇹🇿mkimaliza mkuje mlike na comment mshamaza mkataba au vipi m nilimaliza na nikaogezea saii najitarisha niende home 🇰🇪 mwezi huu inshallah team baba John nawapendaga ❤
Asante sana kwakazi munao weza kutu onyesha na Mungu awalipe kwakweri munajita hidisana Mungu ayibariki kaziya mikono yenu Mama Karobo facke mdasimulefu ataumbuka iramimi niripenda musimuge uze Kipofu iliashuhudie uponaji wa Baba Karobo maana akia Kipofu ahitapendeza kwasababu atakua haonicho chote kizuri kutoka kwa Baba Karobo wanaao kubariana na mimi gongalike
Ama hakika team baba Karobo mnahitaji pongezi za dhati kwa kazi nzuri mnayoifanya. Mnaelimisha, mnafurahisha, na mnafundisha. Hongereni sana. Mama Karobo feki ni muigizaji mahiri na makini ameiwezea sana nafasi yake. Nawapenda sana kazi njema😅😅😅😅
Weh aiz kumbe huyu rafiki yake na nzuu ni mnafiki sasa watawenzecha jambo Lao hata siamini😢😢😢😢 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 like jamani mniambie rafiki yake na nzuu amefanya ukwana kweli❤❤❤❤❤
Nawashuku team ya baba kalobo nawapenda sana kaama sija yiona ingine prt sijiskie vizuri na omba musiwe munakawiya sana hapa Rwanda tunawapenda sana❤❤❤
Ambieni baba kalobo awazaidie mkojo wa mama kalobo, ni ngumu lakini naona hapo mama kalobo original ameingilia kati na kujota maji😂😂😂. Kazi yenu nzuri kweli. Congratulations
Mungu anijaalie uone 😂nacheka kama mazuri Yani yanamludia ma karobo rafiki mnafki ni Nuu kumbe unaiba Siri zawenzio wanamuombea ba karobo apone tujuwane ❤❤❤❤❤❤
Jaman mlishirikiana vzur kumsaidia baba karobo kumbe kuna msarit ukipata jambo nilako pekeako akitokea watu wakkusaidia shukuru mungu nilpenda sana baba karobo anavopata wat wakkusaidia ila nukt msarit baba karobo kaz nzur sana unajua naunajua tena
Daaaah Kunasehemu sijaelewa Walejamaa waliopigwa nakofia walikuapamoja na mama kalobo Kipindi wanataka kuichomamoto kofia. Ikageuka nakuwagonga kichwan walikimbia wote na mama kalobopia sasa inakuaje wanaonekana wanakimbia mpaka wanamgumia baba kalobo Alafu mama kalobo Yupo home tena amevaadela anafua wao wamekimbia mbele wakaenda kuulizana Kuusu kofia. Badosijaelewa Imekuaje aumimitu sijaelewa.
Nikweli kikulacho kiungoni mwako ivi nuguti ww n wakumsaliti zuu siamini lakini all in all mama'ke karobo amejipeleka kinorojoni akakonjoa na mkonjo umepatikana kiulahizi😢😢😢 pongezi sanaaaaaaaa mama karobo original
Shukrani kwaza leo nime muona baba karobo pili mama karobo kajifanya mjanjanja kumbe Kuna mjanja zaidi yake tatu ule Ali jifanya mnafki kumbe msaliti mshenzi ule dada nilikuwa na penda ila ivi na chukiya kumbe mtu ganaye jifanya raki kumbe nimnafki