Тёмный

PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI PART 18 | Love Story 

DONTA TV
Подписаться 562 тыс.
Просмотров 361 тыс.
50% 1

#love

Опубликовано:

 

17 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 2,9 тыс.   
@Dontatv255
@Dontatv255 3 дня назад
JAMANI MNAONAJE KAMA TUKIACHIA KILA SIKU??? AYA WANAOTAKA 2ACHIE KILA SIKU TUJUANE HAPA 🙌
@Vanessachannel-bt8ed
@Vanessachannel-bt8ed 3 дня назад
Hapo sawa❤
@toaccepttruth8128
@toaccepttruth8128 3 дня назад
Hapo saw❤❤❤❤❤❤❤
@AsminKache
@AsminKache 3 дня назад
Mimi apa🙌
@epitomeapex
@epitomeapex 3 дня назад
Mtakuwa mmefanya jambo zuri
@IrumvaOscar-df8yf
@IrumvaOscar-df8yf 3 дня назад
Achia nyingin sasa hivi😱😱
@OmanOman-ru4eu
@OmanOman-ru4eu 3 дня назад
Tuliofurahia loveness kumwambia kelvin kuhusu mambo ya mme wa aziza like zetu hapa
@HaikaShao
@HaikaShao 2 дня назад
Mm. Wenyewe nilijua hatomwambia nikaanza nikaanza kuwaza itakuaje?
@ReginaKigoda
@ReginaKigoda 2 дня назад
❤❤❤❤❤❤❤
@RuthCharles-i1p
@RuthCharles-i1p 2 дня назад
🎉
@LeonedahTenge
@LeonedahTenge 2 дня назад
Amefanya Jambo nzuri Sana kumwambia kelvin
@EliethMoyo
@EliethMoyo 2 дня назад
😊
@YusraMshomary
@YusraMshomary 3 дня назад
Leo acha niwaombee Dua wote mashabiki wa Donta tv, mungu awape maisha marefu, awaondolee dhiki ya aina yoyote,awakinge na watu wabaya,awafungulie milango ya lidhiki ya halali ameen🤲🤲
@AbduliSuleiman-o9l
@AbduliSuleiman-o9l 3 дня назад
Amin 🤲🫂
@riziki8406
@riziki8406 3 дня назад
Amiin yarabby
@JescaYusuph-m4y
@JescaYusuph-m4y 3 дня назад
Amina🙏
@FlorenceMnyazi
@FlorenceMnyazi 3 дня назад
Amen 🙏
@zuberhamza7852
@zuberhamza7852 3 дня назад
Aamiyn pamoja naww
@elizabethismile6827
@elizabethismile6827 3 дня назад
Aziza huwa ni mrembo afu mstarabuu nampenda kwelii❤❤na skuizii anazidii kung'aa mashalaah
@moissacreator5716
@moissacreator5716 2 дня назад
Kweli kabisa nimekosa namba yake tu ningemtafuta kitambo nam believe
@QueensaharSamantha-o2s
@QueensaharSamantha-o2s 3 дня назад
Nmefuraishwa na mamke Kelvin Sana kwa maamuzi aliyoyachukua pamoja na mumewe nawapa pongezi yao
@JemimahKambua
@JemimahKambua 3 дня назад
Aisee aziza namkubali sana nilidhani angekosa kumuelewa love,,basi nipeeni like ata Moja
@marthesifa-5803
@marthesifa-5803 2 дня назад
Nilikuwa sijamalizakuangaliya ikabidi nipitie comment kwanza kwakweli comment yako inanipamoyo wakumalizia movie
@MiriamKolagwa
@MiriamKolagwa 7 часов назад
@@marthesifa-5803😂😂😂😂😂
@RachaelFuraha
@RachaelFuraha 3 дня назад
Makofi Kwa mamakelvin👏👏👏 alafu loveness umefanya vizuri kumbia Kelvin bwana ya aziza nimbaya James mambo yako yamejulikana
@JohnJohn-z4j
@JohnJohn-z4j 3 дня назад
Wanao amini Kévin siyo msahanda tn ndo inamusubuwa ni mapenzi tujuwane kweny lik❤
@atupelemwaikasu6971
@atupelemwaikasu6971 2 дня назад
Anampenda loves ila hajijui🤣🤣🤣
@BlaiseLwamba
@BlaiseLwamba 3 дня назад
Ongera sana mimi na nyumba yangu yaani mke wangu na watoto wote tunawapenda sana tuko Congo jimboni Tanganyika kalemie asante muachie kila siku tolingi bino trop Kevin, love Ness,Tina ...Donta TV IS the best.
@ChantalKwuzera-ss6li
@ChantalKwuzera-ss6li 2 дня назад
Good lLLk
@user-oz1bb8gc1c
@user-oz1bb8gc1c 3 дня назад
Hongera mama kelvin, kwakweli leo umeamua vizuri sana
@SadaDjuma-e9b
@SadaDjuma-e9b 3 дня назад
Mzigo umeingia leoooo,tutakao fuatilia season hii Amani ya Mungu iwe juu yetu,napia Mungu atupe Afya na Uzima Ninawapenda bureeeee❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉piga keleleeeeeeee🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤
@AmenaMm-r5t
@AmenaMm-r5t 3 дня назад
Amina yaraby kwa sote ishaallah pia wanao tuletee ivi vity aallah awalip kil la kher
@kambalekihumbira
@kambalekihumbira 3 дня назад
@@AmenaMm-r5t
@ButoyiThierry-j8e
@ButoyiThierry-j8e 3 дня назад
Amina
@NdayishimiyeAgnes-of2tn
@NdayishimiyeAgnes-of2tn 3 дня назад
Unajua kuomba like ww🌝
@SadaDjuma-e9b
@SadaDjuma-e9b 3 дня назад
@@NdayishimiyeAgnes-of2tn 🤣🤣🤣
@MasokabenoitMaodeste
@MasokabenoitMaodeste 3 дня назад
Tunao somaga comment kabla ya kumaliza movie tujuwane apa😂
@MwayaonaBonero
@MwayaonaBonero 3 дня назад
🤪🤪
@LizzyBeiby
@LizzyBeiby 3 дня назад
👋👋
@mamafidelsfidels8585
@mamafidelsfidels8585 3 дня назад
👊👊👊👊👊👊
@NorahGatwiri-co5zq
@NorahGatwiri-co5zq 3 дня назад
🙌🙌🙌
@BiswahiAthumani
@BiswahiAthumani 3 дня назад
🤛🤛
@AmosMbiko
@AmosMbiko 3 дня назад
Wow jamani sanaa mama Kelvin pongezi Kama tuko pamoja gonga like hapo mm nikiwa upande wa Kenya nataka like zangu All guys❤❤❤❤
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 3 дня назад
Amina Wew Ringa James anakuja Kwako na Mipango yako imefeli James et ww ni Nani ww jua tu ni msaliti
@NasraIbrahim-dw1hr
@NasraIbrahim-dw1hr 3 дня назад
Love nice unanikela unamkataliaje kevlvin japo ni move napenda kaz yenu❤❤❤
@abdulybinsupa9506
@abdulybinsupa9506 2 дня назад
Sasa Si wanaigiza jamani unataka true motion jamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@kerubotrizah3445
@kerubotrizah3445 3 дня назад
Wa kwanza leo kutoka Kenya ❤❤ nipe maua yangu
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 3 дня назад
Ambao tunaomba loveness aolewe na kelvin na kupewa mimba please gonga lile hapa tujuane💞💕💞💕💕💞💕💞💕💞
@zuberhamza7852
@zuberhamza7852 3 дня назад
😂😂😂😂 nakupewa nini vipe
@user-xj8ft9tj2x
@user-xj8ft9tj2x 3 дня назад
😂😂😂😂😂Mimba tena
@MaurineNzomo-mc8ig
@MaurineNzomo-mc8ig 3 дня назад
🎉​@@zuberhamza7852
@JohnBosco1
@JohnBosco1 3 дня назад
This is movie bro😂😂😂
@CarolyneNyanchama-yk1gf
@CarolyneNyanchama-yk1gf 3 дня назад
😂😂😂
@EdigaNashon-g7b
@EdigaNashon-g7b 3 дня назад
Waliofurahi mama kelvin kubadili maamuzi tugonge like zote hapa🎉🎉😂😂😂😂🎉🎉❤
@marthesifa-5803
@marthesifa-5803 2 дня назад
Amenifuraisha kwake Li mama kelvin
@dogosafa
@dogosafa 2 дня назад
Vizuri sana kwakumupa mtoto huuru
@Annyfiona-l4o
@Annyfiona-l4o 3 дня назад
Keviln mwach loveness aende kwa amin ataona😂😂 han akili ❤❤❤❤
@DativaMarekani
@DativaMarekani 2 дня назад
Itapendeza sana kwa kweli coz Kila siku naweka bando nachungulia mwesho wake bando linaisha bila kutumia
@DavidBoazNavangi
@DavidBoazNavangi 3 дня назад
Leo nimekua wa kwanza naombeni like zenu😂😂nampenda Sana loveness❤❤❤kwa msimamo wake japo anapitia wakati mgumu🙏🙏
@KwizeraNasri
@KwizeraNasri 3 дня назад
Wakwanza leo ngo like kam unamukubari kevin ❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮
@FauziaAkeza
@FauziaAkeza 3 дня назад
Ume kuja mapema sana
@Polinegatuxh
@Polinegatuxh 3 дня назад
Nimejifunza
@ShwariPhones2
@ShwariPhones2 3 дня назад
Vip wapulundi
@FauziaAkeza
@FauziaAkeza 2 дня назад
@@Polinegatuxh kweli
@KwizeraNasri
@KwizeraNasri 2 дня назад
@@FauziaAkeza mapem kbx
@DachouDathiveMBONYIMANA-xe4vg
@DachouDathiveMBONYIMANA-xe4vg 3 дня назад
Hey guys 2day ni 🔥🔥🔥 team stronger muko wapi 🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@FaizaKabibi-tb2dj
@FaizaKabibi-tb2dj 2 дня назад
@@DachouDathiveMBONYIMANA-xe4vg hapa
@SarahCharls
@SarahCharls 3 дня назад
❤❤❤❤❤penda sana love hakuna kitu nilichokipenda kama kumeambia kev kuhusu uyo ibilis mme wa aziza movie zingine wananikelaga wanaficha ficha ila leo unenifrahisha saana lovenes goooood
@user-xr7rr2rf6e
@user-xr7rr2rf6e 3 дня назад
Daaaah ndota hongeren kwa kaz nzr ya kuelimisha na kuburudisha jmn,,,,like kwa aziza maan anaweza sana 😊
@AsinaMpakilia-zw5wu
@AsinaMpakilia-zw5wu 3 дня назад
Pole Sana lovenes usifanye mapenzi na shemeji yako Kwani Kelvin anakupenda Sana,
@ArlèneASENDE
@ArlèneASENDE 3 дня назад
Ivo ginsi Amina anakatala Ku mupokeya Loveness, miye nafurahi saaana ju île mupango ya Kelvin yakumupangisha Loveness itatimiya. Tena mutuambiliye Loveness akubali île mawazo yakupangiwa chumba na Kelvin.
@BahatiMohoreza
@BahatiMohoreza 3 дня назад
Hata Mimi nafurahia
@NicolasLassu
@NicolasLassu День назад
Pole sana kabisa
@LewisHamiltonGLD
@LewisHamiltonGLD 3 дня назад
Pia mm nimewahi loveness sikia mambo ya kelvin na hongera kwa kumwambia kelvin ukweli kuhuzu Amina na James na usikubali kutembea na huyo bwanake aziza kua na msimamo wako loveness
@Concetawnaja
@Concetawnaja 2 дня назад
loveness kubali kivin akupangushie wacha ubishi,,,,nae mama kelvin ameongea point❤
@clariszawadi2010
@clariszawadi2010 3 дня назад
Asante sana Kevin kwa kumuumbua James, James wewe ni mnafik sana pamoja na huyo Amina wako
@FatmaLyego
@FatmaLyego 3 дня назад
Waoooooo kelvin leo umenifurahisha ❤❤
@JullianaEmmanuel-tm5xg
@JullianaEmmanuel-tm5xg 3 дня назад
Huyu mme wake Aziza vp tena, shez kabsa mm naondoka nyoo, au love mwambia Kelvin, waooooh love kwa kumwambia Kelvin saf kabsa
@PhildausKamaka
@PhildausKamaka 3 дня назад
😅😅😅😅unacomment afu unajijibu mwenyew😅😅😅😊
@SamouOman
@SamouOman 3 дня назад
😄😄😄😄😄nimechek sana
@JullianaEmmanuel-tm5xg
@JullianaEmmanuel-tm5xg 3 дня назад
@@SamouOman mbn ucheke
@belysenibitanga2786
@belysenibitanga2786 3 дня назад
😂😂😂😂😂​@@PhildausKamaka
@SamouOman
@SamouOman 3 дня назад
hayo maneno yako tu dear
@purityrotich1703
@purityrotich1703 3 дня назад
Loveness utakubali kuchukuliwa nyumba na Kevin 😊😊 anakupenda sana ila anaogopa kukuambia🎉🎉🎉
@ednahnawire7445
@ednahnawire7445 2 дня назад
😂😂😂akubali,tushone vitenge,Kwan n kesho
@purityrotich1703
@purityrotich1703 2 дня назад
@@ednahnawire7445 eeeh bwana videra tunazishona😂🤣😂
@PaulJr-n2q
@PaulJr-n2q 2 дня назад
Me naona mnaichelewesha San achilien sana
@pabloaimar8172
@pabloaimar8172 2 дня назад
Babake Kevi kasema basi "MashaAllah" tumuachie mwenyezi Mungu badala ya "InshaAllah" 😂😂
@fatmatraashidu8522
@fatmatraashidu8522 2 дня назад
😂😂😂😂😂😂 "MashaAllah"
@LilianKila-br2md
@LilianKila-br2md 3 дня назад
Mashauri yangu kwa kelvin ni ampe dada aziza pesa amkondeshee loveness nyumba hapo tutatomboa,looo😮tumbo joto jamani.nawependa sana❤❤❤❤❤
@aishajuma18
@aishajuma18 3 дня назад
Kutomboa😅😅
@Frola-r9z
@Frola-r9z 3 дня назад
😅😅😅😅😅 kweli kabs
@jacklineminja-fg9ji
@jacklineminja-fg9ji 3 дня назад
Huyu loveness anafanya hii movie haiendelei inabaki nyuma tu kila kitu yeye ni mbishi na ameshaona kabisa wanafki wake lakin bado anang'ang'ana mi ananikera😢
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 3 дня назад
Mi anikera mbaya yani kama aoni manyanyaso anayo pitia kwa Amina, kuna yule mmama alimwambia aende kwake lakini yy king'ang'a na Amina wiiiiih hata kama move yakera
@mirajinabaswa2492
@mirajinabaswa2492 3 дня назад
Pia mi ananikera sanaa
@ManfeitaShahbani
@ManfeitaShahbani 3 дня назад
Mm naon ni zaid ningekua karib ningemramb makof akil ikae saw
@mkasihamad7225
@mkasihamad7225 3 дня назад
😂😂😂😂😂😂​@@ManfeitaShahbani
@madamechemba3720
@madamechemba3720 3 дня назад
😂😂😂😂
@GerrardNdola
@GerrardNdola 3 дня назад
Tuwapeni like zao Kelvin and lovenes gonga like apa❤❤❤
@SamwelPaulo-o3n
@SamwelPaulo-o3n 3 дня назад
ndiyo Iko poq sana kiraxik
@mkacibeiib7278
@mkacibeiib7278 3 дня назад
Kwa kweli ongereni sana Kwa kutuletea episode 18 na Niko mtoto hatali wap time love like wap mwingn jmn na mung wape nguvu na Imani na mtafika Kwa uwezo wa allh🎉🎉
@KWIBEAMISIOBAMA-o8v
@KWIBEAMISIOBAMA-o8v 3 дня назад
wa Congo tujuwane kwa like 🎉🎉 from kolwezi🎉🎉
@riccoomar3907
@riccoomar3907 2 дня назад
Huyu aziza anatoka chicha akivaa haya mawigi sanaa😅❤😅😅Mashallah
@judithpendo9985
@judithpendo9985 3 дня назад
Wa kwanza Jaman ndunguzangu nyote assalamualaikum wakristo bwana yesu asifiwe nawapenda nikiwa Riyadh km wapenda mtoto wa kelvin n laveness like apa jmn 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😩🇸🇦🇸🇦🇸🇦♥️♥️♥️♥️team strong hoyeeeeeeeeee nawapenda saaana
@SamouOman
@SamouOman 3 дня назад
nakupenda pia my love💋💋
@judithpendo9985
@judithpendo9985 3 дня назад
@@SamouOman ♥️♥️❤️❤️
@SamouOman
@SamouOman 3 дня назад
ahsante mungu akupe kila hitaji lako🙏💯🌹🌹
@PamelaNamwenya-nr4ph
@PamelaNamwenya-nr4ph 3 дня назад
Team strong hatuchelewi😂😂😂😂😂, much love dia, pamoja hadi kieleweke kelvin na loveness pokea maua 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ibrahimabdullah1887
@ibrahimabdullah1887 3 дня назад
wamwisho mimi leo 😆
@MajimbiTz
@MajimbiTz 3 дня назад
WA KWANZA LEO 🇹🇿🇹🇿🇹🇿.. EWE UNAESOMA HII COMMENT MUNGU AKUZIDISHIE RIZIKI ZAKO NA AKUPE MAISHA MAREFU AMEEN🙏🙏🙏🙏
@jorgecesilio8862
@jorgecesilio8862 3 дня назад
Amen🙏🙏🙏
@ZuwenaZuzu
@ZuwenaZuzu 3 дня назад
Amen
@carolyneogutu6489
@carolyneogutu6489 3 дня назад
Amen pia nawe
@DanielMoirange
@DanielMoirange 3 дня назад
Amen
@Alexisbayubahe-nw4th
@Alexisbayubahe-nw4th 3 дня назад
Amen
@LilmmyCrazyfficial
@LilmmyCrazyfficial 3 дня назад
Wa kwanza Mimi Leo 🎉🎉🎉 Leo Mimi SIJACHELEWA sana kwaiyo Naomba izo like msizitowe kwa Unyonge jamani😂😂
@Margaret-o5x
@Margaret-o5x 3 дня назад
Mimi nataka kelvin wafanye harusi na lovenesss wangap wananiunga mkono nipe like hata Tano tu
@jacksiteti6523
@jacksiteti6523 3 дня назад
Sauti ya Haziza iko nyororo waaw❤
@DanfordLugallah
@DanfordLugallah 3 дня назад
💪team kelvin....like hata moja tu japo ni WA mwisho🤗
@MsukaAphrah-qm7zm
@MsukaAphrah-qm7zm 3 дня назад
Jaman Leo mm ni wa kwanza Leo 😂😂jaman naomba Hata 5 likes watching from Doha Qatar 🇧🇭
@BintiM-di1wm
@BintiM-di1wm 3 дня назад
Wee huu moto yni Ioveness naona akipangiwa chumba na Kelvin lkin bwanake Aziza hujanifurahisha😢😢 nawapenda sana kzi nzr ❤❤❤❤pamoja mbele
@RifatiMboma
@RifatiMboma 3 дня назад
Mmmh nakupendga xanaaaa broooo kelvin umetisha brooo❤❤❤❤❤❤❤
@SadaMohammad-xd4qf
@SadaMohammad-xd4qf 7 часов назад
Jomon jomon 😢😢😢😢
@AmaniNangerembe
@AmaniNangerembe 3 дня назад
I'm amani from DRC congo 🇨🇩 but now I'm in sud afrique 🇿🇦 I'm your big fans I love your job brother Kelvin ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@NathKadima-bm4uc
@NathKadima-bm4uc 3 дня назад
Wakwaza Léo nipe liker bwana umbwa mimi😂😂😂
@AsiaJasphone
@AsiaJasphone 3 дня назад
Lavness usikubali kumpa penzi shemeji yako mpe kevln anaekupambania maisha yako
@carolyneogutu6489
@carolyneogutu6489 3 дня назад
📣📣📣📢📢📢
@BarakaMagarya-ob3ux
@BarakaMagarya-ob3ux 3 дня назад
Kelvin amesema Umpe wew
@jacqlineminyaro1322
@jacqlineminyaro1322 3 дня назад
@@BarakaMagarya-ob3ux😂😂
@RizikiZiki
@RizikiZiki 3 дня назад
😂😂😂😂😂😂yani umekata shauri😂😂😂
@AaAa-tf7sl
@AaAa-tf7sl 3 дня назад
Kweli kabxa😂😂
@madinagamaha9348
@madinagamaha9348 3 дня назад
Katika siku uliyonifurahisha ni leo hongera mama Kelvin ❤❤
@LoiceKatana-ci1tx
@LoiceKatana-ci1tx 3 дня назад
Kwa kweli malengo ya kelvin kumupangishia loveness inaenda kufanikiwa, Mungu awabariki kwa kazi nzuri🎉🎉🎉🎉🎉❤
@monicahjoseph2528
@monicahjoseph2528 3 дня назад
Shukran Sanaa❤Wana donta ,,pia nashukuru Kwa wazazi wa kevn Kwa chaguo walilofanya hop lovness atakuwa pOH, xx en safe
@hamidasaid-oh8fs
@hamidasaid-oh8fs 3 дня назад
Leo kila mtu niwa kwanza mm leo wamwisho bs mnipe like n mm,good job❤❤❤🎉
@HhshshshswhwhwhOman
@HhshshshswhwhwhOman 3 дня назад
Loveness kubali kupangishiwa chumba bana 😊
@user-ul2rw4tc2r
@user-ul2rw4tc2r 3 дня назад
Good work,,,,napenda hii move sana,,,,ina mafunzo mengi❤
@TatuMohammed-x2l
@TatuMohammed-x2l 3 дня назад
mm moja wapo jmn naipenda sana na pia nawapenda wt walioshirik humu❤❤❤❤❤❤
@mathewmlala6290
@mathewmlala6290 3 дня назад
Hvi loveness unafikiri nini unajua Amina fika kuwa ni MTU ambayo siyo sahihi kwako Kelvin anajitajidi kukusaidia Kwa hali yoyote unataka wema wa namna gani ??? Angalia unatezeka Kwa uzembe wako
@KmssKkss
@KmssKkss 3 дня назад
Kwan uyu love ness kichwani zipo kwel yn mm najikutaa km na mchukiaaa libishiii baada amkubalie kelvin ampangiee anata kulud Kwa amina jmn 😢kukosa kuwa movie ninge mtia konzii ashtuke
@mwanakombopopo5117
@mwanakombopopo5117 3 дня назад
Makosa ya Kevin afunguki kuwa nimpenz wake
@ZipporahMatho
@ZipporahMatho 3 дня назад
😂😂😂
@HudhaimaYussuf
@HudhaimaYussuf 3 дня назад
Nimecheka kwa sauti eti ilo konzi kubwa kweli 🤣🤣🤣🤣🤣
@NeemaNixon
@NeemaNixon 3 дня назад
Yaaani ndugu mi nimetukanz mpka nachekwa linakera bhana ye ndo anafanya movie isiendeleee😅
@FetrissJanni-lb5il
@FetrissJanni-lb5il 3 дня назад
😂😂mpo seriously.... Et ninge mtia kwenziii😂😂😂😂🙌
@Deborahdepsy-qh4rj
@Deborahdepsy-qh4rj 3 дня назад
❤❤jamani dakika 19 ila comments zishafika 190 watu mnakesha koigonja hii movi 🎉🎉kweli
@AngelYunusi
@AngelYunusi 3 дня назад
munaweka vipande vidogo munatuacha murahaa❤❤
@QueensaharSamantha-o2s
@QueensaharSamantha-o2s 3 дня назад
Lakini loveness mbna wapenda kuchukua maamuzi mazito mamaa,, Amina mwenyewe hakutaki tena haya itabidi sasa ukubali kelvin akupangishie nyumbaa
@Luckness-u1n
@Luckness-u1n 3 дня назад
Mpango wa kumupangia chumba loveness kwa Kelvin ulekamilika kwa sababu Amina alikatala kurudi kimupokea Loveness nakupenda sana ❤💋💋💋♥️♥️♥️
@MaurineSoti
@MaurineSoti 3 дня назад
Mbona loveness ww mbishi hivo remember ukirudi kwa amina ww kwisha.my advice to is lather you sikiza Kevin nauache kumpa stress anyway much love from 🇰🇪
@EliyaEstomih
@EliyaEstomih 3 дня назад
Wa kwanza leo angusha makopa kopa kama unawakubali DONTA TV ❤❤❤❤
@BlaiseLwamba
@BlaiseLwamba 3 дня назад
❤❤❤❤❤❤ m'y name IS Blaise from drc . Team Kevin you are thé super stars...
@NixShammah-ty9cw
@NixShammah-ty9cw 3 дня назад
Wa kwanza toka kongo ila samahani kelvin izi nyimbo kuwa nazi posti tunazipendaga kiukweli ❤❤
@user-mm3bk6uv4m
@user-mm3bk6uv4m 2 дня назад
Uyu mm ake kevin leo kaongea poa mbk nimetamani ni mhung weee maua 🎉kwako mama👏👏👏💕
@WemaPanja
@WemaPanja 2 дня назад
Ndiooo bwana achia kila siku❤❤❤
@stellamwarimbo
@stellamwarimbo 3 дня назад
Loveness msikize kelvin jamani❤❤na mm Leo naombeni likes ❤❤
@GraceKenya-i4j
@GraceKenya-i4j 3 дня назад
Kwakweli sijawahi kuwa wa kwanza 😂😂 lkn naombeni hizo like ❤❤🇰🇪
@JeneKazadi-j6x
@JeneKazadi-j6x 3 дня назад
Wa kwaza kutowa kometi nipeni liki zangu from sweden jamani umuhowe lavynesi🎉🎉🎉🎉🎉
@jaymapepefatma5936
@jaymapepefatma5936 3 дня назад
This is first love From Mozambique 🇲🇿❤💞
@user-rv9dv9nm9p
@user-rv9dv9nm9p 3 дня назад
Woow kelvin❤❤❤❤❤ umemifurahisha mr james kaumbuka😅😅😂
@mercywanjiru6047
@mercywanjiru6047 3 дня назад
Jamni hamuoni zero seconds jamani mm wakwanza kama wabisha inbox nikuozeshe kevin🤣🤣
@TullyDickson-nb7st
@TullyDickson-nb7st 3 дня назад
Waoooh Leo nmeifumania mapema to much love❤❤❤❤
@AmisseNsaluba
@AmisseNsaluba 3 дня назад
Leo mm ni wakwana ❤ naipenda sana hii filamu
@ShazChem
@ShazChem 2 дня назад
🎉❤kelvin.....kweli Loveness anaanza kutezeka??🥺🥺🥺lkni Asante Mungu ,Baba na mama Kelvin wako rada wameanza kuachilia kelvin kuwa huru kutafta mke wake ...ni. Vizuri ,Mungu atafungua njia.
@DavidoneJaguar
@DavidoneJaguar 3 дня назад
Ndio Kaka inabidi kuachia kila Siku donta tv ni Noma Sana tena na mpenda Sana loveness❤ Niko Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@DennisAbrahamYamame-nj3uk
@DennisAbrahamYamame-nj3uk 3 дня назад
Wa kwanza kutazama kutoka Kenya wapi likes zangu
@aishaabeid8106
@aishaabeid8106 3 дня назад
Shemej jmn namna gan tena.. unataka Aziza amchukie Loveness wetu kwann lkn Golden chance ushuzi😂😂
@musanaberanyiratungane7119
@musanaberanyiratungane7119 3 дня назад
Lovenes naweye unachosha Aziza naweye amka ugombaniye hakiyako lile tatizo la mume wako isilifumbie macho❤❤❤❤❤❤❤❤
@lemiomosongo6175
@lemiomosongo6175 3 дня назад
Kelvin Khan to make the story more interesting,, ungekubaliana na kuoa tina kidogo,, munaonea Tina sana,, lakini Donta TV ndio kila kitu yaani vipindi vyenu vyote ni visafi, kumbe kulikua na kisasi kikali mbele ya kanumba,, pig up,, munaonea Tina muonee huruma yaani koote tokea dada wakazi mbaka hapa❤❤❤❤❤ donta tv for life
@MussaMatata-d7v
@MussaMatata-d7v 2 дня назад
Tunaotaka loveness akubali kupangishiwa na kelvin ili amina ajutie gonga like tujuane..👍
@EdwardMtutui
@EdwardMtutui 3 дня назад
Wakwanza Leo jaman naomben like zangu
@charlesjohn3619
@charlesjohn3619 3 дня назад
Wa kwanza leo naomba likes zangu
@Forfun-g5b
@Forfun-g5b 3 дня назад
Ahsant jaman nimesubir sana dida kutoka oman
@Elossbproflash
@Elossbproflash 2 дня назад
Mimi natokeya Congo na wapa sapoti sana sasa kama unafata iyi movie kutokeya congo dondosha comment hapo
@faizamohamed6993
@faizamohamed6993 3 дня назад
❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥 weee kilabsikubitakuwa vizuri sana..tupeni raha bila nyinyi hatuwezi
@bakarysalimu7012
@bakarysalimu7012 3 дня назад
Na leo wa kwanza nipeni mauwa yangu
@جاااحظمجنون
@جاااحظمجنون 3 дня назад
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@SarafinahMdumbe
@SarafinahMdumbe 3 дня назад
Wow nawapenda sana timu ya donta tv
@JoyceHaluwaRimbaHaluwa
@JoyceHaluwaRimbaHaluwa 3 дня назад
Leo wakwanza Jamen kutoka kenya maua yenu wana donta🎉🎉🎉🎉🎉
@user-dp3fv2kh4l
@user-dp3fv2kh4l 3 дня назад
Amina umefanya vizuri kumnyima ufunguo lovenes ili amsikilize kelvin wetu anacho mwambia juu lovenes ni kashindani sana ❤❤❤❤from🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ifrahabi4834
@ifrahabi4834 2 дня назад
This is the best episode. Thanks Kevin, everything is going smoothly. I’m glad Amina is not excepting loveness to live with her. She is better off the street than going back to Amina. I love how Kevin and loveness don’t hide anything from each other. if someone say something about someone else. It’s good to confront them and know the truth instead of assuming. ❤❤❤❤
@zenaismwacha
@zenaismwacha 3 дня назад
me nimewahi jmn ata like moja ntafarijika sanaa
@RehemaHamisi-i4b
@RehemaHamisi-i4b 3 дня назад
Jamani leo nimwahi ĺike zangu ndugu
@saudianew2045
@saudianew2045 3 дня назад
Waaa leo nmefurahi sana mama kelvin cogratulations 🎉🎉🎉🎉🎉muache mwanao achangue chaguo lake❤❤❤❤❤
@AbiaKafrete
@AbiaKafrete 15 часов назад
Tulio furahi mama Kevin kugairi. Uchumba tugonge like
@QueensaharSamantha-o2s
@QueensaharSamantha-o2s 3 дня назад
Hahaha James nae kimemramba walai,, Kelvin kaa kivyako achana na huyo James atakuharibia mipango yako kaka... Kikulacho kinguoni mwako
Далее
SNAKE BOY | ep 38 | final mwisho | SEASON TWO
26:41
Просмотров 47 тыс.
ВЛАД А4 СКАТИЛСЯ
09:34
Просмотров 509 тыс.
MISSION IMPOSSIBLE [40]
25:25
Просмотров 87 тыс.
CHOZI LA DADA |EPISODE 6 |NEW MOVIE 2024
16:32
Huba Leo Jumatano Full HD video
22:15
Просмотров 10 тыс.
HOUSE GIRL EP 02  | S3 | Love Story 💕💞
38:22
Просмотров 38 тыс.
PLAN B _ Episode 16
44:09
Просмотров 150 тыс.
SNAKE BOY | ep 37 | SEASON TWO
25:01
Просмотров 423 тыс.
MKE MWENZA
24:27
Просмотров 141 тыс.
HOUSE GIRL EP 01  | S3 | Love Story 💕💞
19:31
Просмотров 71 тыс.
Jua Kali Leo Jumatano Full HD video
24:14
Просмотров 13 тыс.