Leo acha niwaombee Dua wote mashabiki wa Donta tv, mungu awape maisha marefu, awaondolee dhiki ya aina yoyote,awakinge na watu wabaya,awafungulie milango ya lidhiki ya halali ameen🤲🤲
Ongera sana mimi na nyumba yangu yaani mke wangu na watoto wote tunawapenda sana tuko Congo jimboni Tanganyika kalemie asante muachie kila siku tolingi bino trop Kevin, love Ness,Tina ...Donta TV IS the best.
Mzigo umeingia leoooo,tutakao fuatilia season hii Amani ya Mungu iwe juu yetu,napia Mungu atupe Afya na Uzima Ninawapenda bureeeee❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉piga keleleeeeeeee🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤
❤❤❤❤❤penda sana love hakuna kitu nilichokipenda kama kumeambia kev kuhusu uyo ibilis mme wa aziza movie zingine wananikelaga wanaficha ficha ila leo unenifrahisha saana lovenes goooood
Ivo ginsi Amina anakatala Ku mupokeya Loveness, miye nafurahi saaana ju île mupango ya Kelvin yakumupangisha Loveness itatimiya. Tena mutuambiliye Loveness akubali île mawazo yakupangiwa chumba na Kelvin.
Pia mm nimewahi loveness sikia mambo ya kelvin na hongera kwa kumwambia kelvin ukweli kuhuzu Amina na James na usikubali kutembea na huyo bwanake aziza kua na msimamo wako loveness
Huyu loveness anafanya hii movie haiendelei inabaki nyuma tu kila kitu yeye ni mbishi na ameshaona kabisa wanafki wake lakin bado anang'ang'ana mi ananikera😢
Mi anikera mbaya yani kama aoni manyanyaso anayo pitia kwa Amina, kuna yule mmama alimwambia aende kwake lakini yy king'ang'a na Amina wiiiiih hata kama move yakera
Kwa kweli ongereni sana Kwa kutuletea episode 18 na Niko mtoto hatali wap time love like wap mwingn jmn na mung wape nguvu na Imani na mtafika Kwa uwezo wa allh🎉🎉
Wa kwanza Jaman ndunguzangu nyote assalamualaikum wakristo bwana yesu asifiwe nawapenda nikiwa Riyadh km wapenda mtoto wa kelvin n laveness like apa jmn 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😩🇸🇦🇸🇦🇸🇦♥️♥️♥️♥️team strong hoyeeeeeeeeee nawapenda saaana
Hvi loveness unafikiri nini unajua Amina fika kuwa ni MTU ambayo siyo sahihi kwako Kelvin anajitajidi kukusaidia Kwa hali yoyote unataka wema wa namna gani ??? Angalia unatezeka Kwa uzembe wako
Kwan uyu love ness kichwani zipo kwel yn mm najikutaa km na mchukiaaa libishiii baada amkubalie kelvin ampangiee anata kulud Kwa amina jmn 😢kukosa kuwa movie ninge mtia konzii ashtuke
Mbona loveness ww mbishi hivo remember ukirudi kwa amina ww kwisha.my advice to is lather you sikiza Kevin nauache kumpa stress anyway much love from 🇰🇪
🎉❤kelvin.....kweli Loveness anaanza kutezeka??🥺🥺🥺lkni Asante Mungu ,Baba na mama Kelvin wako rada wameanza kuachilia kelvin kuwa huru kutafta mke wake ...ni. Vizuri ,Mungu atafungua njia.
Kelvin Khan to make the story more interesting,, ungekubaliana na kuoa tina kidogo,, munaonea Tina sana,, lakini Donta TV ndio kila kitu yaani vipindi vyenu vyote ni visafi, kumbe kulikua na kisasi kikali mbele ya kanumba,, pig up,, munaonea Tina muonee huruma yaani koote tokea dada wakazi mbaka hapa❤❤❤❤❤ donta tv for life
This is the best episode. Thanks Kevin, everything is going smoothly. I’m glad Amina is not excepting loveness to live with her. She is better off the street than going back to Amina. I love how Kevin and loveness don’t hide anything from each other. if someone say something about someone else. It’s good to confront them and know the truth instead of assuming. ❤❤❤❤