Brother uwa unanikela sana maana kila siku movie zako unakua mtu mpole na kuonewa , ebu wakat mwengine cheza kama mwanaume kua jasiri yaan jaribu ata kupiga mtu
Baba Joan kunawakati nashindwa kutazama move kutokana Na ukatili wa huyo mama karobo hata kama Ni maigizo hii to much najikuta nalia mwanzo mwisho, hakika mnatuelimisha Sana.
Ile picha ambayo imejitokeza kwenye television au tivii niile picha ambayo ilikuwa inaitwa HOFU alipo kuwa anavaa kwenda vijijini kwa mama ake kama kuna MTU anakumbuka nimjue tafadhari
Mama karobo anapitishia karobo hali ngumu some things tufai kufanya mbele ya macho ya watoto wetu,,,mungu atupee hekima ya kuwalea watoto wetu kwa njia iliyo sahhihi❤❤❤❤❤mama karobo big up ata kama n kipindi be nicr😢😢
Hujaelewa hapo alikuwa kwenye mawazo ya kutekereza alichopanga ghafla kwenye hilo lindi la mawazo akili ndio ikaona anaepigwa si muhusika bali ni mdogo wake sio risasi imekata kona! Huo ndo uelewa wangu hapo!
Hhhhhh et shingo kubwa anamrog bb karob jee nauyo bwan wak akikusalit jee 😢😢😢😢😢 atar kwakwel jaman tuwen makin na waumezet tusihadaliwe na wanume wanjee
Kiukweli hii Inafundisha Lakin hakuna siku mama wa kambo atampenda mtoto ambae sio wake tuishi kwenye uhalisia na sio kwenye story😭😭😭..daaaaah karobo .. don't givup..keep going one
Master j,nimetuliza kenya Bay beach hoteli ninaendelea kuwafuataliya maana nilianza nanyi tokea mwalimu mgeni mpka sasaivi sasa tuko pamoja am hatuko pamoja broo na crush yako mko very sirias,so nawapenda sana na nawaombea muendeleze kipaji chenu na lamwisho nawapenda sana good day ila ninausibiri part 7 okay
ddy karobo mafudisho yako yananifudisha mengi ya mzingi asante kwamala nyingine asante asante sana nashukuru pokea maua yako haya 💐💐💐💐💐hongera sana karobo umefaa uwasilia vizuri 💐💐💐🎊🎊🙏🙏
Mama karobo mwenye roho mbaya na mwenye mimba wakati hakuwa na upofu n vitu viwili tofaut halaf jaribu usibadilishe wahusika hapo umenichanganya sura hazifanani na mama karobo mwenye roho mbaya na mwenye mimba