Тёмный

BABU SEYA ALALAMIKA "WALITUSHIKA MKONO KWA KUTURAMBA MGONGONI,HATUNA MSAADA" 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 23 тыс.
50% 1

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 36   
@johnycavishe5207
@johnycavishe5207 Год назад
Pole Sana mzee.naikubal Sana 💪 ile nymbo yako seya m,balo donge liwashike mabusu motomoto Mimi na ww seya seyaa naipenda sana
@erasmusmlay3284
@erasmusmlay3284 Год назад
Legends 🔥🔥
@JohnDoe19xx
@JohnDoe19xx Год назад
Mzee kama huyu bado anaimani atatoboa sasa wewe kijana unafeli wapi?
@directordeemer4810
@directordeemer4810 Год назад
dah ila kweli 😅😅😅😅
@merckmdamu2942
@merckmdamu2942 Год назад
Kikwete nimpumbavusana mxiiiiiiiiiuu Mamaaee
@RamadhanKatozi-sm5bb
@RamadhanKatozi-sm5bb Год назад
Lakini ukumbuke kuwa Babu Seya na wanae walifungwa kipindi Cha utawala wa hayati Benjamin MKAPA.
@frankjackson9016
@frankjackson9016 Год назад
Chunga sana kauli Yako Mzee yasije yakakukita
@mbwanahasan2971
@mbwanahasan2971 Год назад
Kikwete kakufanya nini sasa ukiambiwa ulete ushahidi wa upumbavu wake upo tayari? Acha uchoko wewe mpumbavu au una nyege ya kwenda jela Fara wewe usipende kumchafua mtu kwa sababu ushakunywa gongo zako unaropoka tu chunga mbakuli wako huo
@merckmdamu2942
@merckmdamu2942 Год назад
@@mbwanahasan2971 Ndomaana ukaitwa mbwa Sahani. Matakonini😂😂😂. Kama imekuuma kamkojolee mamaako. UTOKO wewe Mamaeeeee🖕🖕🖕🖕
@mtktv597
@mtktv597 Год назад
Ndo kosa kubwa moja alofanya kikwete kwenye madaraka yake na hao walinyanyaswa kisa sio watanzania, janja janja nyingi wakapewa uraia kumbe ndo mbinu ya kuwahukumu kifungo cha maisha daaaah 😭 alafu unakuja kumuachia mtu kashakua mzee ivo tena serikali za mwenzetu mambele mtu Kama huyo kutoka jela angepewa fedha ndefu ya kuanzia maisha akiwa nje lakin serikali zetu zero zero zero 🥚
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Год назад
Sasa ukiwa sio raia ndio huwezi kufungwa maisha?
@RamadhanKatozi-sm5bb
@RamadhanKatozi-sm5bb Год назад
Huyu alifungwa wakati wa utawala wa MKAPA, siyo wakati wakati wa utawala Kikwete. Wakati huo Kikwete alikuwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa
@RamadhanKatozi-sm5bb
@RamadhanKatozi-sm5bb Год назад
Babu Seya na wanae walikamatwa tarehe 12/10/2003 na kuhukumiwa tarehe 25/6/2004. Hicho ni kipindi Cha utawala wa hayati Benjamin MKAPA.
@rogertuga007
@rogertuga007 Год назад
Unaropoka kama kuna kitu unajua wakati bichwa tupu hamna lolote. Hata hujui walikamatwa mwaka gani. Na wala hujui sababu ya kukamatwa kwao. Chunga mitandao uliza ubongo wako kabla hujaandika
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Год назад
Maskinii mhmm na ndicho kilichomuuwa magu moja ni hili
@shemelaruhinda6113
@shemelaruhinda6113 Год назад
Masikini mzee wetu
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 Год назад
Walio kufanyia ivyo walaaniwe washenzi
@suzyclement3899
@suzyclement3899 Год назад
❤️❤️
@thomasronniemashele6445
@thomasronniemashele6445 Год назад
Dansi kwao congo tz ni bongo fleva kwenda mbele .r.i.p bolingo
@georgembise7234
@georgembise7234 Год назад
Kapungua sana ya kikwete sio mtu kabisa!!!yan kikwete wizi yeye uhuni yeye sijui uyu mtu aliumbwaje alafu atosheki!!yan kilwete angekua mtoto wa baba wa talfa kama kina makongoro angeiuza nchi!!yupo radhi ale nawazungu kuliko wazalendo!!!
@musaguga
@musaguga Год назад
Mzee mbona kakonda?
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 Год назад
Njaa mambo siyo mambo hata ukila mwili hauna ushirikiano kabisa
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 Год назад
MWENYE KUJUA ANISAIDIE,,,ILE KESI WALIYOTUHUMIWA NAYO,,NI KWELI AU WALIPEWA?
@katibampya8442
@katibampya8442 Год назад
Hukumu ipo ni kweli waliwaharibu watoto, sasa wabongo wengi waliamua kushupalia habari za vijiweni.
@kingiryn8656
@kingiryn8656 Год назад
Walibambikiziwa Kesi
@mohamedyally58
@mohamedyally58 Год назад
Huyu mzee akichukuliwa na king pale itakua poa Sana kwasababu anaweza Sana live band mbona wataelewa
@winniemandawa4470
@winniemandawa4470 Год назад
Duu kumsingizia mzee km huyu ni dhambi kubwa ..nawaombea mungu awanyanyue tena amen..
@winniemandawa4470
@winniemandawa4470 Год назад
Pole sana mzee wetu ,binadamu wabaya bora ya mnyama
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Год назад
Kama unatoa maoni toa kistaarabu matusi ya Nini
@lydiamsheri4095
@lydiamsheri4095 Год назад
Hapo sasa
@lutenganolukali2122
@lutenganolukali2122 Год назад
Lijendi
Далее
Papii Kocha Alivyoiimba SEYA Coco Beach
6:50
Просмотров 3,1 тыс.
MASANJA COMEDY INALIPA KULIKO UCHUNGAJI
36:21
Просмотров 2,4 тыс.
Nguza Viking 'Babu Seya' na mkewe
4:08
Просмотров 5 тыс.
Live. JPM ALIVYO WAACHILIA BABU SEYA.
2:03
Просмотров 17 тыс.