Тёмный

BABU SEYA ALIVYOIMBA WIMBO WA SEYA NA MWANAE KWENYE HARUSI YAKE 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 344 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

15 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 406   
@happynessswai3922
@happynessswai3922 5 лет назад
Ilipendeza sana Kuna mtu anangalia video na wakat huohuo anasoma comments kama mm?
@aminajuma9714
@aminajuma9714 5 лет назад
Happyness Swai ulijuaje happyness
@happynessswai3922
@happynessswai3922 5 лет назад
@@aminajuma9714 inapendeza sana
@daudirajabu6798
@daudirajabu6798 5 лет назад
Kwakwa
@subiradalabu6616
@subiradalabu6616 5 лет назад
😁😁😁😁🙌
@gospelfiretv9667
@gospelfiretv9667 5 лет назад
Hahahaaaaa umejuaje
@mosesnyirenda6359
@mosesnyirenda6359 5 лет назад
"Mimi sitaki hela ,nna hela nyingi, mtuzeni huyu anaanza maisha "mtu na mwanaye, so lovely
@mwajahilisegela6544
@mwajahilisegela6544 5 лет назад
Moses Nyirenda
@binurusm8886
@binurusm8886 5 лет назад
Kweli Mipango ya Mungu haipanguliwi na mwanadamu, hongera sana Babu Seya, Mungu Aibariki Ndoa yetu, hongera pia zimwendee Mh. Magufuli, hakika uliona mbali, Mungu akulinde Rais wetu, Aamina.
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 5 лет назад
magufuri mungu akuweke miaka mingi hakika furaha hii ilipotea sana kwa muda
@erickmichael1373
@erickmichael1373 5 лет назад
Jamani Mungu usiandike kwa herufi ndogo please
@asiaramadhani3419
@asiaramadhani3419 5 лет назад
Magufuri
@faridahamis2607
@faridahamis2607 5 лет назад
Kwakweli magu mungu ampe miaka 1000
@mariamumchele2478
@mariamumchele2478 5 лет назад
Kweli
@taslimanyange2850
@taslimanyange2850 3 года назад
@@faridahamis2607 Nimejikuta natokwa machozi Mungu ampumzishe mahali pema peponi
@nancylitali3359
@nancylitali3359 3 года назад
When ever I hear this song I feel so loved
@patrickKitambo
@patrickKitambo 2 года назад
such a beautiful family...may God wipe away all the pains you faced during the trials
@kizamanikisasaproduction1146
@kizamanikisasaproduction1146 5 лет назад
Hata ikiwajeeee LAZIMA tutoke jela wale wabaya wetu eh wabaki na ______ nn jamani, KAMA UMEKUBALI HAPO MALIZIA
@sarahloveyouolivermtukidzi6704
Wabaki na AIBU''
@ziadasalim8807
@ziadasalim8807 5 лет назад
wabaki na aibu
@theresiakaruhanga1169
@theresiakaruhanga1169 5 лет назад
Mungu ni mwenye haki na rehema zake ni you kwa wamchao
@tibekabaka8127
@tibekabaka8127 5 лет назад
Wabaki na aibu
@sabrahmashema842
@sabrahmashema842 5 лет назад
Bora uchelewe kuoa au kuolewa ila upate mtu unaeweza kuvumilia mapungufu yake hongera babuseya we love u!
@mariamkalinga2628
@mariamkalinga2628 5 лет назад
Sabrah Mashema babu Seya ajachelewa alishakua namke baada ya kua gerzan alipoteza mke na mama Ake mzazi bada ya kuhukumiwa jaa
@sabrahmashema842
@sabrahmashema842 5 лет назад
@@mariamkalinga2628 sawa mungu amsimamie ktk ndoa yake mpya na awape subra ktk kila pungufu..team seya😘
@rosemaiko9405
@rosemaiko9405 5 лет назад
Hongera
@khatibuhijja459
@khatibuhijja459 5 лет назад
@@sabrahmashema842 lkn. Mtt hanaadabu anamuimbia mamaake utadhani yy ndio kaowa
@sabrahmashema842
@sabrahmashema842 5 лет назад
@@khatibuhijja459 hahaa yupo kwenye mood daddy kaoa
@nabwilelinet7027
@nabwilelinet7027 5 лет назад
Harusi tunayo au hatuna ikipamba sana weka nduruuuuu I like the song
@rizikinash8221
@rizikinash8221 5 лет назад
Hapo,aliimba hatanvua inyeshe inyeshe lazima watoke jela waonyeshe mapenzi yao na magufuli palinifanya ni like na ku subscribe
@marthakambona4809
@marthakambona4809 5 лет назад
I like every thing biharusi natural face
@ashamwandu3781
@ashamwandu3781 5 лет назад
Kwakweli had I raha nimewatamania watoto wanamuunga baba yao,na mzee kajaa furaha .namungu akaishike mkono ndoa hii,ikajae upendo wako kweli na furaha wazae,mwanaume azeheki mashallah
@yahyarajab525
@yahyarajab525 5 лет назад
Baada ya ziki ni faraja
@scholasticafrancis1235
@scholasticafrancis1235 5 лет назад
Asha Mwandu Amiiin
@wemakalamu3538
@wemakalamu3538 5 лет назад
Mwenyeezi mungu aibariki hii family hakuna mkamilifu duniani
@odetherpaul5720
@odetherpaul5720 5 лет назад
Kudo oiiiiuul
@samsonmagesa3959
@samsonmagesa3959 5 лет назад
Wema Kalamu Amen
@lisajackson5867
@lisajackson5867 5 лет назад
Nakupenda sana Rais wangu magufuri Mungu akulinde kw kuwasamhe coz muhukumu ni Mungu tu daah mpk nalia kwa furaha
@daimavlog
@daimavlog 5 лет назад
Kipaji hiki jamani, kuimba live ndo kipaji chenyewe haki.
@dshynermcongo1564
@dshynermcongo1564 5 лет назад
Daaah hawa jamaa hawakuwah kufikiri km ipo cku watakuwa free na happy like this. Pongezi kwa jpm rais wetu.
@mussamohamed7209
@mussamohamed7209 5 лет назад
Asant muheshimiwa magufuli tusingeyaona haya
@daimavlog
@daimavlog 4 года назад
Mungu ni waajabu sana
@khadijanyoni2457
@khadijanyoni2457 5 лет назад
Hongera baba yetu, nimempenda mama amechangamka amecheza vzr big up mama nguza
@perpetuapallangyo5714
@perpetuapallangyo5714 5 лет назад
Kila Mtu Kwa wakati wake, enjoy Babu Seya.
@shideashidea5570
@shideashidea5570 5 лет назад
Kabisaaaa
@andrewmagwila6219
@andrewmagwila6219 5 лет назад
Kweli kbs
@amiriwaziri6858
@amiriwaziri6858 5 лет назад
Magu wewe unafaa
@sizaulomi1478
@sizaulomi1478 5 лет назад
Amani kwako na mke wako Mzee babu seya tunazidi kujifunza kupitia wewe.#MunguibarikiNdoayaBabuSeyaAmen.
@magrethjohn8576
@magrethjohn8576 5 лет назад
Kwa Mara ya kwanza mwili umenisisimuka! All the baba,hata ulipofungwa nililia kama nakujua!Mungu awe nanyi upendo na amani vikatawale ndoa yenu!
@paulinamailec1710
@paulinamailec1710 5 лет назад
Amen
@damasinyalile8649
@damasinyalile8649 5 лет назад
Magreth John
@mwanahamisiabdi3320
@mwanahamisiabdi3320 5 лет назад
Nlijkuta nampenda anko magu kwa ajri ya kumtoa babu sea na mtoto wake ccm oyeeeeeee
@TheSalma1999
@TheSalma1999 5 лет назад
Mungu amsaidie na mwanae apate mke mzuri kama baba yake May God bless their reunion
@nyamogafamily4262
@nyamogafamily4262 5 лет назад
Me mchumba wake mbona!michango yenu tu harusi Karibu son
@modesterdavid8500
@modesterdavid8500 5 лет назад
@@nyamogafamily4262 hahahahahahaaha khaaaaah
@amiriramadhan7753
@amiriramadhan7753 5 лет назад
Jamani kwani huyu mzee alvokua jela hakua na mke nyumbani au alirudi mke ashaolewa?
@mariamkiharo6345
@mariamkiharo6345 5 лет назад
@@amiriramadhan7753 yes alikuta mke kashaolewa
@Fgldesigns
@Fgldesigns 5 лет назад
@@mariamkiharo6345 Duh! Wanawake nao mpo na haraka...
@margarethsaramaki1100
@margarethsaramaki1100 5 лет назад
Hongereni sana na Mungu awabariki sana
@godfreyally7787
@godfreyally7787 5 лет назад
Mbarikiwe sana kwa hatua nzuri
@mussakijangwa196
@mussakijangwa196 5 лет назад
Haaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😋hata mvua ikinyesha lazima tutoke jela 😋😋😋 umedamshi baba 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
@prisilakapinga3781
@prisilakapinga3781 5 лет назад
Uhuuuuu
@bossdavid7644
@bossdavid7644 5 лет назад
Mussa Kijangwa hatari sana😁😁
@gidionseleman7318
@gidionseleman7318 5 лет назад
Dah!! Wamemchelewesha sana huyu mzee kule jela, ila at least kapata mwali.
@erickputto3490
@erickputto3490 5 лет назад
Gidion Seleman
@benlaizer9936
@benlaizer9936 5 лет назад
Hakika Mungu ni Mungu wa haki tabasam limerejea ktk familia hii!! Asante Mungu asante Mh.JPM
@irenemagoto2646
@irenemagoto2646 5 лет назад
Dah nimetokwa na machozi aisee hii familia nilikuwa naionea huruma sana kipindi iko jela yan nikiwaona hawa mapenzi yangu kwa Rais wangu Magufuri yanaongezeka be blessed baba rais wa wanyonge
@salamashabani7922
@salamashabani7922 5 лет назад
MUNGU HAWATUPI WAJAWAKE JAMANI, AMANI YA FAMILIA IMERUDI MAASHAALLAH MAASHAALLAH MAASHAALLAH💖😍
@naomicharles6002
@naomicharles6002 5 лет назад
Sa
@shakilamasoud8979
@shakilamasoud8979 5 лет назад
Magufuli Mungu akufanyie wepesi katika kazi yako. Kwakuichia hii familia huru
@dollaxytvonline4190
@dollaxytvonline4190 5 лет назад
Kama na ww n was kwanza kuona like hapa tujuane
@neemachabruma2678
@neemachabruma2678 5 лет назад
Mungu akubariki kwakufunga pinga za maisha
@rukiamohammed5031
@rukiamohammed5031 5 лет назад
Hongeren mungu aibariki hii ndoa lkn bi harusi ckuwez 🙌no mek up 😂😂 umetisha bila kinyago 🤣🤣
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 5 лет назад
Make up ya nini huyo ni African beuty
@shamahkakan9241
@shamahkakan9241 5 лет назад
Kwa mbaali is ok
@lovenessmwaluko5576
@lovenessmwaluko5576 5 лет назад
saaaaaafiiiiiiiiiiii sana hongeraaaa,,sana Mungu hakika ni mwema nani alijua IPO siku itakuw HV Mungu awape umri mrefu zaid
@juliusmatilya4025
@juliusmatilya4025 5 лет назад
Mwenyezi Mungu akawabariki katika ndoa yenu ya ukubwani. pia hongereni sana.
@husnatgamaah1335
@husnatgamaah1335 5 лет назад
Sijui kwann huyu mzee nikimuangalia ananiumiza roho maskini😢, kama kwa Mungu kuna malipo basi mzee Mungu atakulipa kila haki yako ulopoteza😢😢
@ptheboytz3300
@ptheboytz3300 5 лет назад
Mungu ampiganie mzee wetu
@valkiniabaaichaki9663
@valkiniabaaichaki9663 5 лет назад
p the boy tz
@marthakambona4809
@marthakambona4809 5 лет назад
Dah Jera hakumpendezagi mtu hawa wali zeeka asahivi wamelejea hawatamsahau magufuri milele papi kocha na baba ake wanapendana sana
@jennifernafula7008
@jennifernafula7008 5 лет назад
Hongera babu seya mungu akulinde sana we love you from kenya
@mariamyusuph7356
@mariamyusuph7356 5 лет назад
Safi sanaaaaa!! Kila mja na fungu lake..best of luck
@bernadethleonard2741
@bernadethleonard2741 5 лет назад
Mungu awabaliki San baba yngu tunakupenda watu waby walitk kukatish ndoto zenu washindwe kwajina la yesu namungu azidi kuwaonyesha nakuon Hy
@damianoadam1041
@damianoadam1041 5 лет назад
Mungu awatangulie.Mungu ambariki na kumlinda Rais wetu mpendwa Dr JPM kwa kujali wanyonge.
@levinaoscar8864
@levinaoscar8864 5 лет назад
Safi
@priscaandrew554
@priscaandrew554 5 лет назад
Thank you God,kweli kila jambo kwa wakati wake
@samsonmagesa3959
@samsonmagesa3959 5 лет назад
Prisca Andrew Amen
@alladiniamrani121
@alladiniamrani121 5 лет назад
Mungu Mkubwa sana,Papy Kocha Uko vzr,Hiyo Sepetu!!!!,Mwegelo!!!uwoyaaa uko wapiiii,Daaah
@munyongeshabani3532
@munyongeshabani3532 5 лет назад
Congratulation Mzee Babuseya from Burundi.
@nuurinkluge7584
@nuurinkluge7584 5 лет назад
Simple weeding and beutiful 💝💝💝🙏🙏🙏
@annajustine5104
@annajustine5104 5 лет назад
Hakika hii familia naipenda...Mungu aitunze.
@stevesmumessie7974
@stevesmumessie7974 4 года назад
Lovely really 😚😚😚😚
@ziadasalim8807
@ziadasalim8807 5 лет назад
wakati ukifika mungu anakuletea mtu sahihi papara si nzuri mwendo wa kutulia
@shimanysalvatory7722
@shimanysalvatory7722 5 лет назад
Umeona Ziada eeh
@hemedsalala4965
@hemedsalala4965 5 лет назад
Mungu wabarik sana jaman
@nuurinkluge7584
@nuurinkluge7584 5 лет назад
God Blessing them🙏🙏🙏💗💗
@wahidashabaz5982
@wahidashabaz5982 5 лет назад
baba maskin kazeekea jera ila mungu anakupenda bora upate mwezio wa kupunguza nae mawazo
@eliasrwechungura7503
@eliasrwechungura7503 5 лет назад
Hongera sana Babu seya
@Basagamp4
@Basagamp4 5 лет назад
Hii ni Tafsiri tosha ya Mwanaume Mashine. Baba na Mwana Mwana Wakiimba na Kucheza🤣🤣🤣😋😋😋
@stellahsanga163
@stellahsanga163 5 лет назад
mmeua jamani long time babu seya ....God bless u
@blessedbeliever492
@blessedbeliever492 3 года назад
Pole sana kumpoteza mpenzi magufuli
@salmaothuman8412
@salmaothuman8412 5 лет назад
Hongera mzee mseya mungu mwema 🙏🙏🔥🔥
@rajabumalupu4184
@rajabumalupu4184 5 лет назад
Congo ni nomaaaa
@sapzuuramadhan2983
@sapzuuramadhan2983 5 лет назад
Papii mtundu uyo
@gloriamalisa3033
@gloriamalisa3033 5 лет назад
to God be the Glory
@mbogasaba
@mbogasaba 11 месяцев назад
hongela sana
@deboramrema2861
@deboramrema2861 5 лет назад
Hongera baba hakuna kama Mungu aliekuweka huru na leo umeoa hongera Mungu aidumishe ndoa yenu
@salomemkama6629
@salomemkama6629 3 года назад
Baba na mwana, vile mtu na mtani wake 😘, Mungu azid kuwapa maisha maref
@saidahj2543
@saidahj2543 5 лет назад
This is nice
@benardmzumala9447
@benardmzumala9447 5 лет назад
Mr kifaaa hongera uzeee ni namba na ujana ni namba MUNGU awape maisha marefu
@samwa9496
@samwa9496 5 лет назад
MashaAllah Mungu abariki ndoa na uzao wenu.furaha tele mmedamshi hakika Mungu ni mkuu
@nurumwingira1392
@nurumwingira1392 5 лет назад
Hongera
@solomonfaithbless5940
@solomonfaithbless5940 5 лет назад
Solo and bassist are the best
@godfreylusega4095
@godfreylusega4095 5 лет назад
inatia moyo
@kingoman7895
@kingoman7895 5 лет назад
Nimejikuta nafuraha kama vile mm ndio nimepitia yote magumu kisha nikafikia haya yote kwa uwezo wa ALLAH.Nawaombea kwa MUNGU kheri zote za duniani na Akhera Ameen
@josephsanga474
@josephsanga474 5 лет назад
Bi Harusi anahesabu mwenyewee helaa hatakii ujingaaa😂😂😂
@mariamkiharo6345
@mariamkiharo6345 5 лет назад
😀😀😀😀😀mpaka alivoambiwa na yule mpambe wake aweke mfukoni
@josephsanga474
@josephsanga474 5 лет назад
@@mariamkiharo6345 hatakii ujingaa kwenyee mambo ya helaaa kabisaa yanii
@mariamumchele2478
@mariamumchele2478 5 лет назад
Sauti nzuri hatariiiii
@mariamukajiru1898
@mariamukajiru1898 5 лет назад
Hongereni sana, Mungu awawekee mikono mkae kwa Amani na Upendo .
@fatmamlumbwa7616
@fatmamlumbwa7616 5 лет назад
Hongereni sana Mungu awabariki
@bossdavid7644
@bossdavid7644 5 лет назад
Woooow,,nimeipenda sana hii mungu awabariki sana
@dottolasway4010
@dottolasway4010 5 лет назад
Mungu awape afya njema
@salumuabedi2020
@salumuabedi2020 5 лет назад
Millard ayo hivi ndo tunataka King Kiba awe yaani atupe burdani mpaka uzeeni kama wakina Papa Mobimba vile lakini tunaona Kiba anafikiria ku stuff .
@nadiyakisho2178
@nadiyakisho2178 5 лет назад
jaman hongeren hatua nzuri iyo muda wote ulikuwa jela baba ila so mbay hakuna kitukilicho haribika mungu alishapanga ilo
@Amneamne-qi2du
@Amneamne-qi2du 5 лет назад
Alf Mabrooq M/mungu awati lie baraka kwenye maisha yenu
@aldoba2826
@aldoba2826 5 лет назад
Huu wimbo ulipigwa ck nlpofunga ndoa watu wakafurahia pia.asanteni kwa wimbo mzuri
@lydiathadeous6644
@lydiathadeous6644 5 лет назад
😭 huu Wimbo jamani 😭😭 MUNGU AWATIE NGUVU NA KUWAONGOZA BABA NA MWANA MUNGU KASIMAMA KAONEKANA MUNGU ANAJIDHIHIFISHAHA HAJALISHI ATAWAHI AU KUCHELEWA GOD IS GOOD ALL THE TIMES
@aminamohamed6413
@aminamohamed6413 5 лет назад
Magufuli mungu akupe maisha marefu baba raisi wa wanyonge
@arafambegu7320
@arafambegu7320 5 лет назад
Thank u God
@selemanijeanpierre7931
@selemanijeanpierre7931 5 лет назад
Safi nimefurai sana sana
@kissaodita9875
@kissaodita9875 5 лет назад
Hongera sana baba ,mungu anaweza
@aishamawalla1839
@aishamawalla1839 5 лет назад
Yani mnaendana kabisa ni mungu alipanga Dada yangu mzuri mungu awatungukie katika safari mpya mapenz yenu
@aminaharouna4614
@aminaharouna4614 5 лет назад
Yaani nawapenda sana ni familia inayoshirikiana san na kupendana hadi raha mungu wazidishie wasipite vidudu watu
@judithmelvinealuchio8968
@judithmelvinealuchio8968 5 лет назад
wow so beautiful and wonderful 👏👏🙏
@mdomani2404
@mdomani2404 5 лет назад
Iv alifungwaga Kwa kosa Gan vile jmn na uliza tu Stak mapovu🙌😜
@rajabuomary9111
@rajabuomary9111 5 лет назад
Bwana eee hili swali gumu kila mtu anajipu kivyk vyk
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 5 лет назад
Mbarikiwe
@asiaoman3040
@asiaoman3040 2 года назад
MashaAllah
@fatumaseif4593
@fatumaseif4593 5 лет назад
Yaaan hadi raha jamani hongera zako babu Seya
@frankkanani
@frankkanani 5 лет назад
maisha ya babu Seya na Hasa mwanae Papi nayakubali sana
@suzanmgaya4323
@suzanmgaya4323 5 лет назад
Mungu awalinde babu seya nafamilia yako
@manuelmongi9702
@manuelmongi9702 5 лет назад
Dah smiling in tears , ,
@lydiathadeous6644
@lydiathadeous6644 5 лет назад
manuel mongi me too
@doriceelias9489
@doriceelias9489 5 лет назад
Mungu abariki ndoa yenu amina
@fabianringo2808
@fabianringo2808 5 лет назад
Thank you JPM for making them free.
@marrypatrick3276
@marrypatrick3276 5 лет назад
Jamani kwanini msirudi tena kwenye game ya music Tena I really loves you guys
@jooutlook3557
@jooutlook3557 5 лет назад
Aki hawa wawili ni vipenzi wangu. May God bless them abundantly
@isserironman1800
@isserironman1800 5 лет назад
Mungu awabariki awalinde , awaepushe na maadui
@neyvicent524
@neyvicent524 5 лет назад
Nimeamini wakati wabwana ukifika akuna wakubisha Mungu anajua kujizihirisha kupitia watu wake naamin ata ukipitia gum kiasi gani Mungu atakupatia mlango wakutokea nimefurah sana kuona wa2 waliokua nahuzuni kipindi cha nyuma Leo wanafuraha. Mungu azidi kuwapa amani na upendo
@rehemamsuya2263
@rehemamsuya2263 5 лет назад
Nimependa sana hii jinsi wanavyofurahia Hongera mzee umempa Seya wako
@josephinevicent544
@josephinevicent544 5 лет назад
hongera jmn 😘😘😘😘
@mklsolutionslimited9626
@mklsolutionslimited9626 5 лет назад
Hongera sana familia ya babu Seya,militias magumu sana kwa sasa mtelemko tu.
@audreychiku1960
@audreychiku1960 5 лет назад
Lovely
@nazirseleman8362
@nazirseleman8362 5 лет назад
jambo jema kaka inshallah Allah awatangulie katita ndoa yenu
@nurureuben6512
@nurureuben6512 5 лет назад
Waooo...so lovely..
Далее
MPINA MBUNGE WA KISESA JUKWAANI
4:15
Просмотров 363
Babu Seya Afuraia Maisha ya Jera | TBC HABARI
4:59
Просмотров 527 тыс.
Alikiba Alivyowaimbisha Billnass, Nandy na Wageni
4:16
Shoo ya PAPII kwa Wabunge, Mawaziri, Acha Kabisa!
9:03