Kweli Mipango ya Mungu haipanguliwi na mwanadamu, hongera sana Babu Seya, Mungu Aibariki Ndoa yetu, hongera pia zimwendee Mh. Magufuli, hakika uliona mbali, Mungu akulinde Rais wetu, Aamina.
Kwakweli had I raha nimewatamania watoto wanamuunga baba yao,na mzee kajaa furaha .namungu akaishike mkono ndoa hii,ikajae upendo wako kweli na furaha wazae,mwanaume azeheki mashallah
Dah nimetokwa na machozi aisee hii familia nilikuwa naionea huruma sana kipindi iko jela yan nikiwaona hawa mapenzi yangu kwa Rais wangu Magufuri yanaongezeka be blessed baba rais wa wanyonge
Nimejikuta nafuraha kama vile mm ndio nimepitia yote magumu kisha nikafikia haya yote kwa uwezo wa ALLAH.Nawaombea kwa MUNGU kheri zote za duniani na Akhera Ameen
😭 huu Wimbo jamani 😭😭 MUNGU AWATIE NGUVU NA KUWAONGOZA BABA NA MWANA MUNGU KASIMAMA KAONEKANA MUNGU ANAJIDHIHIFISHAHA HAJALISHI ATAWAHI AU KUCHELEWA GOD IS GOOD ALL THE TIMES
Nimeamini wakati wabwana ukifika akuna wakubisha Mungu anajua kujizihirisha kupitia watu wake naamin ata ukipitia gum kiasi gani Mungu atakupatia mlango wakutokea nimefurah sana kuona wa2 waliokua nahuzuni kipindi cha nyuma Leo wanafuraha. Mungu azidi kuwapa amani na upendo