Mimi nimemuelewa Jamaa, yaani anamanisha, mfano choo cha kuchangia harafu mtu anaingia ndani, anaanza kuchezea simu , wakati watu wapo nje wamebanwa na haja . Siyo sawa
Kwani aliekuwa ana panga wasanii kuim ba ni diamond hebu muulize swali bamb o aliekuwa anapang a wasanii kupanda jukwaani ni Nani ma nake msipende kum laumu mtu bila kosa
Baba badilisha kazi wabongo hatuna furaha utamuchekesha nani tuna hasila bro hata Baar zenye mziki siku hizi hatuingi mawazo maisha ni magimu sana alafu nyinyi munach
Sasa kwa mtizamo huwo kosa la mondi nilipi kwani mondi ndo alipanga utaratibu za show nyie wote mlialikwa , pili umesema unahisi, neno nahisi linamaanisha ,hauna ushahidi
Huyu mzee nae njaa inamsumbua mda mrefu sana huwa anamtukana kiba na kumsifia Mwambino kama mme wake,,sasa leo unajitilisha huruma ya nini...achana na vijana kaa kwako utulie ulee watoto 😅
Nassibu usiwe na tabia ya kuwazibia wenzio ridhiki sio jambo jema.Wewe ni tajiri sana sio wa kugombana na wenzako. Mimi nakupenda sana Nassibu. Ukipata show za kwa pamoja waachie wa chini yako.
Kawaida kwenye shoo kila kitu kipo kwa mc anaratibu muda wa pafomance na muda na ww unamuliako acha umanga bambo kutembea magomen to fire imekuchanganya😂😂😂😂😂😂😂🎉
Hivi huwa mnataka diamond awanyenyekee? Hata mkimchukia haimpunguzii kitu huyu bambo kalipwa na harmonize juzi tu alikuwa na harmonize nyumban kwake et leo anaongea utumbo na maelezo yake hayaeleweki kwan diamond ndo alikuwa promoter
Yani apa duuh Amna ata ukweli ila mjue mnavojitaftia chakula ivo hamjuy tu Yani mnazidid kumuongezea rizki tu Yan mtasubiri sana duuh mtakufa wajukuu zenu ndo watashuudia akianguka simba
Bambo Tuuungane wasanii tumuombee kifo huyo ni jini mtuuu kuwapoteza wengi kina rich mavoko nk wengi mimi ata radio yake sisikilizagi kama kumkataa baba yake mzazi mzee Abduli Utakua Wewe Bambo??? sasa ivi anajiita ukooo WA muuza mchele huku kwetu tandale sokoni
Huyu jamaa n muongo coz ile sherehe ya kupokea mwenge ilikuwa ya kiserikali..na diamond na team yake ya wasafi walikuwa waalikwa na ile show ilikuwa na ratiba zake sasa huenda hamkuwa kweny ratiba ya show za mwenge...mzee acha kuzeeka kwa ktafuta kiki ...si ungemwambia aweso na si diamond .
Diamond ni tunu ya taifa! Kwanza anauma sana, na kila alie potea ktk game anatumia jina lake kutaka kurudi mjini 😅 sasa diamond show ya mwenge ni yake? Enzi zenyu zishapita hamkutumia umaarufu wenyu ipasavyo acheni wivu nendeni ITV
Mondi mumuache mondi ni brand kubwa , lazima awe makini ,sio kila mwenye kutaka jina apatiye kwamondi , wewe pesa ulipata ugali wako uliula Sasa nini tena, unaroho mbaya na wivu Kama unataka sapoti kwa mondi wewe sema
POLE SANA,, BAMBO,, NIMEKUELEWA VIZURI SANA, WEWE NI COMEDIAN,,, MZURI SANA SANA, NA WALA UJAZEEEKA KIIIVYO, NIMEANGALIA, MAIGIZO YAKO YOOOTE KABISA, TOKA ENZI HIZO HUJAWAHI KUCHUJA, BADO UKO VIZURI MNOOO, WEWE NA MTANGA, WASAMEENI BURE TU, KWA WALICHO WAFANYIA, MIMI NAWA KUBALI SANA.
Mimi naona huyo Bambo wala simfahamu ,kama umepewa kazi na umelipwa why usiende kumlalamikia aliekupa kazi ?halafu unasema umepaform akiwa Mboso anapaform inawezekana aje ?jukwa moja kuoaform wasanii wawili wa Aina tofauti na kazi zao?hapa kuna kitu Bambo anaficha
Usipoteze muda na Diamond hana mji wa kujibu na bado utaongea mpaka utajiona mpuuzi inapoteza nguvu zako. Maana unaongea media zote. Take your time..Time is money
Dogo acha uchawi ww unasema ndele sio ndole aliekulipa kamlipa na mwana huo ndio uchawi boya ww nikuwa shabiki wako sikupendi tena bambo mm ndio alienipa afya hadi leo tembea ww boya