Тёмный

BAMBO ATANGAZA VITA NA DIAMOND, ATAJA SABABU YA UGOMVI WAO 

Mbengo Tv
Подписаться 1,5 млн
Просмотров 19 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 150   
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 5 месяцев назад
Huyu mnafiki tu
@victaboy7273
@victaboy7273 5 месяцев назад
Mimi nimemuelewa Jamaa, yaani anamanisha, mfano choo cha kuchangia harafu mtu anaingia ndani, anaanza kuchezea simu , wakati watu wapo nje wamebanwa na haja . Siyo sawa
@benedictormulagha9022
@benedictormulagha9022 5 месяцев назад
kkkkk
@doctorpillo
@doctorpillo 5 месяцев назад
Yaaani Kila mtu akitaka jambo lake liende lazima amtaje diamond
@thelightindarknessapp.8209
@thelightindarknessapp.8209 5 месяцев назад
Kweli
@sadamissa5687
@sadamissa5687 5 месяцев назад
Mtaje na ww tuone kama utaenda mbali😂😂
@JumaMwanza-r9k
@JumaMwanza-r9k 5 месяцев назад
Fuatilien Chanzo mpaka kufikia hapo achen kukurupuka Bambo anajielewa
@Lidyakagondi-h9b
@Lidyakagondi-h9b 5 месяцев назад
Ukweli lakini msamehe
@magidalenarauya4286
@magidalenarauya4286 5 месяцев назад
Jamani wewe mchekeshaji,diamond na wewe wapi na wapi?Acha kiki,hamtoki mpaka diamond mwacheni mtoto wa Sandra,wanga wakubwa na hamumwezi
@RashidiHassani-b6z
@RashidiHassani-b6z 5 месяцев назад
Unazeeka vibaya bambo unabaniwa nn wakati huna mpya
@eveliynejoseph7944
@eveliynejoseph7944 5 месяцев назад
Ila wewe jaman 😂😂😂😂
@HenryNuhu
@HenryNuhu 5 месяцев назад
Yaan wasanii wetu bila mondi kwenda nishida sana sana yaaan mond mond kila sku
@MwemajaphetyZackalia
@MwemajaphetyZackalia 5 месяцев назад
Jamani Alrmasi NAE mtu na kama walitakiwa kupanda bambo awakupewa nafasi kwanini Kuna kitu apo
@Lilmbunah
@Lilmbunah 5 месяцев назад
Jamaa haja nyooka mm mwenyewe si muelewi yani ana baniwaje mtu kama hakua kwenye ratiba
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 5 месяцев назад
Bambo kama unatafta kiki hapo sawa ila kwa kudai wenae msanii mmmmmh kweli
@aidanmaganga7051
@aidanmaganga7051 5 месяцев назад
Daaaah!kweli diamond ni mti wenye matunda cz kwa hapo sioni kosa la diamond
@aminaomary5567
@aminaomary5567 5 месяцев назад
Nakujibu zigge. Mimi siko kwenye list. Mimi niko mashambani tu huku LInd vijijini. Nampenda tu Nassibu mwanangu namwelimisha tu.
@methordbuzinza9378
@methordbuzinza9378 5 месяцев назад
Wewe babo umeshachoka turia murikuwagawapi zamani tusapotisana hakunana murichokifanya
@aidanmaganga7051
@aidanmaganga7051 5 месяцев назад
Mtangazi mwenyewe choko,hajui kuhoji maswali
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 5 месяцев назад
Bambooo kwa hili huna jipyaaaa jipange upya na huna la MSINGI ktk unacho semaaaaa
@omaar5693
@omaar5693 5 месяцев назад
mboso haangalii nyuma,, najikuti nacheka tu😅😅
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi 5 месяцев назад
Mboso ni fata upepo hata kwa harmo ametengeneza chuki ata haihereweki
@SelinaMdoe-jv1pu
@SelinaMdoe-jv1pu 5 месяцев назад
Kwani aliekuwa ana panga wasanii kuim ba ni diamond hebu muulize swali bamb o aliekuwa anapang a wasanii kupanda jukwaani ni Nani ma nake msipende kum laumu mtu bila kosa
@rashowshine7849
@rashowshine7849 5 месяцев назад
Kalee wajukuu mzee acha kuzunga Media kuntukana momdi
@FrederickThadeo
@FrederickThadeo 5 месяцев назад
Baba badilisha kazi wabongo hatuna furaha utamuchekesha nani tuna hasila bro hata Baar zenye mziki siku hizi hatuingi mawazo maisha ni magimu sana alafu nyinyi munach
@RajabuSalim-v6l
@RajabuSalim-v6l 5 месяцев назад
Mzee bambo umekua chawa wa makonde
@philimonmwakio647
@philimonmwakio647 5 месяцев назад
Kaka bambo nichuma cha zamani sana
@kindulijumanne7632
@kindulijumanne7632 5 месяцев назад
Mwacheni aseme ya Moyon kwenye Music kuna kubaniana Sana
@omaar5693
@omaar5693 5 месяцев назад
5:37 eh banaee mstari uu
@FannySubira
@FannySubira 5 месяцев назад
Sasa kwa mtizamo huwo kosa la mondi nilipi kwani mondi ndo alipanga utaratibu za show nyie wote mlialikwa , pili umesema unahisi, neno nahisi linamaanisha ,hauna ushahidi
@khamismgunya4519
@khamismgunya4519 5 месяцев назад
Kwani bambo umenuna au umefrahia maana sikuelewiiii😀😀😀😀😀
@AmaniMwankili
@AmaniMwankili 5 месяцев назад
Nimekupenda bambo umenyooka sana
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 5 месяцев назад
Mondi apendwe na.watu wote kwani yeye pesa! Mwacheni mtoto wa watu apite na maisha yake! Mondi brand kubwa sasa na huyu mzee mwenzangu hajamaliza tu!!
@Boyluke-luke
@Boyluke-luke 5 месяцев назад
❤❤❤❤❤ yes good
@DENNISMUTUA-nf7qt
@DENNISMUTUA-nf7qt 5 месяцев назад
Kama huyo mondi wenu ni mshezi,atabaki kuwa mshezi tu,,kitambo alikuwa mzuri bt anaendelea kujiaribia sifa zake
@paschalfausitine7108
@paschalfausitine7108 5 месяцев назад
Pole bambo
@isayajoram2434
@isayajoram2434 5 месяцев назад
Zee zima akili chenga
@frankmwinuka6298
@frankmwinuka6298 5 месяцев назад
Wasanii wa kizazi cha leo ni wavuta bangi hawaoni matunda ya malegend
@GoldfreeHagai3
@GoldfreeHagai3 5 месяцев назад
Siku diamond atakapoanza kufuatilia hizi lawama watafungwa wengi sana .huyo kiongozi aliyewalipa kina bambo mbona hasemi jambo ?
@priscusnyoni8933
@priscusnyoni8933 5 месяцев назад
We bambo umetumwa kumuharibia mond,a
@FannySubira
@FannySubira 5 месяцев назад
Muache kutumiya jina la mondi kwakutaka kupandisha vipaji vyenu anapambana kama mwanaume na nyie pambaneni kivyenu
@WISDOMMUSANYA-kt1ry
@WISDOMMUSANYA-kt1ry 5 месяцев назад
aukuwepokwenye ratiba
@Hsmufalme-vv3rn
@Hsmufalme-vv3rn 5 месяцев назад
kiekiekiekiekie hatumujuwi congo huyo anatafuta treding na jina la platnumz
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 5 месяцев назад
Huyu mzee nae njaa inamsumbua mda mrefu sana huwa anamtukana kiba na kumsifia Mwambino kama mme wake,,sasa leo unajitilisha huruma ya nini...achana na vijana kaa kwako utulie ulee watoto 😅
@aminaomary5567
@aminaomary5567 5 месяцев назад
Nassibu usiwe na tabia ya kuwazibia wenzio ridhiki sio jambo jema.Wewe ni tajiri sana sio wa kugombana na wenzako. Mimi nakupenda sana Nassibu. Ukipata show za kwa pamoja waachie wa chini yako.
@ziggertv3185
@ziggertv3185 5 месяцев назад
Kwani ulikua kweny list
@Juma-de9uh
@Juma-de9uh 5 месяцев назад
uyo choko mbona diamond akuwepo alikua dubai
@Ommyblacktz13
@Ommyblacktz13 5 месяцев назад
Kawaida kwenye shoo kila kitu kipo kwa mc anaratibu muda wa pafomance na muda na ww unamuliako acha umanga bambo kutembea magomen to fire imekuchanganya😂😂😂😂😂😂😂🎉
@SelinaMdoe-jv1pu
@SelinaMdoe-jv1pu 5 месяцев назад
Diamond hana mak osa msipende kuml aumu mtu bila kosa utaratibu pengine s io wa diamond mum laumu aliepanga sio diamond
@salehekaswahili3236
@salehekaswahili3236 5 месяцев назад
Sa we upaform unapaform nn vitu vingine bwana
@abdallahmindika1641
@abdallahmindika1641 5 месяцев назад
salehe umetisha hahahahahahha
@hirizonetz9558
@hirizonetz9558 5 месяцев назад
Hivi huwa mnataka diamond awanyenyekee? Hata mkimchukia haimpunguzii kitu huyu bambo kalipwa na harmonize juzi tu alikuwa na harmonize nyumban kwake et leo anaongea utumbo na maelezo yake hayaeleweki kwan diamond ndo alikuwa promoter
@SaidZoro-w3d
@SaidZoro-w3d 5 месяцев назад
Kwann usimfuate mwenyewe unaongea mitandaoni na una levo gn ya kupanda stage na diamond halafu bambo we mshamba Sana au tuseme ni mjinga uliezeeka
@abdallahmindika1641
@abdallahmindika1641 5 месяцев назад
hahahaha
@PoulFred
@PoulFred 5 месяцев назад
Sasa bambo naye apande stejini kupaform nyimbo zipi sasa?mzee bambo unazingua
@tausikiyabo6302
@tausikiyabo6302 5 месяцев назад
Mtangazaji unarudi rudia maswali mtu anahasira Halafu unamwambia anapenda wimbo gani wa adui yake ni aibu
@MusabmusakotiKoti
@MusabmusakotiKoti 5 месяцев назад
Yani apa duuh Amna ata ukweli ila mjue mnavojitaftia chakula ivo hamjuy tu Yani mnazidid kumuongezea rizki tu Yan mtasubiri sana duuh mtakufa wajukuu zenu ndo watashuudia akianguka simba
@BonaBonala-bp5qm
@BonaBonala-bp5qm 5 месяцев назад
Bambo Tuuungane wasanii tumuombee kifo huyo ni jini mtuuu kuwapoteza wengi kina rich mavoko nk wengi mimi ata radio yake sisikilizagi kama kumkataa baba yake mzazi mzee Abduli Utakua Wewe Bambo??? sasa ivi anajiita ukooo WA muuza mchele huku kwetu tandale sokoni
@efrahfarahahmed8960
@efrahfarahahmed8960 5 месяцев назад
Dah pole sana Bambo
@JamesThomas-fx5tp
@JamesThomas-fx5tp 5 месяцев назад
Bambo usha potea jitafute saiz mond anakubalika😅😅😅
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 5 месяцев назад
Diamond Ina maana alikua MC
@kasandaRichard
@kasandaRichard 5 месяцев назад
Nahona majabu yeye diamond amelipwa naww umelipwa Sasa awezi kumzuhiya msani wowote
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 5 месяцев назад
Bambo mkongwe sana kwenye fani
@CharlesRehani
@CharlesRehani 5 месяцев назад
SIMBAAAA ni brandi kubwa daraja
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob 5 месяцев назад
Bambo kwani ulikuwa kwenye ratiba, ya performance, au ni chuki tuu.
@davidpaschal778
@davidpaschal778 5 месяцев назад
😅😅 kwaiy ela alilipwa y nn au alienda kufanya Nini japo anachekesha😂😂
@alisuleiman303
@alisuleiman303 5 месяцев назад
Hamna tunu wala nini ana roho mbaya
@Madin-f2k
@Madin-f2k 5 месяцев назад
Hata alichokiongea hakieleweki bamboo Acha uchiz
@FatumaMohamedi-t6t
@FatumaMohamedi-t6t 5 месяцев назад
Sasa una mlaum mtu sio mwenye sherehe na wala hujaongea nae na wala yy hakuelewa lengo laww kuepo hapo je km ulienda tu km wengne yy atajuje .
@abdallahmindika1641
@abdallahmindika1641 5 месяцев назад
bambo mhuni anatafta Hela tuu hahahah uongeaj wake tu niuhun anausanii gan mkubwa wakati joti peke yake tu amuwezi hahahahah
@chandechande9642
@chandechande9642 5 месяцев назад
Hapo umemuone mzeee pia huo siouungwana bambo
@JoyceLuhasha
@JoyceLuhasha 5 месяцев назад
🤣🤣🤣🤣Sasa hapo diamond anahusika nanini?.
@shamamamalisa6513
@shamamamalisa6513 5 месяцев назад
Bambo mbona hujanyooka maelezo yako halafu mtu mzimaa
@magidalenarauya4286
@magidalenarauya4286 5 месяцев назад
Kumbe Huna akili yeye alikua mc au muandaaji? Umekwisha nenda songea ukalime au endelea kunywa visungura
@robertj.4484
@robertj.4484 5 месяцев назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nyumanyuma kama wachezaji ngonjera....🤣🤣🤣🤣🤣😅
@robisonikadogo7371
@robisonikadogo7371 5 месяцев назад
Uchawi
@KingsleyHachiwa
@KingsleyHachiwa 5 месяцев назад
Do you remember what happened 2 chid benz
@Kinabojokatv
@Kinabojokatv 5 месяцев назад
Mimi nadhani ukiwa mkubwa kwenye nafasi yeyote lazima uwaache na wengine waonyeshe ukubwa au udogo wao ili ajulikane mkubwa
@Suleymantilesservice
@Suleymantilesservice 5 месяцев назад
Unajielewa kwelii mzee yaani diamond platnamz anahusika nn hapoo
@MamaBaraka-gw9sw
@MamaBaraka-gw9sw 5 месяцев назад
Duuu Atari laxana mwamba ndoyuko ivyoo😂😂😂
@zainabmuhammed6294
@zainabmuhammed6294 5 месяцев назад
Usijali my pleas nakuomba kikubwa n8kuomba samahani mpenzi
@josepheriah5977
@josepheriah5977 5 месяцев назад
Anatafuta kaz ya urinzi
@mushtaqakram9843
@mushtaqakram9843 5 месяцев назад
Katoka kwa konde kunywa bia sasa anamchafua simba wasanii wa bongo hamna kitu kichwani
@ramadhankombe2643
@ramadhankombe2643 5 месяцев назад
Sasa ww bambo nae kuanzia lini unaimba?au unatafuta tu kiki.km ungealikwa c ungepandishwa na wenye shuhuli?
@chandechande9642
@chandechande9642 5 месяцев назад
Iliii msanii afanikiwe nilazima amchane diamond? Huu ni ushamba tena ushamba mkubwa
@WISDOMMUSANYA-kt1ry
@WISDOMMUSANYA-kt1ry 5 месяцев назад
kwanza ww siomusomi kingeleza akipandi we mshamba
@emmanuelmpuya8164
@emmanuelmpuya8164 5 месяцев назад
Huyu jamaa n muongo coz ile sherehe ya kupokea mwenge ilikuwa ya kiserikali..na diamond na team yake ya wasafi walikuwa waalikwa na ile show ilikuwa na ratiba zake sasa huenda hamkuwa kweny ratiba ya show za mwenge...mzee acha kuzeeka kwa ktafuta kiki ...si ungemwambia aweso na si diamond .
@priscusnyoni8933
@priscusnyoni8933 5 месяцев назад
Huyu wakunyumba mwenzangu lakini bwege sana aache urevi,mond ni mkubwa
@nashnene6326
@nashnene6326 5 месяцев назад
Diamond ni tunu ya taifa! Kwanza anauma sana, na kila alie potea ktk game anatumia jina lake kutaka kurudi mjini 😅 sasa diamond show ya mwenge ni yake? Enzi zenyu zishapita hamkutumia umaarufu wenyu ipasavyo acheni wivu nendeni ITV
@annasolomon9855
@annasolomon9855 5 месяцев назад
Nani alikuambia bamboo anachukaga 😂😂 neno Moja tu la kuchekesha tayari yupo mjini😂😂 .. hapo Enyewe anaongea ni vichekesh 😂😂
@S1rb0ny
@S1rb0ny 5 месяцев назад
Aliogopa kufichwa Mbwa yule pole sana Bambo
@ronaldngwavi8993
@ronaldngwavi8993 5 месяцев назад
😂😂😂 eti aliogopa kufichwa
@misifurikibeku
@misifurikibeku 5 месяцев назад
Hapan vyema wasanii kupenda
@JamesMuthangya-y8v
@JamesMuthangya-y8v 5 месяцев назад
Mbona nyinyi wambongo munafituko sana why kila mtu simba fanyeni kazi asheni simba in peace
@mushtaqakram9843
@mushtaqakram9843 5 месяцев назад
Mbona aeleweki kwani iyo show ilikuwa ya simba mpaka awazuie wao wasipande
@steverwillecha8559
@steverwillecha8559 5 месяцев назад
Simba yeye anakuwa kimbele mbele kila sehem kama mtu mkubwa anaeweza kuamua chochote ndo alichokifanya kwa kina bambo
@misifurikibeku
@misifurikibeku 5 месяцев назад
13:41
@MassoudAlly-c9e
@MassoudAlly-c9e 5 месяцев назад
Mshamgeuza diamond jalala sasa
@FannySubira
@FannySubira 5 месяцев назад
Mondi mumuache mondi ni brand kubwa , lazima awe makini ,sio kila mwenye kutaka jina apatiye kwamondi , wewe pesa ulipata ugali wako uliula Sasa nini tena, unaroho mbaya na wivu Kama unataka sapoti kwa mondi wewe sema
@frankmwinuka6298
@frankmwinuka6298 5 месяцев назад
Nilikuwa nampenda mondy lakini kwa kumkosea huyu mwamba legend nimechukia kama kinyesi
@WISDOMMUSANYA-kt1ry
@WISDOMMUSANYA-kt1ry 5 месяцев назад
kkkkkkkk we kicha
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 5 месяцев назад
Kama mbwa koko😂😂
@JofuAmuko
@JofuAmuko 5 месяцев назад
POLE SANA,, BAMBO,, NIMEKUELEWA VIZURI SANA, WEWE NI COMEDIAN,,, MZURI SANA SANA, NA WALA UJAZEEEKA KIIIVYO, NIMEANGALIA, MAIGIZO YAKO YOOOTE KABISA, TOKA ENZI HIZO HUJAWAHI KUCHUJA, BADO UKO VIZURI MNOOO, WEWE NA MTANGA, WASAMEENI BURE TU, KWA WALICHO WAFANYIA, MIMI NAWA KUBALI SANA.
@JumanneMungula
@JumanneMungula 5 месяцев назад
Mtu mjinga na mpuuzi ndio atasikiliza huu ujinga shughuli ya serikali WCB ni nani kupanga nani atumbuize huyu ni chuki na mfitinishaji.
@R10_Rajab
@R10_Rajab 5 месяцев назад
Mimi naona huyo Bambo wala simfahamu ,kama umepewa kazi na umelipwa why usiende kumlalamikia aliekupa kazi ?halafu unasema umepaform akiwa Mboso anapaform inawezekana aje ?jukwa moja kuoaform wasanii wawili wa Aina tofauti na kazi zao?hapa kuna kitu Bambo anaficha
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 5 месяцев назад
RAKINI MACHO YANGU WEWE NA DAIMOND MSIKITI NA KANISA MUPO MBALI MBALI SANA WASANII WETU MJIPANGE SIO CHUKI NA ROO MBAYA 😂😂😂
@magrethmagonza186
@magrethmagonza186 5 месяцев назад
Usipoteze muda na Diamond hana mji wa kujibu na bado utaongea mpaka utajiona mpuuzi inapoteza nguvu zako. Maana unaongea media zote. Take your time..Time is money
@JaffariNiyongabo
@JaffariNiyongabo 5 месяцев назад
bambo acha zako una lolote wana kijiji wametaka mpafomu inaonekana hamkua mumepangiwa sasa la wama zanini kwa daymond wala hakujua kama ukopale
@Boyluke-luke
@Boyluke-luke 5 месяцев назад
Ni kweliii
@RamadhaniSuru
@RamadhaniSuru 5 месяцев назад
Mimwenyewe cjaelewa jamaan
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 5 месяцев назад
We mtangazaji mnafiki mkubwa we!
@officialAlAbdul
@officialAlAbdul 5 месяцев назад
Atulize pumbu
@MJ-rr6dy
@MJ-rr6dy 5 месяцев назад
huyu mbwa tu mchekeshaji atakuwa yeye? tafuta pesa mzee kwanza hata huchekeshi, acha njaa njaa zako kajambe mbele huko
@WISDOMMUSANYA-kt1ry
@WISDOMMUSANYA-kt1ry 5 месяцев назад
kkkkkkkk mlienda kuuzasula
@feelNice-vi3lo
@feelNice-vi3lo 5 месяцев назад
Dogo acha uchawi ww unasema ndele sio ndole aliekulipa kamlipa na mwana huo ndio uchawi boya ww nikuwa shabiki wako sikupendi tena bambo mm ndio alienipa afya hadi leo tembea ww boya
@chandechande9642
@chandechande9642 5 месяцев назад
mond hanakosa kwa hapi
Далее
I LOVE MY TEACHER | 3 |
20:24
Просмотров 28 тыс.