Haji ni mwislam, vipi badala ya kumsitiri alokuwa mke wake anakaa akimwongelea habari zake mitandaoni. Naompa Mungu ampe hekma. Kama katika hadisi za mtume wetu SAS, Amsitiri mtoto wa watu na mungu atamstiri duniani na akhera.
Nampendaga sana huyu mwamba,wakati mwingine huwa ananijenga kimaendeleo zaidi, pongezi sana father manyara, Aristote issa USA Arizona Tucson 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸 🇺🇲🇺🇲 Marekani.
I think mimi ni mdogo sana kwako kaka Nakupenda Pia nikwamboe kitu Ilindoa yk idumu wafaaharishe wasio jua maana zay lisa ni mtoto anaejua maisha yakiutu na si yakidunia nawaombea kwa allah awajaalie maisha mema mengi yenye Nuru . Km mnaitaji mengi kutoka kwangu kaka nitafute .mimi sio mganga wala si po kqenye shiriki. Nakupwnda kakangu na wifi yangu twinga.love you.
Social Media ni shida Dunia Nzima siyo Tanzania Tu ni Ulimwengu Mzima Mwenyezi Mungu Awatunze Katika Ndoa Yenu na Muishi na Furaha Amen 🙏🏿 🎀🌸🎀♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🙇🏽♀️🧎🏾♀️👏🏾
Iyo story ya mama uliyoihadithi ni kama move lakini ni kwel uyo mama ni wa muhimu sana ktk maisha yako jitahid kumtafuta M/Mungu atakusaidia unaweka kuwapata japo watoto wake na ikitokea amefariki usisahau kumuombea Dua
Imagine anasema chakula cha wakenya kina majina ya kijinga jinga na ambapo alisaidiwa akashiba tumbo lake hadi akafika kwao tz...ni mjinga ajifunze kutumia kauli mbaya kwa mdomo wake
Lakini namna yakumpata huyo mama Martha utampata tu,starting point ni lale al8pokuwa anafanyia biashara zake ukienda ukaulizia lazima utapata direction na fununu au yamkini ukamkutahapohapo kamasiyo yeye hata watoto zake.
Mimi huwa napenda sana mtu akikumbuka fadhila, yaani hiyo ulioiongea kuhusu mtu aliekusaidia kipindi ambocho ndio ulihitaji zaidi, hiyo ni kitu kikubwa sana, hata kama hujamuona huyo dada. Kuna watu waliosaidiwa vikubwa vikubwa na hawakumbuki, tena hata kutukanwa utatukanwa, hawakumbuki, tena watakwambia huyu alikuwa anaringa sana. mimi ni muhanga, nakumbuka wimbo wa Rose muhando, Tenda wema uende zako utafuteni.
@ntegrty Wewe mwenyewe unaewatukana ni nani si ajabu una shida sana ndio unakasirika ns kutukana hovyo tafuta pesa acha chuki hata ukiwatukana unapoteza nguvu zako na hasira zako bure wao wanaishi maisha yao. Hangaikia shida zako hayawani wewe.
@@mohdkhatib223 Na wewe pia unayo. 🤣 Mimi nimesema hivyo kwa sababu najuwa ya uvunguni yaliyojificha, mwenyewe anafikiri hatujui nini kinatokea. Sasa wewe unaedhania, kakae mji wa kufikirika na majibu yako ya chakubanga 🤣🤣