Pole Sana Taariq Allah atamlipa bila Shaka kila tone la chozi na maumivu uliopitia.pole Sana NI kheri ya hayo kuliko kukoroga mfuko wa mavi MAISHA yanaisha uhai unamalizika Allah atamlipa bila Shaka endelea na MAISHA Allah atakuwa nawe kila hatua Ile NI mtihani alikupa Allah kukuletea Yule firauni ungemkubalia ungeangamia Allah awe nawe DAIMA Amin RAMADHANI MUBARAK.
Amina, Mungu anaweza,akapigane nao walio mfanyia ukatili kijana huyu maana kisasi ni juu yake,kweli kabisa angalia Afya yako muachie Mungu nakwambia kama Mungu aishivyo atakupigania soon🙏