Тёмный

Bernard Mukasa - Niseme Nini (Official Video) 

Bernard Mukasa
Подписаться 93 тыс.
Просмотров 1,5 млн
50% 1

Bernard Mukasa - Niseme Nini

Опубликовано:

 

1 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 359   
@berychrys2678
@berychrys2678 3 года назад
Hadi huu mmeutunga nyie🙌🏽🙌🏽🙌🏽 God's manifestation in your family is tremendous.. Mlipewa talanta 5 na kwakweli mmepata maelfu zaidi.. God bless you mno nawapenda sana jaman😥 sio kwa kunigusa hivi na your songs😭
@eriminashayo1341
@eriminashayo1341 3 года назад
Huu wimbo unanibariki sana kama na ww upo kama mm shusha like hapo 🙏🙏🙏
@salomekamendi2458
@salomekamendi2458 Год назад
Huu wimbo umenikubusha mateso Nilitezwa na familiar ya mzee wakati aliponiacha 2002 lakini leo hii hakuna mwingine anapedwa kuliko mimi na kupitia rehema na neema zake Mungu..Barikiweni sana mr/ mrs mukasa kupitia nyimbo zenu hua tunafarijika ..Long life🙏
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de Год назад
Pole Sana ndugu
@agnessima5032
@agnessima5032 Месяц назад
Usiyasahau kamwe hayo mateso na usiwaamini kamwe..ila wapende.
@divinajoseph2760
@divinajoseph2760 3 года назад
Ahsante Mungu nakushukuru kwa mema yote unayonijalia siku hadi siku. Nakuomba Mungu uilinde familia hii ya Bw & Bibi Mukasa wazidi kukutumikia wewe katika siku zote za maisha yao. Kwakweli wananibariki kwa nyimbo zao nzuri
@orollahcharlse6488
@orollahcharlse6488 4 года назад
Niseme nini mim 😭 nitamke maneno gani kinywani nikushukuru jinsi gani nisimulie vipi mim. Aiseee nabarikiwa sanaaa
@josephinekieti4683
@josephinekieti4683 3 года назад
I can't get enough of this song, I keep on replaying it.
@levinamukandara6970
@levinamukandara6970 2 года назад
How gifted you are to praise the Lord as family. Blessed couple indeed! Big up
@katommbusa4559
@katommbusa4559 6 лет назад
Familia Mukasa, mubariwe jamaani. Niusikiapo huo wimbo wenu najawa utulivu na kumshukuru Mungu kunusurika kifo mara nne. Jina la Mungu na lihimidiwe. Anicet Mbusa
@sarahsangija2913
@sarahsangija2913 6 лет назад
Hakika hata mm hunikumbusha mbali sana, Mungu apewe Sifa daima
@gabrielnyambu8287
@gabrielnyambu8287 6 месяцев назад
Mwalimu Mukasa wewe ni neema inayoishi, tunzi zako hunibariki sana na nilifurahi sana kukuona jumapili ya matawi kwenye performance yako hapa Githurai Kenya. Barikiwa baba
@oscarmalogo610
@oscarmalogo610 5 лет назад
God Bless the work ur doing....its really amazing ñ adorable .....it brings the appetite of prayer
@saraboniphace7670
@saraboniphace7670 3 года назад
Mekumbuka mwalimu wangu anapigana kutufundishwa huu wimbo iseee tulipoujua ulikuw mtamu Sana nazipenda nyimbo zako sinawahi kuona wimbo wako mbaya nzuri Sana mungu awalinde
@johnedmundmachota7582
@johnedmundmachota7582 5 лет назад
Ww ni mtunzi bora wa muda wote Bernard tangu nipo mdogo umekuwa ukininjilisha
@Spirit.23
@Spirit.23 3 года назад
I listen to this song every single day and any time I face a challenge and it gives me peace in my heart, it's a very special and powerful song to me,be blessed the Mukasa family and Merry Christmas in advance
@lutigardkomba1215
@lutigardkomba1215 2 года назад
Amen,,may the Lord comfort you
@JenistaFrancis-hw5fe
@JenistaFrancis-hw5fe Год назад
Good song 👏👏👏
@BestinaJacob-dc3cb
@BestinaJacob-dc3cb 10 месяцев назад
@@JenistaFrancis-hw5fe wimbo wanibarik sana jamani na kujifariji katika magumu ,,
@lucasmaro4172
@lucasmaro4172 2 года назад
Mbarikiwe sana kwa Uinjishaji. Wonderful song.
@remigiusjuvenary3099
@remigiusjuvenary3099 2 года назад
One of the Swahili Catholic Anthems ...ahsante Bernard na Mama
@upendoinaction4724
@upendoinaction4724 4 года назад
Asante sana Bw. Bernard Mukasa na familia yako kwa kutuzaidia kusali mara bili kila siku!
@josephirungu4011
@josephirungu4011 3 года назад
Nabalikiwa na wimbo huu nikiwa nimelazwa hospitalini
@avitbuchwa2353
@avitbuchwa2353 2 года назад
I wish Mr Bernard Mukasa had a chance to work together with the late Mwl Niwagila Mutongole. I listen to Muka's songs I get the same quality and talent I used to see from Mwl Mutongole. God bless you!
@charlesmillinga992
@charlesmillinga992 6 месяцев назад
Bernado Mukasa kaka.
@elgyeneemmanuel1236
@elgyeneemmanuel1236 6 лет назад
this is great work done...the songs from bernard zinaunganisha mungu aliyejuu
@raymondmushi3310
@raymondmushi3310 4 года назад
Bernad Mukasa ubarikiwe sana. Wabarikiwe na wanakwaya wote wanaoziimba nota kama ulivyozipangilia kwani mnatubariki sana kwa njia ya uimbaji. Hakika tutamsifu Bwana duniani na mbinguni pia
@stephenshio588
@stephenshio588 5 лет назад
Hongera sana Ndugu Mukasa na wife, hiyo ni nyumba ya mziki mtakatifu, Mungu awabariki
@munlagloryzingwe6487
@munlagloryzingwe6487 Год назад
Event I don't understand this song but I really love it
@gertrudekopiyo
@gertrudekopiyo Год назад
Thank you, my Sister, my Brother. I am blessed fully. God bless you
@stevembuhilo2956
@stevembuhilo2956 6 месяцев назад
Asante kwa ujumbe wenye faraja,,unanifuuuutaaa mschoz
@valentinewamboi4490
@valentinewamboi4490 3 года назад
So emotional l do remember My mother, may the almighty God bless you
@gladysjebiwot6562
@gladysjebiwot6562 5 лет назад
Anytime I listen to this song I feel that I have not done enough in my faith.....God bless you
@josephinekieti4683
@josephinekieti4683 3 года назад
This song touches my life, thank you Mukasa, reminds me nishukuru Mungu.
@anthonykimanthi2551
@anthonykimanthi2551 2 года назад
katikati ya safari maji yote yakamwagika lakini kwa wema wako ukayazoa yakajaa upya
@gustavkunkuta6733
@gustavkunkuta6733 3 года назад
Hao 257 waliodislike walikosea wakabonyeza bila kukusudia. Hata kama si fan wa Benard, siwezi kuthubutu kudislike wimbo huo wa kumshukuru Mungu.
@bahatimungundomteteziwetum4360
@bahatimungundomteteziwetum4360 4 года назад
Ubarikiwe sanaaa! Umenigusa Sana wimbo huu. Big up!
@linahmadawe2823
@linahmadawe2823 4 года назад
Mungu awabariki sana Mr&Mr's Mukasa nyimbo zenu zina tafakar nzuri sanaa,
@patrickkambale777
@patrickkambale777 6 лет назад
Hakika una zaidi ya kipaji,Mungu akujalie miaka 2000
@Spirit.23
@Spirit.23 4 года назад
Sauti ya pendeza sana,mmbarikiwe milele
@JohnmaryBirungi
@JohnmaryBirungi 5 месяцев назад
Wimbo mzuri Sana unanikumbusha kushukulu kwa mema mengi ya mwenyezi mungu
@totimusmodest8241
@totimusmodest8241 2 года назад
Mdogo wangu Mkasa na Familia yako wokovu u ndani ya nyumba yenu, kupitia wimbo huu familia zinatafakari na waliokata taamaa wanainuka, mubarikiwe sana
@christerkanyamala2996
@christerkanyamala2996 Год назад
Be blessed Mr& Mrs Mukasa,you are highly appreciated
@christopheritungi1228
@christopheritungi1228 6 лет назад
This is the one of my favourite catholic gospel song. Be blessed Mr Mukasa.
@Jonathan95311
@Jonathan95311 6 лет назад
Wimbo mzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana!!!!!!!!!
@leonardbwire8259
@leonardbwire8259 Год назад
Any link for downloading mukasa songs please......thanks
@jeanpierrendayishimiye9454
@jeanpierrendayishimiye9454 4 года назад
This song is pleasant to the Ear. Bless my Brother. You have a good gift of singing Religious songs.
@kunguseconsumata5863
@kunguseconsumata5863 3 года назад
Safi sana Mungu atukuzwe
@dominicmwanzia9919
@dominicmwanzia9919 6 лет назад
Nafurahia nyimbo zako nikiwa hapa Kenya.Naomba nota za sikia sauti bwana
@awardngailo5233
@awardngailo5233 4 года назад
Nawakubali sana nyimbo zao zinaniimarisha sana kiroho kwakwel
@charityvitus8424
@charityvitus8424 6 лет назад
Jamni kumbe huu wimbo wa hii familia,,God bless you alot
@petrowililomkovzurisana5523
@petrowililomkovzurisana5523 5 лет назад
Mmm B.Mukasa kumbe ndowewe!!!? Duuh
@angiemambo6192
@angiemambo6192 4 года назад
Am proud of you, mukasa family,hope one day i will meet you poeple you tell me the secret i like singing.
@godefridamunyaga4605
@godefridamunyaga4605 4 года назад
Ninabarikiwa Sana na nyimbo zenu haswa huu Niseme Nini. Asanteni Sana ndugu yangu na wifi yangu. Mbarikiwe Sana.
@okothdorothy5257
@okothdorothy5257 5 лет назад
I really admire this family, may God bless you 💕💕💕
@clementmarandu2712
@clementmarandu2712 2 года назад
Wimbo mzuri sana uliyojaa mafundisho makubwa kwamba tusikate tamaa na baada ya kufanikiwa tumshukuru Mungu na kumpa sifa tele
@mapenzimugina6069
@mapenzimugina6069 6 лет назад
nikupongeze sana kaka angu Bernad kwa kazi yako nzuri, napaona maeneo yetu ya t.pekers kumetulia sana
@robertmahucha5715
@robertmahucha5715 4 года назад
magumu niliyo pitia yakataka kunikatisha tamaa lakini MUNGU alitaka niendelee na mwisho leo nimefahuru mitihani yangu, MUNGU nakushukuru
@bensonotieno7901
@bensonotieno7901 4 года назад
uu wimbo unanibariki sana
@sarahchiliko1060
@sarahchiliko1060 3 года назад
I love you my Roman Catholic gospel
@hildamroso3824
@hildamroso3824 6 лет назад
Nawapenda sana mungu awabariki
@JoylinaAmmy
@JoylinaAmmy 6 месяцев назад
Ubarikiwe San
@stacykibutu365
@stacykibutu365 4 года назад
Huu wimbo wanifarijisha kweli kweli
@agustinotadeo8554
@agustinotadeo8554 4 года назад
Sina cha kusema Mungu wangu, umenitendea mm na familia yangu kadiri ya mapenzi yako. Ahsante Nashukuru
@puritygakii2993
@puritygakii2993 5 лет назад
You are a blessing to many Especially me... Your songs uplift me da day by day.... Be blessed 🙏
@gracesimpasa993
@gracesimpasa993 4 года назад
Mungu azidi kuwapigania
@mariamlote2183
@mariamlote2183 Год назад
Asante kwa utume Mungu azidi kukuzia kipaji chako
@josephinebiringanine7113
@josephinebiringanine7113 4 года назад
Niseme nn mm bwana😭....niseme tu asante Nakushukuru Baba 🙏😭 guys always be blessed I love you sooooooo much 🥰
@angiemambo6192
@angiemambo6192 4 года назад
you have me with your songs a lot thanks be blessed
@alexanderinachales9083
@alexanderinachales9083 6 лет назад
Very good, aisee huu wimbo naupenda sana hasa pale ninapoamka asubuh.
@dottomsikula7360
@dottomsikula7360 5 лет назад
alexanderina chales Mungu azidi kukuinua ww Bwn Mukasa Pamoja na Familia yako kwa utume huo.
@gabrielakwilini8399
@gabrielakwilini8399 5 лет назад
Kuna group fulani la waalimu walikuwa wanamponda nikajua ni wakoswaji tu, nyimbo zake ni nzuri sana
@achiecaren2908
@achiecaren2908 Год назад
Good job, sweet voice blessed family.
@hellenmnubi2851
@hellenmnubi2851 3 года назад
Hakika nafarijika Sana na huu
@Lisacharice643
@Lisacharice643 5 лет назад
Blessed family, God bless your talents. Courage for all
@joyceadelino2576
@joyceadelino2576 3 года назад
Hi
@luciamusyoki9709
@luciamusyoki9709 6 лет назад
Mungu hawambariki,wimbo mtamu jamani hongera Bwana Mukasa na familia yako
@kathanjeable
@kathanjeable 3 года назад
tumebarikiwa hapa kamurima catholic church
@faithkemboi1110
@faithkemboi1110 4 года назад
Wonderful and blessed family,your songs bless and encourage many and I am one of them.
@dorischuwa3641
@dorischuwa3641 2 года назад
Niseme tu Bwan Mungu asante nakushukuru🙏🙏
@fideliakavinya9227
@fideliakavinya9227 6 лет назад
Blessed family. Good voices.Only two but its like a choir.
@norbertjosephat7831
@norbertjosephat7831 19 дней назад
A very good song be blessed brother Mukasa
@mtanzaniakindakindaki
@mtanzaniakindakindaki 6 лет назад
ubarikiwe mtumishi wa BWANA hakika unakitendea haki kipaji chako
@neemasanga1236
@neemasanga1236 5 лет назад
ubarikiwe sana mtumishi
@lilianjohn9424
@lilianjohn9424 5 лет назад
very nice God bless u
@devothawambura1079
@devothawambura1079 Год назад
Mel ulipokuwa unatunga huu wimbo ulikuwa wapi
@bigbrightentertainment9498
@bigbrightentertainment9498 2 года назад
lkn ile gusaneni majeraha ni balaa jingine
@simonwanjiku8917
@simonwanjiku8917 5 лет назад
You sing awesomely Mr mukasa n family..youve got my blessings n prayers
@saramduma2158
@saramduma2158 5 лет назад
amaizing
@emmamlegehi2247
@emmamlegehi2247 4 года назад
ASANTE sana mmenigusa
@jamesbenjamin5969
@jamesbenjamin5969 5 лет назад
Nikapasaaa mkono gizani kulipokucha ni tunda mkononi...... Hongeren sana Mr and Mrs B
@elizabethtreshory7776
@elizabethtreshory7776 4 года назад
Nimebarikiwa sana na nyimbo hii pia albamu nzima mungu awatunze daima
@destinbiringanine1637
@destinbiringanine1637 2 года назад
Good bless you bro and the whole family ❤️
@leznadotomthon2543
@leznadotomthon2543 Год назад
Nawapenda hii familia naomba MUNGU FAMILIA YANGU IWEZE KUBADIRIKA IWEZE KURUDII KAMA HII FAMILIAAA
@leahburchard3738
@leahburchard3738 2 года назад
Mungu awabariki daima ktk utume huu wa uimbaji
@agripinaapolinary1362
@agripinaapolinary1362 11 месяцев назад
Mungu ibariki familia hii ninaipenda sana
@annastephen50
@annastephen50 6 лет назад
congratulations to you,may the Lord our God grant you success in your life, stay blessed all the time.
@kamukamasylvia9640
@kamukamasylvia9640 5 лет назад
It was not by a mistake that God joined you together as a family. Thanks for maintaining your great gift. Be blessed
@felisterkokuberwa5783
@felisterkokuberwa5783 5 лет назад
Thank you Lord!
@skoraskora8093
@skoraskora8093 2 года назад
Hongereni sana kwa utume huo
@kamanzielias3585
@kamanzielias3585 2 года назад
Mungu akutunze Ben tunajivunia sana
@jacintawanjiru7059
@jacintawanjiru7059 5 лет назад
God bless you a lot ....blessed family choir.
@mariethapesha593
@mariethapesha593 6 лет назад
Kazi nzuri sana mwalimu B,Mukasa uko vizuri sana
@annakulanga5415
@annakulanga5415 4 года назад
Thanks God for this family be blessed 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼❤❤
@jamespetro6773
@jamespetro6773 2 года назад
Mungu awarki kwa ujumbe mzuri
@lutigardkomba1215
@lutigardkomba1215 2 года назад
Nikutukuze vipi Mungu wangu
@edwardtemu8222
@edwardtemu8222 4 года назад
I love this family
@yusterkonga6904
@yusterkonga6904 5 лет назад
naupend sn huu wimbo .....sina cha kusema zaid ya kukushukuru mungu wang
@liliangor5130
@liliangor5130 Год назад
favourite song! Hongera
@chrisn3748
@chrisn3748 4 года назад
Nashukuru kwa wema wake!
@angelinakemuma2748
@angelinakemuma2748 5 лет назад
We are proud of you, Mukasa family. Thank you for helping us praise our God better
@monicaselestini8368
@monicaselestini8368 2 года назад
Unanikumbuxha kitongo
@TheophilIfunya
@TheophilIfunya 6 месяцев назад
Ata mimi kunakitu nimekumbuka
@onoratinyamwihyula180
@onoratinyamwihyula180 6 лет назад
mapito ni mengi .Mbarikiwe
@devotharugambwa5757
@devotharugambwa5757 5 лет назад
This iz my lovely song ever ....Mr mukasa and family mungu awatangulie ktka kila jambo
@priscamsomba4224
@priscamsomba4224 2 года назад
Wimbo huu umenigusa.barikiwa sana watumishi wa mngu
@thomshumbusho5446
@thomshumbusho5446 5 лет назад
Wimbo huu umekuwa sala yangu ya kila Asubuhi. Mungu aendelee kuwabariki.
@bridgitmutuku4140
@bridgitmutuku4140 3 года назад
Very nice song na maneno nzuri ,,,congrats Bernard with your family napenda songs zako sana
@marianabachilula8756
@marianabachilula8756 Год назад
Mbarikiwe Sana, kwa Wimbo wenu, wenye Ujumbe Mkuu ktk Maisha yetu, tusisahau Kumshukuru Mungu kwa kila Jambo, nimebarikiwa sana!
@schophimamandago9141
@schophimamandago9141 4 года назад
Amen hakuna Zaid ya axant
Далее
Bernard Mukasa - Mungu Nimekuita (Official Video)
11:38
Airpod Through Glass Trick! 😱 #shorts
00:19
Просмотров 865 тыс.
Niseme Nini (Baba Ninakushukuru) LYRICS - Dr. Ipyana
15:42
Hata Niacha bwana yesu
3:19
Просмотров 52 тыс.
GUSANENI MAJERAHA By Quadri-V (Official Video-HD)
5:42
YATOSHA-By QUADRI-V (Official Video-HD)
7:26
Просмотров 538 тыс.