Wanangu kama unajua umeuskiliza wimbo zaida ya mara kumi kabla video kutoka,gonga like..kama umekumbali kichupa cha Mola 📹📹,tupia like tukienda... Naiwakilisha taifa langu la Kenya hapa🇰🇪🇰🇪🇰🇪
kuna mwanamuziki alafu kuna msanii hakika wewe ni MSANII kwamaana sanaa ipo kwenye ubongo na tunaishuhudia kupitia tungo zako hongera kwa ujumbe mzuri hakika unatufariji uliotugusa na kutupatia tumaini katika hii safari ya maisha, hujawahi kutoa wimbo ukatuchukiza wapenzi wako, Mwenyezi Mungu akufanikishie katika uyatendayo, naimani kama BASATA wangekuwa hawafanyi kazi moja ya kuwafungia wasanii, wangekuwa wanatoa na tuzo kwa msanii mwenye ujumbe muda wote, basi naimani wewe ungekuwa mfalme wa tuzo hizo
Mungu kakubariki sauti na akili nyingi unatoa elimu kubwa sana katika jamii wewe ni mfano mzuri wa kuigwa na wasanii wote Tanzania asante Mungu kwa kutuletea Best naso kwenye mziki wetu Tanzania🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wewe na mastr j mna dunia yenu kwenye hii tasnia mana mupo kwa ajili ya jamii sio akina wale kucha kutukana hawana plani ya kuwa kioo cha jamii wao lengo Lao ni mkono uwende kinywani sio kwa kuelimisha jamii
Nasso wewe ni bingwa. Nakuami piya naiheshimu kazi yako ya muziki. Kwangu wewe ni nambari moja. Shabiki wako toka Bunyakiri/Sud Kivu DRC Simon Weteshi Mihona