Hongera sana kaka mbwela kwa hekma na busara ulo nayo.. kiukweli nimekua mfatiliaji wa movie zako nyingi tu na kwa kweli umejaa busara laiti wanaume wengine wangejifunza kutoka kwako.. umeonyesha utu na dhamani sana ya mwanamke katka ngoma hii ,,Hongera sana kaka Mbwela..!!
Movie nzri Sana ila natamani mwishoni ingekuwa kujulikana walio husika na kifo then wangechukuliwa Sheria ndio mwisho 😂😂😂😂 wanao sema kama mm gonga like
Hii movie ina mafunzo mazuri sn kaka mbwela mungu azidi kukuongoza ulete mafunzo kw walimwengu. Hongereni sn nyote mulioshiriki kwenye movie hii na mungu awabariki nyote
Hii movie ni uhalisia wa sasa yaan Bado wiki Moja au siku kadhaa Mmoja wao anakata kufunga Ndoa Ni fedhea coz apo unapata na michango watu washatoa ni Aibu sana kwa wazazi wetu🥹
Movie imeangalia maisha yote hakuna alipokosea,unaweza ukamua kuachana na historia mbaya ya maisha ya nyuma lakini ukawa na madui wengi ambao hawapendi uwe hivyo, please mbwela tunaitaji muendelezo