Mmmh sio vizuri jaman mama wa watu kamzoea mwenza wake na mapenz sio ufundi mapenz mazoea tu mwenyew anahaha masikin😥mi najua maumivu ya kumzoea mtu namuonea hurum
Niliwai KUACHWA ,Nilikuwa Sitoki Nje Nashinda Ndani,Sili Chakula Vizuri. Moyo ulipoa lkn Akiri bado ilikuwa inamuwaza Ex wangu. Kikubwa Nilikuwa Nawaza Ucheshi wake,Mahaba yke,uthamini wake,upendo wake na vyote alivyonipa kwa Asilimia 100 eti amevifuta kwangu na kumpa mwingine. Nikamshukuru Mungu na ku move on. Alhamdullah 🤲 kwasasa Naishi Vizuri ingawa Bado Nampenda lkn si kimapenz,amebaki kuwa Ndugu yngu. Kauli yngu Ni MOJA kwake #SIWEZI KUMSAHAM LKN HAWEZI KUWA MAISHA YANGU" kauli hii imenipa Ujasili mkubwa na Furaha ya MAISHA.
Huyo Bi Mdogo anachokitaka atakipata Hakuna kitu kina Uma kama Mapenzi ,,,Inaumiza saana hasa kwa tulioyapitia kumuachia Mwanaume Mali Ni kumtukuza Mungu Tu bila Ivo petroli inaweza ikatumika.
Anachokiongea huyo mwanamke ni kweli wameishi na mwanaume huyo Ndele kwa mda mrefu sana toka mwaka 2014 yupo kwenye haki wanachomfanyia siyo jamaa huyo namfahamu vizuri sana
Wanao gombana huwa hawaachani, Ila Asha Mie,upumbavuu siutaki ,Wala ukewenza siutaki aaende, zake wallah.maisha popote potelea mbali, yaaani hata mume wangu analijuwa Hilo
Jamani kwaza 😂😂😂😂😂😂😂yani mume pipa wanawake mifuniko sijaona mume wa kugombewa hapo huyu bwana niwakulelewa ndio maana hana msimamo pala lile mngelitia mikofi hapo
Kuna mtu nimemsikia hapo anasema "anacheza na Chilemba Chilemba akikugeuzia kibao ndio utamjua" 🤣🤣🤣 inaonekana huyo mwenyekiti hana maskhara loooh kumbeba mama mtu mzima kama mwizi si angamfukuza tu hapo ofisini kwake maana hiyo kazi ya jamii lazima uwe na busara
Jaman wanawake tyjitambue jaman khaaa tukiachwa Tuachike Mwisho ndio Moto, mara oooh kachomwa kisu kisa kuganda na mahusiano yasio na ya Aman, mwanaume akutak yanin mgando, rizik popote jaman tujikubal wamama, wadada kamq ipo ipo tuuu
Mimi nimezaa kula mtoto na baba ake nzao tatu,kwakero za wanaume Kwanza wanaumiza Roho, Roho yenyewe moja ikitoka Basi, Siwezi akikwanbia nimepeta mwingine muache aende,nakuke atatoka tu sinitabia yake,akirudi dawa yake akukute umepeta mwingine usimsubiri eti atarudi, upumbavuu siutaki,akirudi na magonjwa???
Narudia tena kupenda kubaya san huyu kaka anavyomjibu mwenzie kirahis eti simtaki nishampata mwingine daah vifo mnatafuta wenyew 😥😥mama kakonda mpaka kapoteza muelekeo utapendwa saa ngap huyo mama anaitaji faraja anatress
Mwisho wadunia hakuna mtu atakayejua ata watu wamiaka mingi kupita nao walikwisha kusema kama wewe usemavyo so Mungu amaweka siri kubwa katika jambo hilo
Daah uyo mke mkubwa amejikaza tu ila kiukwel kama mtu unampenda SI rahis kumtoa moyoni lkn kwakua Mwanaume amekir mbele za watu kua hamtaki itabid tu akaze moyo atazoea na maisha mengine lazma yaendelee
Jinsi walivyomnyanyua c sawa,inafaa pia wapate counselling,kisaikilojia kaumia anafaa asaidiwe,kuepukana na ulokaa nae miaka 8 c rahisi,sema kimeumana nacho😁😂,simuachi huyu kadandia gari kwa nyuma😂😂,kazi bwana anayo na b mdogo watakoma wao.
Dah , the victim of the domestic violences akiongea bila kujua ukubwa wa physical abuse aliyo suffer , Im glad angalau kajitambua kwamba amepigabia haki yake.
Hatakama anamakosa mwenye kitu hukupaswa kumbeba muhalifu ivi kwasababu Shelia inasema muhalifu mwanamke anatakiwa akamatwe na mwanamke mwenzie na muhalifu wa kiume anatakiwa akamatwe na mwanamme mwenzie haiwezekani umburuze ivyo kama mbuzi angekuwa Dada ake au mama ake anakutwa anaburuzwa ivyo angekubali mnampa bichwa uyo mwanamke mdogo mume anauma miaka 8 kamtowa geto ktk wanaume 8 petrol itaendelea kufanya kaz kwa kweli ira mwenyekiti jirekebishe kumbeba muhalifu usimburuze ivyo uyo RAIA wako insha allah
Mwenyekiti anamkamata MWANAMKE YEYE kama nani,,,angeenda polisi wapi polisi wanawake,,ndiyo wangemkamata,,,MAANA.hapo naona wanamshika shika,,,,siyo.sahihi,,,,HIYO mama akipata MSAADA wa kisheria wrote mliokiwepo chamoto mtakiona,,,
Yani mwenyekiti hakutakiwa kabisa kumnyakuwa vile yule nimwanamke he asingekuwaamevaa bukta he ingekuaje alafuilijambo mbonalinaongeleka alinahataulazima wa kupelekana polisi Kama nipolisi ilitakiwa wote wakae ndani
Ndo maana mnatiwa moto wewe mwanamke amekuvumilia miaka amekuokota uko unakuja kufanikiwa unamuacha mtu wakati mmeteseka wote inauma kwakweli na inaitaji busala sana na akiri vinginevyo kidumu kitausika tu
Sasa wanampeleka kituoni kwa kosa gani au Mwenyekiti ameshapewa mpunga? Kesi ya nyani utampelekeaje ngedere? Na huyo mke mwingine nae pia yatamkuta tu jasho la mtu haliliwi. Bwana mwenyewe mchovu ile mbaya bora tu dada ujiondokee likuepukalo lina kheri nawe. Mungu atakupa wako.
Dada Geah huyo Baba anakelele Wakati ulipoanza kuhoji hapo, siku nyingine uwe unawavuta pembeni kama unavowavutataga pembeni wakati wa kuhoji dada yangu....🙏🏾
Mh! huyu dada asilaumiwe mapenzi yanauma pia umri yani wanawake tunajichekesha hapo umbea mtupu na uyo mke mdogo yatamshinda tu mwenzio anakataliwa unaona raha 🤔😰 gea na wewe unamaneno eti mwenzio nalea vizuri 🤔
Mi naona watanzania wengi hawajui nini maana ya ndoa ..wanawake wa tz ni warahisi sana kiasi kwamba mtu unaziniwa ovyooo miaka nane eti sheria ya serikali inasema mkiishi pamoja ndo mshakua mke na mume lol hawa watu hawajitambui hasaa .ovyo sana