Malalamiko ya mtoto mtundu yanashangaza .angekuwa wao wangesema mtoto mtundu .? Hamuwezi jua labda kapata ajali kafa njiani na hakuna ndugu anaejua mtoto alipo !
Kanisa limekuwa labour 😂😂 yan muda mwingine wakristo mnachefua kwanini mnakuwa kaa mazuzu hebu someni biblia zenu na muamini mungu acheni upuuzi hawa wachungaji watawamaliza
Huo ni uzembe wa walimu, haiwezekani ukabidhi mtoto Kwa mtu usiyemjua Tena bila kumtaarifu Mzazi wake, Walimu muwe na namba za Wazazi wa Watoto wenu ili kutoa taarifa km Kuna mtu kamtuma,
Jamani huyo mwanamume mungu atamuazibu daima unyama gani huo kwani wanawake wengine awapo mpaka atake aishi na huyu? Yani kama bwana angu tuliye achana ana bifu na mimi kisa sijazaa naye na mimi nilimuacha kwa sababu nj mme wa mtu basi kanifanyia unyama kaniulia mtoto wangu wa kwanza ila Mungu atanipa tu mtoto mwingine kweli kuna wanaume ni kama wanyama
Uyu alikua anakupanga bimdashi😂pole kukutolea barua haikua na sbb kumuamini mm hat mtu anitolee mahari cmpi hata mia😂😂😂😂tatizo lenu mnapenda kuolewa cjui nan anawapa ujinga huu