Omba sana, uwe na afya, njema,, kuna watu wana pesa kupindukia, lakini hawana furaha na hizo pesa, na mtu! Akiwa hajakutana na athari mbaya ya afya! Hufurahi sana, amwonapo yule aleipitia,, usiombe yakukute.
Ni kweli, ambao hawajakutana na changamoto hiyo,, wao hufurahi na kuzani hakuna kitu kama hicho!,,, lakini ukikutana nayo!😢 Hata kama unapesa ndefu kama mlima kilimanjaro,, unatamani atokee mtu wa kutatua hiyo changamoto ulonayo, na umpatie hiyo pesa yako yooote, ubaki na afya njema,, ni heli uwe masikini,,,, lakini uwe na afya njema.
Nyie huyu ni Mungu anaetenda haya yote yaani Mungu anamipango yake na akikupa jua kuna siku vitaisha iwe mali iwe madaraka iwe afya iwe uhai na hasa utapofanya makosa kwa kiburi au jeuri na kudhulumu jua hutoboi iko siku utaisoma namba hata kama si wewe basi kwa wanao na kama si wao kwa wajukuuu hata kama utakufa lakini ujue malipo yankusubiri tuu yaani unakuwa unajilaani mwenyewe na usiwe na shaka Mungu analipa, yaani tupo katika wakati ambao tumeshihudia haya mataifa yakiwa juu kwa kila hali na mbwembwe zao na pia tunashuhudia kwa macho yetu jinsi wanavokula waliyoyachuma kwani hatukuwa kufikiria hata siku moja kuwa kuna siku watakuja kuisoma namba jamani Mungu anatisha, ni wakati tuu na muda
watu wasichokijua biden ni artifitial intelligence, kama mtakumbuka kile kipind alisemekan kaumwa mahututi alifariki so wakambust kwa artificial intelligence so biden ni full robortic hata ukimtazam mcho na mwenendo wake ni kam kuna kitu kinaukontrol mwili ulee
USA walijitapa kuwa super power kumbe walijipima na watu wanaotumia sime kupigana wamejaribu kwa mwanaume putin kawapa kipondo wanalala wanamuota kama jinamizi sass
Ukiona taifa linaanza kukosa viongozi ujuwe hio ni alama ya anguko lake. UK kabla ya kumpata yule baiya alikatalika na chama chake halafu yule aliechagulika akaonekana hafai akaekwa yule alieonekai hafai mwanzo.
Remember es you talking lot about smwhn evrytims you would call that person day and night.. And smtims you couldn't coffuse to call smwhn that person name you always sick... Nothing wrong anyone can forget it 😢