Тёмный

GPS: RAIS Mpya wa IRAN Masoud Pezeshkian huenda akaenda sawa na MAREKANI kupunguza vikwazo, ataweza? 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 33 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Авто/Мото

Опубликовано:

 

7 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 131   
@goodluckmwamboneke5591
@goodluckmwamboneke5591 13 дней назад
Leo nimepata chance ya kuview mwanzoni ntacomment mpk mnichoke, I love sns
@mussamabawa2973
@mussamabawa2973 13 дней назад
Hongeleni kwa uchambuzi mzur
@goodluckmwamboneke5591
@goodluckmwamboneke5591 13 дней назад
Lawyer anamadini sana, ila sma mtafit sana na ally mdadisi sana wa vifaa mbali mbali vyakivita na anaijua siasa ya kijeshi. Siku zote huwa nawawek kweny haya makundi matatu ila nawaheshim sana uncles, maan mi niko na 19yrs, na kunakitu smaa uliwai kusem- watanzania wengi tuliopo abroad tunatamani sana nchi yetu to allow duo citizenship so we can invest back in our country but this Sims like a trap to our government, I'm so sad for that😢
@goodluckmwamboneke5591
@goodluckmwamboneke5591 13 дней назад
I'm ll watching GPS from seattle Washington, I love you guys na sikutegemea kuona combination ya dj,royal,student engineering wakawa na madini kiasi hicho, big up bro sky and God bless u all.
@mrdocta3106
@mrdocta3106 13 дней назад
Salamu kwa mzee wa Facts and logic, Mwana sberia na Mr Masubi. From Canada
@elishaluhwago6940
@elishaluhwago6940 13 дней назад
DJ SMA Una hekima sana brother... upo so matured.. and unajua...... shout out to Henry mwinuka pia... very knowledgeable
@tunechmkumbwa6047
@tunechmkumbwa6047 13 дней назад
Huwa nafurahi sana na kujifunza vitu vingi sana pindi ninapo sikiliza GPS na SNS Kwa ujumla
@user-yv2mx1vq3w
@user-yv2mx1vq3w 13 дней назад
Uchambuzi wenu ni wa Kisayansi sana. Uelewa wenu ni wa kitaaluma tena kwa ngazi ya juu sana. Hongera sana. Hata Waislamu walio wengi hawana uelewa ngazi hiyo.
@Gulfnas1
@Gulfnas1 13 дней назад
Una hakika na hyo unayo yasema??
@Gulfnas1
@Gulfnas1 13 дней назад
Aiseee mmetupa wakat mgumu, kila muda ku chungulia RU-vid
@godwinmandary5116
@godwinmandary5116 13 дней назад
GPS hakika ni darasa huru najifunza vingi sana mengi nilikuwa sijui kupitia GPS nawaelewa sana ❤❤
@SaraphinaKidoti-qe7gi
@SaraphinaKidoti-qe7gi 13 дней назад
Ally amu acha nawenzik waongee wamalize bs 😅😅😅
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 13 дней назад
Kipindi bora GPS kutoka 254
@binseify4615
@binseify4615 13 дней назад
😢h1
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 13 дней назад
@@binseify4615 1 ndo Nini?
@JumaMkele-lm7qy
@JumaMkele-lm7qy 13 дней назад
Mwana sheria ameupiga mwingi leo nipo pamoja na wote Wana sns
@issaibonyissaibony9934
@issaibonyissaibony9934 13 дней назад
Naitwa KhatiBu (Irani ni watu wanye asili ya kuifumba dunia ili waweze kufikia malengo yao
@user-ni9gx1ho6c
@user-ni9gx1ho6c 13 дней назад
Henr mo faya
@HabibuHobohobo-py2mq
@HabibuHobohobo-py2mq 13 дней назад
Mmesahau kuwataja wapalestna kwa uzalendo wao ndo wako NAMBA MOJA wako tayari kufa wakiwa wanaipigania NCH Yao
@hemedmwipopo780
@hemedmwipopo780 13 дней назад
Mwanasheria umeukonga moyo wangu uko sahihi.
@issakhamis9581
@issakhamis9581 13 дней назад
Shukran kwauchambuzi❤❤❤❤❤
@abubakariali9848
@abubakariali9848 13 дней назад
Nchi zenye uzalendo zaid 1. North and South korea 🇰🇷 2. Iran 🇮🇷 3. China 🇨🇳 4. Kenya 🇰🇪 5. Cuba 🇨🇺 1000. Tanzania 🇹🇿 😔
@ce-08
@ce-08 13 дней назад
😂😂😂
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 13 дней назад
​@@ce-08Kenya itoe
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 13 дней назад
Kenya ina uzalendo kuliko hata tz, mdomo tu ndio kitu tz wanaweza​@@GeorgeAkasha-zx2rj
@tidomilinga3750
@tidomilinga3750 13 дней назад
Acha kuombaomba ridhika na unachopata unajiweza lakini hutosheki
@Muba-Gucci-TV
@Muba-Gucci-TV 13 дней назад
Nafatilia kutoka Burundi 🇧🇮
@kdloon2030
@kdloon2030 8 дней назад
Jamaa ana chukua kiti katika wakati mgumu sana!
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 6 дней назад
Saana
@AliNassor-qt6fm
@AliNassor-qt6fm 13 дней назад
Ile jamhuri ya mapinduzi ya Irani , haiwezi kwenda sawa na magharibi na irani anaipinga Israel % how come aende sawa na magharibi pale khamaney ndo muamuzi wa mwisho
@brianbaltazar6198
@brianbaltazar6198 12 дней назад
Hongereni sana❤❤...Uchambuzi mzuri sana..
@GraceMashinga-be9wb
@GraceMashinga-be9wb 13 дней назад
Yan naview huku mara pa kwann nato walimua gadafi🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Asante gps
@naqiahmad26
@naqiahmad26 13 дней назад
wallah naipenda hii channel kinoma
@AbillaiShabani
@AbillaiShabani 11 дней назад
Tanzania 1
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 10 дней назад
Nchi zinazongoza kwa uzalendo N Korean Iran China Urusi Cuba Venezuela Vietnam
@khalifanoti6974
@khalifanoti6974 13 дней назад
Lakini mjue kuwa ktk serikali ya irani maamuzi ya jambo lolote yanaamuliwa na baraza la Ayatullah Khomeini.
@user-qo2dk6iv3u
@user-qo2dk6iv3u 13 дней назад
Kitu wachambuz hamjakielewa hakuna kulisi nchini IRAN balaza la maulama kiongoz mkuu wa kidini Iran akifaliki lile balaza miongoni mwao anapatikana kiongoz mkuu wa kidini
@user-km1dm8et9x
@user-km1dm8et9x 13 дней назад
Namsubiri the MVP masub ally
@hazygardmericho9571
@hazygardmericho9571 13 дней назад
asee mwamba ni mnoma,
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 13 дней назад
Henry mwinuka pia fundi sana huyu Jamaa.
@user-km1dm8et9x
@user-km1dm8et9x 13 дней назад
Magaidi hawaamini
@allyhasani3750
@allyhasani3750 13 дней назад
Nawakubali sana
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 5 дней назад
Safii
@SaraphinaKidoti-qe7gi
@SaraphinaKidoti-qe7gi 13 дней назад
Ally million mia 5 zote ndo niuze nnchi mm 20 zinatosha 😅😅
@Eng2460
@Eng2460 13 дней назад
My fav media🎉
@kidyybravo5267
@kidyybravo5267 13 дней назад
Huyu jamaa anaesema nailii Whats NANILII??
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 6 дней назад
😂😂😂😂
@bonemwaminifu3935
@bonemwaminifu3935 11 дней назад
Ali masubi
@Mubarak552
@Mubarak552 10 дней назад
Iran hata Rais awe nani, mwenye maamuzi ni Ayatullah Khamenei na lile baraza lake la viongozi, na inapokuja kuhusu maslahi ya taifa lao, Iran husimama kwa pamoja bila kujali misimamo ya Rais wao, na wao wakigundua Rais ni kibaraka basi wanamfyekelea mbali
@josephinarobert3325
@josephinarobert3325 10 дней назад
Kwahiyo nyie siyowazalende mbona munachanganya kingeleza nakiswahiri
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 8 дней назад
👊✌️👍.
@gateberaildephonse5488
@gateberaildephonse5488 13 дней назад
from kigali
@rajdaboy
@rajdaboy 12 дней назад
🇰🇪🔥
@nassoroshakiru7094
@nassoroshakiru7094 12 дней назад
Binafsi naona Tanzania baado tupo chini sana kwenye uzalendo ila kwa Africa Mashariki naweza kuizungumzia Rwanda
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 13 дней назад
Lists ya nchi wazalendo. 1: USA. 2: Germany 3: China 4: Venezuela. 5: Iran
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 10 дней назад
Marekani labda uzalendo wa ushoga
@RAMAMOHA-vn9xv
@RAMAMOHA-vn9xv 12 дней назад
Yes Good
@samiraabdimahamed4449
@samiraabdimahamed4449 12 дней назад
😢😢😢😢
@mdbosco1640
@mdbosco1640 13 дней назад
❤🇧🇮 🇧🇮 ✌
@peterilimwa5754
@peterilimwa5754 13 дней назад
watanzania wenye akili sn gps
@brianbaltazar6198
@brianbaltazar6198 12 дней назад
Nchi zinazoongoza kwa kuwa na raia wenye uzalendo sana duniani..1.China. 2.North korea.3.Iran.4.Russia.
@josephkostans9128
@josephkostans9128 13 дней назад
Akisubutu kwenda sawa na mkoloni basi siku zake zitahesabika yaliomkuta mtangulizi wake hayatamuacha salama.
@kdloon2030
@kdloon2030 8 дней назад
Upande wa uzalendo Tanzania hatumo,maana viongozi wetu wenyewe wanatufanyia ambayo siyo.Huo ni usaliti tosha
@OsmanKauli
@OsmanKauli 13 дней назад
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 I think 🤔 pia turkey Wana uzalendo
@user-eg1ts2fu9z
@user-eg1ts2fu9z 13 дней назад
Mnachambua vitu tunaogopa sns kuwa blocked na RU-vid. tunawakubali Sana
@fraternitesecondaire7073
@fraternitesecondaire7073 12 дней назад
hapo Iran inaenda kuwa vizuri zaidi
@HeriDunia-i7m
@HeriDunia-i7m 4 дня назад
tanzania watu wake wazalendo akujawai kutokea duniani yan adi wanaogopa viongozi wao akunaga iyo😂😂😂😂😂😂 ovyo tu tanzania mwisho jaman
@gateberaildephonse5488
@gateberaildephonse5488 13 дней назад
kamenei ndiye kazikwa cairo??
@allyhasani3750
@allyhasani3750 13 дней назад
Naona ya Kwanza urusi ila sisi 150
@GraceMashinga-be9wb
@GraceMashinga-be9wb 13 дней назад
1. korea kasikazin 2. China 3. Iran 4. Urusi 5. Venezuela 6. Burkina Faso 7. Burundi 8. India 9.__ 10 naiweka tz kwa uzalendo wa lugha na uhamiaj
@khalidmdotta3843
@khalidmdotta3843 13 дней назад
Anajisimbua kwasababu tayar marecan anahasira na Iran labda marecan watamtumia kuidhoofisha iran
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 13 дней назад
Kiongozi mkuu ndani ya lran anakuwa sauti tuu lakini maamuzi makubwa ndani ya nchi ni aigc control lran na bunge na ndio lnayoshikilia uchumi amatoller Khomeini ndio alioifikisha nchi ya lran kujulikana kimataifa na kushikilia msimamo wake ktk mashariki ya kati lran lnaanza kuondoa vikwazo kutumia njia nyingine kujikwamua ktk kuleta maendeleo ktk serekali ya lran lran hawezi badilika msimamo wake
@EzekiaMyila
@EzekiaMyila 13 дней назад
Turishawambia kuwatsa watu bila sababu ni ujinga huu ndiye rais anayestairi
@user-qo2dk6iv3u
@user-qo2dk6iv3u 13 дней назад
Iran kageza vikwazo kuwa fusra ya kimaendeleo
@AyoubHajj
@AyoubHajj 13 дней назад
Naomba kuliza ni mda gani anakaa madarakani raisi wa Iran
@r.m.a7570
@r.m.a7570 13 дней назад
Kuna jamaa yote kama anaijua anasema uzalendo sifur Tanzanian
@nassoroshakiru7094
@nassoroshakiru7094 12 дней назад
Kwa upande wangu nchi zenye uzalendo ya kwanza ni 1.IRAN 2.KOREA KASKAZINI 3.CHINA 4.URUSI 5.VETINAM
@naqiahmad26
@naqiahmad26 13 дней назад
mnatukosha wakubwa
@swedikagusa9300
@swedikagusa9300 13 дней назад
bro sk mpe hi herry imemuelewa xana
@khamisfarouk9493
@khamisfarouk9493 13 дней назад
Ally punguza izo nanilii😂😂
@MAHAN-SMART
@MAHAN-SMART 13 дней назад
Ya kwanza Palestine 🇵🇸 licha ya vita na mauaji ya kikatili ila bado hawajakata tamaa na kutetea taifa lao
@Ally-qi7xo
@Ally-qi7xo 13 дней назад
🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦💯🇧🇮
@lusitamagora23
@lusitamagora23 13 дней назад
Pezeshkian keshasema wazi kuwa yeye anaamini kuwa Khamenei ndiye kiongozi mkuu na hawezi kwenda kinyume na anavyoamua kiongozi huyo mkuu. Iran ins sera madhubuti inayojengwa na msingi na dini ya Kiislamu.
@user-mf7hl7jh6s
@user-mf7hl7jh6s 13 дней назад
Naika Iran miaka 10 kwakwwli huyu pezekian kuna mambo atabadilisha ndani Ya Iran sana sana sheria zinazo husu Wanawake (hijabu....) ila kuhusu ku support hizbullah huthi Palestine daah hayo hawez kuyafikilia maana Huu ndio msingi wao
@abulaaliyah77amani91
@abulaaliyah77amani91 13 дней назад
Mhh
@hamsikrasheedi1796
@hamsikrasheedi1796 11 дней назад
GPS ❤🫡
@SaraphinaKidoti-qe7gi
@SaraphinaKidoti-qe7gi 13 дней назад
Korea Iran Urusi China South korea
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 13 дней назад
Tuelewe yakwamba iran haiwez kupata kiongozi anaye kubali matakwa ya magharibi iran itaongozwa na maghaidi mpka mwisho, ila nawakubali sana
@emmadora7848
@emmadora7848 13 дней назад
😂😂😂😂 Ile tu kutumia vitu vyao ni kwamba bado wanaongozwa # Helicopter ya rais
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 13 дней назад
Kwaiyo magaidi ni wairan na sio marekani si ndio?
@KhamisOmar-kt4kz
@KhamisOmar-kt4kz 13 дней назад
Ww unaukimwi wa maskio na mawazo pia israel na marekani ndio magaidi ww demu
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 13 дней назад
@@emmadora7848 😂😂😂ila ilikua ni zaman
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 13 дней назад
@@salumabdallah2990 sio hvo mimi siwez ita mtu gaid
@OsamSaleh-k3v
@OsamSaleh-k3v 13 дней назад
1 palestine 2 north Korea 3iran 4china 5cuba
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 13 дней назад
Si myahudi huyu
@aishaarusha894
@aishaarusha894 13 дней назад
Nchi yenye uzalendo ni Tanzania 🇹🇿 tulimzika magufuli na wengine walimsindikiza kaburini😅
@user-ww5iu4gz4b
@user-ww5iu4gz4b 13 дней назад
DJ SMAA NAMKUBALI KWMBA MUDA USEME KWAMFANO IRAN ASIPATANE NA MAREKANI WAKATI WOTE WANATAKA WAPATANE NA URUSI NA CHINA LAZMA MKANGANYIKO UTAKUWEPO APO
@Pablolookman
@Pablolookman 13 дней назад
Iran inaenda kuangamia
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 10 дней назад
Ww choko
@raydanfrenk
@raydanfrenk 13 дней назад
😂😂😂😂 mtakuja kuaibika subili atakuwa Bega kwa Bega nchi za magharib
@khalifanoti6974
@khalifanoti6974 13 дней назад
Sahau hiyo kuwa rafiki na magharibi wale wa iran wanaongozwa na baraza la ulamaa
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 13 дней назад
Mhhhhh sijui kama hawajamchagua MZUNGU maana Kuna mapandikizi pia tusisahau 😂😂😂
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 10 дней назад
Iran mfumo ww uelew nchi zisizo kuwa na mifumo kama tz ndo unaweza kuweka kibaraka ila hapo hata wakimuweka kazi bure
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 10 дней назад
@@omarymwaluko9765 nimekusoma mwamba🤣🤣🤣🤣
@martinisadru9899
@martinisadru9899 13 дней назад
Hii chanel, babu kubwa,, hakuna ngonjela hum, taarifa zao ni uhakika! Zisizo na upendeleo, wala ushabiki, naiweka ubora wa hali ya juu,, naitabilia itakua bora zaidi bbc.
@mrdaslam301
@mrdaslam301 13 дней назад
Nchi yenye watu wazalendo ni Russia ... Vikwazo vya kumgombanisha Putin na watu wake halafu wamemchagua Putin kwa asilimia 87 bigg up kwao.
@ce-08
@ce-08 13 дней назад
😂😂 uchaguz unasiri nyingi hicho huenda c kipimo Cha sahihi Cha uzalendo wa watu kwa nchi Yao Je Tz wazalendo kwa chama tawala sababu nchi nzima karbu wabunge wote ccm
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 13 дней назад
Mkuu Marekani ndo nchi yenye wazalendo 1 duniani hakuna mfano.Ndo maana wako radhi wakushughulikie ww Kwa ajili ya taifa lao mkuu.Russia Putin na wachache ndo wazalendo halisi, ila Oligarches wengi wa Russia sio wazalendo.
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 11 дней назад
Uzalendo wa kulazimshwa nao mnauita uzalendo? Hizo nchi zote walizotaja jamaa sidhani kama ndio zinaongoza kwa uzalendo maana wananchi wake wanalazimishwa kujifanya wazalendo bila ridhaa yao.
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 10 дней назад
​@@GeorgeAkasha-zx2rjmarekani wazalendo wa ushoga
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 10 дней назад
​@@rumdeesonsoa1811marekani wazalendo wa ushoga
@sonnyr1899
@sonnyr1899 13 дней назад
Mtaji mkubwa wa Magharibi ni kupotosha vijana na wanawake kwa hio wa Iran wawe makini. Maendeleo makubwa wa nchi za magharibi ni kuingiza UGASHO katika Afrika na Asia sasa sijuwi hii inatusaidia nini?
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 13 дней назад
Hivi kwa ujinga wako unaamini kuwa nchi za magharibi ndizo zinasambaza ushoga? Ushoga ni tabia ya mtu mwenyewe.Na je na umalaya nao ni hao hao wazungu?Nchi za magharibi hazimlazimishi mtu kuwa shoga.
@sonnyr1899
@sonnyr1899 13 дней назад
@@MathewNathan-yb2bz We ndio mjinga wa kwanza kukutana nae mwaka 2024 asie juwa kuwa bank ya dunia ukiomba mkopo miongoni mwa masharti unayo pewa ni ugasho
@kamanapomo7029
@kamanapomo7029 13 дней назад
​@@MathewNathan-yb2bzwew ndio hauna akili zezeta mkubwa, yani inamaana na ujinga wako woote hujui hilo
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 13 дней назад
@@sonnyr1899 ww ndio mjinga kwa kwanza mwenye matumizi mabaya ya akili.Marekani na nchi nyingine hawalazimishi mtu yeyote yule kuwa shoga bali wanataka watu hao walindwe wasinyanyaswe.Hata ndani ya marekani kwenyewe kuna majimbo hayaruhusu ndoa za jinsia moja hususani huo ushoga.
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 13 дней назад
@@kamanapomo7029 ww ndio una matumizi mabaya ya akili kwani kuna siku hizo nchi za magharibi zilikulazimisha kwa nguvu kuwa shoga?
@Gulfnas1
@Gulfnas1 13 дней назад
Nchi 5 zenye raia wazalendo North Korea Iran Russia China Cuba
@saidiomar6642
@saidiomar6642 13 дней назад
1-korea kaskazin 2- china 3-iran 4-Russia 5-Japan
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 11 дней назад
Vigezo vipi vinazingatiwa kujua kuwa nchi fulani ina uzalendo sana?
@mrdaslam301
@mrdaslam301 14 дней назад
Why GPS hatujazindua studio mpya
@GraceMashinga-be9wb
@GraceMashinga-be9wb 13 дней назад
Kabisa
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 13 дней назад
Toeni michango na support
Далее
Wait for it 😇
00:45
Просмотров 9 млн
Помыла и машину, и водителя
0:18