Sasa hapo ukatili gani alioufanya mshaambiwa mtu ana matatizo ya akili na anapelekwa milembe ni hospital ya vichaa sasa mlitaka amuachie apige watu au aluke dirishani ss lipi jema.acheni lawama zisizo za msingi.angemnyanyasa porisi wasingemuacha.kichaa yeyote huwa anafungwa kamba kwa tahadhali@@yousifyousif-p7f