Nakukubali sana mbona siku hizi siku sikii kabisaa bishop maana kipindi chako kilinifungua mengi sana sana au siku hizi unatoa kipindi radio gani bishop siku hizi
Askofi ubarikiwe kwa jina LA yesu kristo mtumishi wa mungu nafuatilia sana mafundisho yako juu ya history ya taifa ya Israel ila sehemu ya tatu najaribu kulicheki hapa silioni kwenye account yako naomba muendelezo yako ya Israel
Mtumishi tunakuomba uondoe utata kuhusu kitabu cha nabii isaya sura ya 21 haya ya 13 na sura ya 8 haya ya 8 pia kuhusu dibaji ya kitabu cha biblia maana haieleweki machoni pa watu vizuri . tutashukuru