Тёмный

BITAKWIRA NA NYAMA NGYOKU WANATEMBELEYA WILLIAM AMURI YAKUTUMBA KWAKE ANAPO PANGA/UTASIKIYA 

MBS TV  BARAKA
Подписаться 1,9 тыс.
Просмотров 6 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

21 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 26   
@InnocentMyanzi-ev1wk
@InnocentMyanzi-ev1wk 2 месяца назад
Kurage Williamu hamuriyakutumba❤💪💪💪💪 mungu akusayindie sana
@WilsonMedar
@WilsonMedar 2 месяца назад
Mungu aendeleye kukubariki kiongozi wetu William unaleta hope katika congo yetu
@BanyeneBaume
@BanyeneBaume 2 месяца назад
Mzee fanya angalisho na frd 😢😢 tembea nao kwamakini.
@vt-kn6qf
@vt-kn6qf 2 месяца назад
Kweli awemakini sana ila mungu atamjalia
@wassosamuel
@wassosamuel 2 месяца назад
Vraiment félicitations leaders ya kutumba.atuna ingine ichi
@vt-kn6qf
@vt-kn6qf 2 месяца назад
Ongereni sana Mungu awalinde jeshi letu la wanainchi courage general Yakutumba mbembe wakwetu damu ya kivu
@AkidaModeste
@AkidaModeste 2 месяца назад
Lakini nyie ba yakutumba muko banaume Mungu tu njoo abawezeshe vraiment Merci saana ku kazi yenye muko nafanyia Inchi.
@GodenBMDaniel
@GodenBMDaniel 2 месяца назад
Tunawatakiya kila laheri, 🎉🎉🎉
@mg-lion.2782
@mg-lion.2782 2 месяца назад
Ongera sana mweshimiwa yakotumba
@CONGOINTHEPICTURE
@CONGOINTHEPICTURE 2 месяца назад
Hongereni kwa kazi kubwa mnafanya
@MalipoDjuma
@MalipoDjuma 2 месяца назад
Nakupata bila tchenga nikiwa Burundi
@MalipoDjuma
@MalipoDjuma 2 месяца назад
Jambo mutangazaji tunakupenda saaana kutupatiya habari mbichi mbichi nikiwa inchini Burundi
@larzagraph9326
@larzagraph9326 2 месяца назад
🙏
@EnockMushogoro-zr1vn
@EnockMushogoro-zr1vn 2 месяца назад
Courage
@PastorlevisIsambechohassan
@PastorlevisIsambechohassan 2 месяца назад
Mungu wetu akupe hekima,baba yakotumba ili uongoze kundi la utetezi la wazalendo bila hiyo hekima unaweza anguka ila tunakuombea Mungu akulinde na kukuepusha na njama za maadui wa DRC
@MwetaminaZaburoni-mv7iu
@MwetaminaZaburoni-mv7iu 2 месяца назад
Ok.
@CONGOINTHEPICTURE
@CONGOINTHEPICTURE 2 месяца назад
Hatuna udongo ungine ispokuwa huu. Tukinyanganywa huu udongo, tutaendeleya naangaika mu duniya
@SimonuseniSaidi
@SimonuseniSaidi 2 месяца назад
Naitwa Simon lulela , napenda kukwambia mweshimiwa kwamba afanye nguvu atafute mawasiliano na Russie juu président Félix atimizaki mahagano ,jipange na raisi wa Burkina Faso ili upate nguvu zaidi,.
@kizabushiri2082
@kizabushiri2082 2 месяца назад
Jambo ndugu zangu, viongozi na watetezi wa zone ya fizi kuweni makini na huyo bitakwira ni adui Namba moja wa Wana wa fizi Kuweni makini
@rutaburagedeon6235
@rutaburagedeon6235 2 месяца назад
Hakuna utakacho kifikia nahiyo chuki ya ukabila inayo jaa moyowako Makanika ana kuzidi mwerekeo mzuri kwani yeye ana ishi nakila mumoja bila kubaguwa
@henryking6070
@henryking6070 2 месяца назад
Murudi kwenu Rwanda, Congo iko na tribut 450 zote hizo amuna banyamulenge
@InnocentMyanzi-ev1wk
@InnocentMyanzi-ev1wk 2 месяца назад
Yakutumba nimwahume nyibanyarwanda mwejomukonaroho mbaya tangunzama mulingandaminza wafuliru mukawnanganya ngombenzao nababembe mukawakimbinza kulemilima yaminembwe
@mwajumasakina9599
@mwajumasakina9599 2 месяца назад
Yakotumba kuwa makini sana nao hao jamaa haswa huyo bitakwira, ni vibaraka wa banyarwanda, simama na vijana wako mutetee inchi inaenda vibaya sana, banyarwanda bako na mbinu mingi juu ya kuku neutraliser juu Yakotumba nikikwazo kikubwa mwa hii vita, attention attention, bale banatumwa na baruberwa na kabila njo benye biko naongoza Grand Congo tchisekedi haiko kitu ni etiquette,
@bahatywasofia4155
@bahatywasofia4155 2 месяца назад
Fact 🫶🏻
Далее
USA B2 BOMBER RAID IN YEMEN: MESSAGE FOR IRAN?
15:02
Просмотров 358 тыс.