Mungu wetu akupe hekima,baba yakotumba ili uongoze kundi la utetezi la wazalendo bila hiyo hekima unaweza anguka ila tunakuombea Mungu akulinde na kukuepusha na njama za maadui wa DRC
Naitwa Simon lulela , napenda kukwambia mweshimiwa kwamba afanye nguvu atafute mawasiliano na Russie juu président Félix atimizaki mahagano ,jipange na raisi wa Burkina Faso ili upate nguvu zaidi,.
Yakotumba kuwa makini sana nao hao jamaa haswa huyo bitakwira, ni vibaraka wa banyarwanda, simama na vijana wako mutetee inchi inaenda vibaya sana, banyarwanda bako na mbinu mingi juu ya kuku neutraliser juu Yakotumba nikikwazo kikubwa mwa hii vita, attention attention, bale banatumwa na baruberwa na kabila njo benye biko naongoza Grand Congo tchisekedi haiko kitu ni etiquette,