Nakutakia uwe na siku nyingine hapa duniani mzee General Wiliam Yakutumba sisi wakongo tunakupenda sana Mungu awe na wewe kwa kila jambo ufanyalo ,Amen🇨🇩
Yakutumba Baba iyo kukuita kwenye kikao chao ni siasa tu. wanashindwa jinsi watakupata juu umewashinda, wakuuwe huko na siasa zao, Mungu akutie nguvu Baba yetu mtetezi wa Congo yetu.
Aiza mumetumwa na wanyarwanda kuja kuonioji tu wabembe na wakongomani wengine?mimi angekuwa mimi wala msinge yasikiya maneno ya kutoka kwangu maana nyie watangazaji ni kama waya za kutega nyama porini
Mzee nimwongo Sana kabisa.hakunaiyomambo yote anajitapakasana Siku Gani ulishakasikiya Mzee akonapigana na banyarwanda.yeyejo aduwi anatumika na Néhémie mwilanya najobalileta barwande na Kabila.tunajuwa
Yakutumbo ni muuaji waukabila utakufa vibaya nahutafika kwalengo lako lakumaliza watu nyinyi wabebe hamuna akili mulishindwa kwanzia mulele paka hivi mumeshindwa na mutaendeleya kukula imbwa.