Mungu naomba ukamwangalie huyu mtoto kwa mara nyingine mpe wepesi wa maisha yake nasiyo kwa magumu yote hayo anayopitia. ......... Mungu palipo na kilio ulisema utawafuta machoz. sema na familia yake kwa kila hatua wape wepes eeh Bwana.Amina
africa,nunca vamos mudar, tempo de colono era xicotada, espulsamos colono, mas ainda ha xicotada, esse tipo de tratamento nao dignifica ao ser humano, nem um cabrito quando levado ha respeito, lamento muito africa, essa e uma mulher, que merecia um tratamento de respeito, acredito que em algum momento elevou o nome de tanzania com seus talentos como atriz
IJUE SHERIA* *Kwa mujibu wa sheria ya makosa ya jinai, mtu anayepatikana na hatia ya kuua adhabu yake huwa ni kunyongwa hadi kufa* (Kifungu cha 197) *Kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya jinai, mtu anayepatikana na hatia ya kuua bila kukusudia adhabu yake huwa ni kifungo cha Maisha jela* (Kifungu cha 198) *ANGALIZO*: Kulingana na mazingira ya kosa la kuua bila kukusudia yalivyokuwa kwa kuzingatia ushahidi, Mahakama ina uwezo wa kumpunguzia adhabu aliyetiwa hatiani kwa kosa la kuua bila kukusudia kwa namna Mahakama itakavyoona inafaa. *Lulu anapaswa kumshukuru Mungu kwa kila jambo*
It's to sad😢 pole sana Eliza Jikabidhi kwa Mungu Kwani Miakami2 co mingi sn Tena Afadhari yaww Umefungwa Tz Wazazi wako wanauwezo wa kuja kukuona kuna wengne wako Nnje hata hawezi na hawajawahi onana na wazazi wao mpka hvi Leo. Mie Mwenyewe Niko uku Miaka mitatu ss cjaona sura ya mama wala mtu yeyote kwenye familia yangu ila ukimuamini mungu kila kitu kinawezekana ss hvi Nahesabu Mienzi tu 6-2018 I will back my Country🙏say thanks God for Every thing"
Fun Video & Real Life Mie cpo Gerezani, ila Nimetoa mfano tu wakwamba miaka miwili aciione mingi sn mie niko Nnje miaka mitatu ss Na Najipa imani kwa uwezo wa mungu Nitaonana tena na familia yangu cjui Umenielewa ss hvi
Pole baby sis akuna aijuaye kesho yake, usithubutu ongea neno baya kwa mwenzio ujui kesho yako, watu wanakukuza kwa makosa ila kwa mama Eliza bado wewe ni Mtoto tu, poleni familia ya lulu mama viatu vyako vinanibana siviwezi mama
kuwa jasiri kipenzi cangu M.Mungu yuko na wewe iyo itakugusa mda mdogo baadae utazoweya na istoshe kwenye uhai myaka miwili ni kufumba na kufumbuwa itakuwa imekwosha nakupenda sana
Duh, polisi nao ni shida tupu!?😀😀😀 yaani hawaangalii sura, Pole Lulu, muda wa miaka 2 ni mfupi tu, pia ni funzo kwa wazazi, muwalee Watoto ktk njia impasayo Mungu. Waache kujiingiza kwenye mapenzi wakiwa wadogo. Kila mtu kapangiwa mume na mke so uvumilivu ni kitu muhimu mno. 2020 utakuwa huru mama usijali.
Mbona wanamsukuma ivi😭😭😭washenzi!!!don't worry bby gal in every thing that has bad beginning eventually it will end leaving you victorious...may God fight this battle till the end ...they will see what God has in store for you,yye si mpupavu akupe jaribio kama hili then..akudisappoint !!No no never!!!!
Pole Mdogo ang Lulu nimeumia mno lkn naamini Mungu yu pamoja nawe Niko nyuma yako sitaacha kukuombea ili Mungu akaonekane kwako! Usiache kuomba mungu Yy ni mwema sana kwako na anakuwazia mema! Nimelia sana Leo jmn eee Mungu akukumbuke Lulu wang
ashukuru mungu amehukumiwa Kwa sheria za watoto wakati yeye si mtoto ,wamemsaidia sana otherwise miaka 15 ingemuhusu,haraf kuna watu wanahudhunika nyie mnajua maisha anayoishi mama kanumba baada ya mwanae kufa?then huyo Lulu alikuwa busy anakula bata hata akili ya kumriwadha yule mama akawa anamdharau hata kitambaa aliona tabu sawa hata simu kumjulia hali NAyo pia hola amesahau kuwa bila yeye mama kanumba asingeteseka ,haraf hukumu ya miaka miwili jitu linaumia,kwani ndugu WA kanumba pamoja na mama kanumba wao wanaumia kiasi gani Kwa kumpoteza mwokoz WA family, nyambaf mwache aende akanyee debe angalau mama kanumba ajue kuwa haki ilitendeka
Halafu kanumba mwenyewe jamani alishajitabiria kifo!! Hiyo iko wazi....Freemason aliijutia!!! Akawa hana otherwise,, zaidi yakuamini atakufa tu...sasa Lulu alitumika kama chambo tu..jamani.
Pole sana lulu yani machozi yanitoka roho yaniuma mungu akupe subra katika huu wakati mgumu miaka miwili siku hizi sio mengi huyo mama kanumba atalia mpaka siku yuwaigia kaburini na roho yake ya kishetani
Dah inasikitizA sana lulu mama upo kwa maombi yetu Usikate tamaa Mungu yupo nawewe Zidi kuomba kila wakati Naomba uwe mwanamke wakwanza kuwa na nguvu Masiku yatakimbia Kumbuka anaye kufanyia mabaya nae ipo siku Dunia mzinguki usikate tamaa mama I love u lulu 😭😭😭😭😭😭 Eeeeee mungu angalia mwanao sikia kilio chako Usimuache mtie nguvu kila wakati #@tupo nawewe lulu From Dubai napitisha pole
Naumia sana bcz mimi ndani ya nafsi yangu naamini kuwa hana makosa. That is wy I feel hurt inside me. Lkn Mungu yupo atazifupisha siku za kukaa kwako gerezani 2yrs itakuwa like 1week. Be strong hata dhahabu na thamani yake lkn ili ing'are ni lzm ipitishwe kwenye moto kwanza. Siku zinahesabika
Tough time.! Ni mungu tu ndiye ajuaye kesho yetu. Kilichomtokea Lulu kinaweza kuwa ni fundisho kwa jamii hivi leo. Kama Lulu angekuwa kwenye uangalizi mzuri wa wazazi wake haya yote yasingetokea...Mtoto mdogo kuwa kwenye mahusiano ya muda wa miezi 4...na wazazi wako wapo hai???? Inamaana walikuwa hawajali mtoto wao yuko wapi? Yuko na nani? na anashughulika na nini? #Wazazi??????
usijal love size yakiatu chako mim binafsi siwez kuvaaa ila mungu kakupa mtihani ambao unaweza kufaulu ndio maana umepewa wew mwenyezi mungu akutie nguvu kwenye kipindi hiki kigum ila amini robo tatu yawatanzania tunakuombea
Bora lakini miaka miwili sio mingi kwa uwezo wa mungu Ila akitoka itakuwa amesha pumzika na hayo maneno ya huyo bibi mchawi manake ilikuwa Tabu kanumba kanumba wakati mwanae mwenyewe amekufa hata nyumba haja muachia pumbavu sana
Pole sana Lulu,naamini Mungu anaruhusu kipindi hiki kwako ili umrudiriye muzuri na kumkumbuka kila leo kwa kumuomba,najuwa huko gerezani utasimamiya kundi la sifa na maabudu🖐🖑,hizo miaka miwili gerezani ni Mungu anataka roho yako ijae maombi,huko hauta kuwa nashuguli yoyote ila kumsifu na kumuabudu Muumba wako!God is good all the time,that means is good in bad time and in good time too,stay strong we are together in prayers😚😚😚
Lakini Africa unyanyasaji jamani sasa wanamsukuma hivyo kwa kufuata sheria ipi?ata kama kaonekana na hatia sasa je kumsukuma kunamahusiano gani na kuhukumu iliyopo.
Kuna wakati sheria haitendi haki,Hapa kuna vitu viwili ambavyo vilitakiwa kuangaliwa kwanza kuna kuua na pili kisababisho cha kifo,! lulu hakudhamilia kuua ila alisababisha kifo na yeye alikuwa katika hali ya kujikomboa kutokana na ugomvi waliokuwa nao wawili hawa halikadhalika marehem alikuwa amelewa sasa leo hii tuchukulie mfano mwepesi mchezaji wa mpira akikwatuliwa na mwenzie na kuanguka na kupoteza uhai atakuwa ni muuaji ama lah.!! Binafsi lulu kaonewa,hakutendewa haki ya kisheria ila kilichofanyika hapa ni lulu afungwe kuifrahisha familia ya kanumba hasa mama yake kanumba na si vinginevyo.....Na laiti kama angelikuwa ni muuaji,sheria ya kuua kwa katiba yetu ya jamhuri ya muungano wa tanzania ni kufungwa jela maisha ,sasa iweje muuaji kama shitaka lake linavyoonesha ahukumiwe kufungwa jela miaka 2!!!!?😡😡