Тёмный

BREAKING NEWS, PRESIDENT RUTO HAS ORDERED GIKOMBAA MARKET TO BE DEMOLISHED TOMORROW WITHOUT NOTICE 

JACKSON 254TV
Подписаться 49 тыс.
Просмотров 15 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 147   
@Rebeccah-nz7bq
@Rebeccah-nz7bq 23 дня назад
Wueee, Zakayo ni Zakayo tuu, yaani hataki kujengea watu walio adhirika na mafuriko, kazi ni kuharibu kenya😢😢😢😢
@user-oo6ej4hq6s
@user-oo6ej4hq6s 23 дня назад
Tumeachia Mungu a deal na hii serikali hawatapata amani in mighty Jesus name Amen 🙏 no peace ✌️ at all nimekasirika yangu yote 😭😭😭😭
@esthermwikali5403
@esthermwikali5403 23 дня назад
Afadhali uhuru mala mia huyu kilio ya wake kitamramba mungu yuko
@kaninamargaret8025
@kaninamargaret8025 22 дня назад
KIKIMRAMBA ATAKUA AMESHIBA TUMBO LIMEJAAAA
@winfrednthale2967
@winfrednthale2967 21 день назад
Chums chake kimo motoni,mungu hajalala
@jamillaiddi2990
@jamillaiddi2990 22 дня назад
Why is ruto doing this 😢😢😢 maskini hana haki but God will bring him down weirdly
@suzzysuz8652
@suzzysuz8652 22 дня назад
Stamp duty ya plot iko 4% shamba ya value ya one million unalipa 40k hata title deed bado....hujalipa hata lawyer.
@nancynjoki2966
@nancynjoki2966 22 дня назад
God is watching i tell my fellow Kenyans. Yeye tu ndie Mutetezi wetu na atatutea, Shalom!
@eunice1611
@eunice1611 23 дня назад
Ghai hustlers tutaendea wapi jamani??
@marygeykowski8207
@marygeykowski8207 23 дня назад
Tunaishi ngambo lakini tunalia sana hatujui tutakuja vipi nyumbani
@rachaelmbula9413
@rachaelmbula9413 23 дня назад
We are on our own
@user-no9dt3op1b
@user-no9dt3op1b 23 дня назад
Jackson Mungu akuje Kenya. It's too much for us jameni, tutaenda wapi 😭😭😭
@getrinimweyeli2095
@getrinimweyeli2095 23 дня назад
Walai Jackson mungu atukumbuke
@millicentmukoya1292
@millicentmukoya1292 23 дня назад
Sasa akibomoa Hii tax mingo wanawaste itatoka wapi😢😢😢 Hii kenya inaelekea wapi
@user-iz4qq6rc9b
@user-iz4qq6rc9b 23 дня назад
Oooo🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆😭uuuuuuuuwi yawaaaaa whaaaaaaaaaaaat the hell🤔😢😢😢
@user-nl8my3ye5d
@user-nl8my3ye5d 23 дня назад
Jamani kwani ruto ana taka nini aki 😢😢😢
@theafricanphilosopherqueen3032
@theafricanphilosopherqueen3032 22 дня назад
Gikomba imetungarisha na watoto wangu for 25 years,...pia bedsheets, ,samaki....jameni 😢
@jacintamadiga4974
@jacintamadiga4974 23 дня назад
Huyu mtu hata Moi hakuwa na hii ujinga mara tax mara kuharibia watu vitu
@hanifahassan-sf1gg
@hanifahassan-sf1gg 23 дня назад
Ruto kufa huko uliko takataka ya raisi😢
@MaryLeea-ru6it
@MaryLeea-ru6it 23 дня назад
Ukweli bro Jackson❤
@JacklineOtieno-tc7gf
@JacklineOtieno-tc7gf 22 дня назад
Ooooh tunalia sana baba ni baba mungu
@josephmaina-vm1lc
@josephmaina-vm1lc 22 дня назад
Jackson gikomba ni ya wasomali ata moi airbase inahama wasomali wachukue na dwale ndio atakuwa dp wa zakayo watch out 😢😢
@godsfavour5665
@godsfavour5665 23 дня назад
Zakayo anafukuza watu mjini anataka wakenya warudi ushago 😮ATI hawapangwingwi noma sana .ATI hasoraaa atawareeeeeee
@lucynyaga566
@lucynyaga566 23 дня назад
Kumbe nde alikuwa anatumananga kuchomwe
@kigomiss4178
@kigomiss4178 23 дня назад
Tunalia Kenyans na it's too early what if tukfika 2026 tutakua wapi!!zakayo no again voting to u.
@frduvdhungchifi1036
@frduvdhungchifi1036 23 дня назад
😮😮😮😮😮Oooh Nooo
@daveondiekaaron2204
@daveondiekaaron2204 22 дня назад
Affordable Houses Zote Zitakua Zake.. 🤔😏
@dianahmurutu6112
@dianahmurutu6112 23 дня назад
I wish president angesoma hiii comment yangu woiiiii fukuza hustle wote Nairobi warudi ushago 😅😅😅😅😅wajioneee vile tunaenjoy kulima na hatuna stress na bado baba akisimama bado tutampa kura 😮😮😮😮😮
@kigomiss4178
@kigomiss4178 23 дня назад
Waah tunaelekea wapi Kenyans ata Kaa nko diaspora aki Kenyans msichague zakayo 2027
@rosemuvua2005
@rosemuvua2005 23 дня назад
😂😂Jack wewe mmbea wangu !!!nitumie number niku western union 😊😂😜
@mollywanja1222
@mollywanja1222 23 дня назад
Wish I was this live
@Damacklikerubo
@Damacklikerubo 22 дня назад
Ni majabu Yesu tusaidie Dunia inaelekea wapi 😪😪
@lindaokaye
@lindaokaye 22 дня назад
"Si uchawi ni maombi"
@malaika4158
@malaika4158 22 дня назад
Uhuru was our Presso! I even use to dream with him alot as my lover 😋 Aachane tu na kikomba.
@ShallomAmugune-gd8yg
@ShallomAmugune-gd8yg 23 дня назад
Akii hii Kenya woiye where are we heading to 😮😮😮😮
@JoshuaKimanzi-tc7wv
@JoshuaKimanzi-tc7wv 22 дня назад
Good said bro
@kaninamargaret8025
@kaninamargaret8025 22 дня назад
CRAZY WORLD!!!!!
@lucynyaga566
@lucynyaga566 23 дня назад
Waah
@talatalaco6837
@talatalaco6837 22 дня назад
Wacha wambomoe wenye walimchagua ni hao tu watu wa gikomba tukienda mandamano walisema uchumi inaenda chini sasa hivi itaenda juu 😢😢😢they abused Raila
@AgnesMuhonja-id9mh
@AgnesMuhonja-id9mh 22 дня назад
Ooh god have mercy on us
@margaretmaggie8678
@margaretmaggie8678 22 дня назад
Jackson Simama Prezzo next time kama uko better than Ruto.
@user-gm6pt9qm3i
@user-gm6pt9qm3i 22 дня назад
Waaa aki Jackson unasema ukweli hapa kenya ni maombi tu wakikuyu ndio wameleda izi shida zote sai kinawaramba
@nabwilelinet7807
@nabwilelinet7807 23 дня назад
Team blue😂😂😂😂
@oatriciahkiio5148
@oatriciahkiio5148 23 дня назад
😂😂😂😂watu asola watajua 😢
@GodsGift76
@GodsGift76 23 дня назад
💙💙💙💙💙💪🏾💪🏾
@BeverlyneBaraka
@BeverlyneBaraka 23 дня назад
Tamu sana Tamu sana.😅😅Azimio damu.
@MercyAHanda
@MercyAHanda 22 дня назад
Na bado mulikanywa na uhuru mukakataa sasa ndiyo hiyo
@user-xy5nc7hp7j
@user-xy5nc7hp7j 23 дня назад
Mlimpa mkasherekea sasa ni kilio waja mungu atawale kenya .
@Esendi564
@Esendi564 23 дня назад
Rutto aja yk ni kumbomoa kila kitu mojiga atapata kura mgonjwa 2027 inafika km alikua ajui job yk angewacha kuona kura
@daisychepkoech4715
@daisychepkoech4715 22 дня назад
Am a kalenjin buh this is to much...tulianguka miguu juu......hero Ata baba angewin....anyway 2027 c mbali
@godsfavour5665
@godsfavour5665 23 дня назад
Alaaaaa kumbe alienda hadi na butita😮ndio maana zakayo alienda kuonana na steve havvy😮😮😮
@user-cb9ct4bt4h
@user-cb9ct4bt4h 22 дня назад
Mliambiwa mkasema hampang'wing'wi, utafuna ulichopanda Karibu uhuru alie akiwa ambia.
@JACKSON254TV-kp1kw
@JACKSON254TV-kp1kw 22 дня назад
🙏🙏🙏
@user-ko3do3hk1z
@user-ko3do3hk1z 22 дня назад
Watching from Kondele Street 😂😂😂😂, wakikuyu hoyeeee , mnaonaje vile luos are now suffering 😂😂😂abaluya mriena abayie😂😂😂tuombeeni the okuyus, Kisii ba minto mbuya mnoo, hustlers wa Saudi Arabia na Gulf kwa jumla kef halik😂😂😂😂kwais, 😂😂😂omera to mitnaaa
@erickochieng2597
@erickochieng2597 22 дня назад
Siuchawi ni maombi but dawaya sakayo ni moja2 akufe ndowatu watapata nafu namjue akuna wakumtishia
@rebeccabrown5135
@rebeccabrown5135 22 дня назад
Gikomba anachenga affordable housing Mungu msaidie tu Kenya yetu kwisha jameni
@abikefa
@abikefa 22 дня назад
God protect us this our evil president😭 😭 😭
@geoffreyabuya6163
@geoffreyabuya6163 22 дня назад
All in all God is in control of everything
@njokithiga6795
@njokithiga6795 23 дня назад
I voted him with my whole heart expecting goods from him but wee I wish tu kinawesa rudiwa Kwa laini never ever not me
@paulineMmbulika1533
@paulineMmbulika1533 23 дня назад
Walipima kitambo barabara inatoka kikomba Digo kitui kinyago ishikane n Biafra walipima kitambo hadi maland loard wakapewa doi wakaenda Rwai kujenga uko sai kenya nikubaya kuna flay over inafua kujengwa hapo kinyago to blueEstat to shauri moyo wee kenya n God tuu 😢😢😢
@swaglive4856
@swaglive4856 23 дня назад
Really. I think there was some fununu kitambo sana when they were constructing that estate near gikomba about something coming up
@obungafelistas960
@obungafelistas960 21 день назад
Na blame wenye walimpigia kura, mimi na Ruto ni kama maji na mafuta, wakati wa campaign haungeambia mtu Ruto ni mbaya, wacha watu wajionee reality.
@user-mj8lk9fr2h
@user-mj8lk9fr2h 23 дня назад
Kwani Kenyans we don't have power ya kumodoa mamlaka
@angelinamwakadi5226
@angelinamwakadi5226 23 дня назад
Najiuliza the same
@RwachiryoraWema
@RwachiryoraWema 22 дня назад
Can’t there’s be an emergency election na wasipatie baba hiyo ataharibu pia
@user-xk6lz3pl8n
@user-xk6lz3pl8n 22 дня назад
Kilio ya watu haitampea amani lkn na wenye walimpea kula wakipewa kitu kdg wacha wakitapike xx
@AaAa-rx1ug
@AaAa-rx1ug 22 дня назад
Iyo ungojwa yenye unasema inakuja nguvuzake ilisha aribiya na malaika wa mungu na ataivo watatuma ziige wakuje kusambaza ungojwa ??? Juu ya anga lakini awana sumu tena namusije muka ogopa nacha mwisho mwenyezi mungu asha vuja nguvu zagiza na akuna ugomjwa kwamwe na sasa wakenya tufanye bidi kwa maombi
@brendaajema1869
@brendaajema1869 23 дня назад
Omwana wetu, I missed your content...ove mulamu bro?
@user-my9hv7mp9c
@user-my9hv7mp9c 22 дня назад
Fimbo ya kujichapa Aina uchungu wakikuyu mko wap?
@user-px4ld1mp9r
@user-px4ld1mp9r 23 дня назад
Pigia komanda pastor nganga...
@sheemaryam
@sheemaryam 23 дня назад
President hulipwa 2.3M Na alienda America 🇺🇸 agreement ya kujengwa barabara express way from narb to mombasa na itajengwa na America and itakuwa ya kulipishwa na watailipisha 30yrs wajilipe pesa zao the journey will be taking 5hrs na inacost millions of Billion niliskia leo magazetti alafu raila alinyamazishwa juu anawania kiti cha sijui what Africa na anataka rais amfanyie campaign ndio maana mnaona joho na wenta wakigongana kuhusu nani atachukuwa ushukani after raila
@margaretking9640
@margaretking9640 23 дня назад
Kinaramba kenya
@user-ln3cn6hn4g
@user-ln3cn6hn4g 23 дня назад
Rebeccah-nz7bq 9 hours ago Wueee, Zaka ni Zaka tuu, yaani hataki kujengea watu walio adhirika na mafuriko, kazi ni kuharibu kenya😢😢😢😢.More and more than ever since we got independence.
@user-zh8wx8ex2y
@user-zh8wx8ex2y 23 дня назад
Wewe piga kelele Sasa mimi niko Washington Dc
@user-uc7zg6nx4v
@user-uc7zg6nx4v 23 дня назад
jack c ata we ulimsapot na mukasema raila aende si tuko na kibuye kisumu tutabeba mzigo na turudi
@norahmorebi4605
@norahmorebi4605 23 дня назад
Waaaa ruto aki mbona mbona
@mosesmudavadi9668
@mosesmudavadi9668 22 дня назад
Kwendeni huko wakikuyu hameni Kwa grabbed riparian land
@Chebet254
@Chebet254 23 дня назад
Shida ya wakenya n kelele tu badala wafanye kazi wanapenda vya bwerere mnataka serikali iwafanyie shipping ya kila mwezi?? hata hizo shamba serikali zinachukua yes nizao wachukue, kama kama kitu c yako peana kw amani n uombe mungu akupe chako, kenyans hawana asante kabisa, sasa mnasifu uhuru n yeye alikua anatumia pesa za kukopa nchi zingine n miaka zikisonga uchumi nayo inapanda nchi zote sai uchumi iko juu lakini watu wanangangana n maisha bila kelele aaai kenyans fanyeni kazi jameni ushuru iko kila pahali😅
@justinasige2165
@justinasige2165 23 дня назад
Kwenda
@Morningglory88817
@Morningglory88817 23 дня назад
You mean Shopping? Hmm sio vizuri ku treat kenyans Like thugs, mungu atatulipizia
@Chebet254
@Chebet254 22 дня назад
@@justinasige2165 nikwende wapi sasa
@Esendi564
@Esendi564 23 дня назад
Rutto ni mtu wa uluminati na atawatesa adi 2027 anajua inafika na atapata kura
@CarolMueni-tb6lb
@CarolMueni-tb6lb 23 дня назад
Ruto twakuwachia Mungu apigane Na wewe
@lizburton9833
@lizburton9833 22 дня назад
Forget about she is a woman, the fact is she repent and run to God , so who are you to judge ???!!!
@Londontravellerplus
@Londontravellerplus 22 дня назад
People have been taking advantage….. why build on land which not yours
@janetwandiiswandiri4063
@janetwandiiswandiri4063 23 дня назад
Sisi hasla tunapenda hio maisha ya usafi.wacha kutusi mufalume wewe ukumsagua lahana nikwako enda uko.
@ngamiazukhty3126
@ngamiazukhty3126 22 дня назад
Wabukusu na wa kikuyu walijifanya wanajuwa sana. RUTO vuruga vuruga. Pesa za wakenya zinavurugwa na maisha iko juuu
@margaretmaggie8678
@margaretmaggie8678 22 дня назад
TRIBALIST!!!!!!!!
@nyobs
@nyobs 23 дня назад
Hakuna mtu ameiba kutu ataiongoza Kenya!! Hata Raila alikula pesa ya displaced akiwa prime minister , watu walikaa bila makao na wao wanasherekea pesa ya wanyonge! Kalonzo, Martha au Peter Kenneth❤❤ Raila anajipenda sana anaacha kuongoza opposition.....aliacha akina Wetangula ati akafaidike pekeee!!!! Wakenya tunataka kiongozi si Idi Amin
@tabitaombaso
@tabitaombaso 23 дня назад
😢😢😢😢😢😢
@janetwandiiswandiri4063
@janetwandiiswandiri4063 23 дня назад
Wacha umbusi jackson .ubagusi tumbu unaanguka sana saidi moja.
@georginajilani8934
@georginajilani8934 23 дня назад
1:57 muliambiwa musichague zakayo hamukusikia oneni sasa
@user-nk4oq4ek9y
@user-nk4oq4ek9y 23 дня назад
Uyo ndo ruto bro na bado
@rosejambi2713
@rosejambi2713 23 дня назад
Wasa kikoba ibomorewe,wakati ruto artangazwa,wakibo wariibaa,haleluya, Barbara zote kikomda hakuna, magari,ingebitia habo, wariserehekea,kabisa
@alisoncarol8504
@alisoncarol8504 23 дня назад
Yaani for real??
@user-nk4oq4ek9y
@user-nk4oq4ek9y 23 дня назад
Jackson bro una wachamba wape ukweli lkn
@MikeOdhiambo-fy4yq
@MikeOdhiambo-fy4yq 23 дня назад
Niagara jackson
@ChristineMuinde-fq2jo
@ChristineMuinde-fq2jo 23 дня назад
Siauliwe
@harmonytransportation7284
@harmonytransportation7284 23 дня назад
That your president for uu have nothing to do until 2027 Stop complaining my Kenyan
@milcahwanengi2400
@milcahwanengi2400 23 дня назад
Exactly 💯 complain can't help anything Let's just pray to God his mercy endures forever 🙏
@janemusali
@janemusali 23 дня назад
Mateso bila Chuki
@ejacklineleisibach4377
@ejacklineleisibach4377 22 дня назад
Weee Jackson. There are some pastors who have legitimate jobs and they pay TAX. Like Apostle Paul. Those who do not work and are wealthy hawajateuliwa na Mungu. They only preach about prosperity gospel and other jokes that are not funny.
@SusanAmboye
@SusanAmboye 23 дня назад
😢😢😢😢
@user-zl1qi9nk3m
@user-zl1qi9nk3m 23 дня назад
Nawambianga kilasiku Ruto hajawai penda wa Kenya. Na Kenya inaelekea enzi za ukoloni
@paulinendungu4909
@paulinendungu4909 23 дня назад
Jackson, salary ya president is 1.4m. Ya DP is 1.25m. Now you know.
@Morningglory88817
@Morningglory88817 23 дня назад
Hao wezi wa damu ya mwananchi, mungu tulipishie
@evelynemasayi7249
@evelynemasayi7249 22 дня назад
Wewe nawe unasema nini hueleweki.mara butita ,mara gikomba, mara omondi, what is your point? nonsense 😏
@user-pq9be8re6i
@user-pq9be8re6i 23 дня назад
Huyo mtu amekua wazimu,haki mbona
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 23 дня назад
Sijawai piga kura hata suku moja
@Morningglory88817
@Morningglory88817 23 дня назад
Heri upige kura, otherweise hao Maghaidi watakuwa wakijiingiza kitini
@roseshijedi8744
@roseshijedi8744 23 дня назад
Watajua awajui ruto akienda ngambo akiona vilekumejengwa anatamani tamaa itamuuwa nahawa walimtusi raila wamtafta watamtamani hati wakauge
@pamelatokoyi1974
@pamelatokoyi1974 23 дня назад
heri huyu ruto akufe akiiii
@user-cg3vf2bl6b
@user-cg3vf2bl6b 23 дня назад
Hizo ndege epewa mitumba ximchome mwenyewe shetani WA MTU huyu
@achingomolloachieng4028
@achingomolloachieng4028 23 дня назад
Jackson hata watu wa kibera waanze kuhama juu wanakujiwa soon walikua wakienda kwa ruto karen kukula kitawaramba pia na venye amekua akichoma toy market juu anatakanga hiyo toy market wakenya mnafaa kuchanuka
@Zena766
@Zena766 23 дня назад
Watumishi wa makanisa dunia nzima walikesha kwa mulima wakiomba wakati wa uchaguzi walirudi na matokeo ya kwamba Ruto ndiye ataongoza kenya wakenya tunaumia watumishi mulitumaliza
@user-dj1io8uy5f
@user-dj1io8uy5f 23 дня назад
Ruto amegeuzwa watu rimot afadhali akufe
Далее
Проверил Басту на логику
00:44
Просмотров 324 тыс.
How These Twisting Towers Are Reshaping Brooklyn
4:25
Could housing be the sleeper issue of 2024?
27:53
Просмотров 1,1 тыс.
Aleksander Kiereński. Obalony przez bolszewików
28:55