Shida ya mama kiongoz yyt akipendwa na wananchi anamtoa, anataka kuonekna manake huwa anapotea kila anapojitikeza kiongozi anayeongelewa vzr na wananchi katika ngazi yyt ile
Mh Rais aliyekushauri umuondoe Jerry Silaa,alikupotosha.Jerry silaa alifiti sana hiyo Wizara ya Ardhi .Huyo Ndejembi wanamshangilia sana wale Matapeli wa Ardhi maana wanajua watamuweka kiganjani
Sasa petrol stations zote zilizosimamishwa kwa sababu zimejengewa katika barabara zisizo rasmi kinyume na sheria, sasa tutaziona zinafanya kazi... tukiona hivi tutaona kabisa dhamira ya kumtengua Jerry Silaa haukuwa nzuri
Yani baada ya kuona tuna faidika jelly silaa ame tolewa ili waje ao wasio penda akiii watutese Tena alizii zetu Asante kwa uteuziii mbayaa wa jeliii silaaa
Samia kanikera kweli,,sijui anapelekeshwa na nani,,, Yaan mtu mzur anaetetea haki za wanyonge,unamtoa. Makonda ulimtoa,jerry umemtoa,hivi wewe mama unachotaka ni nini?? Basi kaa wewe ktk nafas zote,
Rais kumtoa Jerry Silaa katika wizara ya ardhi haijakaa poa kabisa... kwetu wananchi tunaona kabisa kama ameiweza wizara... tunajua wewe ndio mwenye mamlaka kuteua na kutengua...
Wee watu hawakutakiwa tokea kipindi Cha magu wewe ukawarudisha ili tu magu aonekane aliwaonea kumbe hawakufaa chochote tunajua wanapewa heshima Kwa sababu ya wazazi wao walikuwa viongoz
😂 Mama Bado Mmoja Mwigulu Nayeye maana Bado ninakumbukumbu nakauli yake yatozo akatwambia kamavipi tuhamie Burundi wakumbuke Hii Nchi Kila Mtanzania anahaki yakua Kiongozi ispokua nikufata taratibu
Yale Yale;Magufuri alijua hawafai akawaacha; Rais Samia akaona walionewa Kiko wapi Sasa tilijua hafiki Nao popote:Ila kwa nafasi ya aridhi ameharibu Slaa alitosha kabisa: Hawa wawili Nape na Januari Laana ya kumtukana Magufuri mitandaoni itazidi kuwaandama tu mbona watakoma na uchaguzi Unakuja
Utenguzi akati mwingine uwe unaangalia sio kutengua tu, unaona wananchi woote ambao unategemea wakupe kura habari yao ni Waziri Jerry tu, kwanini? Kwani Slaa anafanyia kazi rais au anawafanyia wananchi? Kama anawafanyia wananchi inakubidi uwasikilize wananchi... Kingine Mawari wanapaswa wajifunze kitu kupitia Huyu Waziri Jerry.. imeisha HIYO🚶
Ivi yule aliyekuambia tuhamie Burundi Bado ni waziri wa fedha Tena Mimi sikuiona hatua imechukuliwa ningependa yeye ahamie Burundi kabla ya uchaguzi mkuu ili tuwe na Imani na raisi magenZ
Watu wengi wanalaumu utenguzi wa Jerry kwenye ardhi lkn mimi niko tofauti Jerry hakua na utendaji mzuri kwenye ile widhara hususani ktk kua na kauli nzuri kwa wananchi amekua na kauli mbaya sana na kupenda kutishia watu kua ntakuweka polisi yani ni kama alijiona Mungu mtu pale wizaran