Mbunge wa Mlimba (CCM), Godwin Kunambi akizungumza wakati akichangia maoni yake kwenye taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa pamoja na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, katiba na Sheria leo Jumanne Februari 13,2024.
21 окт 2024