November 9, 2017 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alisimama Bungeni Dodoma kujibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wabunge na moja ya maswali aliyoyajibu ni lililoulizwa na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe.
Majaliwa nilikuwa nakukubali kwamba unawezo mkubwa lakini kwa majibu haya.... "ww ni kibaraka" maana inaonesha wazi huna maamzi ww kama mtendaji mkuu wa serikali.... yaaan unazunguka bado hutoi majibu yayoeleweka... shame up on u
Majaliwa hawezi kujibu hayo maswali ya mbowe ni magumu sana majaliwa analikwepa kujibu maswali mbowe hongera kwa maswali mazur wazur mkuu hawez kuyajibu
Ni kweli umuhimu Wa Uchunguzi wa kina ni Muhimu ila kama Mtu anajeruhiwa kwenye Maeneo ya Watu wakubwa yaani Mawaziri na Ni maeneo yenye Cctv camera na high securty una Vamiwa na Asijulikane hadi leo zaid ya miaka 3 kuna tatzo either Kwenye vimbo vya ulinzi Ushauli wangu Tuweni wamoja kuijenga Nchi Si kosa kwa kiongozi kukosolewa pale anapoonekana hajafanya vyema Mhe Waziri Naomba ujibu kwa Faida ya Audience ote na Tanzania Kwa Ujumla Tanzania yangu Nchi yangu
Ndugu wapendwa leo nimefurahi sana kumsikiliza rais Magufuri.Kasema!!!! Wapelelezi ndiyo shida eanachukua mda mwingi mno kupeleleza na kutoa jibu na ndiyo maana nanukuru kasema kuna wafungwa13 elfu lakini mahabusu wanaosubili ili wajue hatima yao wako 17 elfu. Hawa wako ndani wananyea kwenye ndoo .wakiuliza jibu ni ,upelelezi bado,miaka 5 mtu yuko mahabusu kweli ??? Hii inaingia akilini jamani? Kwa hiyo swala la Tindu Lisu mpaka yesu aje !!nakwa vile yuko karibu!wacha tusubili,ila hao wapelelezi cha moto chao kinakuja
Hawa nilichoelewa wanahisi picha limekaribia kuisha .... Next yr wengi watakuwa wanashuhudia mjengo kupitia youtube Kama sisi raia wakawaida .....Sasa wanatafuta huruma tu , na TRUST ME Sera watakuwa hawana ktk kampeni zao ila hizi story za kutekwa na kuteswa ndio zitakuwa sera zao.
Katika watu wanaharibu hii Tanzania ni hawa CCM. Wanadhanishia wamewekwa madarakani milele. Namkumbusha tu Magufuli kuwa kuna mtu alikuwa anajiita Idd Amin yuko wapi. Alijipa majina makubwa kuwa yeye ni Rais wa Maisha Uganda leo yuko wapi. Mtanzania ukiwa hai mshukuru MUNGU wako na watendee wenzako mema. Magufulib anamwambia "MNYIKA" nimekuletea Maji kwenye jimbo lako unataka DEMOKRASIA. Hivi Magufuli ndie analeta maji au kodi zetu anazochukua. Laana ya kuwavunjia wapiga kura wako nyumba na kuwaambia hautalipa fidia ni unyama na malipo yake utayaona mda sio mrefu. Mbona Karume kule Zanzibar alikuwa anawajengea watu nyumba za kuishi wewe unakimbilia mambo makubwa wakati watu wako unawavunjia nyumba bila kuwalipa. Watu uliowaua damu zao zitakulilia milele hautakwepa hilio. Umekuwa "HITLA" wa Tanzania unawazuia wenzako kufanya mikutani wewe ni kama nani Duniani. Umebatiuzwa unaitwa "YESU" haya ni majanga. Hivi unaweza jifananisha na YESU kweli wewe Dikteta. Tujengee hosipitali za rufaa hatuna haja ya kwenda India tena. Ndege zzako zikienda India waliojaa ndani ni wagonjwa wa Tanzania hakuna hata wafanya biashara. Tuambie basi Watu wako hasara tuliyopata kwenye biashara ya Kusafirisha Gesi na korosho kuja na Dar es salaam. CCM kwa nini hampendi kusema ukweli. Mumelipa Deni la ndege Dola milioni 20 bado milioni 13 mnasema mumeshinda kesi. Kwa nini mnatufanya wajinga. Mimi niwaambie tu 2020 tutaminyana sana. Wabunge wa CCM mtakula mikongoto mbaya sana. Tumechoka kuona mko Bungeni kiupiga makofi tu.
UKIWA upinzani hasa Raha Wallah.... Upinzani una wasomi, upinzani una watu wenye uwezo wa kutoa hoja zilizoshiba.... Mijitu isiyokuwa na akili utasikia ikisema " kupigwa risasi kwa lisu ni mipango ya ukawa" sasa kama ni mipango ya ukawa kama wanavyoamini wananchi wanaoipenda fisi em? Kwa nini fisi em yenu isiruhusu jeshi la uchunguzi la watu weupe lishuke hapa nchini kufanya yake????.. ina maana ukawa hiyo hiyo ndio ihusike na mipango ya kupigwa risasi lisu, na ukawa hiyo hiyo ndio itake kupatikana uchunguzi wa kimataifa?. Au na hao wa kimataifa nao ni ukawa watawatetetea?.. acheni kutufanya mazuzu bhna ccm
duche! kwerii nchii imepotea wazirii kumbe nikilaza kiasi hicho chakushangaza wapumbafu wanampigia makofi sasa makofii yann hapo amahakika Tanzânia tunawawakilishi wengi kuliko viongoz
Kama uchaguzi utafanyika kwa haki na huru mimi kura yangu nitampa TUNDU ANTIPASI LISU. Huyu bwana yuko baribu sana na MUNGU kuliko Magufuli. Mimi nina imani machungu aliyopitia yalisimamiwqa na MUNGU. Magufuli sio chaguo la MUNGU ni chaguo la CCM na SHETANI. Mambo anayofanya Magufuli ni ya mapepo tu. Ameshawalisha baadhi ya Watanzania libwata wawe wanamsifia kuwa kafanya na kujisahau kinachojenga Tanzania ni kodi zao zikiwepo kodi za WAPINZANI. Maisha ya Magufuli baada ya kuwa Rais ni kifungo tu.
Maelezo mengi ya nini? Jibu swali, yani majibu yako waziri mkuu hata kama angekuwa mtoto mdogo tayari angejua anadanganywa. Na hao wanaompigia makofi waziri ni macrazy sioni la msingi kupigiwa makofi wakati maswali ya muhimu hajayajibu kiufasaha.
mh, waziri mkuu kama vyombo vyetu vinauwezo mbona hakuna majibu mpaka Sasa Mimi naona nibora turuhusu wachunguzi kutoka nje watusaidie kupata majibu sahihi
Duu uchunguzi huo uliishia wapi ,ulipata nini sasa ,au Bado wanaendelea kuchunguza ?hapa ndipo viongozi wa Tanzania wanaponikera ,na hata kuwachukia na kuona chadema na wapinzani wengine wapo sahihi
Majibu huna ila siasa inamkondo wake , mbona hakuna uchunguzi . Vinarndelea siku diku zinapita kwenye viwanja vya bunge kamera ziliondoshwa na hata hiyo hakuna taarifa . Waziri mkuu unadanganya umma. Kumbuka waziri mkuu unajimwagia mafuta n Mungu atakuhukumu Kama unajarijukuuficha ukweli.
Mbona Hadi Sasa hatuja pata majibu Toka kwenye vyombo vya Dola serikali hii Ina shida sana, kwann asiluhusu vyombo vya umoja wa mataif a vije vitedo hivi havivumilik
Majibu ya Waziri Mkuu yameniacha Njia Panda Hakika,Mlengo mkubwa ni kutetea Watanzania Kwa Ujumla kutokana na Mauaji yanayoendelea Katika Nchi.Nadhani Serikali itoe nafasi iyo
Aha Taita duh Majaliwa kasema anayejuwa aende akatoe taarifa .baba nenda lakini niachie kadi yako ya benk na pini namba kabisa.ili niweze kuwa na kuletea uji mahabusu maana ukiingia huko kutoka ni 2050
Isaya 42:22-23 [22]Lakini watu hawa ni watu walioibiwa na kutekwa; wote wamenaswa katika mashimo, wamefichwa katika magereza; wamekuwa mawindo, wala hapana aokoaye; wamekuwa mateka, wala hapana asemaye, Rudisha. [23]Ni nani miongoni mwenu atakayetega sikio lake kuyasikia hayo? Atakayesikiliza na kusikia kwa wakati ujao?
kipindi cha mauwaji kubiti kilambunge jaribu kusema swalahilo aliitwa muhusika na serekali haikuwa tayari swala hill lisemwe,,,, kumbuka kipind lema na mnyika walipo elezea hill swala wakaletewa shida
yaani kuna watu hapa hupenda ukikomenti hapa basi usapoti mawazo yao tu kama analaumu serikari basi na wewe ulaumu akitukana nawe utukane hapo hujisikia furaha na amani lakini ukiwa kinyume na mawazo na baadhi ya watu hao wanaanza kukutukana nadhani wanadhani matusi ndiyo yatawasaidia
kweni ao wa kibiti sio watanzania nanyi mnaoshabikia kuwa hajajibu vizuri kibiti nao wamepigwa lisasi na ni watanzania pia hacheni kuongeleo ujinga kweni lisu nani na hao walio uwawa na ni nani?
Immanuel itakuwa imekuuma sana au we ndo ulie husika kwa tundu lisu ndo mana huna kitu .police mpk MTU anapona upelelez hujakamilika tu ata ule wakutudanganya tu
Mtu binafsi au taasisi zinaweza kufanya uchunguzi wenyewe kama vile CHADEMA ilivyokodi taasisi ya kuwaambia vipi watashinda Uchaguzi na ndio wakamkodi Mh. Lowasa ambapo matokeo ya utafiti yalionesha CCM itashinda kwa 45% UKAWA 40% na Mhe. Lowasa alikuwa akitembea na 15% za likebility ya kupendwa hivyo hata angegombea kama mgombea binafsi angepata 15% ya kura ndio UKAWA wakamkodi. Nashauri na kwa hili wawalete wachunguzi kwa siri na baadae taarifa iwekwe wazi, tupo pia tunaodhani mhalifu katokea CHADEMA kwa nini dereva hataki kuja, aliko anafadhiliwa na nani?
Mbowe unaakil sana baba, huyu waziri sijui n@n hana lolote, N4$3/|\4J3 \|/AZ1æ1 ANAONGEA PUMB4 TU HAKUNA KITU CHOCHOTE UNAFKI ACHA WW, NA NYIE MNAOPIGA MAKOFI NI MBURURA KABISA HAMNA AKIL WOOTE