Тёмный

BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU 

Подписаться
Просмотров 303 тыс.
% 1 220

November 9, 2017 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alisimama Bungeni Dodoma kujibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wabunge na moja ya maswali aliyoyajibu ni lililoulizwa na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe.

Развлечения

Опубликовано:

 

9 ноя 2017

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 353   
@afyatv2220
@afyatv2220 3 года назад
Waliorudi na kuingalia hii video 2021 kama mimi tujuane kwa likes hapa
@zachieally6321
@zachieally6321 3 года назад
Hahahahaha hii dunia bhna
@amenyemwansile631
@amenyemwansile631 3 года назад
Mbowe kweli Ni genius nakukubali brother mbowe
@abdullykapole9617
@abdullykapole9617 4 года назад
Usipo jua swali bora uliza warudie hili hujibu vzr swali maana njia ni barabara wewe unapita kwenye maji jibu swali la MBOWE vzr...🙏
@alhaji6094
@alhaji6094 6 лет назад
Wazir Mkuu ameshindwa kujibu swal naona anazunguka tena pale alipoambiwa umekosea mwanzo
@kavassay8899
@kavassay8899 4 года назад
Mboowe mungu akupe miaka10000
@isaacnewkaboy9132
@isaacnewkaboy9132 6 лет назад
Majaliwa nilikuwa nakukubali kwamba unawezo mkubwa lakini kwa majibu haya.... "ww ni kibaraka" maana inaonesha wazi huna maamzi ww kama mtendaji mkuu wa serikali.... yaaan unazunguka bado hutoi majibu yayoeleweka... shame up on u
@nabiipetermaganga.7715
@nabiipetermaganga.7715 4 года назад
Majaliwa hawezi kujibu hayo maswali ya mbowe ni magumu sana majaliwa analikwepa kujibu maswali mbowe hongera kwa maswali mazur wazur mkuu hawez kuyajibu
@jumajumanne651
@jumajumanne651 4 года назад
Peter Mapesa ccm oyeeeeeee majaliwa safiiiiiiii
@stephenmkulia9745
@stephenmkulia9745 6 лет назад
Hata mimi nashangaa maudhui ya makofi hayo. Hakika wabunge wetu ni vilaza ajabu.
@muhidinihassani520
@muhidinihassani520 5 лет назад
Hao ndio ccm oyeee kazi yao NI kupiga makofi tu, sio kujadili kwa maslai ya nchi
@jacobolucas5935
@jacobolucas5935 4 года назад
Wehu nyie tushawajua serikali yenu ni ya watu wasio julikana uchunguz mpaka saiv miaka 3 mungu yupo atawalipieni kwa yale mnayo yatenda
@ramadhanikessy7581
@ramadhanikessy7581 4 года назад
Malipo ni duniani
@mathiaspaulina7355
@mathiaspaulina7355 6 лет назад
mh . waziri mkuu kwann msiruhusu vyombo vya nje vifanye uchunguz haraka ili suala LA unyanyasaji na mateso kwa tz ikomeshwe haraka?
@juliustantau1345
@juliustantau1345 5 лет назад
Mathias PaulinTundulissu
@paschalinejoginda5702
@paschalinejoginda5702 6 лет назад
jibu swali bna,,,unajikanyaga mheshiwa
@musamabura5200
@musamabura5200 6 лет назад
Majaliwa hajajibu swali la Mh Mbowe ,,,amezunguka bila kusema kuwa anaruhusu international investigators au lah!!
@samwelimwinyi9327
@samwelimwinyi9327 6 лет назад
Musa Mabura-√
@bulessatv3323
@bulessatv3323 4 года назад
Ni kweli umuhimu Wa Uchunguzi wa kina ni Muhimu ila kama Mtu anajeruhiwa kwenye Maeneo ya Watu wakubwa yaani Mawaziri na Ni maeneo yenye Cctv camera na high securty una Vamiwa na Asijulikane hadi leo zaid ya miaka 3 kuna tatzo either Kwenye vimbo vya ulinzi Ushauli wangu Tuweni wamoja kuijenga Nchi Si kosa kwa kiongozi kukosolewa pale anapoonekana hajafanya vyema Mhe Waziri Naomba ujibu kwa Faida ya Audience ote na Tanzania Kwa Ujumla Tanzania yangu Nchi yangu
@micamathew6433
@micamathew6433 5 лет назад
Bado mh Majaliwa anajibu kwa kuficha, sasa hapo kuna tatizo..mh Mbowe ww kuwa na subira, iko siku mambo yatanyooka tu.
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 4 года назад
Eeee amen yatanyooka,kwani tunaishi miaka mingapi ??? Mpaka asubili mambo yatanyooka ??dunia tambara bovu
@pendomartini447
@pendomartini447 6 лет назад
Pale ambapo mtakamilisha kazi hata ikiwa miaka 50 ijayo,......
@africanstears7755
@africanstears7755 5 лет назад
cctv camera kwenye majengo jilani na nyumba ya tundulissu ziko wapi
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 4 года назад
Ndugu wapendwa leo nimefurahi sana kumsikiliza rais Magufuri.Kasema!!!! Wapelelezi ndiyo shida eanachukua mda mwingi mno kupeleleza na kutoa jibu na ndiyo maana nanukuru kasema kuna wafungwa13 elfu lakini mahabusu wanaosubili ili wajue hatima yao wako 17 elfu. Hawa wako ndani wananyea kwenye ndoo .wakiuliza jibu ni ,upelelezi bado,miaka 5 mtu yuko mahabusu kweli ??? Hii inaingia akilini jamani? Kwa hiyo swala la Tindu Lisu mpaka yesu aje !!nakwa vile yuko karibu!wacha tusubili,ila hao wapelelezi cha moto chao kinakuja
@rashidyishika6868
@rashidyishika6868 4 года назад
We wazir Mkuu kumb Msanii??
@venancebasil4656
@venancebasil4656 6 лет назад
daaaaah wanasiasa wanajua kuzungusha maneno
@edwiniedwin3347
@edwiniedwin3347 5 лет назад
Mbowe nakuelewa sanaaaa , hawana majibu hao ya kukupa mkuu .
@jordankaaya606
@jordankaaya606 6 лет назад
Duuu mbna swali la msingi halijajibika?
@r-boymnyange3743
@r-boymnyange3743 6 лет назад
Yaani Hao wanaopga makofi cjui wanafahamilia zilizolelewa katika MALEZI mazuri
@loner_wolf
@loner_wolf 4 года назад
Hawa nilichoelewa wanahisi picha limekaribia kuisha .... Next yr wengi watakuwa wanashuhudia mjengo kupitia youtube Kama sisi raia wakawaida .....Sasa wanatafuta huruma tu , na TRUST ME Sera watakuwa hawana ktk kampeni zao ila hizi story za kutekwa na kuteswa ndio zitakuwa sera zao.
@abubakarimchani114
@abubakarimchani114 6 лет назад
mungu atakuja kutoa jibu ck1 tu tuombe uzima2
@bulayaconfidential7212
@bulayaconfidential7212 3 года назад
majibu yanaendelea kujibiwa!!
@mbuyaelyaoni6266
@mbuyaelyaoni6266 Год назад
Kweli. Majibu naona kama tayari
@r-boymnyange3743
@r-boymnyange3743 6 лет назад
Majibu ni tofaut na swali uchunguzi mpaka lini Sasa matukio yote ya Zaman mbona hakuna hata jibu hata 1
@mbonireamina6497
@mbonireamina6497 4 года назад
Katika watu wanaharibu hii Tanzania ni hawa CCM. Wanadhanishia wamewekwa madarakani milele. Namkumbusha tu Magufuli kuwa kuna mtu alikuwa anajiita Idd Amin yuko wapi. Alijipa majina makubwa kuwa yeye ni Rais wa Maisha Uganda leo yuko wapi. Mtanzania ukiwa hai mshukuru MUNGU wako na watendee wenzako mema. Magufulib anamwambia "MNYIKA" nimekuletea Maji kwenye jimbo lako unataka DEMOKRASIA. Hivi Magufuli ndie analeta maji au kodi zetu anazochukua. Laana ya kuwavunjia wapiga kura wako nyumba na kuwaambia hautalipa fidia ni unyama na malipo yake utayaona mda sio mrefu. Mbona Karume kule Zanzibar alikuwa anawajengea watu nyumba za kuishi wewe unakimbilia mambo makubwa wakati watu wako unawavunjia nyumba bila kuwalipa. Watu uliowaua damu zao zitakulilia milele hautakwepa hilio. Umekuwa "HITLA" wa Tanzania unawazuia wenzako kufanya mikutani wewe ni kama nani Duniani. Umebatiuzwa unaitwa "YESU" haya ni majanga. Hivi unaweza jifananisha na YESU kweli wewe Dikteta. Tujengee hosipitali za rufaa hatuna haja ya kwenda India tena. Ndege zzako zikienda India waliojaa ndani ni wagonjwa wa Tanzania hakuna hata wafanya biashara. Tuambie basi Watu wako hasara tuliyopata kwenye biashara ya Kusafirisha Gesi na korosho kuja na Dar es salaam. CCM kwa nini hampendi kusema ukweli. Mumelipa Deni la ndege Dola milioni 20 bado milioni 13 mnasema mumeshinda kesi. Kwa nini mnatufanya wajinga. Mimi niwaambie tu 2020 tutaminyana sana. Wabunge wa CCM mtakula mikongoto mbaya sana. Tumechoka kuona mko Bungeni kiupiga makofi tu.
@saidkhantz2525
@saidkhantz2525 6 лет назад
UKIWA upinzani hasa Raha Wallah.... Upinzani una wasomi, upinzani una watu wenye uwezo wa kutoa hoja zilizoshiba.... Mijitu isiyokuwa na akili utasikia ikisema " kupigwa risasi kwa lisu ni mipango ya ukawa" sasa kama ni mipango ya ukawa kama wanavyoamini wananchi wanaoipenda fisi em? Kwa nini fisi em yenu isiruhusu jeshi la uchunguzi la watu weupe lishuke hapa nchini kufanya yake????.. ina maana ukawa hiyo hiyo ndio ihusike na mipango ya kupigwa risasi lisu, na ukawa hiyo hiyo ndio itake kupatikana uchunguzi wa kimataifa?. Au na hao wa kimataifa nao ni ukawa watawatetetea?.. acheni kutufanya mazuzu bhna ccm
@abduljuma5284
@abduljuma5284 6 лет назад
duche! kwerii nchii imepotea wazirii kumbe nikilaza kiasi hicho chakushangaza wapumbafu wanampigia makofi sasa makofii yann hapo amahakika Tanzânia tunawawakilishi wengi kuliko viongoz
@morismush4273
@morismush4273 Год назад
Wazuri mkuu unatuda,nganyaa
@r-boymnyange3743
@r-boymnyange3743 6 лет назад
Kwann wasiruhusu vyombo vya nje kufanya upelelezi hilo ndo swali unaongea tofaut na swali!!?
@robertshedlack5354
@robertshedlack5354 5 лет назад
woi Waziri hapo sjaona jipya aliongea, mungu ataumbua tu hao mnaosema hawajulikan
@zuwenasirgutty8830
@zuwenasirgutty8830 6 лет назад
Specific ya hayo Makofi niyakazi gani....!!??
@happinessmwaipopo7426
@happinessmwaipopo7426 6 лет назад
Kama hamjafurahishwa Mbona kwenda kumuona mlikuwa mnakataza watu Wa chama cheni wasiende? Mnaruka ruka mnamjua mhusika na Mungu atawaumbua tu.
@erickcobra4054
@erickcobra4054 6 лет назад
Happiness Mwaipopo amen
@mbonireamina6497
@mbonireamina6497 4 года назад
Kama uchaguzi utafanyika kwa haki na huru mimi kura yangu nitampa TUNDU ANTIPASI LISU. Huyu bwana yuko baribu sana na MUNGU kuliko Magufuli. Mimi nina imani machungu aliyopitia yalisimamiwqa na MUNGU. Magufuli sio chaguo la MUNGU ni chaguo la CCM na SHETANI. Mambo anayofanya Magufuli ni ya mapepo tu. Ameshawalisha baadhi ya Watanzania libwata wawe wanamsifia kuwa kafanya na kujisahau kinachojenga Tanzania ni kodi zao zikiwepo kodi za WAPINZANI. Maisha ya Magufuli baada ya kuwa Rais ni kifungo tu.
@edwiniedwin3347
@edwiniedwin3347 5 лет назад
Mbn hujibu swali??
@erastosolomon4554
@erastosolomon4554 6 лет назад
Maelezo mengi ya nini? Jibu swali, yani majibu yako waziri mkuu hata kama angekuwa mtoto mdogo tayari angejua anadanganywa. Na hao wanaompigia makofi waziri ni macrazy sioni la msingi kupigiwa makofi wakati maswali ya muhimu hajayajibu kiufasaha.
@yusuphchami2991
@yusuphchami2991 6 лет назад
mh, waziri mkuu kama vyombo vyetu vinauwezo mbona hakuna majibu mpaka Sasa Mimi naona nibora turuhusu wachunguzi kutoka nje watusaidie kupata majibu sahihi
@wakusmilewakusmile429
@wakusmilewakusmile429 4 года назад
Were musika Katika saksta hiri
@starlily07
@starlily07 6 лет назад
Maswali yako Mh Mbowe yamewashika pabaya, hawawezi kujibu moja kwa mojaa ni kujikanyaga tu, aibu yao but time will tell na Mungu yupo kazini.
@samwelimwinyi9327
@samwelimwinyi9327 6 лет назад
Leah Mwakyelu-Kweeeeel
@jeremiamalimu6087
@jeremiamalimu6087 4 года назад
vida
@tracyjustice1600
@tracyjustice1600 6 лет назад
Waziri ujajibu swali unazunguka mmbuyu tuuu
@mwanahella9650
@mwanahella9650 6 лет назад
Hayo sio majibu kwakweli khaa🤔😢🙄
@fadhiliibrahim9702
@fadhiliibrahim9702 6 лет назад
Kwa majibu haya kama ndio mtihani ticha natoa 0/100
@samwelimwinyi9327
@samwelimwinyi9327 6 лет назад
FADHILI IBRAHIM-Ahahahaha- wazr kapga chenga kujbu!
@lucasgasper5235
@lucasgasper5235 6 лет назад
FADHILI IBRAHIM Kweli kabisa
@amrikemwalu979
@amrikemwalu979 6 лет назад
sio 0/100 tu mi naona ata -20/100 yaani anadaiwa kabisa
@michaelmpoma3579
@michaelmpoma3579 4 года назад
FADHILI IBRAHIM ...watu wanazunguka danadana had unatia hasira
@BarakaWaya
@BarakaWaya 6 лет назад
Daaaah maswali kwa uchungu ,majibu sasa duuuu
@hocymbesere9459
@hocymbesere9459 6 лет назад
asee ww jbu swali usikwepe hiv hawasomag koment hawa nyumbu
@stevenhinjo9664
@stevenhinjo9664 6 лет назад
mbona mauaji mengine hamkutaka wachunguzi watoke nje? kweli binadamu mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu!;
@lucasgasper5235
@lucasgasper5235 6 лет назад
Steven Hinjo Na wewe nenda kawaombeee hao wengine uchunguzi wa nje
@trgphonegeorge3832
@trgphonegeorge3832 6 лет назад
Steven Hinjo inategemeana na mazingira ya tukio,
@mahelamnazaletimahela9317
@mahelamnazaletimahela9317 4 года назад
We kum kweli yan ujui chochote boya tu
@aissacktegama8972
@aissacktegama8972 4 года назад
Tuteteeni Sisi wafanyakazi kampuni binafisi mishahara inachelewa pia hawapeleki michago yeti nssf tusaidieni wambuge wetu
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 6 лет назад
Mbona hajibu kwa nini hawataki Tume ya Kimataifa.? Swali Gumu hiloo.!
@mustafachiumbwe3136
@mustafachiumbwe3136 5 лет назад
mungu yupo on day mficha jereha umauti umuumbua
@barakambise2773
@barakambise2773 4 года назад
Nasi uache msahidiwe kutafuta
@AloisNashali
@AloisNashali 6 лет назад
Huyo majariwa pumbu tu
@elihurumathomas686
@elihurumathomas686 4 года назад
Binge Lina washangiliaji wengi kuliko wanaofikiria
@revocatusmanyama8621
@revocatusmanyama8621 5 лет назад
Uchungz mpaka lini?
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 5 лет назад
Yaani majibu ukiyasikiliza vizuri unapata kujua kwamba, ukweli hauja zungumzwa.
@siamollel9725
@siamollel9725 6 лет назад
Ukweli Mh mbowe polisi wanatesa sana RAIA,wakija hahuku kukamata waalifu,wanatoa vitisho na kupoga watu ovyo
@gregoryntandu4718
@gregoryntandu4718 4 года назад
Sia Mollel ukiwa salama ww huta Jua kama wezako wako hatarini
@abellusana935
@abellusana935 4 года назад
Waziri wetu unajua sana kujieleza asante chapa kazi
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 4 года назад
Lusana
@MatikoMichael
@MatikoMichael 4 месяца назад
Hiyo damu ilinena haikunena
@abedychaula1721
@abedychaula1721 4 года назад
Msikae na kujitizama nyinyi tu watu wangapi wanao shambuli na kupoteza maisha ndani ya hii nchi,tatizo ni ubinafi mlio nao.
@esteribrahim7127
@esteribrahim7127 5 лет назад
Si mruhusu uchunguzi
@Nestory_mvwata.
@Nestory_mvwata. 5 месяцев назад
Umetisha sana mzee
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 года назад
Mbunge wako au wa Masasi??
@kavassay8899
@kavassay8899 4 года назад
Wabunge wa ccm bhn wanapiga makofi ya nn au wanataka watu waendelee kuuliwa
@fadhilimwaitete3692
@fadhilimwaitete3692 Год назад
Towa majibu au jibu swali pamoja nakulibia atujalizika na hayo majibu
@chiefmachibya3894
@chiefmachibya3894 6 лет назад
Wanaopiga makofi ni mbwa tu
@onesmolwambano9349
@onesmolwambano9349 6 лет назад
specific questions=specific answers
@kazok892
@kazok892 4 года назад
Hili jamaa ana title ya uwaziri mkuu lkn ni ceremonial tu...hana power & authority...lile pimbi Bashite lina nguvu kumzidi...bogus people!
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 3 года назад
Maswali ya Mbowe Ni sahihi na majibu aliyopewa nayo sahihi kah!! Ni noma
@laulianmeneja2079
@laulianmeneja2079 4 года назад
Mbona hamtaki uchunguzi wa nje
@niazonbukoke1964
@niazonbukoke1964 10 месяцев назад
Majaliwa ni kilaza kwa Mbowe
@mcfrank1423
@mcfrank1423 6 лет назад
maja bwana ndo jibu hilo?
@paulojosephy6338
@paulojosephy6338 6 лет назад
waziri mkuu kaulizwa swali kalikwepa
@HellenLemilya
@HellenLemilya 18 дней назад
Duu uchunguzi huo uliishia wapi ,ulipata nini sasa ,au Bado wanaendelea kuchunguza ?hapa ndipo viongozi wa Tanzania wanaponikera ,na hata kuwachukia na kuona chadema na wapinzani wengine wapo sahihi
@george27103
@george27103 6 лет назад
ushabiki mwingine ni wa kushangaza maana watu wanapiga tu makofi kwa mihemuko bila ata ya kusikiliza ni nini kinajibiwa.very sad.
@loishiyemollel8071
@loishiyemollel8071 4 года назад
Sasa ni hofu gani kama watakubali vyombo huru vya nje kuja kufanya uchunguzi ?
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 3 года назад
Miccm washenzi wanaua wafrica wenzao kisa niubinafsi uchoyo!!hivi mnaakili nyee miccm mtachelewa kusongambele maana mnaandama wenyevipaji vyakutukwamuwa!!!!
@user-nu3ne8ul5d
@user-nu3ne8ul5d 3 месяца назад
Ongera sana mbowe
@bakarimngazija6672
@bakarimngazija6672 4 года назад
Majibu huna ila siasa inamkondo wake , mbona hakuna uchunguzi . Vinarndelea siku diku zinapita kwenye viwanja vya bunge kamera ziliondoshwa na hata hiyo hakuna taarifa . Waziri mkuu unadanganya umma. Kumbuka waziri mkuu unajimwagia mafuta n Mungu atakuhukumu Kama unajarijukuuficha ukweli.
@kichuyawatanga5452
@kichuyawatanga5452 4 года назад
Naomba kuuliza waliompiga risasi moringe sokoine ,nao wakamatwe ,mpaka Leo cjui waliompiga risasi wazir wetu
@applestru_cape2219
@applestru_cape2219 4 года назад
Muulize nyerere
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 4 года назад
Kichunya ni tanga barabara ya ngapi? Huyu alikufa kwa ajali ya gari
@esteribrahim7127
@esteribrahim7127 5 лет назад
waziri MKUU wapi huyu anaongea pumba 2
@mahelamnazaletimahela9317
@mahelamnazaletimahela9317 4 года назад
Malaya tu
@joshuahassan1605
@joshuahassan1605 Год назад
Hivi report ya hayo aliyoyataja prime minister ilishatolewa??
@stewardnkinda9552
@stewardnkinda9552 Год назад
Mbona Hadi Sasa hatuja pata majibu Toka kwenye vyombo vya Dola serikali hii Ina shida sana, kwann asiluhusu vyombo vya umoja wa mataif a vije vitedo hivi havivumilik
@calvinjackson2087
@calvinjackson2087 Год назад
Waziri mbona hujibu maswali unapigiwa makofi yasiyo ya msingi
@johnsonbagambi835
@johnsonbagambi835 3 года назад
Mbowe ni kichwa
@SUPREMEDIGITAL
@SUPREMEDIGITAL 6 лет назад
Majibu ya Waziri Mkuu yameniacha Njia Panda Hakika,Mlengo mkubwa ni kutetea Watanzania Kwa Ujumla kutokana na Mauaji yanayoendelea Katika Nchi.Nadhani Serikali itoe nafasi iyo
@timizanafrikamedia5464
@timizanafrikamedia5464 6 лет назад
Mmmh hakuna kitu hapo, Hata kujibu ni magumashi tu
@richardmakao7488
@richardmakao7488 6 лет назад
hawawezi kuruhusu wachunguzi huru kwasababu wao ndo wanahusika
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 4 года назад
Aha Taita duh Majaliwa kasema anayejuwa aende akatoe taarifa .baba nenda lakini niachie kadi yako ya benk na pini namba kabisa.ili niweze kuwa na kuletea uji mahabusu maana ukiingia huko kutoka ni 2050
@mamarama6360
@mamarama6360 6 лет назад
Mh mkuranga kulee Kibit wamekufa wengi lkn hamukusimama kuomba serikal ilete wachunguz kutoka nje?
@abduljuma5284
@abduljuma5284 6 лет назад
kwakweliii hii nchii nihamnazo kweli sasa waziriii kajibu nn hapo mbona haelewek
@janendomba9461
@janendomba9461 4 года назад
lini uchunguzi utakamilika jamani mungu anawaona au mfute vyama pinzani
@humphreybilly3258
@humphreybilly3258 4 года назад
Isaya 42:22-23 [22]Lakini watu hawa ni watu walioibiwa na kutekwa; wote wamenaswa katika mashimo, wamefichwa katika magereza; wamekuwa mawindo, wala hapana aokoaye; wamekuwa mateka, wala hapana asemaye, Rudisha. [23]Ni nani miongoni mwenu atakayetega sikio lake kuyasikia hayo? Atakayesikiliza na kusikia kwa wakati ujao?
@eugenemtaza201
@eugenemtaza201 6 лет назад
Uwezo wa kutisha wananchi ndo wana weza. Acheni longo longo izi.
@eliajimmy5128
@eliajimmy5128 6 лет назад
hapo nimeona serikali ndio wanaotuuawa kwa nini mnakataa wachunguzi wakimataifa
@amosseme8575
@amosseme8575 6 лет назад
Unawaamin sana wachunguz wa nje ety
@eliajimmy5128
@eliajimmy5128 6 лет назад
Amos Seme umeambiwa swala la bot mliita wachunguzi kutoka Scotland kwa nini mashambulizi haya mnayachukulia POA?
@seiphabdallah2122
@seiphabdallah2122 4 года назад
Sasa kwa nini hawaruhusu uchunguzi wa kimataifa
@pilotngulamba388
@pilotngulamba388 Год назад
mzazi umemjibu vizuri uyo kiongozi asie kuwa mkweli kwa chama chake chadema
@mathewtarimo9614
@mathewtarimo9614 4 года назад
Kwa nn kafutiwa ubunge?
@amanilucy
@amanilucy 6 лет назад
kipindi cha mauwaji kubiti kilambunge jaribu kusema swalahilo aliitwa muhusika na serekali haikuwa tayari swala hill lisemwe,,,, kumbuka kipind lema na mnyika walipo elezea hill swala wakaletewa shida
@hamadimaulidi9485
@hamadimaulidi9485 Год назад
Mm kama mm waziri ujatoa jibu hapo umezinguwa
@stevenhinjo9664
@stevenhinjo9664 6 лет назад
yaani kuna watu hapa hupenda ukikomenti hapa basi usapoti mawazo yao tu kama analaumu serikari basi na wewe ulaumu akitukana nawe utukane hapo hujisikia furaha na amani lakini ukiwa kinyume na mawazo na baadhi ya watu hao wanaanza kukutukana nadhani wanadhani matusi ndiyo yatawasaidia
@dovicochristopher5388
@dovicochristopher5388 6 лет назад
Steven Hinjo 😂😂😂
@bonifacechengula1860
@bonifacechengula1860 Год назад
Alikwepa swali la taasisi za kimataifa kuhusishwa kwenye uchumguzi. Kwanini? Serikali yake ndio illihusika
@ibrahimrikanga1607
@ibrahimrikanga1607 4 года назад
Je ww waziri mkuu utatundagaya na nn wakati tuna macho
@kisa6022
@kisa6022 Год назад
Dunia itaisha hakutapatikana ukweli wala ufumbuzi kwa hayo
@pilotngulamba388
@pilotngulamba388 Год назад
kweni ao wa kibiti sio watanzania nanyi mnaoshabikia kuwa hajajibu vizuri kibiti nao wamepigwa lisasi na ni watanzania pia hacheni kuongeleo ujinga kweni lisu nani na hao walio uwawa na ni nani?
@fauziawilifred6229
@fauziawilifred6229 6 лет назад
Immanuel itakuwa imekuuma sana au we ndo ulie husika kwa tundu lisu ndo mana huna kitu .police mpk MTU anapona upelelez hujakamilika tu ata ule wakutudanganya tu
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 6 лет назад
Allah akbar
@ramadhanisaidy185
@ramadhanisaidy185 4 года назад
Sijawaelewa wapinzan
@happinessmwaipopo7426
@happinessmwaipopo7426 6 лет назад
Maelezo ya nini mengi ruhusuni vyombo vya nje muone kama mtapona. Hamna lolote serikali uchunguzi gani mmefanya mfyuuuu
@EREVUKATV
@EREVUKATV 6 лет назад
Happiness Mwaipopo uko vizuri sana ccta nimekupenda bure
@simonsixbert2660
@simonsixbert2660 6 лет назад
Happiness Mwaipopo albadir vipi? hamkusoma
@happinessmwaipopo7426
@happinessmwaipopo7426 6 лет назад
Simon Sixbert kumuulize shehe, umeona wapi ninajuzuu mimi😏
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 года назад
Mtu binafsi au taasisi zinaweza kufanya uchunguzi wenyewe kama vile CHADEMA ilivyokodi taasisi ya kuwaambia vipi watashinda Uchaguzi na ndio wakamkodi Mh. Lowasa ambapo matokeo ya utafiti yalionesha CCM itashinda kwa 45% UKAWA 40% na Mhe. Lowasa alikuwa akitembea na 15% za likebility ya kupendwa hivyo hata angegombea kama mgombea binafsi angepata 15% ya kura ndio UKAWA wakamkodi. Nashauri na kwa hili wawalete wachunguzi kwa siri na baadae taarifa iwekwe wazi, tupo pia tunaodhani mhalifu katokea CHADEMA kwa nini dereva hataki kuja, aliko anafadhiliwa na nani?
@jakobodeus9522
@jakobodeus9522 3 года назад
Serikali ya matusho ya bunduki mna bunduki sana tanZania
@trgphonegeorge3832
@trgphonegeorge3832 6 лет назад
Mbowr unatakiwa uulize maswali magumu zaidi ya hapo ,hata kuhusu lissu tu, uone wanavyojikanyaga!
@EREVUKATV
@EREVUKATV 6 лет назад
Mbowe unaakil sana baba, huyu waziri sijui n@n hana lolote, N4$3/|\4J3 \|/AZ1æ1 ANAONGEA PUMB4 TU HAKUNA KITU CHOCHOTE UNAFKI ACHA WW, NA NYIE MNAOPIGA MAKOFI NI MBURURA KABISA HAMNA AKIL WOOTE
@maikochales3154
@maikochales3154 4 года назад
mbowe we nimtata wanakwepa swali lako
@daviekasinda6918
@daviekasinda6918 6 лет назад
makofi ya nn? hlfu anazunguka zunguka hajajibu swal?
@sailepumaneno2915
@sailepumaneno2915 4 года назад
Mr Arse
@errymwazembe2847
@errymwazembe2847 6 лет назад
mheshiwa mbona majibu hayana mshiko wala hayana ukweli wowote niungo mweupe kabisa
@oywadavid9758
@oywadavid9758 6 лет назад
kazi ipo
@saidsalum8321
@saidsalum8321 6 лет назад
Porojo zimekuwa nying Jib no