Mwanaume kuwa mvumilivu ! Huyo ndo mke bora , Hayo ni mapito tu. Pole sana pia kumbuka maisha yako ni yako binafsi. Jipe moyo mkuu maisha yaende mbele . Pole !! pole sana.
Nyie mnao msema bi harusi sura ngumu we mwenye sura nzr mbona hujaolewa kumboka huyo unae msema sura ngumu kaumbwa na huyo alokuumba ww kueni Makini na maneno yenu
Mungu akupee Amani ndugu yangu.. Neno ni wasi ya kwamba jambo lolote lile hutendeka kwa wema.. Kwa wale wanaompenda yesu... But la makosa ni kumhukumu huyu Dada.. Msamehe na mungu akubariki na Dada ambaye ni mwaminifu... Usi hesabu. hasara yeyote Ile. Lakini shukuru mungu akuponye roho yako na akubariki na ndoa takatifu mtakatifu.. Pole Sana ndugu yangu🎉❤
Kaka mshukuru tu Mungu kwa yote mwambie Mungu akuonyeshe njia sahihi kama ni hyo utaona kama kuna mwingine sawa. Lakini Daa amefanya mbaya sana. Kutokuwa mkweli
Ndoa za kikorstoo Zina tabu sana jamanj Hawa wenzetu wakiona hawaachani milele ndio washafungana pingu za maisha😂lkn waislam aah raha raha tu wakichokana wanamalizina kila mmoja na zake
Kijana muoaji nakupa pole kama ni kweli,mimi ni mzee wa siku nyingi tafuta wimbo wa orchestra super rainbow uitwao kichekesho ujumbe kupitia mziki huo utakufaliji
Ukweli ni ufunguo wa kila mtihani angemwambia kitambo kama yote hayo hayangetokea ko tuwe wakweli kwenye kila jambo🙏🙏 upande mwingine mwanamke amejua angesema ukweli angekataliwa Mungu akutatulieni 🙏🙏
Kaka! Pole sana! Ila Kumbuka tu, maumivu uliyokutana nayo Kwa Tabia ya Mwn Mke kama huyo amini usi amini Yapo Mengi usyo yajua, hivyo kuendelea kung'ania Mtu Huyo, Amini mbeleni utaumia zaidi ya Hilo! Inawezekana hata anamtoto na mme wa Kwanza!kuwa makini!
Pole Kaka kwakweli moyo wa mwanadamu ni sawa na kichaka kikubwa pia ni sawa na Giza Nene Yani Giza zito ambapo uasi ndo unakofanyikiaga Mungu akutie nguvu mnooo uweze kifaulu kuvuka kwa ushindi